Рет қаралды 11,255
Mjasiriamali Yazidu Yassin wa jijini Dar es salaam ameamua kutumia takataka kujitengenezea mkaa ambao anautumia kwenye biashara yake ya chipsi.
Yazidu ambaye alijifunza ubunifu huo toka kwa mjasiriamali mwingine hivi sasa licha ya kuutumia yeye mwenyewe pia anawauzia majirani zake na hata jaamii inayomzunguka.
#bbcswahili #Tanzania #Biashara