Mashallah Allah awalipe kila la kher Mulipotoka hadi kufika Mulipo fika kwa ajili ya Mtume namaswahaba wake
@mmlove91273 жыл бұрын
Inshallah Allah anipe uwezo na moyo pamoja na uhai na mm nika fanye Hajj
@mudysetraveller45653 жыл бұрын
Masha Allah mungu atujalie nasi pia tupate uwezo tuwe wageni wa mola wetu insha Allah na tmtolee kipenzi chake nabbiyyu llah salaam na maswahaba wote insha Allah
@ommarysaid73913 жыл бұрын
Masha Allah Namuomba Mungu Cku Moja ktk Uhai Wangu na Mm Niende kuhijj na kuzuru kaburi la mtume na Maswahaba Zake Insha Allah
@maryumamapunda19893 жыл бұрын
Inshaallah mungu yumwema ipo siku utaenda
@ramadhansemvua99943 жыл бұрын
Utaenda in shaa Allah. Kikubwa NIA
@binthkhamisi10973 жыл бұрын
Ameen in shaAllah
@danielarapmoi30413 жыл бұрын
Amiin
@tztanzania22623 жыл бұрын
Utaenda in shaa Allah na sisi pia
@ibrahimshabani81683 жыл бұрын
Inshalah mashekhe wetu kutuonyesha msikiti wa mtume wetu MUHAMMAD (s.w
@halimahalima57063 жыл бұрын
Mashallah Allah atujalie mwisho mwema hakika marejeo yote ni kwa allah 💖🙏❤
@ramamchina47303 жыл бұрын
Masha allah nime muona moto mkary ewe allah nijalie mimi niwe mi ongon ambao nita kae enda kuijii isha allah
@halimahalima57063 жыл бұрын
@@ramamchina4730 inshallah my dear brother allah atafanya wepesi
@mickidadyhamis78463 жыл бұрын
Mashaallah mungu akitujaalia tuwe wenye quzuru huko hijja
@momescanequinho24253 жыл бұрын
Mashallah!! Allah tudjaliye ns sisi tuende tikanzuro Mtume Muhammad S. A.W.🙏🙏
@aymankhadija6193 жыл бұрын
LAILAHAILALLAH MUHAMMADA RASULULLAH😐EE YARABBI tujaalie mwisho mwema. Aamin
@janetheggfrid21563 жыл бұрын
Ii
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Maashalla m/mungu awajalie kwakutuonesha hayayote
@ramlanassoro538 Жыл бұрын
Mashallah allah atujaalie tuwe miongon mwa watako enda ishallah🤲
@samsungoman56263 жыл бұрын
Maashallah mungu awabarik
@williammsendo4993 жыл бұрын
Mashaaa Allah. Allah anajilie niwe miongoni watakao kwenda lnshaa Allah
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Maashaa Allah!!
@fatmamansour27643 жыл бұрын
Yarab na mimi kwa uwezo wako nijaalie iman na uwezo niende Makka nikazuru kaburi la Mtume wetu na niitimize ibada zote inshaallah
@jumammwindi80433 жыл бұрын
Mashaallah
@abuumo96373 жыл бұрын
amiin
@wahidasaid3643 жыл бұрын
Amiin Kwa sote
@oman77103 жыл бұрын
Allahumma amiiin Yarabb
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Kanga imetutambulisha mahujaji wetu. Kanga vazi la taifa kwa akina mama. Hongereni mahujaji.
@aboushuaib20823 жыл бұрын
Allah na sisi atupe uwezo wa kufika makkah kwa ajili ya hijjah.
@AminaMuhammad-c7v6 ай бұрын
Ameena
@rehemarachide40853 жыл бұрын
MASHALLAH
@husseinmaula59143 жыл бұрын
Inalilahi waina ilayhi rajiun hii inaonyesha ni jinsi gani dada zetu wa kiislamu hawajitoi katika Mambo ya kheri wanasubiri mpaka umri usogee wakati uhai ni zamana ya allha subhanahu wataala asilimia 80 ya wanawake niliowaona hapa ni miaka 40 kwenda juu allha awalipe kila la kheri inshaalha.
@AliMohamed-es5je3 жыл бұрын
Inaoneka wanawake WA umri miaka 40 na kuendelea ndio walio na uwezo WA kifedha WA kuenda makka na madina
@jumaabakari23443 жыл бұрын
In Sha Allah Mola atufanyie wepesi na sisi tuje huko
@mwasemarashid84193 жыл бұрын
MashaAllah..
@neyinssa50253 жыл бұрын
Insha-Allah
@babuzube20352 жыл бұрын
Asantene Sana kuiyona hisehemu
@wamalaibrah44643 жыл бұрын
Mashallah
@amyalyjuma77253 жыл бұрын
Mashaallah
@abdallasharif21713 жыл бұрын
masha allah
@zulficarbacarsuale6877 Жыл бұрын
Jazzakumllah Khery
@muddiballo34213 жыл бұрын
Mashaalah one day Inshallah
@musakibwana45963 жыл бұрын
Hawa ndio vigogo waliotusimamishia dini na kuitia nuru. Allah awarehemu nasi aturehemu
@mavoejuma71053 жыл бұрын
Amiin
@ramadhanirwambo79273 жыл бұрын
Amiin
@aminamkumba35493 жыл бұрын
Mashaa Allah,
@allyvuai12073 жыл бұрын
Yaarabi nijaliye kila la kher ktk maisha yng na mm unipe uwezo nienda kuzuru kaburi la mtume ya raabii nijalie mwisho mwema katk maish yng
@sadialiy44103 жыл бұрын
Allah atujaalie tuwe miongoni mwawenye kuja kukutana nao inshaallah
Maashaallah makaburi ya maswahaba wa mtume s w a hayakujengwa sisi huku tunajengea na kunzungushia matofali na rangi sijui tumetoa wapi,wakati sunna makaburi hayafai kujengewa
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
Mbona la Mtume limejengewa na limo mle makitini pamoja na swahaba wa 2 , Omar, na othmaan
@mkude3 жыл бұрын
@@ramadhantahila9131 wewe huelewi lamtume halikujengewa baada ya kutanuliwa msikiti ikabidi na yenyewe yawepo wakaona kuyahamisha kwa utjkufu wake haifai
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
@@mkude wamehamishia wapi
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
Mimi nimeona yalipo maandishi yakijani pale ndo nikajuwa kwa mujibu alivosema ndipo yalipo makaburi ya Mtume saw na maswahaba
@mkude3 жыл бұрын
@@ramadhantahila9131 makaburi kujengewa haifai hurlewi,lamtume kwasababu msikiti ulitanuliwa kwahiyo yakawa kwandani na ule ni uzio wa ukuta makaburi yapo ndani,wamezungushia ukuta kwasababu watu wengi walikuwa aanafanya ushirikina na kuomba pale wanachukua sijui michanga
@AhmadSalim-dm4uk6 ай бұрын
Sasa camera man badala utuonyeshe sehemu anazo elekeza tuone eti ww watuonyeshe mzungumzaj ebu kua serious kdgo
@libetztanzania-kiswahilina284511 ай бұрын
لَبِنِ
@sharonyclement94572 жыл бұрын
Pamoja nayote msisahau hakuna dini itakayo mpereka mtu mbinguni uwe mwesiramu au mkrito
@bonifaceomallya92013 жыл бұрын
Muddy akuwa nabii walaa mtume alikuwa muasherat tuuu na kitombii alikuwa anawagonga hadi watumwa alio kuwa anawateka
@halimahalima57063 жыл бұрын
Allah akulaan kwa maneno ambayo huna yakini nayo tena akudhalilishe kwenye huo mdomo wako na aidhalilishe mikono yako ambayo imeweza kuandika maneno ya kisheitwani
@abdimsagati96673 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusamehe hulijui unalotenda
@alexandrestigert8043 жыл бұрын
Ushike hadabu yako wewe mshenzi heshimu immani za watu wengine
@halimahalima57063 жыл бұрын
@@alexandrestigert804 ndio hivyo kama ulijuwa kuwa kuna kuheshimu imani za watu wengine mbona umeongea maneno machafu tunamuomba allah akulaan kila iitwapo leo mpk mwisho wa uhai wako ukamueleze vizuri kama uliwahi kumuona mtume wetu Muhammad (s.w.)aliwahi kuwa muhasherati laanatullah ikushukie kenge wewe
@faridhassan68343 жыл бұрын
Mr mallya unaweza ukajisifu huwezi patikana kirahisi hio ni kwny medali ya siasa sio dini,dini ni suala nyeti sana, watu wanajichanga kukusaka,itatumika hata billion ili upatikane na ukipatika waislam unawajua ni mbatizo wa gesi moto mara moja tu,kuheshimu dini ya wengine haina gharama ila ilivotusi gharama yake kwako itakuwa haina thamani km kulikl uhai wako,wewe umekwisha baada ya kuchagua hio njia tu.
@ramamchina47303 жыл бұрын
Hii cehem ina nipa uchungu bila kufika maka daaah
@OthamanOthaman-tj2bv6 ай бұрын
Ivi kwnn zamani mtu akienda maka hukai sku nyingi unakufa wiki haifiki au unapata wiki moja tu unakufa saa iz unakaa hata miaka 30 au zaidi hufi kwanini hasa Imani haipo Watu tunaenda kwa matembezi Watu tunaenda kwa kutalii tu au vp Ee mola wetu tunajuwa upo na utaendelea kuepo kila sku tunacho omba ni kutusamehe zambi zetu waja wako hatuja kamilika ww ndy ulie kamilika t
@babafranco33663 жыл бұрын
Kweli motoni mtaenda weng yan hapo sura zenu zote zina majini, mnasalimiwa na meshack,mnyeshani shekhe amir
@ashaally58833 жыл бұрын
We huendi Motoni?
@babafranco33663 жыл бұрын
@@ashaally5883 me siend maana kwetu majin yote mabaya na wala ayawezi kusali
@bonifaceomallya92013 жыл бұрын
@@babafranco3366 Wameenda kumuangalia kitombi na mbakaji wao alie mbaka mtoto wa miaka 6 mamaeeee zakee muddy moto lazima auonje kwa sababu kapotosha wengi sanaaa
@jumakapilima56743 жыл бұрын
@@bonifaceomallya9201 kafiri wewe!!
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Kafiri wewe!!
@thulythatmustf35353 жыл бұрын
Ya mwaka gani hii ziara
@azizawadh59733 жыл бұрын
Hawa kina mama mbona sura wameziachia sana
@abdiathumani9193 жыл бұрын
Niwatu wazima sheria inawaruhusu
@simbabbq44273 жыл бұрын
Mtume hajazkkwahapo niwakezake
@jumaibrahim27583 жыл бұрын
Mtukufu wa daraja
@أبوفيصل-د3ش3 жыл бұрын
Masufi waongo kuhusu kabur la mtume
@azizawadh59733 жыл бұрын
Sauti mmefeli
@saidsalim25613 жыл бұрын
Volume
@adamtsunzumlyae73693 жыл бұрын
Maaashaallaah tabarakalllah
@daslamonline46653 жыл бұрын
Mchukuwa video hayuko shap Sauti na nk
@shabanihababuu73323 жыл бұрын
sauti nindogo sana mna2sumbua wengine 2naotaka kujua
@saidiramadhani83033 жыл бұрын
Mashaallah
@hanafimtenjela60083 жыл бұрын
Maisha Allah
@zaharajohn50013 жыл бұрын
MASHALLAH ALLAH awajarie kila la kheri sasa mbona haonyeshi hiyo misikiti na makaburi tuone tunaona ninyi tu mnao zungumza?
@marwamuhammad57033 жыл бұрын
Yani mnatunyima raha kabisa sauti ya muongizaji haitoki kabisa sijui apo kaburi la RASULI LIPO WAPI