Inauma Sana Hasani wetu kapole ketu mungu atawaumbua Hawa wanao miliki pingu na virungi bila vyeti ningekua na uwezo ninge wachomea vibanda vyao Moto mama zetu was madawa kitu da pazeni sauti zenu kiume Hawa p jamii wanali via uchawi wakiaribu wanakimbilia kwa mashee kufu ikafunika chomeni vibanda wafie ndani wamemuua Hassan kifo kibaya Sana.
@OmarKheir-c5w4 күн бұрын
Pole sana kwa mungu hakuna kuna kubwa
@mesaidi91476 күн бұрын
Vijana unganeni mkawachomee nyumba zao washenzi unaumwa mwana wa mwenzio Kisa unakibali kwenye serikali
@fidelismwakanyamale67876 күн бұрын
Na wewe jizi ni mda tu endelea kuiba
@rehemalusindengawa51864 күн бұрын
Pole sana mama😢
@LevinaMiteo6 күн бұрын
Sawa ni kweli ndugu zetu wanaingia kwenye madawa na uraibu mwengine na wanafanya hivyo vitendo lakini sio sawa kupigiwa hivyo wakiwa polis
@AbdallaMwagora-sm1rj6 күн бұрын
Inalillahi waina ileyhi rajiun , kwakweli Ina sikitisha ,hiyo ni dhulma Kila mtu anahaki ya dhamana.
@UgoeBakary5 күн бұрын
Hakika Kaka hassan tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi ulikuwa mtu mwema Sana umetuacha na udhuni watu wamadawa hakika Hili limeniliza Sana baba John na masta mungu tawalipa kwa mlocho kufanya
@emanuelKarei6 күн бұрын
Mhhhhhh! Mungu tusaidie watanzania tunaumizwa sikia kilio cheti,,
@HanifaOman-oo4pl6 күн бұрын
Subuhanallah. Mtihani jamani watatuulia watotowetu bilaaya hatia. Ila nawao watakufa hawatakaa milele wanaacha.kufatilia. wasiyojulikana. Huko wanauwawatu. Na wanaokulapesaza zuluma wanaujumuuchumi wao hawawauwi.wanakularahatu. Munguyupo atawajibutu lnshaallah
@jamesjr60866 күн бұрын
Mh Kwa hali hii itasababisha tutawachukia polisi sasa.maana hawafanyi haki Wala kufuata Sheria,kanuni na taratibu zilizowekwa.katika hili mungu atusaidie sana sijui nn kimeipata jeshi letu.
@shuwehaharuna63096 күн бұрын
Tanzania imeoza
@monalisaally43876 күн бұрын
Polen sana wafiwa duh inaumiza sana
@estambuya39016 күн бұрын
Rais samia chukua hatua mara moja.
@husnaabdullah30095 күн бұрын
Nimelia Sana kiukweli sasahiv kumekua na hiyo tabia ya kuja nyumban kumtoa kija mm walikuja maaskar Saa Tisa alfajir wakawachukua wanangu watatu wakawasingizia kesi ya kuiba na kutolewa kucha 😭😭na kupelekwa sentroo posta
@bintmrisho35266 күн бұрын
Kwann wamfanyie opp bila ndugu kujua usikutee wameshamtoa fugo msizike bila kumchunguza apasuliwe tena tumbo mumuangalie kama vitu vyote vimo
@happynkya97706 күн бұрын
Mm sijui kama Kuna siku nitawapenda police, wanajeshi, migambo na ficm yaan hawa watu hawa mie Dua tu kwa Mungu
@mchunguliechibwa1986 күн бұрын
Hao ni kuchoma hizo nyumba zao,tunaishi nao kitaaa..kumamakeee😢😢😢
@janetchinga6956 күн бұрын
Kama katekwa kiongozi mukumbwa nakumuua😢😢😢😢 wasambuse nyinyi wakawaida hakuna kitu hapo ,pumuzika kwa amani hassan mungu ataingilia kati
@latifakikoti98086 күн бұрын
poleni jamani mungu awape faraja
@mohamoudhussein45706 күн бұрын
Hata kama ana Makosa hakuna Sheria ya kumpiga mtu mpaka Ukamuuwa.Huo ni ukiukwaji Mkubwa sana wa Sheria na Haki za Binadamu
@noot-oe2mw6 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajuuni
@janetchinga6956 күн бұрын
Pole sana kaka 😢😢😢😢 inauma sana Tanzania imekua Sodom
@Zulekha-sg8fp4 күн бұрын
Maadam maadam president tutendee haki raiya wako maguful baba yetu tutakukumbuka abadan
@abdallakassim81146 күн бұрын
Watoto wetu na wao wasijiingize kwenye urahibu
@NasraAlMarjabi6 күн бұрын
Tz hamjui Haki Kipigo chote Bila Imani Watu Wanabaka wa toto Hawashikwe Hawa vijana Wameonaewa saana hawana Hela ZA kuhonga Police
@bourybouryslov39276 күн бұрын
KWAHIYO Huyo Baba John Na Huyo Masta Hamjui Wanapokaa Si Mkamalizane Nao Tu Waone Uchungu Wa Polisi Kidole
@mohamoudhussein45706 күн бұрын
Huko kumzika sio Kumpumzisha kwa Amani tafuteni Mwana Sheria awasaidie.Bila ya hivo hayo Mambo hayatakoma
@SihabaAbdallah-li6dx4 күн бұрын
HAKUNA MTU ANOTAK.KUKAA NDAN PEKKEAKE LAZIMA.WEZIWE ATA WATAJ SASA UKILAZIMISHWA SAN UTATAJ TU WAUONGO MTU MNAMPIGA HAWATAJ UJUE HANA AO WATU ILA TU MME MLAZIMISHA
@sechebwanahindi86746 күн бұрын
Kwa hiyo askari kazi zao sa hivi ni kupiga na kuuwa
@mohamoudhussein45706 күн бұрын
Cha Msingi Musikubali kuchukua Maiti mpaka Ufanyike Uchunguzi wa Kimahakama yaani Corona's Court
@fidelismwakanyamale67876 күн бұрын
Kama walikuwa wanachukuwa vya watu kazikeni imeisha hiyo
Huyu Mama mtoto wake mwizi alikuwa anakula sasa hapa amekutwa na msiba kula tena
@lukomanomaliki54426 күн бұрын
Hata kama mwizi hawakutakiwa kuchukua Sheria mkononi kumpiga hadi kusababisha matatizo yaliyompelekea kifo chake. Wangempeleka mahakamani akahukumiwa Kwa mujibu wa Sheria,na wangesubiri mahakama itoe hukumu.