WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

  Рет қаралды 12,638

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Ай бұрын

‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

Пікірлер: 103
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 Ай бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@morallyify
@morallyify 17 күн бұрын
Subhanallah
@MohamedMeja
@MohamedMeja Ай бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 29 күн бұрын
Amiin
@Jingajinga64
@Jingajinga64 Ай бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@twaine40
@twaine40 Ай бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@morallyify
@morallyify 17 күн бұрын
😊
@aishaali9583
@aishaali9583 13 күн бұрын
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s Ай бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 29 күн бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu1403
@nassrasalemu1403 20 күн бұрын
Qql0) mm​@@StraightPathDawah
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Ай бұрын
Mashaallah Allha 💖
@user-ie7yt9db6f
@user-ie7yt9db6f 12 күн бұрын
Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri
@josemu870
@josemu870 Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 19 күн бұрын
Yaaan Bibilia n mtihani
@MohammediSemndili
@MohammediSemndili Ай бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Ай бұрын
insha'Allah
@azizashiundu5778
@azizashiundu5778 Ай бұрын
Mashallah
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 29 күн бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify
@morallyify 17 күн бұрын
Haoni haya nawe
@adanabdi5249
@adanabdi5249 Ай бұрын
Sawa
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 Ай бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@dominicwafula3997
@dominicwafula3997 27 күн бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@seifissa9705
@seifissa9705 Ай бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 28 күн бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@Mimein-vn7or
@Mimein-vn7or 29 күн бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@user-fc6uf6be5u
@user-fc6uf6be5u 27 күн бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@Adm9464
@Adm9464 Ай бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@peterthuo1404
@peterthuo1404 24 күн бұрын
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@mohamedmaina2279
@mohamedmaina2279 29 күн бұрын
Shukuran
@user-rk1cp5qs9d
@user-rk1cp5qs9d 26 күн бұрын
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 Ай бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 28 күн бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samxx411
@samxx411 Ай бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain4114
@zainabhussain4114 Ай бұрын
Kweli 😂😂
@MullasKhamis
@MullasKhamis 21 күн бұрын
Dalodi
@muddathirkassim2407
@muddathirkassim2407 Ай бұрын
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 28 күн бұрын
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 28 күн бұрын
SubhanaAllah.
@Ozihamza
@Ozihamza Ай бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 28 күн бұрын
Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 24 күн бұрын
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 20 күн бұрын
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 20 күн бұрын
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 20 күн бұрын
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 20 күн бұрын
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@Inagole4233
@Inagole4233 26 күн бұрын
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo4504
@akonkwojryorondo4504 22 күн бұрын
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@namasakajuniorke3886
@namasakajuniorke3886 29 күн бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 27 күн бұрын
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@wakeshojana
@wakeshojana Ай бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe
@abdulJambe Ай бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Ай бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha5484
@softymoha5484 Ай бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx411
@samxx411 Ай бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 Ай бұрын
​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@benwambua902
@benwambua902 26 күн бұрын
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
Straight Path Dawah
Рет қаралды 18 М.
WATOKWA NA JASHO WAKITAFUTA UKRISTO KWENYE BIBLIA😭😭
47:47
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 45 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
ALIYESILIMU AAMUA KUTOBOA SIRI😀
58:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 16 М.
WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN
52:37
WAKRISTO WENGI WAMEANZA KUIONA HAKI NA KUANZA SAFARI YA KUUAGA UKRISTO
1:01:06
WACHUNGAJI WAPITIA WAKATI MGUMU
1:02:24
Straight Path Dawah
Рет қаралды 19 М.
ASKOFU STEPHEN GICHUHI AREJEA NA MAPYA
1:06:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 10 М.
je, wakristo wataenda peponi? 7 July 2024
1:17:57
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 2 М.
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 45 МЛН