No video

HD VIDEO: RC ALLY HAPI AFOKA, TAZAMA ALIVYOAGIZA POLISI WAMCHUKUE MENEJA WA BENKI NA MWANASHERIA

  Рет қаралды 1,235,990

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 831
@godblessmwangilla168
@godblessmwangilla168 5 жыл бұрын
Aliegundua Yunusi ni Boyfriend mjanja anae kwenda na wakati Gonga like twende sawa.
@abdallahhadaika2131
@abdallahhadaika2131 5 жыл бұрын
Kazi nzuri nakukubali mzee baba kazi kazini kazi na vitendo bana kama umekubali gonga like twende sawa
@amanihare21
@amanihare21 2 жыл бұрын
Hapo sawa kabisa nakubali kazi yako hongera!!Mungu akupe nguvu na ujasiri katika kazi yako🙏🙏
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏 Episode 2 naomba,Mungu akueke Muheshimiwa Uzidi Kuokoa Wanyonge.
@mbeyauwsa5848
@mbeyauwsa5848 5 жыл бұрын
Mwanasheria wa Bank huhuuuuuu. gonga like twende sawa
@francinesimirra4202
@francinesimirra4202 5 жыл бұрын
WOW wow Amazing Mungu akuongezeye ekima kama ya sulemani wewe ni msaada kwa taifa lako 👏👏👏👏👏👏👏👍
@sajubwax9335
@sajubwax9335 5 жыл бұрын
Francine Simirra ska
@anosisyemwaipopo466
@anosisyemwaipopo466 4 жыл бұрын
Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana
@patrickfulano5282
@patrickfulano5282 2 жыл бұрын
Good , mkuu wa mkoa kazi Nzuri Sana big up
@didahassanhassan687
@didahassanhassan687 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa. Kwa hili. Nakupa kura yangu. Love you.tena mwaaahhhh. From Kenya mombasa
@garamabe6891
@garamabe6891 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣 uko na kiu sana
@hababisamade7283
@hababisamade7283 4 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa mkoa
@bethkamau6037
@bethkamau6037 4 жыл бұрын
Aki huyu mku wa mkoa so akuje afunze wakwetu kusimama na ukweli
@aminasaleh6134
@aminasaleh6134 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa upo sw nakukubal mung akupe umri mrefu
@fatmazenafzena917
@fatmazenafzena917 5 жыл бұрын
Daaa wanyonge wengi masikini ....Alhamdulillah tumepata watetezi... Allah awalinde zaidi na zaidi
@idrisahussein3869
@idrisahussein3869 5 жыл бұрын
Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.
@niccolomachiavelli6057
@niccolomachiavelli6057 5 жыл бұрын
Aliyecheka Kama Mimi baada ya kugundua kuwa na Yunus yupo kwenye mkutano gonga like 😂
@jamessyria6649
@jamessyria6649 5 жыл бұрын
Serikali ya sasa mambo mazuri kweli nampongeza sana RC wa iringa kwa kupigania haki ya wanyonge mungu akutie nguvu
@poureenkunambi6413
@poureenkunambi6413 5 жыл бұрын
Edsson Nzingo nmecheka saaaana
@niccolomachiavelli6057
@niccolomachiavelli6057 5 жыл бұрын
Kunambi,mimi nilicheka sana siku hiyo kwa sababu Before nilijua aliyechukua mkopo Alisha sepa zamani
@poureenkunambi6413
@poureenkunambi6413 5 жыл бұрын
Edsson Nzingo namie nmecheka hpa baada ya kumuona yunuc akiibuka ndan ya ukumbi aaaaakhaaaaa
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@saadakigalu7211
@saadakigalu7211 5 жыл бұрын
Safi mkuu wa mkoa I love it ....wanyonge wanaonewa mno
@fatumahirbotuke1663
@fatumahirbotuke1663 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah mkuu wa mkoa Allah akuzidishie kila la kheri..kweli wanyonge watapata haki kwa kazi yako nzuri may almighty Allah bless you from +254
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 4 жыл бұрын
Swadakta safi naomba sehemu ya pili ln Sha Allah ilinione vpwali waclisha viyeti safi i salute u Bro from saudi
@Ntambwe4040
@Ntambwe4040 4 жыл бұрын
☆☆☆ after Magufuli this guy need to take it over ☆☆☆ Tanzania itaendelea kusonga mbele. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Magufuli kachagua kweli. Yani hakuna mbabaishaji ktk uongozi wake. Big up Mr PC
@isayangonyani2678
@isayangonyani2678 2 жыл бұрын
Aise Alli Hapy. safi kazi nzuri sana
@tunuagriproducts9649
@tunuagriproducts9649 4 жыл бұрын
Kama unasubiri part 2 ya hapa gonga like hapa
@denicymichael6284
@denicymichael6284 4 жыл бұрын
Tunu Agriproducts natamani uo mwendelezo
@watuwawili5168
@watuwawili5168 5 жыл бұрын
He was very smart. Mungu akubariki brother
@msomisongoma9715
@msomisongoma9715 5 жыл бұрын
mungu akutangulie kazi njema sana kwa wananchi
@sistimasawe5936
@sistimasawe5936 5 жыл бұрын
Kama na wew umegundua benk wanatoa mkopo kwa hati ya photocop gonga like twende zetu
@ifruitx2096
@ifruitx2096 5 жыл бұрын
Sawa sawa mkuu wa mkoa hivi ndio kazi inafanywa bwana hata mungu anaona unachokifanya😁😁
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Hakika
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 5 жыл бұрын
Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work
@lugayilajohn6269
@lugayilajohn6269 5 жыл бұрын
Ninoooma Mbaba hapa kazi tuu kaka Upo sawa
@lugayilajohn6269
@lugayilajohn6269 5 жыл бұрын
Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi
@FausitnePonera-fq9pj
@FausitnePonera-fq9pj 6 ай бұрын
Magufuri ana vijana wazuri sana ukimwangalia happy kama makonda
@skinnygypsy8629
@skinnygypsy8629 Жыл бұрын
Yeah huyu sasa safi sana kama rais magufuli
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 5 жыл бұрын
Asante sana awamu ya5. Hingekua zamani wanyoge wanazulumiwa.
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 2 жыл бұрын
Leo nimeipitia hi kuangalia mala mbili siku niliposikia kaondolewa niliumia kama na mfahamu kuna hii na ile ya baba aliyelazimishwa kuhama na kubomolewa nyumba ya ile harambee ya kucahngiwa kwenye mkutano namkubali sana. Ally Happy mwenyeezi mungu atakujalia huenda rizki yako imeisha ila ina imani kwa uwezo wa Allah kuna kheri kubwa inakuja mbele yako
@aishasarumujuma1606
@aishasarumujuma1606 Жыл бұрын
Hapi haikutakiwa aondoke iringa mungu mjalie hapi jaman
@nyambelewinfrida9074
@nyambelewinfrida9074 5 жыл бұрын
Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 5 жыл бұрын
Hao jamaa bank wapumbavu kweli,hongera sana mkuu wa mkoa kumsaidia mwanamke mmoja ni sawa na kusaidia wanaume mia 100.
@oscartatrino1714
@oscartatrino1714 4 жыл бұрын
Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.
@japhydejerry2908
@japhydejerry2908 3 жыл бұрын
Fredy Tarimo nakuona boss wanguu😆😆😆 kahama tuko pamoja
@neema-ee6qm
@neema-ee6qm 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aspaslove113
@aspaslove113 5 жыл бұрын
Kama unaomba part2 kama Mimi gonga like tujuane hhhhh
@albertmwinde487
@albertmwinde487 5 жыл бұрын
Hongera sana may Ally Happy New kazi nzuri God bless you
@mbwanaomary7537
@mbwanaomary7537 5 жыл бұрын
Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi
@taifocuscompany9246
@taifocuscompany9246 5 жыл бұрын
Huyu RC anaugusa moyo wa MUNGU moja kwa moja.
@jozostationery191
@jozostationery191 5 жыл бұрын
yes
@marthamasue4009
@marthamasue4009 Ай бұрын
Ally Happy hoyeeeeeee. Mungu akulinde kabisaaaa
@adammwakosya4325
@adammwakosya4325 5 жыл бұрын
Well done RC happy we need such kind of leadership.
@khamisseif636
@khamisseif636 2 жыл бұрын
....
@jacksonnyange701
@jacksonnyange701 2 жыл бұрын
Ùùùùuuùù
@muddah7559
@muddah7559 2 жыл бұрын
Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.
@thegreatsource2953
@thegreatsource2953 2 жыл бұрын
Huyo RC ni hamnazo, anajifanya kujua wakati hajui kuwa hajui😏
@hashimbakari4670
@hashimbakari4670 2 жыл бұрын
@@khamisseif636 llllll
@ibrahimmawazo7165
@ibrahimmawazo7165 5 жыл бұрын
Nampenda sana mkuu huyu wa mkoa.. yaani ana hoji FACT tupu.. Mungu akulinde na kila shari...
@johndismas2562
@johndismas2562 2 жыл бұрын
Very good,,I appreciate RC Mungu akubariki sana
@paulbruno9817
@paulbruno9817 5 жыл бұрын
I admire you Mr.Rc Happy I love your job!
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 2 жыл бұрын
Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 жыл бұрын
wanyooshe baba safiiiii👏👏👏👏👏👏👏well done Happi.
@clintonaward7580
@clintonaward7580 2 жыл бұрын
Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Inauma sana.
@goldendaisy187
@goldendaisy187 5 жыл бұрын
Mbona Tanzania kutamu jameni,I love this mkuu wa mkoa
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 жыл бұрын
Yunusi karika futi mia kuwa dhaman si nyumba😂😂😂
@teddygidamuhale9405
@teddygidamuhale9405 5 жыл бұрын
Radhia Salum habsri
@abdulmelele7322
@abdulmelele7322 4 жыл бұрын
Yunus konyo kwel😂😂😂😂😂
@mwamvitasaidi757
@mwamvitasaidi757 4 жыл бұрын
Uko mbali mkuu wa mkoa ungekuwa karibu ningekupa mkono hongera Sana inshallah mungu akupe maisha marefu inshallah
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 2 ай бұрын
Ahsante muheshimiwa kura yangu kwako haina mjadala..hongera sana
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Enzi za magu si za kuleta ujinga ujinga!!!!! Congratulation RC Hapy
@quentinsylvia3877
@quentinsylvia3877 2 жыл бұрын
Hongera sana Kwa kazi na msimamo uliouonyesha hapo .m.mungu akusimamie inshallah
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 жыл бұрын
Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Wanyemakosa hao maafisa ata sis tumevunjwa nyumba mpk leo wazazi wangu wanahangaika na hatuna msaada
@hellenj270
@hellenj270 4 жыл бұрын
Tungekuwa na viongozi kama Hawa Tanzania ingenyooka 😍😍😍
@susananyasani6526
@susananyasani6526 5 ай бұрын
Super Mkuu wa Mkoa maamusi ya Kibinadamu hongera sana katika haki unazotumia kwa Wananchi
@jkjonathanlabel4498
@jkjonathanlabel4498 5 жыл бұрын
Hivi ndivyo mungu atakavyo hukumu siku za mwisho tena itakuwa zaidi ya hapo
@elishamdack7449
@elishamdack7449 5 жыл бұрын
JK JONATHAN J Ic
@sadickwalker2795
@sadickwalker2795 4 жыл бұрын
Kabisaaaa.
@eliamugini6160
@eliamugini6160 4 жыл бұрын
Huwezi kulinganisha hukumu za mwenyezi MUNGU na za hapi
@kasimpongwa5178
@kasimpongwa5178 5 жыл бұрын
kaka HAPI ongera kwa kutenda haki mwenyezi mungu akubaliki sana katika kazi yako ,
@williammajani2152
@williammajani2152 5 жыл бұрын
Miongoni mwa maamuzi aliyofanya Raisi Magufuri yenye kuvutia sana ni pamoja na kukuteua wewe kuwa mkuu wa mkoa Big Up kaka Mkubwa chapa kazi
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 5 жыл бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗✊✊✊✊✊✊💪💪💪💪💪💪awamu ya5 waishi waishi waishi tu sinamashaka nao wamekuja kulikomboa taifa dakika za mwisho maana majanga yenyewe mara 2007 mara 2011 ukisikia mambo yazamani yanang'ariswa ujue yamepata mtakasajio
@kaluluu2011
@kaluluu2011 2 жыл бұрын
Dah . Eti Alf wanampiga chini .mungu TUNAOMBA WekA alama juu ya walioshiriki kumtoa na kuspoti kumuhuumu ALLY HAPP MTETEZI WA HAKI NA WANYONGE. EEHH .WEKA ALAMA KWA HAWA WALIOMUHUJUMU ALLY HAPP.
@Hancy_barrow
@Hancy_barrow 2 ай бұрын
Hiiii ndo Tanzania 🇹🇿 yetu hatari sana 😂😂
@f.a6043
@f.a6043 2 жыл бұрын
Tumeimiss sana hii mikutano big up Ali hapi!
@abdishukrisheyhow2251
@abdishukrisheyhow2251 4 ай бұрын
Ah Tanzania is the best country in East Africa.
@twahasaidi7578
@twahasaidi7578 2 жыл бұрын
Huyo magufuli kafufukani kumbe kunamasihi mwengine tumpeleke ikulu jamani from kenya nairobi kenya tunataka watu kama hau
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 5 жыл бұрын
Muheshimiwa hao.niwaizi hao.mungu akupe afya njemaa mkuu wamkoa
@reachthegoal7624
@reachthegoal7624 5 жыл бұрын
Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 2 ай бұрын
Safi sana mkuu usikubali matapeli hao wanatutesa sana
@ndegeofficial9928
@ndegeofficial9928 3 ай бұрын
My future president
@alpheondanzi2544
@alpheondanzi2544 4 жыл бұрын
Mh leo umekuja kimya kimya mtaani kwetu daah Nazidi kukuombea tu Mungu akuzidishe na akuangazie Nuru yake na kukupa Amani #allyhappy
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa baba baba baba ongera mungu akupe maisha marefu baba
@gm7045
@gm7045 5 жыл бұрын
Magufuri kachagua safi yaani baba na mtoto photo copy👍 Hio ni unyanyasaji kwa mama huo..usiwapatie time hao wizi wanataka kuenda kutapeli hizo karatasi.. Mkuu wa Mkoa Mungu akubariki👏👏👏👏
@user-ok9mi5uq6y
@user-ok9mi5uq6y 4 жыл бұрын
Hongera kwa kazi mzuri. Mkuu wa mkoa
@prospermosha3410
@prospermosha3410 4 ай бұрын
umetisha mzee baba
@dianadominic701
@dianadominic701 5 жыл бұрын
Ally Salum Hapi tumekua wote kambini nzega ulikua msafi na mtanashati ila haukua muongeaji, aseee nakukubali sana
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 5 жыл бұрын
Umeonaa jembe ilo saiv tuna vichwa viwili bashe na ally
@abdigiro7701
@abdigiro7701 2 жыл бұрын
Unafanya kazi nzuri lakini wanadamu hawataki ukweli chunga maisha watakuwa adui yako ndugu yamgu
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 5 жыл бұрын
Long long life ally happy maisha marefu.
@jumamgema3356
@jumamgema3356 5 жыл бұрын
Happy nakuelewa kaka
@mariamlucas6922
@mariamlucas6922 Жыл бұрын
Hawa ndo wanaotakiwa sasa kuendesha nchi naokuombea mungu akupe nguvu uje uwe rais utengeneze nchi
@saidyahmad3985
@saidyahmad3985 2 жыл бұрын
Hongera Sana mkuu wa Mkoa uko vzr Sana Kwa utetezi mungu akulipe
@stevenjackson4985
@stevenjackson4985 2 жыл бұрын
Viongozi kama hawa ndio wanapigwa vita tena na wapinzani wa JPM. Hatari sana.
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 2 жыл бұрын
acheni umbeya
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 жыл бұрын
Alli ni MCHAPA kazi sana na anamfano Mungu tu anajua na atakulipa. Mengi sana umewasaidia wana Hilinga. Mwachie MUNGU ATSKUSIMAMIA
@rocketwambua
@rocketwambua 6 ай бұрын
Kweli suleimani wapo sana hekima hii nimeipenda
@marianmartin7483
@marianmartin7483 6 ай бұрын
Ali hapi kaka, unanikumbusha mbali sana. Lkn leo namuona Makonda anafanya kazi yako. Nakuombea urudi maeneo yako.
@mudhakirudauda7933
@mudhakirudauda7933 5 жыл бұрын
Tangia Ally Happi akiwa DC na sasa RC sijawahi mkubali ila kwa hili big up brother. Bank zimewafilisi wengi hivi
@katunziegidia5965
@katunziegidia5965 5 жыл бұрын
Am seeing you Mr Mudhakiru.
@jacksonrwechungula9479
@jacksonrwechungula9479 4 жыл бұрын
Daaah mungu akuongezee nguvu kiongozi we ni mtetezi
@gregoirelubuya7587
@gregoirelubuya7587 2 жыл бұрын
Kiongozi Bora huyu TZ tungefika mbali Sana asante kijana unazidi hata wazee Hadi wastahafu
@christinetimothy5805
@christinetimothy5805 5 жыл бұрын
Nimegundua Tanzania tunaibiwa sana haki zetu kwakutojua sheria.jamani kusomea kitu siompaka uje ukifanyie kazi vingine kwajili yakutusaidia wenyewe.
@EK-kp2np
@EK-kp2np 5 жыл бұрын
Anaomba time ya kutengeneza nyaraka za kughushi 😁. Eti benki imefungwa, na yeye ndo meneja, awamu hii watabadilika tuu, mama alindwe jamani watu wa jinsi hiyo hawakawii kupoteza ushahidi
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 5 жыл бұрын
Makondo angekuwa kam huyu ingekuwa bomba
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 5 жыл бұрын
Wengi walidhulimiwa majumba na bank wakishirikiana na wahindi au na watu majizi wasio na hofu ya Mungu wakinunua haki kuanzia polisi mpaka mahakamani kweli sijui kesho kwa Munyu watajibu nini
@edwardbusweru663
@edwardbusweru663 5 жыл бұрын
Ally hapi ni kiongozi mzalendo .Namheshimu saaaana popote alipo na molla amrehemu
@Bless-sk8uv
@Bless-sk8uv 4 ай бұрын
😂😂😂😂 aliye sikia meneja anasema mimi sio mwenyeje sana hapa🙆🙆🙆🙆 alafu kuna jamaa yupo kushoto wa mkuu wa mkoa kainua kichwa juu😂😂😂😂😂 gonga like
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 4 жыл бұрын
hapa kuna kamchezo walikicheza hawa watu maana yunusi kakataa kama kaweka nyumba zamana yeye anasema aliweka vitu vya ndani asante mkuu wa mkoa safi sana magu ajakosea
@salimamiri8914
@salimamiri8914 2 жыл бұрын
Kweli wewe ni kiongozi, mtenda haki mungu akupe maishaa marefu , siku moja ,uwe waziri
@user-pt4uf3he7d
@user-pt4uf3he7d 6 ай бұрын
Mungu akulinde sana na ukuweke akika.unatenda Hali kwa mungu na wanamchi pia unastaili mauwa Yako kwa muumba wetu
@user-oh8bn3vg2w
@user-oh8bn3vg2w 5 жыл бұрын
Mungu akutangulie mkuu hiyo kazi ninzuri sana
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 6 ай бұрын
Hongera hapi umenifurahisha mama samia nikushawishi ukipita uchaguziujao teue ally hapi awe waziri mkuu
@omaryiddi7454
@omaryiddi7454 2 жыл бұрын
Hv ni kweli kuwa wema hawaishi??? Alli Happy MUNGU AKUBARIKI
@saudangalleni388
@saudangalleni388 2 жыл бұрын
Asante muheshimiwa mambo kama haha yapo watu wanazurumiwa mama yang alibomolewa nyumba
@jamessitati7396
@jamessitati7396 5 жыл бұрын
Kwani huyo muhindi sio mtanzania, mbona hamutumi jina lake, sisi wafrika tunabangua watu sana, sio vizuri, lazima tuishi kama familia moja.
@nnalido2407
@nnalido2407 5 жыл бұрын
James Sitati wao wanavyotubagua huko kwao huon au
@tonykisogole6710
@tonykisogole6710 5 жыл бұрын
Kuwa sio raia hakuzuii mtu kununua bidhaa
@nasskamwaya8745
@nasskamwaya8745 5 жыл бұрын
uje huku kwao uone wabavyotubagua tena anamuita vzr aseme hata kitumbo
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 5 жыл бұрын
James Sitati huyo fala kamtaja Mhndi,Mhindi ana kosa gani,kama siyo undina
@kulwamakango2909
@kulwamakango2909 2 жыл бұрын
Mungu akizidishie mkuu wa mkoa , kw maamuzi ya kijasiri.
@hamadiathumani5018
@hamadiathumani5018 4 жыл бұрын
Safi sanaaa baba kweli wananchi wanaumia sana.
@aishaail4455
@aishaail4455 5 жыл бұрын
Watu wa bank ,wezi wanapotoa mikopo huwa hawalengi kumsaidia mkopaji bali ni kumkandamiza na kujinufaisha wao.
@johnyusuph3221
@johnyusuph3221 5 жыл бұрын
Ally Appi wew ni zaid upo vizuri safi san
@barakakimario1446
@barakakimario1446 4 жыл бұрын
Awishi brother siku ningekuona ungechukua nusu ya urithi Wang piga kazi mchaga naisaport iringa juu
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 жыл бұрын
Hao tia ndani waongo wanamuonea huyo mama. Mimi yalishanikuta nilipata nyumba yangu.dill hilo lina watu nyuma yake.
@nehemiambughi6731
@nehemiambughi6731 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa we noma sana!
@lugoratv1995
@lugoratv1995 6 ай бұрын
Viongozi kama hawa wangepatikana1000 Tanzania tungepona
@coachndesh
@coachndesh 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa ana tabia za rais mwenyewe,napenda sana vile kazi inatendeka tanzania
LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA
9:47
Millard Ayo
Рет қаралды 788 М.
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 22 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 8 МЛН
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 729 М.
LIVE KUTOKA IRINGA: RC HAPI AKISIKILIZA KERO ZA WANANCHI WAKE
1:20:04
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
RC HAPI KAMVAA HAKIMU ALIODAIWA KUCHUKUA RUSHWA YA MIL 2
8:48
Millard Ayo
Рет қаралды 396 М.