hapo kwenye no one is born to be successful au no one is born to be a star fanyia marekebisho na useme No one is born successful pamoja na No one is born a star ... kwasababu kila mtu ana nafasi ya kuwa star au mwenye mafabikio na ndio maana ukisema No one is born to be successful au no one is born to be a star hiyo inakuwa haileti logic kwasababu kila mtu ameumbwa kuwa na mafanikio au kuwa star. Hongera kwa kazi nzuri na Mungu akubariki, nimevutiwa na team work mmeyeonyesha studio, kudos!
@mainchic73616 жыл бұрын
Harmonize you've never let us down..👍👍 from Kenya..
@donaldsamoei44426 жыл бұрын
Sure,😊
@officialbrazzah2546 жыл бұрын
Harmonize hua naomba dua shola mola siku moja anijalie hata n mm nkuone ivi kwa macho unisikize na mm vile naimba unisaidie nkarekodi ngoma moja kwa ajili yako...najua njia zitafunguka siku moja
@panchotz19386 жыл бұрын
Sema nn bro unauwa kinoma na unaimba kwa hisia kinoma dah aminia sana brother # harmonize
@ntanilanjema046 жыл бұрын
Sema Professor ww ni balaa tangia kitambo huna mpinzani
@paulinh0zain436 жыл бұрын
So nice song harmonzi like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kakamau03846 жыл бұрын
Ninapenda sana hii kwa kweli muwe munatuwekea hivi vitu vya jikoni
@wilisonpatrick96966 жыл бұрын
Daaaa jamani umaxn tu nami ningekuwa mbali kiukwer huwa nikiona HIV huwa nalia xana xhaid mungu wangu ila Poa god is able for everything
@lopukemaxwelllokwar63854 жыл бұрын
Wow bro it is really amazing wallai go head bro and continue we get your back anytime
@martinrahj85266 жыл бұрын
I wish i kub be there and witness evrything
@simbavevo73186 жыл бұрын
harmonize fungua chuo cha muziki bro
@levilevis5055 Жыл бұрын
Harmo I like how u think critically hongera💖💗
@mohamedpagae29426 жыл бұрын
Harmonize unajuwa kaka dah
@masterplann61726 жыл бұрын
I can see harmonize gat some skill in recording. U see how close he gets to the condenser.... U can tell he has worked with many international artists N producers... Lastly u need more base traps..
@beatricewanjiru27596 жыл бұрын
Hapo nakubali nampenda sana nyimbo as wasafi Nimetoka kenya
@jameskariuki93146 жыл бұрын
Beatrice Wanjiru mundu wa nyumba
@beatricewanjiru27596 жыл бұрын
james kariuki sema mundu wanyumba
@specialistspecialist43396 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi mnayofanya endeleeni kuitangaza tanzania we love u....
@apdiladiifhassan29776 жыл бұрын
Ilove harmonize Tanzania Ifrom somalia
@mykemelaw6 жыл бұрын
Kama umesoma iyo jumper ya Harmonize gonga like
@plattybosco49736 жыл бұрын
Harmonize Am Coming To Collabo One Day With You Loading In Future
@somboyalqa89366 жыл бұрын
Harmonize i am from somalia
@fubanjenjele5216 жыл бұрын
Inspiration song Jay hustler, Jay wamituringa, prof Jay, red carpet, Mr presider, daaaaa nashindwa kuendelea
@paulinh0zain436 жыл бұрын
Harmonize like hapa love u ❤❤❤❤❤❤
@safariadrien85446 жыл бұрын
konde boy 🤣🤣 nasikia siku izi basata mpaka useme neno lote mumakonde shida kweli
@idmusictz11 ай бұрын
Kaka hii ngoma umeua
@allthebestdigital3236 жыл бұрын
God bless you....bro
@stanleygeorge66386 жыл бұрын
Wakali Wa hizo mambo
@desmondtitaniumz99796 жыл бұрын
+254 GONGA LIKE KAMA WAMKUBALI HARMONIZE NA WAAMINI DENI YA CHINA ITAPITA...……….
@muksinmarufu52226 жыл бұрын
jay amexhapiga vyombo
@urugendorwubuzima6095 Жыл бұрын
Hii ilikuwa comedi eti na WA Nigeria wanafahamu hio nyimbo
@hasnaybyser19726 жыл бұрын
Wa kwanza apa🔥🔥🔥🔥🔥
@birech0036 жыл бұрын
harmonize is very hardworking no wonder zote ni hit songs
@mellahrisky63022 жыл бұрын
𝚕𝚒𝚔𝚎 𝚣𝚊 𝚙𝚛𝚘𝚍𝚞𝚌𝚎𝚛...
@nassoroachiura83996 жыл бұрын
Duh yan hkunachakuzungumza juu ya huyu hamonaiz kizaz San kwawtu wote wamtwra halaa by Bmasofa 🔥🔥✈✈🔨🌍🎹🎻🎤📀🎶📺
@calebkiptoo18456 жыл бұрын
caleb kiptoo 254...napenda kazi zako harmo... fan mbiq hapa
@alexokocha31965 жыл бұрын
No one was born to be successful not nobody is born to be successful 😂😂 grammar still proud ❤️✊🏾
@selestinsongola27873 жыл бұрын
Inst yote mnakamata kabisa kabisa nninoma big up konde and Jay wamitulinga
@renatusikombe4172 Жыл бұрын
Tz bongofleva G.O.A.T
@peterlugomok13726 жыл бұрын
Dogo harmonize ni mbunifu sana
@masterplann61726 жыл бұрын
All in all iko freshi
@goodlucktemu31495 жыл бұрын
mziki umetekwa na wcb, kataa tuone
@meirenatus56834 жыл бұрын
Unafiki wako ni ziroiii majungu ukawaaa acha ujingaaa
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
@@meirenatus5683 umeongea lugha gani mbona ueleweki?
@ayoubbilal66886 жыл бұрын
nlidhan harmorapa aisee kumbe ww..!
@simonmlisa43116 жыл бұрын
Jay unaweza!!🤡 hatari hii
@mattanofficemusc35352 жыл бұрын
Namuona chopa hapo 😂😂😂💰💰💰💰🤞
@mohamedsadiki15756 жыл бұрын
konde boy kaufiny
@kassimkingai5646 жыл бұрын
Hii ngoma sina lakusema
@isayajesca89286 жыл бұрын
wapi likeee za kondeeeee boy
@mastermindprotv96065 жыл бұрын
huyu producer anaitwaje?
@sharmakeshafi60126 жыл бұрын
Wa tatu Hapa if u support #Harmonize like hapa
@khalidy_k2n9956 жыл бұрын
Kumbe wakat wa kurekord mnaenjoy ivo
@impactoelectrical58142 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@Last4036 жыл бұрын
I like it 😁
@yusa_jay6 жыл бұрын
nakubali #Harmonie
@amodreamer69046 жыл бұрын
Hahaha nilijua Harmorapa kabla ya kuifungua
@macktheengineer35662 жыл бұрын
mwanetu bonga tumekumis kwenye game
@husseingwanone78253 жыл бұрын
Konde BOY
@itayprince18126 жыл бұрын
First view and like
@kingdeniscrocodile4 жыл бұрын
Sana tu kjana
@robifilosomaniofficialonli42726 жыл бұрын
Kariiiii
@onlysiyetv13146 жыл бұрын
koooooondeeeeeeeee boyyyyyyyyyyyy
@simbavevo73186 жыл бұрын
harmonize fungua chuo cha musiki bro
@estellemwai54026 жыл бұрын
Nakupenda bure Konde boy
@AlexMshano6 жыл бұрын
Harmonize mkali ungali mu wcb wasanfi
@agu7tv2866 жыл бұрын
Nakubali sanaaa kakaaa
@salumanadsalumanad59005 жыл бұрын
wcb wewe ndio kichwa
@officialsile36246 жыл бұрын
Please gusa hapa kusikiliza wimbo wangu mpya mateso 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 kzbin.info/www/bejne/ol7bhWCtfduhqZY
@saidiissa74316 жыл бұрын
mambo ni 🔥🔥🔥🔥
@shabanially34605 жыл бұрын
noma sana hiyo
@hamulaini1874 Жыл бұрын
Nice
@amraniibuo43576 жыл бұрын
Safi
@ismaillichee87856 жыл бұрын
#homeboy wajinaa unawezaaa sanaaa
@luxurybwoy18816 жыл бұрын
ADOLESCENT UNDER CONSTRUCTION kama umeona nipe like tukisonga
@ponchoboe93716 жыл бұрын
Daaah nakubali sana hawa watu
@barakapaul28146 жыл бұрын
oyeah nice song
@obseemamad75606 жыл бұрын
woow
@mostejesh18766 жыл бұрын
Saf Prducer
@vincentodede7392 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@genimaige60236 жыл бұрын
J unaweza
@ramfightertz74316 жыл бұрын
Gonga like kwa harmonize vs profesa j
@jamilaomar27086 жыл бұрын
Kali ya mwaka
@muksinismail42825 жыл бұрын
noma jaman
@dbwaxvevo57806 жыл бұрын
Hii ngoma inanipaga Moyo balaa
@mauriceogola92436 жыл бұрын
hivi hao wenye hawana viatu ndio wachafu sio?
@nahengadesempy85555 жыл бұрын
mbunge ana mizuka hahahaaa
@kaimitehassan40766 жыл бұрын
NICe nice song
@empyreanbargrill35906 жыл бұрын
Nilizani harmorapa 😂😂
@jumaamzee20416 жыл бұрын
Eti we shambisha tu
@athmankalama45566 жыл бұрын
Konyagi
@matimbwatv18566 жыл бұрын
Kama kwako good gonga like
@mohamedsadiki15756 жыл бұрын
mziki unatakiw uwe unamzik
@wekati6 жыл бұрын
huyu sio lizer ... ni nani vile huyu producer
@sumbusamwely75046 жыл бұрын
Is bonga
@wekati6 жыл бұрын
Wazi kaka shukran
@richlymo4 жыл бұрын
Brodus bonga
@abwibwimwinyi92796 жыл бұрын
Uchocho
@aaminadajiya60386 жыл бұрын
👌👌👌👌👌👌
@rahmamuhidini24466 жыл бұрын
Napenda harmonize
@aaminadajiya60386 жыл бұрын
@@rahmamuhidini2446 je? Unashangaa nini?
@aaminadajiya60386 жыл бұрын
@@rahmamuhidini2446Hapa ni dada yetu
@aaminadajiya60386 жыл бұрын
From somalia
@jtiger65216 жыл бұрын
kondeee boy
@rasokauzu52506 жыл бұрын
OFA OFA OFA OFA OFA NAUNGANISHA GB 60 ZA INTERNET KWA MUDA WA MIEZI 6 MFULULIZO KILA MWEZI UTAPOKEA GB 10. ACHA SASA KUTUMIA INTERNET ZA KUPIMIWA NA VIJIKO SIJUI MB 70 NICHEKI KWENYE HII NAMBA 0625 687 287 TELEGRAM TU?