HAPA LAZIMA UUMWE NA KICHWA😱🙄 MCHUNGAJI APOTOSHA MAANA YA UISLAMU VIBAYA MNO

  Рет қаралды 15,401

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video.

Пікірлер: 126
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Жыл бұрын
nafurahi kuona watu wakiongelea mambo ya kitabu vya mw/Mungu. ila mzee mhh ni mbishi sana, huwa anarudiarudia yale yale.
@munawwarbashir2680
@munawwarbashir2680 Жыл бұрын
Wakristo doh 😢 poleni mwanammke sio mtu , Alhamdulillah najivunia kuwa Muislam
@everlynechepkoech5649
@everlynechepkoech5649 Жыл бұрын
Assalamalekum warahatullahi wabarakatu...masha Allah, good work 👏 🙌 be blessed
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah ramadhan kuria bin kaguo,,unaeleweka sana,,snaa sana,,yaan nakuelew vzr snaa,,piaa nakuftria kila mahr ,,,yanii ayaa zimekaaa kuchwanii,,,,, Allah aendeleee kukujaza kher,,na akupe umri mrefu, piaaa akuepushe na dua mbaya zaa,,wanafki,, Allah akupe afya njema kwa kaz nzuri unayoifnya,,,,tukoo pmja snaa,, mataalm wetuu katika dini
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
@zackynebar6365
@zackynebar6365 Жыл бұрын
Mashaallah ✅ Sheikh nakuvisha koja Alhamdhulilah
@nooor1120
@nooor1120 Жыл бұрын
Mwenye kutumia akili kikweli anajua km uislamu ndio dini ya haki. Allah awabarik masheikh wetu.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 3 ай бұрын
Aamina
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын
Masha Allah. Allah awazidishie mashekh wang
@zah1d124
@zah1d124 Жыл бұрын
Uyo mzee ana kichwa kiguu na haeleweki hajui ata uwo ukristo. Allah awasimamie walingania Dini mashekh wetu allah humma Amiin 🙏🏽
@geofreyg.mtensa4559
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
Hapana usijibu kwa mihemko, uyo mzee ana akili vizuri hataki kubabaishwa na maelezo ya mdomoni,
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
​@@geofreyg.mtensa4559 So ametoa andiko ukristo ni dini?
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Aamin thuma Aamin 🤲
@geofreyg.mtensa4559
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 mada itakuwa ndefu, coz itabidi tuanzie na nn maana ya neno dinni na ni lugha gani, afafu tujevkwa swahili ...then tuingie ktk maandiko, ....
@Nur-al-islamchannel
@Nur-al-islamchannel Жыл бұрын
​@@geofreyg.mtensa4559anayesumbua watu na maneno ya mdomoni ni yeye
@farajiawadhi8558
@farajiawadhi8558 Жыл бұрын
Dah shekh una uvumilivu kuwasikiliza haaa! Mm nisngeweza maashallah
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 3 ай бұрын
MimiNingewapigaMakofiKamahawatakiKuelewa🤣
@JoyNims-w7q
@JoyNims-w7q Жыл бұрын
Ramadhan aanze madarasa online insha'allah ndio tukislim online tupate masomo pia.
@zakiaanwar677
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
MaashaAllah shekhe wetu hivi ndivyo wakristo mapasta wanavyopotosha wafuasi wao kwa kupendua maandiko
@mubariekabrahams2650
@mubariekabrahams2650 8 ай бұрын
Shukran sheikh Ramadhani tunataka part 4 and 5 na pastor huyu 😂😂
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Haha haha huyu mzee ame kunywa ama vip anakusumbuw zaidi pole kwakazi ngumu
@maymgaya4192
@maymgaya4192 9 ай бұрын
Allah aķutunze Shekh Ramadan ❤
@salmanassor8732
@salmanassor8732 Жыл бұрын
Shehe ramadhani hongera kwa kazi nzuri ila hii dawaa mtaani ukikutana na hawa wachungaji bora uwachane nao maana hupoteza mda na huwa hawakubali kushidwa
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Жыл бұрын
Masha Allah Ustaz.Kazi ngumu muliyonayo ya kukabili wapotoshaji pastors
@Jingajinga64
@Jingajinga64 Жыл бұрын
Huyo mzee anakwepa maswali akibanwa😅 lnaeleweka...
@jamalathman6219
@jamalathman6219 Жыл бұрын
Shukran sheikh ramadhan kwa mafundisho mazuri kabisa wataelewa tu
@weldonkuru2169
@weldonkuru2169 Жыл бұрын
We need more conversation with this pastor
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
You cannot have a conversation with a LYING Pastor! He has been asked 6 TIMES, towa anidiko "UKRISTO ni Dini"! Ame TOWA? Instead, ame sema UWONGOOOOO na POROJOOOO Nyingi ya SHAKAHOLA! Mzee Kafiri kweli!
@andallaathman3856
@andallaathman3856 Жыл бұрын
​@@Sai.Mo69 .mm naona huyu azidi kupoteza watu sheikh ampa nafasi nyingi kudanga wakiristo waxidi kupotea
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
@@andallaathman3856 Ustad wetu ni Mtu mpole sana. Ndio una ona huyo Pasta Mnafik, ana take advantage ya Upole! Huyu Pastor ni a very experienced Conman! Ame somea UDANGANYAJI!
@andallaathman3856
@andallaathman3856 Жыл бұрын
@@Sai.Mo69 huyu amtaka sheikh Salim ama apatane na Yusuf ama ex pastor Ibrahim
@yussufnjoroge5215
@yussufnjoroge5215 Жыл бұрын
May Allah protect you give you good health as you continue with this noble job.
@jacksonkilonzo1439
@jacksonkilonzo1439 Жыл бұрын
which protection now wakati anapotosha watu nakuna neno DINI MOJA kwa hio haya neno lililotumika ni UMMMA acheni uwongo
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Жыл бұрын
​@@jacksonkilonzo1439 Wewe mwenye hupotoshi watu mbona utoi maandiko yako kazi yako ni kulalamika bila kujielewa
@Nur-al-islamchannel
@Nur-al-islamchannel Жыл бұрын
​@@jacksonkilonzo1439wanaume si mdomo
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Shekh wetuu ramadhan kuria bin kaguoo,,tunasbr part three,,,mana tunakuelewaa vzr snaa
@twaine40
@twaine40 Жыл бұрын
Walimu Muna kazi kweli kweli kuamsha vichwa vilivyokufa sub'haana Allah, Mwenyeezi Mungu awape subra na awazidishie ilmu
@user-nb2tb9zk5i
@user-nb2tb9zk5i Жыл бұрын
😂😅 ukweli kbs 😅😅😅
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Ameen
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
@SalehM200
@SalehM200 Жыл бұрын
This pastor Barak is a very comedian, but maashaAllah he knows bible and little Islam
@mohamedmithowe3923
@mohamedmithowe3923 Жыл бұрын
Mashallah barakaallah may almighty bless you
@marvelousofzanzibar9556
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
Watching this from green and spice island Zanzibar, huyu mzee ana sauti mzuri ila hata kuongea kwa utaratibu
@Creatives254
@Creatives254 Жыл бұрын
Part 3 nangoja so far uismu nangoja tafsiri zaidi from pastor hapa ndio daawa unahepa😂😂
@nasramusaro
@nasramusaro Жыл бұрын
Hahahahaaa 😆😄😄😄😄 hii comedy kiboko
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Sheikh Ramadhani Uyu Pasta Analeta Ujanja Ujanja Kuaribu mandiko na watu Niwengi kilamoja Akona Hojayake but Sheikh Ramdhani Allahy Akupatie ngvu mana twafaidika Sn
@ibruzah001
@ibruzah001 3 ай бұрын
wuueeeh...😂😂😂 Mzee anaongea kama kasuku
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 5 ай бұрын
Huyo Pastor alivuruga ili kuficha ukweli. (Achana naye huyo) Anatetea sadaka
@MohammedMohammed-gp9xq
@MohammedMohammed-gp9xq 4 ай бұрын
ALLAH BARIIK
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
MashaAllah,Allah akupe subra
@user-gw8we8bb2o
@user-gw8we8bb2o 11 ай бұрын
Allah atawaezesha
@weldonkuru2169
@weldonkuru2169 Жыл бұрын
Huyo pastor ako juu
@twaine40
@twaine40 Жыл бұрын
Mwalimu huyu mzee ndio wale wakupoteza mda ili wengine wasiulize maswali watu kama hawa wapotezeeni
@andallaathman3856
@andallaathman3856 Жыл бұрын
Mm binafsi sheikh Ramadhan hapa amechemsha kabisa jumuachia pastor aubiri urongo na harekebishi sasa wao waona Yuko sawa
@twaine40
@twaine40 Жыл бұрын
@@andallaathman3856 kweli yaani mtu yuakupotezea mda huo wote Kuusikiliza upuuzi maskioni mwako nakupoteza wengine. Hawa hua washaajipanga kuja kuharibu muhadhara coz mwawahiribia biashara zao
@adanabdi5249
@adanabdi5249 Жыл бұрын
Hapo sawa.
@Adm9464
@Adm9464 Жыл бұрын
This is how pastors are messing up their worshippers. Nothing from the scriptures. Just talk
@saudahassan3804
@saudahassan3804 Жыл бұрын
Subhanallah Huyu Mzeeanamatatizo mengi
@ambarnelly6071
@ambarnelly6071 Жыл бұрын
😂😂😂wee weee mumee, si mume mtume😅😅😅
@elizamukiti9855
@elizamukiti9855 Ай бұрын
Lakini huyu mzee bana😂😂😂😂😂
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Жыл бұрын
Watching from Boston USA
@jamada-by3rq
@jamada-by3rq 18 күн бұрын
Asalaam Alaikum Juma ❤
@wajermajiibceeb
@wajermajiibceeb Жыл бұрын
Huyu mchungaji Anafaa kuwa katika viojo mahakamani au achukuwe Nafasi ya mzee ojwang
@Zeitun-m2j
@Zeitun-m2j Жыл бұрын
Huyu mzee Ako na kelele😅 kwni amemeza memory card
@PascalMwita-bv8kr
@PascalMwita-bv8kr 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu pastor huku tanzania angekua kabila gani maake ni mbishi afu ajui
@aminayunis7545
@aminayunis7545 7 ай бұрын
Huyu mzee hana akili😂😂
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
Shekh wng una subra sn,mm muda huu nimesha mpa makof 😂😂😂😂
@nasserjabri7449
@nasserjabri7449 Жыл бұрын
Anaona jua lakini ansema sio jua ni mwezi
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Ramadhani una moyo, kama ni mm siwezi kuzungumza na huyo pasta.
@ibrahimetale9999
@ibrahimetale9999 Жыл бұрын
HUYU Pastor hehe, friendly debate. inafaa kama hawa sio Ndacha hehe
@abdulkadirsayyid0198
@abdulkadirsayyid0198 3 ай бұрын
❤️❤️❤️
@user-nb2tb9zk5i
@user-nb2tb9zk5i Жыл бұрын
Mashalla mashalla ♥️🙏🙏
@alilim1958
@alilim1958 5 ай бұрын
Pastor anajuwa ukweli lkini ameshikililia kamba😂
@nasramusaro
@nasramusaro Жыл бұрын
Yaani nimecheka peke yangu kwa sauti kubwa
@hassadube225
@hassadube225 Жыл бұрын
Alhamdulilah
@fattahshabani6262
@fattahshabani6262 Жыл бұрын
Mashallah
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
That pastor is kisunzi 😅😅😅
@latifaradjabu3949
@latifaradjabu3949 Жыл бұрын
😂😂paster ubalikiwe sana
@umazimwambezi8092
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
😂😂😂aki imebamba sherk ukona shughuli pevu hongera xna
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Shehe Ramadhan leo umepatikana na Pasta mkorofi,Maana anaongea nyumba mbele mbele nyuma.Ila anayajua maandiko sema anayatafsir atakavyo.
@MohammedMohammed-gp9xq
@MohammedMohammed-gp9xq 4 ай бұрын
Huyu pastor anaongea Sana hana elimu
@zeharaz4116
@zeharaz4116 Жыл бұрын
Akili yake imefanya kutu huyu mzee hafamiki porojo jingi naona kama kaonjo kidogo
@benin9773
@benin9773 Жыл бұрын
Tunangoja kwa hamu part 3
@maryamjuma1980
@maryamjuma1980 Жыл бұрын
Uyo pastor ata haeleweki sijui huko kanisani anafundisha nini. Allah awaongoze tu 😢
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
USHAKA HOLA tupuu from this lying mZee! Very experienced LIAR!
@Creatives254
@Creatives254 Жыл бұрын
After all kuna kitu nimenotice ustadh hapa muislamu na Jehova witness same whataap group😂😂😂hampendangi ufafanuzi mnaforce points especially ikiwa open...nyote mpo Sawa ila muislamu lazma aforce issue just like Jehova witness
@lailahumaid2011
@lailahumaid2011 Жыл бұрын
Huyo mzee anaumiza kichwa
@alilim1958
@alilim1958 5 ай бұрын
Mm nina swali kwa mchungaji ambalo ninajiiuliza.Kwa hivyo mkusanyiko wa watu kwa ajili ya mwenyezi mungu ndio kanisa na wala sio ile sinagog aliyeingia nabi issa.inafafanuliwa kwamba sinagog sio kanisa ila kanisa ni mkusanyiko wa watu kwa kuskiza maneno ya mungu, alfu iweje wamsingizie nabii issa a.s kuwa aliingia kanisani ila alingia sinagog.hilo ni thibitisho tosha kuwa hawafuati hata huyo wanomwita yesu kwa kuuingia sinagog
@MOHDNASSOR-zv5cx
@MOHDNASSOR-zv5cx Жыл бұрын
HEKO SANA MWALIMU RAMADHAN
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Mnatishia watu wasio elimu ,ndacha mbonahuwa anawashugulikia mnaenda mitaani kulubuni watu
@isaa_ogutu
@isaa_ogutu 7 ай бұрын
Huyu mzee ache porojo mingi...kama mwana mke si binadamu mbona wakifa na kuzikwa wanaoza kama hao wenye wanajiita binadamu?
@andallaathman3856
@andallaathman3856 Жыл бұрын
Mbona wampa nafasi kubwa kudanganya wafuasi na ww unanyamazia hivyo kisha na ndio Isha potea ati hapo misikiti hakuna kitu hicho
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Ramadhan hao wengine comedians achana nao. Wanatupotezea MB zetu bure
@JoyNims-w7q
@JoyNims-w7q Жыл бұрын
🥺 ati ss sio nini????Nani atanifunza uislam juu mm huwa nakasirika nikiona nikipotoshwa ivi???
@ibrahimetale9999
@ibrahimetale9999 7 ай бұрын
huyu mzee,ananichekesha, ako honest but mjanja
@smadon5638
@smadon5638 5 ай бұрын
Huyu pasta ni chizi😂
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Ai, huyu Pastor mzee ni a very experienced KAFIR, ambaye anjua kupoteza Watu kwa ku twist Maandiko! Huyu mzee ni Mu Sabato, na ni very dangerous kwa sababu ana weza ku anzisha CULT kama ya SHAKAHOLA! USTAD, kuwa very serious na huyu MZEE, na mu ambiye WAZI ya kwamba ana sema UWONGO mwingi! Na mbona huyu Mzee haku ambiwa ya kwamba YESU SIO mtume wa WaFrika!
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Жыл бұрын
Asalam alalekum hapaukonakazikubwa,sana
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Sheikh Ramadan kazi unayo hapo kwa pastor 😂😂😂
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Leo umepatikana hustadhi Ramadhani at dini inaitwa issayaaa 😂😂😂😂
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 ай бұрын
Et Isasilim😂😂
@benin9773
@benin9773 Жыл бұрын
He is a good actor 😂 Sh.Ramadhaan umepatana na wakristo wa maajabu siku hizi
@sheemaryam
@sheemaryam Жыл бұрын
Sauti hamna
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 Жыл бұрын
Sheikh anawasumbua watu ambao hawajui kabisa UISLAMU..na wanaojua kidogo sana UKRISTO.... EBU SIKU FANYA ONLINE DEBATE NDIO UTATUPATA TUNOJUA.. NA SIO KUWARUBUNI hao wasio na elimu
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 ай бұрын
Hayupo kurubuni watu yupo kufundisha watu na ndo maana huwa hamuelewi nyinyi coz mmekalia kubishana na sio kujifunza.
@Yesunimwokozi1
@Yesunimwokozi1 10 ай бұрын
@@dulividuli5237 nyie mlikoririshwa madrasa kwa mboko
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi Жыл бұрын
Watalewa tu wakiristo
@ibrahimetale9999
@ibrahimetale9999 7 ай бұрын
HEHEHE,HII KITALE SHOW ILIWEZA. I HOPE ULICHUKUA NUMBER YA HUYU MZEE. HEHEHE
@jumamsembe1213
@jumamsembe1213 Жыл бұрын
Huyu mzee ndio anawachanganya hawa wenzke😂
@umazimwambezi8092
@umazimwambezi8092 Жыл бұрын
Huyu mzee nipasta ama ni mlevi
@fatumaali7470
@fatumaali7470 Жыл бұрын
M.a 😂😂
@jacksonkilonzo1439
@jacksonkilonzo1439 Жыл бұрын
Uwongo mtupu akuna kitu kama WATU WOTE walikua dini moja neno ambalo limetumika ni UMMMA na umma sio dini kabisa muliongeza . Toeni haya kwa vitabu vingine vya manabii vidhibitishe hayio kunyeshe mvua ya makunguru
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 ай бұрын
Unaitwa Umma wa kiislamu
@nasramusaro
@nasramusaro Жыл бұрын
Mzee mgonjwa Allah ampe afya ya akili
@jamesloocimakyambe4562
@jamesloocimakyambe4562 Жыл бұрын
Tatizo la wa Islam tunafanyaka ubishi iweni munahacha mtu aheleze apana maswali ya mkato sisi sote wasomi
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
Huyu mzee ni waste of time. Heri angewacha watu waulize maswali waelimike.
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Жыл бұрын
Mzee kalewaaa?
@Sai.Mo69
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Ni Mu ShakaHola! Wa ONGO wa SDA!
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Жыл бұрын
Kweli kaonja mvinyo
@Adm9464
@Adm9464 Жыл бұрын
This is how Christianity condemns and demeans women. Ati you are nothing.
@rashidwalwanda1991
@rashidwalwanda1991 Жыл бұрын
Mashaallah
KITANZI !!! 🫣WACHUNGAJI WAKUBALI KUWA NABII ISA (YESU) NI KIUMBE CHA ALLAH.
1:02:20
WAKRISTO WASILIMU KISUMU BAADA YA KUONA HAKI YA UISLAMU.
1:40:44
Straight Path Dawah
Рет қаралды 12 М.
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 33 МЛН
WAKRISTO WAZIDI KUSILIMU BAADA YA KUGUNDUA UKWELI
1:01:22
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
BIBLIA YAFUNDISHA MSIKITI NI NYUMBA YA MWENYEZI MUNGU
1:17:09
Straight Path Dawah
Рет қаралды 14 М.
YESU KRISTO NI MUISLAMU
57:14
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
WAKRISTO WAMEANZA KUELEWA KUWA UISLAMU NI DINI YA HAKI
31:29
Straight Path Dawah
Рет қаралды 18 М.
WAKRISTO WAKIRI KUWA YESU (AS) HAKUWA MKRISTO BALI MUISLAMU
51:48
Straight Path Dawah
Рет қаралды 36 М.
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 15 М.
WAKRISTO WAUPOKEA UISLAMU KWA ROHO SAFI HUKO CHEPNYOGAA
1:21:18
Straight Path Dawah
Рет қаралды 23 М.
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН