Nilipoitwa Ikulu Nilipata Mcheche/Sokoine Ni Balaa--PINDA

  Рет қаралды 77,252

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

#NYERERE#PINDA#SOKOINE#IKULU#
Nilipoitwa Ikulu Nipata Mcheche/Sokoine Ni Balaa--PINDA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Пікірлер: 92
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Mzee naheshimu maneno yako unayoongea Leo...ni mazuri na yenye maana kubwa.Hongera sana! Tatizo ni awamu uliyoitumikia haikutukumbuka wanyonge mkakumbatia maovu
@innocentzacharia8581
@innocentzacharia8581 5 жыл бұрын
Hongera sana mh waziri mkuu mstaafu kwa kuyasema haya nadhani wananchi wameelewa na wataelewa ulichokisema.
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
Huyu mzee mpole mno yaan angekuw kipind hiki cha magu angekuw afsa upelelez huy kwa upole wake anapelelez na kupat uhaki aonge kistaarab masha Allah mungu akutunze mzee Pinda
@jacksonmishwaro7016
@jacksonmishwaro7016 5 жыл бұрын
Na kweli mzee wangu..bila Mungu kwako isingewezekana...Yaani ni Neema na rehema tu..Tumsifu Mungu wetu..!
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Mizengo Kayanza Petter Pinda ninakukubali na ww ni kiongozi mzur sana sema serikali uliyoitumikia ni ndio ilikuwa balaa
@leonardkigutu7716
@leonardkigutu7716 5 жыл бұрын
Hongera sana waziri mkuu mstaafu kwa kusema ukweli..huu ndiyo ukweli
@Crownvalz
@Crownvalz 5 жыл бұрын
Huyu baba ninao ujasiri mkubwasana wa kumuita WAZIRI MKUU MSTAAFU.... Mungu ambariki sana.
@mohamedayoub8576
@mohamedayoub8576 5 жыл бұрын
Ahsante mzee wetu kwa elimu hii ya Historia
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 3 жыл бұрын
Mungu baba was haki na ukweli amina.
@donaldsamwel683
@donaldsamwel683 5 жыл бұрын
Mzee Mungu akulinde na akubariki Sana Wewe ni MTU makini,Mimi pia nimebaatika kukaa na Wewe ana Kwa ana Kwa kweli ni MTU makini Sana,na mnyenyekevu sana.kwa kweli na Wewe ni mtu WA aina yake,Una hekima mzuri.
@arthurfesto9026
@arthurfesto9026 5 жыл бұрын
Billy stay blessed baddie bunge likuhusu man
@bertinkimati2674
@bertinkimati2674 5 жыл бұрын
Umesema vizuri sana mzee Pinda. Kwamba ukiachia Nyerere viongozi waliopita hapo kati hawakuweza kupambana na rushwa kwa sababu hawakuwa wasafi juu ya rushwa. Leo hii tumempata Magufuli anayethubutu kuikemea na kuchukua hatua thidi ya walarushwa. Sasa iweje anawabaguwa watuhum8wa wa rushwa? Pili jambo la msingi sana umeacha kuliongelea ni kuhusu kufuata katiba ambako mwalimu Nyerere alifuata wakati wa utendaji wake. Hukituambia jinsi mwalimu Nyerere alivyotumia busara zake kujali maisha ya watu kwanza kabla ya vitu. Nyerere huwezi kumlinganisha na kiongozi yeyote na wala hajazaliwa hapa tanzania. Alikuwa mcha mungu na mnyenyekevu wa kweli. Hakuwa anaongea jambo kuligawa taifa. Alisimamia haki na ukweli hadi anakwenda kaburini. Aliwasikiliza watu aliowaomgoza na kujibu hoja zao kwa hoja zake hakurumia jeshi wala wasiojulikana hawatukuwasikia. Alikerwa na siasa chafu. Angekuwepo asingekubali kuona hela za wananchi zinatumika mabilioni kwenye chaguzi za kihuni kusaidia mbunge aliyeacha ununge alioupata yayari na kuutaka tena kwa mlango mwingine. Magufuli anafanya vitu vikubwa sana vinavyoonekana machoni mwa watu lakini kama hatafanya yale ambayo yatadumu mioyoni mwa watu bado baada ya kuondoka atabeba lawama kubwa nyuma yake. Maendeleo ya nchi yanaegemea vitu muhimu vitatu. Elimu,siasa safi na uongozi bora. Ukipima kwa njia hiyo utagundua kuna mapungufu makubwa na hilo ndilo lililoporomosha hata nchi kubwa duniani.
@mohammedjuma-vb7no
@mohammedjuma-vb7no 5 ай бұрын
Lollipop🎉i😮k😅😅ko😅kkokk😅😅o😮yokmii😅🎉😮kt😮🎉rikrrirrturrttuukitriuuruttuykuk it I'm amgklln..j.nmnmnvthyyht😢thyhupp🎉u Np
@ramadhansylvesta1952
@ramadhansylvesta1952 5 жыл бұрын
Big up sana Mzee wangu
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 3 жыл бұрын
Safi sana
@deogratiashaule5224
@deogratiashaule5224 5 жыл бұрын
baba Pinda Umenena. asiyekubali mchawi
@simbabbq4427
@simbabbq4427 Жыл бұрын
Ikulu utaitwa kufirwa nenda tu
@sudeysmfaume5800
@sudeysmfaume5800 5 жыл бұрын
Very interested story...
@gwakisakaswaga5249
@gwakisakaswaga5249 5 жыл бұрын
Moral authority inamsaidia sana mh. Magufuli. Watangulizi wake were too corrupt wasingeweza kupambana na mdudu rushwa.....
@ezekielmwinami9154
@ezekielmwinami9154 5 жыл бұрын
Gwakisa Kaswaga aacha kuwakamata kamata wapinzani sasa akubali kukosolewa tu maana kiongozi yoyote ni jalala kila uchafu utatupiwa wewe na kuwabeba watu fulani fula bana kama wakuu wa mikoa
@lennygeorge9165
@lennygeorge9165 5 жыл бұрын
Namkumbk huyu mzee akiwa waziri mkuu n MTU mweny busara lkn kilichoharibu ni aina ya kiongoz aliekuwa juu yake
@patiencensula5232
@patiencensula5232 5 жыл бұрын
chaguwa lunga moja bana
@christinamonyi4275
@christinamonyi4275 5 жыл бұрын
Oyooooooo good.
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 жыл бұрын
Yaani huyu amestaafu kajichimbia kwao huko analima
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 5 жыл бұрын
Anapiga zake Pesa Balaa huko na Marupurupu yake ya Uwaziri yako Pale Pale.
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 3 жыл бұрын
Kumbe ulikuwa usalama wa taifa we mzee nani amegundua huyu mzee alishakuwa usalama taifa?
@merdaniely4775
@merdaniely4775 5 жыл бұрын
Kaka Bill nakupata, naona upo kulia mwa waziri Mkuu mstaafu. Tumesoma wote Chuo kikuu smmuco tumekosa ajira, sasa mwenzetu upo mambele tayari.
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 5 жыл бұрын
Una taaluma gani?
@merdaniely4775
@merdaniely4775 5 жыл бұрын
Nina taaluma ya ualimu level ya degree
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 5 жыл бұрын
Duh! Natafuta mchumi, marketing officer na IT. But check me 0765109287 tuone namna gani tunaweza kusaidiana
@idelphoncefrolian9067
@idelphoncefrolian9067 5 жыл бұрын
Hahahahaaaaa acha wivu weweeee hahaaa umenivunja mbavu sanaaa
@mawaidhatv8557
@mawaidhatv8557 5 жыл бұрын
Umeongea point mzee Lakin ninavyo wajua tm nyumbu mhh!!
@mawaidhatv8557
@mawaidhatv8557 5 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye miwan nimtoto wa kasim majaliwa
@prospermakela7791
@prospermakela7791 5 жыл бұрын
Kweli brother?
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 жыл бұрын
acha uongo ww
@allykigatta7564
@allykigatta7564 5 жыл бұрын
Unamaanisha wamefanana au unamaanisha ni kinda lake kwa hakika???
@emmanuel1479
@emmanuel1479 5 жыл бұрын
😂😂😂
@arthurfesto9026
@arthurfesto9026 5 жыл бұрын
Uyo jamaa anaitwa billy mtu wa dodoma kasoma smucco ni muhitim pale Education degree
@kasianmabele8546
@kasianmabele8546 Жыл бұрын
Ninyi wa staafu; badala ya kumshauri mkuu wa nchi pekee,mnapaswa kutoka adharan na kuonyesha mwelekeo wa taifa letu,ili kulinda mazuri mliyo ya pambania yaweze kuishi kwa maendeleo ya taifa,badala kukaa pembeni na kuwa watazamaji (tunu)
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 5 жыл бұрын
Lakini we mzee PINDA ulitakiwa kuwa PM wa JPM yaani hapo Serikali ingekuwa imenyoooooooka 100% dadadek😂😂😂🤣🤣🤣Maana hakuna namna WAPIGWE tuuuuu
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Umesema kweli yani Pinda ni jembe sema serikali aliyoitumikia balaaa
@allirajabu8146
@allirajabu8146 5 жыл бұрын
kweli tupu
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 5 жыл бұрын
hongera baba pinda
@MohamedAli-qt2iw
@MohamedAli-qt2iw 5 жыл бұрын
sasa mzee vp wale wahujumu walio fungwa na wengine aliotaifishiwa mali zako walifidiwa na mzee mwinyi? ina mana serekali ilikosea na je ? wewe unazifananisha na hii pia inakosea
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Umesema ukweli wako. Mimi binafsi nilimwona John Pombe tangu 2010, nikasema CCM wasipokuja kumpa huyu nafasi ya Urais au kugombea 2015, BASI, hiki chama kitamfia JK mikononi mwake. Nilipoona amechukua fomu ya kugombea bado niliendelea kusema yaani wakiteleza tu wakamwacha hiki chama ccm bye bye. Nilipoona ameingia ndani ya tatu bora nikasema hapo wameota ndoto njema na watapeta, pamoja na vuguvugu la Mh. Lowasa lkn niliamini kuko salama CCM. Ninachotaka kusema hivi sasa, Magufuli aendelee kuchapa kazi aachane na kelele za vyura. Hata ikiwezekana hao wapinzani asihangaike nao. Ila kama maamuzi ya awali wakafanye mikutano kwenye maeneo yao, watafute wanachama kwenye maeneo yao husika, habari ya mikutano kuzunguka kama wana kampain wangoje wakati ukifika kwa sababu kwa kufanya hivyo wataanza tena kuutumia UHURU ule usio na mipaka na kuifanya nchi kutoongozeka. Maana wataingia vyuoni, makanisani na umbeaumbea. Tunaona nchi kwa sasa ilivyo, kila kona watu wako kazini kwa bidii na makatapila kila kona. Enzi za nyuma makatapila yalipack pembeni. Kandarasi anapewa pesa akiishakutoa kumi per cent naye analala mbele, wachache tunaendelea kuzitafuta pesa kwa jasho. Leo wote tunaenda kisawasawa hadi kieleweke. Reli, ndege,barabara, shule madawati sisikii kelele, vituo vya afya, hospital, nidhamu, Rushwa, kodi, madini tanzanite, heeee! Nampa tano. Na haya yameendelea kutendeka ndani ya miaka 3. I love you Tingatinga Magu and I say BIG-UP.
@richardsoka2400
@richardsoka2400 5 жыл бұрын
Margareth Solomon You are quite right. Lakini hatujampata Waziri Mkuu bora kama Edward Moringe Sokoine tena, kama Rais Dr Magufuli angalipata Sokoine wa pili (kwani Magufuli ni Nyerere wa pili!) mambo yangalikuwa kwa kasi zaidi na msaada mkubwa kwa Rais! However so far we are on the right track and happy. Nchi ilikuwa imekwisha! Kudos Rais Dr Magufuli.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
yani hata Mimi ninge tamani huyu jamaa angekuwa wazili wa ulinzi wa jpm mbona watu wange nyooka
@emmanuelsiwale6160
@emmanuelsiwale6160 5 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa kaongea point tulitaka mtu mkali sio anaechekacheka
@petergasaya2445
@petergasaya2445 5 жыл бұрын
Rushwa hapo bora mh pinda angenyamaza maana rushwa baada ya Rais kuwepo madarakani imekuwa ya wazi zaidi mana yeye anahamisha wapinzani kwa kuwapa rushwa na kuwahonga rushwa ya vyeo.
@alihamad6046
@alihamad6046 5 жыл бұрын
Swahili pls
@georgebalilemwa3305
@georgebalilemwa3305 5 жыл бұрын
Hata baadae mtakubali tunayosema.sasa. Hapo baadae akiondoka mtaongea mengine.
@feiz3180
@feiz3180 5 жыл бұрын
Pinda anaongea ukweli kwa namna aujuavyo yeye. Sisi wazanzibari tumedhulumiwa na chama chako na hilo haliongelewi. CCM wamemalizika kisiasa Zanzibar na hakuna njia ya kukifufua. Dhuluma muliofanya kwetu haikubaliki. Kama kweli Magu ana pambana na maovu basi arekebishe uovu uliofanyika zanzibar.
@jumabeku324
@jumabeku324 5 жыл бұрын
Simba vs kmc
@ephraimkanyambo4829
@ephraimkanyambo4829 5 жыл бұрын
Kumbe ni junior minister kwa Dr Magufuli kwasababu kwa MIAKA 5 akiwa msaidizi wa Mkapa Dr Magufuli ashakuwa mbunge na waziri kamili
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 5 жыл бұрын
Hiyo haiwezi kuzidi CV yake. Amekuwa karani wa Baraza la mawaziri kwa miaka 27. Huyu mzee ana CV ya kufa mtu kwa wanasiasa ya Tanzania. Anafahamu siri za Marais wote 4 waliomtangulia Magufuli
@samsonmwankosole375
@samsonmwankosole375 5 жыл бұрын
Uboya wa kusifiana
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
hivi nyinyi kuna wakati wapinzani walishika nchi hii ?
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Samater Yusufu, unadhani ni mpinzani yupi wa kushika nchi kati ya unaowaona kakangu. Mseme tu hata angalau mmojawapo achana na anayekula pension ya zaidi ya miaka 70. Huyo amevuka kwenye kuiongoza nchi kwa sasa.
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
@@margarethsolomon9823 soma hoja yangu vizuri tafadhali
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
@@samateryussuf5938 oky kaka ahsante.
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
@@margarethsolomon9823 Tundu Lissu , Peter Msigwa , Zitto Kabwe, wote hawa ni hazina ya Tanzania , ccm inatupeleka pabaya dada yangu , unaona yanayoendelea Sudan sasa , El Bashir hafiki 2019
@venstonvedasto
@venstonvedasto 5 жыл бұрын
Huyo jamaa mwenye miwan anaitwa Bill mhuni kisenge anapenda chupi huyo heeeeeeeeeeeeee alivotulia utadhan mbuzi mtoto kumbe nyang'au tu
@psitz4378
@psitz4378 5 жыл бұрын
Hahahahaaaa.....asee nimecheka mpaka machozi ...daaah
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 5 жыл бұрын
Hahahahaha we jamaa chiz kweli umenichekesha
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 4 жыл бұрын
Huyo mhuni toka longi ,hiyo n chezea mbali na watoto
@eliabuilding4667
@eliabuilding4667 5 жыл бұрын
Mzee umeongea vzr'lakini wewe ulifanya nin kuhusu wezi wa nchi hii?mbona ulikuwa kimya tu ulishindwa na mkapiga hela sasa mnakula tu.
@nicodemuhamaro5533
@nicodemuhamaro5533 5 жыл бұрын
Nawaambieni hivii.HUYU NI RAISI WA UKWELI NA ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA USAHIHI.KWA SASA HATUHITAJI UPINZANI HADI 2025 KWENYE KAMPENIII.HONGERA MHESHIMIWA RAIS ENDELEA KUZILINDA RASILIMALI ZETU NA AMANI YETU.
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 5 жыл бұрын
Huyu Mzee ni mhuni tu kama ni kweli aliishapita katika Tawala zilizopita na kuona zinavyofanya kazi ni nini kilichomfanya yeye ashindwe kuyafanya yale waliyoyafanya wenzake wakati akiwa madarakani????? Huyu bwana alikuwa Waziri Mkuu ni kitu gani hasa kilichomfanya asipinge kwa nguvu Rushwa na Ufisadi wakati akiwa Waziri Mkuu. Sasa anatuletea hadithi zake za abunuasi. Kwenda huko huna lolote na wewe ulikuwa fisadi tu
@atikombogolo2356
@atikombogolo2356 5 жыл бұрын
Mzee ukimfuatilia alikuwa jembe sana sema Mamlaka za Juu zilikuwa zinambana. Kama unakumbuka ishu ya Wazir Ngeleja By then alivyoitema nadhani kuanzia hapo utaelewa kama Mzee alikuwa mtata ila shida ilikuwa Mamlaka ya juii
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 5 жыл бұрын
Theodore, hivi umemsikiliza au unamchanachana tu. Yeye amejieleza wazi kuwa watu tunatofautiana. Lkn pili yeye hawezi kuvuka sikio kwa kipindi hicho. Ni lazima afuate matakwa ya aliyekuwa Rais, kama unavyoona kwa Kasimu Majaliwa. Hawezi kupingana na Mh.Magufuli. Hapo Kasimu piga ua anakimbizana kwa.kila namna ili aendane na tingatinga vinginevyo kusahauliwa na Magu ni rahisi tu.
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
thank you
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
@@margarethsolomon9823 Umeongea pointi sana lakini kwa nini mlimwita Lowasa fisadi wakati mnajua kuwa mkuu akisema saini hapa hakuna objection!! Namsifu sana Lowasa, ni mtu wa Mungu sana ameendelea kutunza siri za kiapo chake, anatukanwa, ananyanyaswa lakini ananyamaza tu. Mungu ambariki duniani na ahera. Huyu yeye aliniudhi alipotamka "wapigwe tu" kauli yake itamhukumu siku ya mwisho. Nimwombe tu, kwa kuwa alitamka hadharani kwa hasira basi aifute hadharani ili mazwazwa yasiendelee kuifanyia kazi kauli yake. Wataniita MCHOCHEZI ,...
@josephmalisa3432
@josephmalisa3432 5 жыл бұрын
ACHA ACHA Kabisa kuongea mseto wa lugha unapoongea na watanzania huo ni ulimbukeni na ushamba wa kina
@KnowledgeClass.
@KnowledgeClass. 5 жыл бұрын
8:42 hapo tumeelewa ina maana serikali iliyopita viongozi mlikuwa hamuwezi kupigana na rushwa sababu mlikuwa pia mnashiriki? naomba kueleweshwa. LAKINI HONGERA KWA KUWA MKWELI MIZENGO PINDA
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
huyu mzee aliiiba IPTL , sasa ana kiki ya kusifia nyerere?
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Samater Yussuf duu!!hupumziki. hebu tuache kidogo
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
@@freddymello3227 tutapumzika tukianza kupiga nyundo kichwani watu kama wewe , kwa nn usife kwa nchi yako ???
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Samater Yussuf ,mnatakiwa mpumzike bhana....tujenge nchi yetu pamoja. haya mambo ya kupinga pinga hayako vizuri!! Tunahitaji mchango wenu kama Taifa. Hivi vyama vinapita maisha yanaendelea ndg yng
@samateryussuf5938
@samateryussuf5938 5 жыл бұрын
@@freddymello3227 unazungumza pumba bado , mchango umekwisha muda mrefu, TZ haina Katiba huru , haina tume huru ya uchaguzi, nchi hii desturi yake ni ccm , utawala wa weusi wachache toka uhuru
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Samater Yussuf ,haiko hivyo hizo ni chuki na roho za kishetani walizowapandikiza hao jamaa. na kuhusu haya maelezo uliyotoa hapo ndio sababu ya Mimi kutowaunga mkono wapinzani. maana wamesahau mambo hayo ya msingi mfano:- katiba mpya,Tume huru ya uchaguzi,uboreshaji wa daftari la wapigakura wao wamebaki na siasa za Kiki na matusi na kuhamasisha chuki katika jamii.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
yani hata Mimi ninge tamani huyu jamaa angekuwa wazili wa ulinzi wa jpm mbona watu wange nyooka
@jumabeku324
@jumabeku324 5 жыл бұрын
Simba vs kmc
"Hela ni Zangu, Nipe Nikafe Potelea Mbali" JPM- Ikulu
8:19
Global TV Online
Рет қаралды 198 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 63 МЛН
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3,3 МЛН
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
CHOZI LAZIMA LIKUTOKE | ALICHOKIFANYA MWANDALE MBELE YA RAIS SAMIA
17:27
KUMBUKIZI YA HAYATI MORINGE SOKOINE
49:25
TBConline
Рет қаралды 497
HII NDIO HISTORIA YA SOKOINE NA JINSI KIFO CHAKE KILIVYOTOKEA
7:19
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН