Рет қаралды 387,473
Kilele cha Siku ya Mwananchi kiliadhimishwa kwa mchezo kati ya Young Africans dhidi ya wageni wao Vipers SC kutoka Uganda.
Mchezo ulikuwa mkali na wenye ufundi wa kutosha na baada ya dakika 90 kukamilika wageni Vipers wakaibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Tazama sehemu muhimu za mchezo huo.