Naitwa Mr chumvi Nachingwea finest,,,Niko pamoja nawe daima ktk yote,,usiku na MCHANA,,masika na kiangazi,,,M/Mungu akupe maisha mwema na marefu,,adui zako watapambana na Mungu wewe usiwajibu,achana nao brother.
@JudithLusonzo11 күн бұрын
Mungu akutie nguvu kaka Manara tunakupenda na tunakuheshimu wewe ni kioo usivunjike MOYO waheshimu WAZAZI waliokupenda tunawapongeza Kwa malezi mazuri ❤❤❤
@Carolina-sm5zt9 күн бұрын
Mungu anakupenda Kaka Haji usihangaike na sisi Walimwengu
@judamsaki56093 күн бұрын
Genius kaka Manyara... barikiwa
@AminaKissawaga11 күн бұрын
Haji usijari Mwenyezi Mungu ndo muumba wa kila jambo best yangu pole sana tupo pamoja
@nassorali103410 күн бұрын
MMungu yupamoja nanyi inshaallah ...hongera sana kwanza una tabia nzuri ulopata kwa wazazi wko Allah akupe kheri zaidi na zaidi
@shau785 күн бұрын
Mungu anakupenda my brother. Hiyo inatosha
@halimamasai22347 күн бұрын
Pole sana Manara mungu akupe maisha marefu na afya njema inshaallah
@Sarah-e1o9k10 күн бұрын
Nyie❤❤❤❤❤❤❤❤ Alhamdulilah
@AsilaAlhabsi-hg9lg10 күн бұрын
Subhnallah pole sana abui tani watanzania Subhnallah mungu atawahidi hawa watu
Haji wewe ni Mtu mwema sana na ni mcheshi. Shida Watu wasiokuwa na hofu ua Mwenyezi Miungu ndiyo wanakuwa na mtazamo tofauti.
@ZinabAlzinabКүн бұрын
Alhlla hajakosea
@abdallahAbby-o6x11 күн бұрын
Pole uncle mm rafiki yake uncle wako Nassoro Mrisho mtaa wa rufiji wakati huo ulikuwa mdogo kwa ant yako Ashura
@AbdulmalikFredrick10 күн бұрын
Aji wewe mtu Wa mungu Alha akujalie kilalaeli inshallah
@salama111311 күн бұрын
Pole babu mungu anakusudi yake wanao mbeza huyu kaka mungu atawajibu
@SheikhYussuf-iv6lo11 күн бұрын
الحمد لله الذي عافانا مما ابتلى به وفضلنا على كثير ممن خلقنا تفضيلا
@AshaMohd-z1o7 күн бұрын
Hakika hujakoseya kabisa nikweli
@DesyNdolezi11 күн бұрын
Mwenyezi mungu ni mwema yy ndio anajua
@AminaMsimbe10 күн бұрын
Du haji umefanana sana na baba yako
@femidayahaya929311 күн бұрын
mcwe mnayaongea haya mambo jmn kwa upande wang me yananiumiza sana moyo wang😢😢😢😢
@fatmaalnabhani360911 күн бұрын
Mtu hacheki uumbaji wa mungu no vibaya sana
@AshaMwamba-m5x11 күн бұрын
Uku kwetu uswailii mwingii ndo maana inakuwaivyoo 😢😢
@PaulRPaul-z1q10 күн бұрын
Well said Haji Manara and stay strong
@YohanaRichard-e6p8 күн бұрын
Mimi huwa nakerwa na watu wanoa sema uarubino ni ulemavu maana hawana tofauti na watu wengine.
@ashamahadi528111 күн бұрын
Pole sana mjukuu wa binti Salura. Siku hizi hamma hiyo
@rahmaabdallah451411 күн бұрын
Sio tatizo rangi ila ulimi wako wakati mwengine huutumii vizuri kuzungumza na subra huna
@hamishassan678410 күн бұрын
hili ni nje ya mambo yenu ya mpira hapa Dada Rahma kuna mafunzo na ujumbe usilete ushabiki usio na maana hapa hebu tuombe radhi
@halimaJumanne-jn4ks6 күн бұрын
Ni kweli utakiwi kukosoa huumbaji wa mungu ni kosa kubwa sana Ata akiongea vp utakiwi umkashifu jambo ambalo lipo nje ya uwezo wake
@khadijathani906411 күн бұрын
Mie kweli nakupenda mzungu wa yanga ila kiukweli mie nawaogopa sana alibino
@ashaali715410 күн бұрын
Endelea kuwaogopa tu maana wewe mweusi huogopewi sijui kwa sababu gani?
@hamishassan678410 күн бұрын
khadija unataka kutuambia nini watanzania. Jitafakari sana kauli yako
@AmourIshaka9 күн бұрын
Dada samahani vp ushamaliza kizazi wewe ? Je ukipata mtoto humnyoyeshi ? Rudi kwa Muumba wako
@edwardenock61002 күн бұрын
Sizan kama akir zako ziko sawa ww unaweza kumuogopa binadamu mwenzio duh mungu akusamehe tu
@MarisaVitares9 күн бұрын
Waswahili au vitabuvyadini ?
@bahiyalumelezy301611 күн бұрын
Kuna vitu vingine havipendezi kucheka wl utani.
@beatricehenry677611 күн бұрын
Nimekupenda bure safari hii
@habibumpa615011 күн бұрын
Kabisa babu
@khadijathani906411 күн бұрын
Haji kafanana na baba yake kumbe
@jumanjoro78210 күн бұрын
6:49 6:53 6:56
@HemediMasaga10 күн бұрын
Kikweli kabisa ukitaka kukomesha watu wanaofanya hiviii vitu nikukaa kimya tu maana wanajiona wamefanikiwa kuwachokoza japo ikiwa kubwa sana unaweza jap kimya ndio jibu kubwa na maana kabisa.
@masoudmohammed204310 күн бұрын
Futa mate basi mdomoni😂
@kassidpandu86611 күн бұрын
Mbona ana.zeeka sana huyu tena kwa nguvu shida nini?
@AshaMwamba-m5x11 күн бұрын
Majukumu ya zailisaa
@TalibMtalika11 күн бұрын
Sasa mtu ana 50 bdo unataka aonekane mtoto?? By the way uzee ni baraka hakuna ajabu
@bahiyalumelezy301611 күн бұрын
Wengine pimbi ndy hawazeeki
@kabwangaselemani522811 күн бұрын
Uishukuru Simba
@matrida.lunyilija519610 күн бұрын
Mbumbumbu fc kwani hapo anaongelea Simba,jinga wewe
@RamadhaniFilikichi11 күн бұрын
Tatizo Haji nawe unaongea sana
@MfiriNasawe10 күн бұрын
Tengua kauli yako yakibeberu huo msemo sii wa waswahili
@ZamdaMkonda11 күн бұрын
Nawew domo upunguze unaona inavyouma ukimzarau mwezako we ndozako izo
@marymanoni553611 күн бұрын
Mbona haji ni mtu wa kawaida kwani mnamuonaje
@michaelnehemia493210 күн бұрын
Ila hata wewe huwa nazarau hatar ulimwambia vibaya yule askar
@hamishassan678410 күн бұрын
ila sio ya kimaumbile ondoa ushabiki kaka
@matrida.lunyilija519610 күн бұрын
@@hamishassan6784makolo hawana uelewa kabisa yaan yanawaza upumbavu tu
@jumamtiliga448411 күн бұрын
Shida Nini manala acha izo shobo sisi tuna watoto kama ww mbona hata halii kishamba ivyoooo
@gordiansoko911311 күн бұрын
Wewe mwenyewe mkorofi una maneno ya shombo kwa watu ndio maana na wao wanakushambulia na katika mapambano huwa silaha yoyote inatumika ndio maana watu wanatumia ulemavu wako kukushambulia.Badilika tabia zako pia punguza uwongo na kujikweza.
@dorothmsuya168611 күн бұрын
Ukumbuke ulemavu sio ualbino tu... Hata wewe ni mlemavu mtarajiwa! Kabla hujafa hujaumbika!!😢😢😢
@AlHamra-k4u10 күн бұрын
@@dorothmsuya1686Hakika 😢😢
@mwikamwika485111 күн бұрын
Mnafiki na mjinga wewe. Ualbono siyo Kinga ya wewe kufanya upumbavu halafu watu wakuache. Utatukanwa na kusemwa na watu hata kama una ulemavu wa ngozi kwakuwa watu hawausemi ulemavu wako kwakuwa ulemavu ni uumbaji wa Mungu. Hakuna anayeomba ulemavu Wala kuzaliwa bila ulemavu bali tabia Yako ya hovyo ndiyo watu wanakujibi hovyo. Kwahiyo usitake huruma kwa watu kwaeababu wewe ni mjaa laana tu. Kama waxazi wanajia utu na thamani ya ujinga wako kuwa ni kosa wamgekuonya kwanza uache tabia zako mbaya wewe
@hassanabdala738311 күн бұрын
Manara mjanja sanaa anataka kupotezea Yanga kutolewaa
@aginsagins-jf4vz11 күн бұрын
Sio kutolewa Yanga anataka kuzuia kocha wa Yanga asizungumziwe
@aginsagins-jf4vz11 күн бұрын
Wewe Manara mjanja sana unazima maneno ya kocha wa Yanga asizungumziwe
@ZahratAhmad-o1v11 күн бұрын
Umeliona hilo
@ashaali715410 күн бұрын
@aginsagins. Mungu anakuona wewe na wenzako munao beza na kuona sio muhimu anachoongea Haji na atawahukumu tu.