Hardmad Tamala by Mika Mwamba production

  Рет қаралды 461,758

Biorn Productions

Biorn Productions

Күн бұрын

Пікірлер: 722
@pastorymadale1529
@pastorymadale1529 12 күн бұрын
Daah mziki mtamu enzi za ujana wangu ,nani mwingine anasikiriza nyimbo tamu mwaka 2025.
@annanyassin5742
@annanyassin5742 11 ай бұрын
2024 kuna yeyote anaenjoy mzuri gonga like
@denismasele4130
@denismasele4130 7 ай бұрын
I remind you to come back and listen this beautiful song 🎉🎉🎉
@bettyaltho2714
@bettyaltho2714 5 ай бұрын
Zamani jamani mpaka namiss nyie hapo tupo disco unarukaruka tu
@FrancisLupande-ku9dp
@FrancisLupande-ku9dp 4 ай бұрын
September 2024
@GoldenButterfly-zu9ke
@GoldenButterfly-zu9ke 3 ай бұрын
November 5 2024
@ambelemwakipesile1394
@ambelemwakipesile1394 2 ай бұрын
Tupo bado those were the best moments
@shabanhafidhu1951
@shabanhafidhu1951 7 жыл бұрын
Daah.! Mi naumia kuona muziki mzuri tumeuacha nyuma. Yani beat, mashahiri na mpangilio wa sauti vyote fresh. Mika Mwamba amefanya makubwa kwenye muziki wetu wa Bongo utafikiri sio mzungu yule jamaa. Najua kuna watu wengi hamjui kuwa Mika Mwamba ni Mzungu na ni raia wa Finland. Kama unajua gonga like yako
@dahkitambosanapazi8354
@dahkitambosanapazi8354 5 жыл бұрын
mi sijui ila nimegonga like ya nguvu 2019
@siphaherymsogoya2039
@siphaherymsogoya2039 5 жыл бұрын
Daaa inaumiza daaaa hivi unajua hawa akina domo sijui huwaga wanapima wanavyosema wanaimba au wanajipoyezea muda huu ndo muziki
@lawrencebundala5769
@lawrencebundala5769 5 жыл бұрын
Shaban Hafidhu Nimekuja kujua kwamba jamaa ni mzungu baaadae sanaa
@arymixologyservice9899
@arymixologyservice9899 5 жыл бұрын
Kweli
@tatumpita6284
@tatumpita6284 5 жыл бұрын
Mi pia ndio nimejua leo
@linuspastory5597
@linuspastory5597 Жыл бұрын
22/01/2024 daaha nakumbuka maisha flaaan ya amani sana daaah mika mwamba ❤❤❤ Respect sana
@chachamturi259
@chachamturi259 Жыл бұрын
Sio wepekeako unaeumia, mepia. Alafu sasa hawawasanii wamewatelekeza gizani. Wengne hawajiwezi kimaisha ukiwaona baadhi yao wamechoka wamechakaa. Jaman me nilkua natoa ushauri kwenye baraza ra muzic basata pamoja na wazili wamichezo. Iwaangalie hawa wazanik wakongwe. Maana wanamchango mkubwa sana kwenye hiii nchi. Nawaomba sanasana muwajali wasannii wetu kwakuwa ni kioo vhajamiii
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@chachamturi259 Hii nchi kila kitu siasa,wachumia tumbo ni wengi kuliko wenye ubinaadam unaostahili.
@kaputaakida4721
@kaputaakida4721 7 жыл бұрын
i wish to turn back hands of time! anaesikiliza leo gonga like
@omariabeid3291
@omariabeid3291 4 жыл бұрын
Mikka Mwamba
@jumafox-mu1dd
@jumafox-mu1dd 22 күн бұрын
Tanzanian kweli mziki mzuri tunao cjui kitu gani kimeingia kwenye nyimbo za siku hizi dah😂 ngonga like kama bado unaenjoy mziki mzuri January 2025
@evarist8477
@evarist8477 Жыл бұрын
1 am leaving a comment so that after a month, or a year, or a decade when someone likes it, i get a reminder to listen to this beautiful song again..
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@evarist8477 After 11 months ago listen 👂 it again.
@vascomartin1103
@vascomartin1103 11 ай бұрын
Hii ngoma kitambo Sana na ilikaa pw Sana 2024 ipe like
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@vascomartin1103 Still alive let's enjoy
@allymohamed4425
@allymohamed4425 5 ай бұрын
Kiss fm hii ngoma ilijua kupigwa Jmn mishale ya jion now 2024 aug Bdo tunaenjoy 🔥🔥🔥
@bettyaltho2714
@bettyaltho2714 4 ай бұрын
Nipo hapa naipenda mpake Leo
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@allymohamed4425 We keep good music alive and enjoy mzee Baba
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@bettyaltho2714 Amen Kula ngoma na uendelee ku enjoy
@victorfocus6942
@victorfocus6942 5 ай бұрын
Hii ngoma nikiisikia namkumbuka marehemu Dada yangu na marehemu mama yangu rip vipenzi vyangu
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Mungu aendelee kuwaweka mahala salama..Amen
@mustaphajuma6821
@mustaphajuma6821 4 жыл бұрын
Hii nyimbo daaaah Hardmad....namkumbuka sana marehem baba yangu....R I P....nilikuwa nikiskiliza hii song kutoka mikocheni B hadi mwenge kwa mguu nenda rudi...LIFE ilikuwa tight sanaa...huwa nikiskia machozi hunilenga lenga......basi tena.!!!
@gooddeeds162
@gooddeeds162 2 жыл бұрын
Pole sana Mzee, Mungu ni mwema I hope unafanya poa sasa , Mungu asimame na wewe
@muhidinhassan5419
@muhidinhassan5419 2 жыл бұрын
Daah pole sana mungu asimame na ww
@Aboodjan4-
@Aboodjan4- Жыл бұрын
Pole sn😢
@susancharles1660
@susancharles1660 Жыл бұрын
Pole sana
@BiornProductions
@BiornProductions Жыл бұрын
That's what music brought to us,pure memories but sorry
@Saidy-omaryxmshambo
@Saidy-omaryxmshambo 8 ай бұрын
Nakumbuka nilikua kigoma kasulu kabanga mwaka 2009 mpaka leo 1/6/2024❤❤❤❤😅😅😅🎉🎉
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@Saidy-omaryxmshambo It's December now 2024, Mungu atusimamie tufungue 2025 ngoma ipo wazi endelea ku Enjoy
@sharlensherif6447
@sharlensherif6447 5 жыл бұрын
Duh! Yani nimeutafuta huu wimbo miaka mingi bila mafanyikio , niliamua ku give upp, ila leo kama surprise umejitokeza. Old is gold 🙏
@BiornProductions
@BiornProductions 5 жыл бұрын
Husijali dada yangu wazee wa kutunza kumbukumbu tupo mtembelee tu account hii na ku subscribe...enjoy. Kweli vya kale ni dhahabu
@Pedeshee01
@Pedeshee01 4 жыл бұрын
Ila umezifuta nyingi sana why?
@dannysaimon9584
@dannysaimon9584 4 жыл бұрын
Sina jisi
@alfarismickidadi9512
@alfarismickidadi9512 Жыл бұрын
The same
@alfarismickidadi9512
@alfarismickidadi9512 Жыл бұрын
​@@BiornProductions🎉
@jamesmatiko8676
@jamesmatiko8676 Жыл бұрын
Hii instrumental inanipa msisimuko fulani hivi wa ajabu na wakipekee ❤❤❤❤
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@jamesmatiko8676 Mikono ya dhahabu Mika international
@simongambaloya1727
@simongambaloya1727 Жыл бұрын
Popote pale walipo hawa jamaa heshima kwao ktk bongo flavor itadumu dahali, huu wimbo hata nikiwa na hasira, stress n. k huwa nikiusikiliza tu napata relief, my #1 song kwny count down za miaka yote
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@simongambaloya1727 God bless you all the time Cheers 🥂
@dyevachkakyekaka3878
@dyevachkakyekaka3878 Жыл бұрын
2023 October and am still here 🔥🔥🔥 old good days
@giftgadiel9191
@giftgadiel9191 Жыл бұрын
Legendary music..😢 Inanikumbusha udogoni nipo na mzee tumetoka shamba tupo na baiskel ya phonex.kanipakiza kwenye bomba radio yetu kwenye staring kigiza kinaingia anachochea kupandisha nyumbani inapiwa ngoma hii ooh old is gold..
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@giftgadiel9191 Mungu aendelee kukubariki,na upatapo comment hii kula ngoma hii tena kufunga 2024 na kufungua 2025 bless 🙏
@Wakusoma
@Wakusoma 3 ай бұрын
Mika mwamba alikuwa mbele ya wakati, very good
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
Wachache mnooo mnaitambua haya
@victorkiiru1237
@victorkiiru1237 5 ай бұрын
leo tar 25/8/2024 nmekuja kuusikiliza mziki huu kutokana na mwanadada Fatma mnonji kuwa kwenye kipindi cha #back intertain kwenye station inayo itwa BONGO FM zamani TBC FM.before sikujua unaitwaje but nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa primary darasa la tatu mzee anawasha redio free africa saa kumi na mbili asbh kwenye radio ya mbao mziki huu unapigwa dah sasa ni mwalimu naupiga kwenye smart phone nimeconnect kwenye Bluetooth na bado tamala ipo ila mziki wa zamani nyie hadi tumachozi kwa mbali ukikumbuka maisha ya nyuma😢
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@victorkiiru1237 Enjoy hadi sasa kwenye kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025 Mungu ni mwaminifu muda wote Victor.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 6 ай бұрын
2004 to 2024 chuma bado ya motoooo🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️💪💪
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@yustomwaisomania2587 balaa tunaingia 2025 Chuma inazidi kuiva 😂😂😂👏👏👏 enjoy sana
@rachelsimon7182
@rachelsimon7182 4 ай бұрын
Hardmad ukwap rafaki tunga tena basi kama ivi tumemis nyimbo nzuri kama izi
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
Wakati ni ukuta, tuombeane kheri vitu vizuri haviishi vipo. ❤❤❤
@neural_harmony-w8m
@neural_harmony-w8m Ай бұрын
Itabidi ni Producer Mika mwamba ahusike maana bonge la ngoma - melody, lyrics, vocal, beat kali sana
@kambwiwamwaduifc7746
@kambwiwamwaduifc7746 6 жыл бұрын
dah ngoma za zaman zilikua zinaleta isia hata kama ulikua na mawazo ukisikiliza bsi yataondoka kwa muda
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 7 жыл бұрын
Nasikia sauti ya Fatma Mnonji kwa mbali akiitikia kiitikio. Alikuwa school mate wangu huyu Biafra High School, alikuwa ni binti mwenye haiba ya upole.
@mrfinest5004
@mrfinest5004 6 жыл бұрын
ntopa ngonyani nice
@kiun08
@kiun08 6 жыл бұрын
Mnonji kaimba wimbo gani mwingine?
@faustersanga6627
@faustersanga6627 6 жыл бұрын
alishirikishwa pia na 20%kati ya nyimbo zake
@edwinkakwezi284
@edwinkakwezi284 6 жыл бұрын
Alikuwa na sauti nzuri sana ila watu hatukutambua kipaji chake
@edmundisaack6902
@edmundisaack6902 5 жыл бұрын
Ni mdogo wake na hard mad pia ameimba chorus kwenye nyimbo ya Ziggy de enomic
@davidtandi8748
@davidtandi8748 5 ай бұрын
This song reminds me a certain radio representor by the name kid buoy from Radio free Africa from Tz.from Zambia.
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
We keep good music alive and enjoy sana
@evenlightjumanne1909
@evenlightjumanne1909 6 жыл бұрын
Daaaah huu wimbo tangia zamani naupenda mpaka sasa bado ninao kwenye sim yangu wakati unatoka nwaka 2004 mm ninamiaka nane ndani ya Zanzibar mpaka sasa 2018 Nina miaka 22 bado ninao naupenda sana na mda wote nausikiliza ndani ya sim yangu daaaah aiseeeeee
@marjentertainment2031
@marjentertainment2031 6 жыл бұрын
Ulitoka 2002
@BiornProductions
@BiornProductions 5 жыл бұрын
U,are a real fun
@khamyclever4929
@khamyclever4929 5 жыл бұрын
Tamala
@marjentertainment2031
@marjentertainment2031 4 жыл бұрын
Umetoka 2002
@johncelestine8366
@johncelestine8366 4 жыл бұрын
Evenlight Jumanne hongera kaka
@ajuayelubano9595
@ajuayelubano9595 3 ай бұрын
Moja ya wimbo ambao nikiusikiliza unanikumbusha enzi za utoto wangu.
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
Just welcome and enjoy
@aeyzee4ever607
@aeyzee4ever607 8 жыл бұрын
huyu mshakaji anajua as Mimi nimtoto was kitaa tulipokuwa na washkaji zangu tukiskia nyimbo za hard mad humsalute mbaya ..big up to him mbaya
@BiornProductions
@BiornProductions 8 жыл бұрын
One love
@samwelmussa1119
@samwelmussa1119 8 жыл бұрын
nyimbo haina uwezo wa kuchuja
@veronicavenance3159
@veronicavenance3159 3 жыл бұрын
Natamani kulia hii ni classic since 2002
@MeshackDivioshi
@MeshackDivioshi 10 ай бұрын
Zamani tulikua na wasanii wakali mno sijui wamepotelea wapi! Daaa god bless Tanzania and bongo flava to the world.
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@MeshackDivioshi Time goes on and got no limit It's all about Generation's.. Enjoy good music.
@KandangaKandanga
@KandangaKandanga 7 ай бұрын
Hii ngoma ilikuwa inapigwa sana radio free kipindi Iko tuko kjjn ..mtangazaji aliitwa Fredrick Bundala😂😂usiku tunaota moto na redio yetu risingi "life"
@linuspastory5597
@linuspastory5597 6 ай бұрын
Fredwaaah tumemskiliza sana sana sana RFA daaaah ❤mpaka machozi yanataka kunitoka
@linuspastory5597
@linuspastory5597 6 ай бұрын
Na Kiss FM jumapili daaah 🙌🙌🙌
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@KandangaKandanga Live long and enjoy good music 🎵🎵 pamoja
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@linuspastory5597 relax and enjoy good music mazee
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@linuspastory5597 pamoja sana mzazi
@SelemaniLingamka
@SelemaniLingamka 6 ай бұрын
Nakumbuka kitambo icho tunaluka na wachumba ztu wajukuu wa nyerere
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@SelemaniLingamka 😂😂😂😂 Nimecheka sanaaa 👏
@TBCLINICKYELA
@TBCLINICKYELA 18 күн бұрын
Ulikuwa ukiruka na nani?
@Ngulo-bp5tf
@Ngulo-bp5tf 4 ай бұрын
kipindi nipo primary school 2006 nakumbuka mbarii sanaa now 2024
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Muziki na maisha yamesonga 😂😂😂 endelea ku enjoy
@paulmboje2677
@paulmboje2677 Жыл бұрын
Mika mwamba pokea maua yako kwa hili beat💐
@Wakusoma
@Wakusoma 3 ай бұрын
Mika mwamba alikuwa mbele ya muda
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@paulmboje2677 Hakika anastahili 2024 to 2025 ngoma inazidi kuwa ya Moto.
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@Wakusoma Siyo kidogo ndiyo maana neno Mwamba wanalitumia leo ambapo yeye alipewa kitambo tuu
@BebaKulwa
@BebaKulwa 5 жыл бұрын
The true definition of classic music...whoelse listening in 2019!!
@wantedcarter1003
@wantedcarter1003 4 жыл бұрын
2020
@salluxicitegetse2258
@salluxicitegetse2258 4 жыл бұрын
2020
@Cinemalitics
@Cinemalitics 3 жыл бұрын
@Sallux ICitegetse 2021 after Christmas 🎄 hapa😅
@sekakigala3613
@sekakigala3613 2 жыл бұрын
2022
@terrygabby8976
@terrygabby8976 6 жыл бұрын
2019...who’s with me?
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@terrygabby8976 Hope you are doing well. We say goodbye 2024 Welcome 2025 Come back and enjoy your music when you get this comment ♥️♥️♥️
@kareemsijaona4474
@kareemsijaona4474 7 жыл бұрын
Hii ngoma daah reminds me back in 2004 when I ws in stnd four 🔥🔥
@issahabunu197
@issahabunu197 3 жыл бұрын
Same here..😭😭😭😭😭
@Chekanamimi_
@Chekanamimi_ 3 жыл бұрын
Mimi nilikuwa darasa la 5..... Habari zenu madogo @kareem sijaona na @issah abunu
@Cinemalitics
@Cinemalitics 3 жыл бұрын
@WILLARD MMBANDO Duh basi balaa maana mm nlkuwa chekechea sawa wakubwa🙌🏽
@samuelbeti7963
@samuelbeti7963 2 жыл бұрын
Me too
@josikinyala4425
@josikinyala4425 2 жыл бұрын
What a song. Hard man. Verse ya 3 ndio u can fell the real dance hall. Who is listerning right now at 10 :38 PM on 5th August 2022?
@fadhilingalu3001
@fadhilingalu3001 6 жыл бұрын
Heshima kwako bila kumsahau producer mika mwamba Saluti kwenu uliitambulisha ulimwengu kama mukiamua kufanya kitu kizuri kinaoneka
@shabanally6973
@shabanally6973 10 ай бұрын
Maisha ya kitambo yalikuwa matam sana jmn,,nataman kuyarudia
@ezekielokuku9981
@ezekielokuku9981 6 ай бұрын
Ni kwa sababu ulikuwa unatafutiwa,wewe kazi yako ilikuwa ni kucheza tu na shule...
@siraaronmallya425
@siraaronmallya425 Жыл бұрын
Huu wimbo ulinitesa sana...niliupenda sana ila nilikua sijui kaimba nani.. Then juzjuz hapa ndo najua mika mwamba ni mzungu baada ya kufanya mahojiano na millard ayo...kweli maisha yamebadilika.
@geraldsanga7093
@geraldsanga7093 Жыл бұрын
Hard mad ndiyo muimbaji.......
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@siraaronmallya425 Mwamba kama jina lilivyo Alikuwa mbele ya muda kinyama.
@tysongodfrey7600
@tysongodfrey7600 7 жыл бұрын
2017 daaah this song .napataga hasira sana why why why wasanii kama hawawi respected
@siphaherymsogoya2039
@siphaherymsogoya2039 5 жыл бұрын
Ndugu waweza lia daaaa
@konzoikweta
@konzoikweta 10 ай бұрын
Mika Mwamba the Best Producer ever 🎉
@mussaismail1285
@mussaismail1285 8 ай бұрын
Wanapiga makopo makopo wanajiita ma goat
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@konzoikweta Jina la MWAMBA halikuwa kwa bahati mbaya mnooo na siku zilikuwa nyuma Sanaa 👏👏 2024 to 2025 still we are enjoying
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@mussaismail1285 😂😂😂😂
@Zee_Njovu
@Zee_Njovu 5 жыл бұрын
2020 and I’m still here, this song 🔥🔥🔥
@BiornProductions
@BiornProductions 5 жыл бұрын
Enjoy love 👏👏👏
@aisharenatus1678
@aisharenatus1678 4 жыл бұрын
Me me me
@mariamzukas500
@mariamzukas500 4 жыл бұрын
Here l am listening away the from UK
@LeodegardMkenda
@LeodegardMkenda 4 ай бұрын
Welcome form one 2003
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Life goes on
@vicentmushi9906
@vicentmushi9906 6 жыл бұрын
HII NYIMBO INA historia kubwa sana katika maisha yangu siwezi sahau 2004 mpaka leo naipenda, big up hard mad na mika mwamba, mchango wenu ni mkubwa kwenye gemu ya muziki wa bongo .
@allyfatma7359
@allyfatma7359 4 жыл бұрын
All the best
@victornjwango9683
@victornjwango9683 2 жыл бұрын
@@allyfatma7359 hujakosea mzazi
@rajabumnubi3277
@rajabumnubi3277 5 ай бұрын
Keeping the good music 🎶 alive
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Always and forever ❤❤❤
@Prettyloner_Z
@Prettyloner_Z 3 ай бұрын
This song reminds me of my big cousin sis's wedding ... the bridemaids we used this song as our entrace song❤ Nostalgia feelings😊
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
Waoooo congratulation for them and enjoy your moments... welcome
@muhesakazumba9426
@muhesakazumba9426 10 ай бұрын
Sikuhizi tunaimbiwa nyimbo ambazo huwezi sikiliza au kutazama video mbele ya wazazi wako, eti weka mate niteleze Kama nyoka pangoni dah! Hovyo sana
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@muhesakazumba9426 Generation za hovyo
@yonathanandrecus7465
@yonathanandrecus7465 Ай бұрын
So far days nikiwa 2003 nikiwa 9 old now am 30 mbagala kiburugwa 2024
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Music and Life are moving simultaneously
@African511
@African511 Жыл бұрын
Muziki mzuri tumeuacha tukakimbilia muziki wakimapokeo aisee, me hadi leo napenda bongo muziki wa zamani
@paterandrea2146
@paterandrea2146 6 ай бұрын
Kitambo Sana apo Kota za police mbeya line police disco letu bwalo la magereza DJ mganya kitambo sana
@TBCLINICKYELA
@TBCLINICKYELA 6 ай бұрын
Kitambo sanaaaa.
@paterandrea2146
@paterandrea2146 5 ай бұрын
Je we ni moja wapo mtoto wa Kota mbeya
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@paterandrea2146 Isikilize tena ukiwa una funga na kufungua mwaka 2024 to 2025
@ikm3994
@ikm3994 4 ай бұрын
Hii ngoma acha kabisa
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
Tunafanya mziki mzuri uishi.... pamoja sana mzazi
@allyKazimoto-im5hp
@allyKazimoto-im5hp 10 ай бұрын
Upo ww hard mad TAMALA na dullayo BILA YULE naenjoy mnooo
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@allyKazimoto-im5hp Enjoy good music 🎼🎼🎼
@peterdeogratius6122
@peterdeogratius6122 5 жыл бұрын
Nikisikiliza hii ngoma nakumbuka nikiwa Darasa la saba Shule ya msingi makuburi 2004 tulikuwa tunaenda dhihara bagamoyo kwenye gari tuliyopanda hii ngoma ilikuwa inarudiwa mpaka raha
@allymjato8980
@allymjato8980 2 жыл бұрын
Dah log time sana Nlosoma Hapo but nilikua Mabibo
@lucymayelias3114
@lucymayelias3114 5 жыл бұрын
Still 2019 😘😘 napenda sauti ya Fatma inanikumbusha mbali
@elisamehecharles5432
@elisamehecharles5432 4 жыл бұрын
Ogaaah! Huyu Fatma si ndo yule aliimba pia na Jaffarai na Joh Makini?
@brosataasisi3657
@brosataasisi3657 3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 ni yeye huyo huyo dada yake Hardmad
@elisamehecharles5432
@elisamehecharles5432 3 жыл бұрын
@@brosataasisi3657 Ogaaah! Ni Dada wa Damu??
@brosataasisi3657
@brosataasisi3657 3 жыл бұрын
@@elisamehecharles5432 Dada yake kabisa akitoka Slim(Hardmad) ndio anakuja Fatma
@bakarininga6052
@bakarininga6052 8 жыл бұрын
hauwezi kuchuja huu wimbo kamweeeeee....big up hard mad
@barakaleader1550
@barakaleader1550 6 жыл бұрын
Sometimes nilijifanya mwalimu sometimes..nkajifanya mwanafunzi sometimes..sina simu...hapo dah wanikumbusha mbalii
@johnsonJuly
@johnsonJuly 4 жыл бұрын
mwanangu nindikie lyrics full mwanzo mwisho ,nilipoteza uwezo wa kusikia 2008 alafu ninaupenda sana huu wimbo,,niandikie kaka
@barakaleader1550
@barakaleader1550 4 жыл бұрын
@@johnsonJuly pole sana ndugu yangu
@owenoswald3398
@owenoswald3398 4 жыл бұрын
Mikaa mwambaa he deserves a legend medal of the best producer of all the time his beats still lives up to right now 2020 and still am having feelings and the vibes with these songs that has been produced by him #MIKAMWAMBATHELEGEND
@BiornProductions
@BiornProductions 4 жыл бұрын
It's very true home boy
@owenoswald3398
@owenoswald3398 4 жыл бұрын
@@BiornProductions very very true brother
@denniskataraihya5698
@denniskataraihya5698 2 жыл бұрын
Mikka Mwamba alirudi kwao Finland. Cheki akihojiwa na milard ayo kzbin.info/www/bejne/sKXPqoBpfMxmp68
@GodfreyWilliam-pb3wh
@GodfreyWilliam-pb3wh Жыл бұрын
@@denniskataraihya5698
@azizamakotha7428
@azizamakotha7428 Жыл бұрын
Sio Mika mwamba Tu kwenye tasnia ya muzik wa bongo flavour but also P FUNK MAJAN. They are all legends
@geffects1141
@geffects1141 8 ай бұрын
Now It's 2024 😢😢😢😢😢😢
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@geffects1141 It's December now We look forward for welcoming 2025 The song still hot 🔥🔥🔥 listen 👂 it again
@mgenikisukari1371
@mgenikisukari1371 5 жыл бұрын
mika alileta mapinduzi makubwa katika swala la production
@African511
@African511 7 ай бұрын
Beat tu inaashilia kua kuna ngoma ya wakubwa na wanaojiheshimu inachezwa huku,alooo wasanii rudisheni ladha ya muziki aisee kama zamani.
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@African511 Mungu aibariki sanaa yetu,vijana wameyumba mno now days. Endelea kula mziki mzuri
@kaburamelikiadi8281
@kaburamelikiadi8281 7 жыл бұрын
Mika mwamba alikuwa mkali kinoma hard mad back to you game bro I miss you man back again my brother nimimi Makiadi toka Phoenix Arizona .usa
@fettyharrison3068
@fettyharrison3068 6 жыл бұрын
Wozaa twende wote pa1 2019 gonga like
@neural_harmony-w8m
@neural_harmony-w8m Ай бұрын
Message to the coming generation, never let this master piece perish
@petergebo8198
@petergebo8198 5 жыл бұрын
Daaaah nyimbo hizi sasa huwezi kuzipata 2019 still watching
@shabanisudy6493
@shabanisudy6493 3 ай бұрын
Enzi hizo huyu mwamba , alitisha sana na alipata aitime kuliko diamond plutnmz
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
😂😂😂😂 tuendeee kuburudika
@abdallahsudi8466
@abdallahsudi8466 4 ай бұрын
We keep gud music a live...❤❤❤
@BiornProductions
@BiornProductions 3 ай бұрын
All the time, Cheers 🥂
@happysalim4120
@happysalim4120 4 жыл бұрын
hawa ndo wasaniii sio wasenge wa siku hiz kwa bahat mbaya walikua wanaimba hakat pesa hakuna dah !!!! inaumiza sana
@BiornProductions
@BiornProductions 4 жыл бұрын
Kweli pesa haikuwepo
@MathweLucasi
@MathweLucasi 6 ай бұрын
Hatarii sjuikama vitu hiv vitarudi jamniii
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@MathweLucasi Time goes on and enjoy your good music alive
@hassanitubwa6835
@hassanitubwa6835 6 жыл бұрын
Wimbo unanikumbusha mbali sana asee
@donaldmhulula6888
@donaldmhulula6888 5 жыл бұрын
wote ma club banger wa shuleni enzi hizo ! hii ngoma ina wahusu,..kwenye ma graduations za mashuleni !
@MohamedShemntambo-f3v
@MohamedShemntambo-f3v Жыл бұрын
Nakumbuka Niko form one
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@MohamedShemntambo-f3v Endelea kula dundo Mohamed
@jamesmgimba7403
@jamesmgimba7403 4 жыл бұрын
Najiuliza Mara 100 uyu Mika mwamba ni mzungu aliwezaje kukopi na music wetu kiasi hiki
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@jamesmgimba7403 Music ni feeling kubwa na tafsiri itokanayo ndani ya ubongo kabla au baada ya muimbaji kumpa melody mtaarishaji..vikiumana huwa hatari
@allychande8716
@allychande8716 7 жыл бұрын
Mika mwamba rudi +Tanzania bhana tumemis ladha ya bongo fleva za zamani mika mwamba vionyo vya mika mwamba nyimbo za sasa hiv havipo havisikiki walikutoa tz kwa majungu tu kk waliona unawafunika ila kaz zako bado zipo na hazichuji heshima kwako mika mwamba ngoma za cku hiz mwez tu zishachuja
@yassermbembo6403
@yassermbembo6403 5 жыл бұрын
Ally Chande PEACE LOVE
@josephcolt571
@josephcolt571 5 жыл бұрын
Beautiful beautiful,,this song nimeisikilzaa back in the days nakumbuka nipo Kenya nasafiri with scandanvia express,,, the song has never left my mind
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 4 жыл бұрын
hahaaaaaaaa !! na zile chuma zilivyo kuwa zinaamsha daaaaaaa !!
@josephcolt571
@josephcolt571 4 жыл бұрын
@@Joseph-lu4yj Hatari mzee hii ngoma siwezi sahau
@ambrocemalya3551
@ambrocemalya3551 5 жыл бұрын
Nakumbuka ilikua inaimbwa Sana Radio One nyakati hizo ndo Kwanzaa Nipo class 2, umbwe primary 2004, whaooooooo
@GeraldAndrew
@GeraldAndrew 5 жыл бұрын
Ambroce Malya umenikumbusha mbali sana, umbwe primary nilisoma miaka ya 91-92 std 4-5. Huu wimbo umetoka nikiwa udsm, nakumbuka sana mabibo hostel .. good old days!
@MXI4EVER_
@MXI4EVER_ 25 күн бұрын
yan mgeoma nnavocheza hapa bafun😂😂kweli time flies😢 i miss going at the club im vibing this gold banger dah sjui nilie LOVE 🇹🇿keep winning happy 2025
@jeremiahmussa2178
@jeremiahmussa2178 Жыл бұрын
Mika mwamba anajua sana kutengeneza bite
@adrianhilary1241
@adrianhilary1241 6 жыл бұрын
Mungu wangu i used to love this song..i was a kid dahh those good old days!
@GiftIddy-k2f
@GiftIddy-k2f 5 ай бұрын
Jmn nyuma kutamu yakale dhahabu cyo kwa midundo na mpangilio huu.
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@GiftIddy-k2f Sure Old is Gold
@prettyerasto8733
@prettyerasto8733 Жыл бұрын
It is September 2023 but still listen this banger
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@prettyerasto8733 Pamoja sana na tuifunge 2024 tufungue 2025 kwa ngoma hii 😂😂🎼🎼🥂🥂
@yakobohenjewele1835
@yakobohenjewele1835 10 ай бұрын
Mika mwamba alikua mwamba kweli kweli kutengeneza bit kali
@shabanilwei8416
@shabanilwei8416 Жыл бұрын
Enzi hizo Mika Mwamba alikuwa Mandonga yan Mtu Kazi 😃😃👋Beat alizitendea haki 👏✌️
@pendochris4576
@pendochris4576 8 жыл бұрын
Rosemary Benjamin,aloimba wimbo wa farida anaitwa eman
@Pandumasoftware
@Pandumasoftware 5 жыл бұрын
True
@mussahancy6591
@mussahancy6591 9 ай бұрын
Huo ndio mkono wa Msenge Mika mwamba yule mbwa hakuna mtu alikamata pale kwa mabeat yake,iko kwao FINLAND nilionana nayo mwaka 2021
@kareemdmartins7755
@kareemdmartins7755 7 ай бұрын
mi nadhani hata majani hakumfikia mika mwamba,,,sikiliza hi ya duly na kikongwe ya piko au kajiandae ya mezb
@EliaThomas-m1g
@EliaThomas-m1g 11 күн бұрын
Mwamba anajua hii ngoma itaishi milele congratulation had mard
@KikeleloJohn
@KikeleloJohn Ай бұрын
Jaman acha mziki uitwe mziki
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@KikeleloJohn Salute Mziki wa miziki 👏👏👏
@husseinramadhan3515
@husseinramadhan3515 5 жыл бұрын
big up 2you had mad wherever youre
@davisdavid6205
@davisdavid6205 Жыл бұрын
Mika mwamba arudishwe TZ beat kali sana hii
@Aboodjan4-
@Aboodjan4- Жыл бұрын
I'm crying 😢
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@Aboodjan4- Enjoy nigga always Good Music is alive
@tatualmasi1175
@tatualmasi1175 Жыл бұрын
Jamaniiiii dah vya zamani vizuri
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
@@tatualmasi1175 Funga 2024 Fungua 2025 na ngoma hii tena
@AzizDhahabu-ib5ci
@AzizDhahabu-ib5ci 24 күн бұрын
Aisee ngoma ya kitambo sana jaman naikubal kinyama sio minyimbo ya saivi❤
@isaacklazaro3780
@isaacklazaro3780 3 ай бұрын
Wanaondelea kuangalia 2024 shuka na like za kutosha
@BiornProductions
@BiornProductions Ай бұрын
Always Good Music is alive
@Fadnho
@Fadnho 3 жыл бұрын
i'VE BEEN LOOKING FOR THIS SHIT FOR YEARS TILL I CAME ACROSS BWANA MISOSI NITOKE VIPI, THATS WHEN I CLOCKED MY MAN HARDMAD. COULD'T HELP FEELING NOSTALGIA
@BiornProductions
@BiornProductions 2 жыл бұрын
Subscribe to the channel and you will be able to access the old one vibes... Enjoy bror
@Fadnho
@Fadnho 2 жыл бұрын
@@BiornProductions Big up to yourself Bro
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 жыл бұрын
Ooh, DAAAMN..!!!! Hard Mad n' his sister 'killed it'.! 2021, Novembeeeer.!
@aniyujakaya9196
@aniyujakaya9196 6 жыл бұрын
Dah kitambo Sana nakumbuka mbali enzi izo ndani ya fuji znz.
@caseyjason-ws3fr
@caseyjason-ws3fr 4 жыл бұрын
Fun fact: Aneetikia ni mdogo wake Hardman
@abbasmsafiri70
@abbasmsafiri70 4 жыл бұрын
casey jason anaitwa fatuma au Fatma !! Kinondoni B mpaka Leo wanaishi hapo 👍🏾
@issaibony6386
@issaibony6386 5 жыл бұрын
Hahaha.... Kiukwli leo namamlizia 2019 kwa wimbo huu kwafraha zote kwani kwa wakati huo 2004 ulinitoa chozi😅ilah leo shavu 😘😘😘saluti mkali popote ulipo kuimba unajua.
@raphynovic
@raphynovic 3 жыл бұрын
Nakmbuka 2004 naenda zangu kampala Scandinavia primary enz izoo nilikaa siti moja na blaza mmoja jina Edwin alikua na zile walkman za cd akanipa headphones nkaiskia hii ngoma kwa mara ya kwanzaa haijawai kukauka akilin kwangu leo ni 2021 heshima kwa kila alieshirik kwenye hii ngoma
@BiornProductions
@BiornProductions 3 жыл бұрын
Pamoja sanaaa mzazi, amani itawale. Shukrani.
Hardman Ni wewe
4:26
Chu Jifi
Рет қаралды 225 М.
EXCLUSIVE: HUYU NDIO PRODUCER MIKKA MWAMBA
25:11
Millard Ayo
Рет қаралды 159 М.
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
SIRIMBA-NGONI and Lady JayDee
4:34
NGONi
Рет қаралды 261 М.
Mandojo & Domokaya - Niaje
4:49
Mandojo na Domokaya
Рет қаралды 178 М.
Fire Anthem - East African Bashment Crew
4:22
Bebe Cool
Рет қаралды 1,8 МЛН
Si uliniambia (waja)
4:03
sumz81
Рет қаралды 5 МЛН
ocg   aquelina
3:51
Mapito Online Tv
Рет қаралды 332 М.
Nibebe - Nyota Ndogo ft Nonini
4:43
NoniniMgenge2ru
Рет қаралды 1,4 МЛН
Chelea mani msela
5:41
Martin Paul
Рет қаралды 146 М.
Mr. BLU  Feat Ab SKILLS   From Tanzania / MIMI NA WEWE
5:18
Kiradodora
Рет қаралды 1,6 МЛН