Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
@andrewtamba66715 жыл бұрын
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
@geoffreychurchkayora12305 жыл бұрын
Hahahaha
@jabirinkama59814 жыл бұрын
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
@michaeleustach93524 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@harunarashid64043 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@michaelthobias99673 жыл бұрын
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
@am_blessed.14 жыл бұрын
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
@geofreywayesu56382 жыл бұрын
Oyooo comedian also
@ramsoramaa67984 жыл бұрын
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
@davismremi89862 жыл бұрын
it is my tradition to come and watch this in a while.....
@godfredmbanyi5389 Жыл бұрын
I thought i was alone, 😂
@rehemamsuya22635 жыл бұрын
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
@hamdantwaha80425 жыл бұрын
Chukua kalamu ya kijani upate upako
@allykazoa70654 жыл бұрын
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
@ayubuwilliam1304 жыл бұрын
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
@kingwatabata42303 жыл бұрын
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
@jacksonsawe23015 жыл бұрын
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
@abrahamdaniel75644 жыл бұрын
Kweli yeye bora asome
@mrs29184 жыл бұрын
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
@mohamedkichendo77204 жыл бұрын
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Soma iyoooh
@rashidsalim38015 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@raphaelsikumbi5517 Жыл бұрын
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
@yusuphwella96515 жыл бұрын
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
@elibarikimiage62042 жыл бұрын
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
@msafiriduwiya953 Жыл бұрын
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
@decruzz67922 ай бұрын
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
@papaampondele17505 жыл бұрын
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
@junioramos29975 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
@zefamange72815 жыл бұрын
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
@andrewzimba68445 жыл бұрын
Zefa Mange hi
@alikhamisame96365 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
@innocentoder848110 ай бұрын
This is genius leader
@veronicasamson7121 Жыл бұрын
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
@sospetermigera6855 жыл бұрын
Kiongoz bora kbsaa
@daudimlamka12392 жыл бұрын
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
@peterpain55945 жыл бұрын
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
@husseinomary44665 жыл бұрын
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
@jamesmodest32062 жыл бұрын
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
@odilinadonald2615 жыл бұрын
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
@beckasalum26202 жыл бұрын
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
@tsagytz67553 жыл бұрын
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
@ahmadymuhina65462 жыл бұрын
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
@ishaq99255 жыл бұрын
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Mbona Makonda naye yupo Moto?
@husseinsalimhemed71695 жыл бұрын
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
@kindboywillsmis81525 жыл бұрын
Amekunywa
@alfredmsambaa14434 жыл бұрын
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
@lucasmanyama2892 Жыл бұрын
You deserve to president in this country.
@ramsokhamis92625 жыл бұрын
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
@sarahgihoshwa77153 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@athumankhalfan78363 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
@khanbaba81253 жыл бұрын
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
@gigotz17555 жыл бұрын
Magu ampe uwaziri wa michezo
@beckasalum26202 жыл бұрын
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
@Basagamp45 жыл бұрын
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
@laurentsunta51695 жыл бұрын
Basaga hahahaha
@mwidiniharuna96185 жыл бұрын
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
@stevoovlogs86455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
@omarykindaile64513 жыл бұрын
Hahaha
@mwalaprosper22912 жыл бұрын
Mis you mwamri!!
@fadhilplatnumz62094 жыл бұрын
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
@shedrackboniphace77555 жыл бұрын
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
@ramamtetu23275 жыл бұрын
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
@swaleheally81343 жыл бұрын
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
@amanimwaifunga65245 жыл бұрын
Mwanri Big up Sana kiongozi
@jamesmassy50222 жыл бұрын
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
@abdulkhamis8152 жыл бұрын
Hongera
@barakaalmas33995 жыл бұрын
Sukuma dani mweshimi huyo
@009biafra82 жыл бұрын
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
@kyambarungwe44535 жыл бұрын
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
@hunchoonetz87473 жыл бұрын
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
@graysonnyamsogoro3764 жыл бұрын
Daah i like this RC
@salehali92035 жыл бұрын
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
@amriharuna42365 жыл бұрын
Mwalimu DOTTOOO
@bensonfrank4353 Жыл бұрын
Nakupendaa
@mchaking65045 жыл бұрын
Value for Money
@mwengwamwengwa96782 жыл бұрын
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
@dennisdennis75595 жыл бұрын
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
@sadamrisho77193 жыл бұрын
Yupo vzr sana anafaa kuja kuwa raisi
@paulkessy52675 жыл бұрын
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
@ezekielndaraba72215 жыл бұрын
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
@iddyshabani59425 жыл бұрын
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
@barrickmollel69515 жыл бұрын
Ngapi ukoo
@mariamjawabu92345 жыл бұрын
ataliiiiii
@amrimalumbo17125 жыл бұрын
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri