Waongo nyinyi watu wa midia sauti hiyo siyo yakiboko hiyo sauti yamukulya
@PeternicolausMlonganile-zw8im25 күн бұрын
Loh
@user-gf6wz1lo2t23 күн бұрын
upako wA mungu hauzwi alafu huyo ni tapeli
@DeoKabogo-ki7ycАй бұрын
Jaman uyu wamfungie vizuri uyu
@JoseKalani7 күн бұрын
Hiyosiyo sauti ya kiboko ya wachawi huyoanaeomba pesa nitapeli hata lafuzi yake niyakikulya siyokiboko ya wachawi watu wa midia acheni kutafuta Kiki kwa kuwachafua watu tafuteni kazi za kufanya waongo wakubwa
@mariambarkat22517 күн бұрын
Wajinga ndio waliwao 😂, eti baada ya masaa 24 utakufa, sasa kwa hiyo kazi ya mwenyezi mungu kaibeba yeye. Jamani nduguzangu watanzania hawa watu wanatuona sie hatuna akili wanatapeli wazi wazi kisha wanajenga kwao. Hongera mama Samiha kwa kumuondoa huyu MCongo asirudi tena. Anaemtaka akamfuate huko huko akatapeliwa vizuri