@StraightPathDawah #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..
Пікірлер: 103
@chiefmkalikibz1503Ай бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@morallyify17 күн бұрын
Subhanallah
@MohamedMejaАй бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk29 күн бұрын
Amiin
@Jingajinga64Ай бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@twaine40Ай бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@morallyify17 күн бұрын
😊
@aishaali958313 күн бұрын
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@user-fr6rv2yb4sАй бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah29 күн бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu140320 күн бұрын
Qql0) mm@@StraightPathDawah
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Mashaallah Allha 💖
@user-ie7yt9db6f12 күн бұрын
Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri
@josemu870Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@ashrafnuru640219 күн бұрын
Yaaan Bibilia n mtihani
@MohammediSemndiliАй бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawahАй бұрын
insha'Allah
@azizashiundu5778Ай бұрын
Mashallah
@user-ng1po1dh4z29 күн бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify17 күн бұрын
Haoni haya nawe
@adanabdi5249Ай бұрын
Sawa
@prettyaysha7892Ай бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@dominicwafula399727 күн бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@seifissa9705Ай бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@hythamhashiem445828 күн бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@Mimein-vn7or29 күн бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@user-fc6uf6be5u27 күн бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@Adm9464Ай бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@peterthuo140424 күн бұрын
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@mohamedmaina227929 күн бұрын
Shukuran
@user-rk1cp5qs9d26 күн бұрын
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@hythamhashiem4458Ай бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt28 күн бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samxx411Ай бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain4114Ай бұрын
Kweli 😂😂
@MullasKhamis21 күн бұрын
Dalodi
@muddathirkassim2407Ай бұрын
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@shabamuhidin63428 күн бұрын
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt28 күн бұрын
SubhanaAllah.
@OzihamzaАй бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin20 күн бұрын
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu390520 күн бұрын
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli523720 күн бұрын
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu390520 күн бұрын
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@Inagole423326 күн бұрын
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo450422 күн бұрын
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@namasakajuniorke388629 күн бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@ramadhanchenga460627 күн бұрын
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@wakeshojanaАй бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambeАй бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawahАй бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha5484Ай бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx411Ай бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura2175Ай бұрын
@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@benwambua90226 күн бұрын
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans