Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine akifungua Maonesho ya Pili ya Kimataifa ya Biashara kwenye Viwanja vya SABASABA jijini Dar Es salaam mwezi Julai mwaka 1978
Пікірлер: 2
@JumaAyoub-y8lАй бұрын
Tunahitaji video nyengine zaidi za Hayatt waziri Mkuu Sokoine. Haswaa ili apokua akisema kua. Linalo wezekana Leo lifanywe Leo katu lisingoje kesho.