Рет қаралды 36
Mazungumzo yangu na Aliyekuwa Mbunge wa Bunge la Tanzania (2010-2015) na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi (2010-2014), Goodluck Ole-Medeye na amesema Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alipoingia Madarakani alikuta taifa lipo katika hali mbaya ya kiuchumi kutokana na Vita vya Kagera kwani alithubutu kufanya maamuzi na mabadiliko.
Aliweza kuruhusu watu waweze kuingiza biadhaa kutoka nje ambapo awali haikuwepo na ndio mwaka 1992 kukawa na sera ya Uwekezaji kwa sekta binafsi kuchukua nafasi kubwa katika uendelezaji wa uchumi wetu.
.
.
#mussatzupdate #mnews #musabhai