WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

  Рет қаралды 22,371

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

Пікірлер: 111
@EvangelistGichure
@EvangelistGichure 5 күн бұрын
Ramadhan... Mwenyezi Mungu akujalie neema; uifahamu Biblia ili uitafsiri kwa nia ya watu wamjue Mungu. Sio wawe waislamu.
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 7 ай бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@MohamedMeja
@MohamedMeja 7 ай бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 7 ай бұрын
Amiin
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk Ай бұрын
Aamiin Yaa Rabb Al a'alamiin
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali Ай бұрын
Jibu ni "7:55 Matendo ya Mitume" (Yesu akiwa hata huko mbiguni, anatambulika kabsaa ni Mwana wa Adamu)
@josemu870
@josemu870 7 ай бұрын
Barikiweni sana sana
@Ihsankeizer
@Ihsankeizer 7 ай бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 7 ай бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu1403
@nassrasalemu1403 6 ай бұрын
Qql0) mm​@@StraightPathDawah
@AssdfAssd-g3y
@AssdfAssd-g3y 6 ай бұрын
Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri
@aishaali9583
@aishaali9583 6 ай бұрын
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@twaine40
@twaine40 7 ай бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@skauly2547
@skauly2547 Ай бұрын
Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh. Sheikh Ramadhan . Jaribu kujadilia na mmoja mmoja ndio ujumbe ufike vizuri kwa sababu wengine waweka mikutano mingi
@HisMajesty64
@HisMajesty64 7 ай бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 7 ай бұрын
Mashaallah Allha 💖
@MohammediSemndili
@MohammediSemndili 7 ай бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 7 ай бұрын
insha'Allah
@morallyify
@morallyify 6 ай бұрын
Subhanallah
@dominicwafula3997
@dominicwafula3997 7 ай бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@adanabdi5249
@adanabdi5249 7 ай бұрын
Sawa
@Mimein-vn7or
@Mimein-vn7or 7 ай бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@seifissa9705
@seifissa9705 7 ай бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 6 ай бұрын
Yaaan Bibilia n mtihani
@azizashiundu5778
@azizashiundu5778 7 ай бұрын
Mashallah
@mohamedmaina2279
@mohamedmaina2279 7 ай бұрын
Shukuran
@morallyify
@morallyify 6 ай бұрын
😊
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 7 ай бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 7 ай бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify
@morallyify 6 ай бұрын
Haoni haya nawe
@HaliaKheri
@HaliaKheri 7 ай бұрын
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 7 ай бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 7 ай бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@peterthuo1404
@peterthuo1404 7 ай бұрын
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@abufirdaus4254
@abufirdaus4254 2 ай бұрын
Hadhahhahaah
@MwanaidyMwambez
@MwanaidyMwambez 7 ай бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 7 ай бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@zizuphbaya7725
@zizuphbaya7725 4 ай бұрын
Haya ni mambo ya wakoloni.
@Adm9464
@Adm9464 7 ай бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@MullasKhamis
@MullasKhamis 6 ай бұрын
Dalodi
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 7 ай бұрын
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 6 ай бұрын
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 6 ай бұрын
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 6 ай бұрын
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 6 ай бұрын
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@samxx411
@samxx411 7 ай бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain4114
@zainabhussain4114 7 ай бұрын
Kweli 😂😂
@Ozihamza
@Ozihamza 7 ай бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 7 ай бұрын
Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah
@thomasnizigiyimana5122
@thomasnizigiyimana5122 6 ай бұрын
Yeye njo njiya yakweli na uzima
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 7 ай бұрын
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 7 ай бұрын
SubhanaAllah.
@muddathirkassim2407
@muddathirkassim2407 7 ай бұрын
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@wakeshojana
@wakeshojana 7 ай бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe
@abdulJambe 7 ай бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 7 ай бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@sofymoha
@sofymoha 7 ай бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx411
@samxx411 7 ай бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 7 ай бұрын
​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@Inagole4233
@Inagole4233 7 ай бұрын
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo4504
@akonkwojryorondo4504 6 ай бұрын
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@BARUAYAKRISTO
@BARUAYAKRISTO 7 ай бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 7 ай бұрын
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@badmanno.1650
@badmanno.1650 6 ай бұрын
Story nyingi 😅😅 maandiko sifuri
@benwambua902
@benwambua902 7 ай бұрын
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans
STREET DAAWA - NI SWALA GANI ZA FARADHI MSAFIRI HARUHUSIWI KUZIPUNGUZA
6:33
DAWAH YAGUZA MLIMA || DAWAH AT THE GOD'S POWER MOUNTAIN
51:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 2,6 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
HATUWAFUNZI VYEMA NDIO MAANA UCHAFU HUU UNAENDELEA
9:22
NJERAINI CIITU INOORO TV
9:00
SIMON KIBE INOORO TV /FM
Рет қаралды 334
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54
Said Salim Matango
Рет қаралды 1,6 МЛН