Bwana Yesu asifiwe Sana nguo yako uwo Msalaba siyo wa kweli
@StevenMutale-xt9yj2 ай бұрын
Wewe mwenyewe amujui maana uyo mtumishi wa Mungu anafanya kazi naa kumbuka paulo mtume alipingia kelele mbakaa waka mfunga kwaiyo mbarikiwa yuko sahihi Sana sana
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Namkubali sana sana muandishi msomi arusha anajitambua
@beatricekagali10482 ай бұрын
Watumishi wa Mungu kuweni na hekima sio kushambuliana
@nazarenajoseph26952 ай бұрын
Ukweli unauma tulieni sindanno ziwaingiee
@ErickIsaya-o3u2 ай бұрын
Acha hizo we mwenyewe mwizi tuu
@markmashauri93102 ай бұрын
Mbona pastor Amanda amumuonyi anavyo wapiga madongo au mnamuogopa kwa sababu nawa mzalamo
@gracekagoma32312 ай бұрын
Yeyote anayejiita nabii ,,kimbilia mbali kabisa. Dunia ya leo hakuna nabii.Mi waongo na wezi wakubwa😢😢
@markmashauri93102 ай бұрын
Mbona ktk kongamano la mwezi wa sita la kiboko cha wachawi,mzee waupako alikuwa mgeni lasimi wakongamano hilo,aliwanyooshea vidole, manabii wanao mpiga vita nabii dominic kiboko ya wachawi,kwamba muache malamoja tabia yakumsakama kiboko nakumpiga vita, na mkiendelea mtafirisika unabii wenu,naakasema dominic kiboko ninabii wakweli pia unabii wake ni mkubwa sana akuna anaemfikiaa
@EliyaMwangobe2 ай бұрын
Lakini sio ndio mnavyofanya ? Hananja ni kiboko yenu maana nyie mitume wa Leo mumetumwa kutajirika wenyewe kwa kupora Mali za watu !
@khamis91872 ай бұрын
Rais wa wapiga hela bongo RWHB...
@roselyimo36767 сағат бұрын
Tutakubali TU kuwa Yesu alishamaliza kazi ndio maana haya tunayaona kwa viongozi wa dini.. vibanda vya mahanisi vivunjwe. Makaburi yatakanyagwa TU siku si nyingi. Na kwa Nini Kunagawanyiko wa madhehebu??? Yesu ni mmoja amegawanyika??? Katoliki, protestant, penteloste nk kwa Nini???? Yesu Yuko wapi?????
@JanetMwaijumba2 ай бұрын
Ana Imani ya kitoto Sana mwaki
@hafidhali30202 ай бұрын
Ukristo ni utapeli,hapa ni kupiga pesa tu
@tinnabernard35382 ай бұрын
🎉Wewe nani Mungu peke yake ndiye anayehukumu wewe unaona uko safi
@masanullahuzuni2 ай бұрын
Wakosiane wa Imani kivipi kwa hiyo CCM wasikosolewe na chadema Huyu Rais vipi maana sisi tunajua asiyetaka kukosolewa ameshindwa
@richardmakweta88752 ай бұрын
Mnasemaje kuhusu raslimali za nchi hii maana Kama wewe Ni nabii wakweli Lazima Mungu amezungumza na ninyi manabii waambie viongozi wa nchi juu ya Nini Mungu amesema juu ya Tz kwakuwa sisi wananchi wa kawaida tunasikia tu kutoka kwa wana siasa ,nanyinyi mko kimya tu
Mmekuwa wezi mno mpaka sasa ukristo wetu umegeuka kicheko na usanii. Tunachekwa mno mno na watu wa imani zingine kwa sababu ya ujinga ujinga wenu wa kujiita manabii kumbe ni matapeli. Yeye anakosoa ukristo kwa sababu yeye ni mkristo na ni mchungaji mbobezi tofauti na nyie matapeli wengi mliolipuka sana hapa nchini
@Frank-b2d6u2 ай бұрын
Mnatakiwa mchapwe kabisa matapeli katika injili
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Huyu pia niiongoni mwa wanafiki kama alimkosa kwa cm kwann asipeleke barua serkali za mtaaa mtangazaji acha unafiki
@pastordanielchenya2 ай бұрын
Uongo raisi wa mitume na manabii ni DR, JOSHUA A.MWANTYALA
@silassaitoti76892 ай бұрын
Kanisani ni mahali pa kufurahi sasa mchungaji anune?acha pastor aendelee
@e.a.g.tjerusalemchurchomur23152 ай бұрын
Ww acha imani feki waislamu hawana ufeki wa ivo
@EliyaMwangobe2 ай бұрын
Halafu nyie mitume na Manabii ni waoga sana wa injili ya kweli ! Mnawaibia watu Mali zao huku hamuwahubirii kweli ya Kristo ya kukemea dhambi !
@JanetMwaijumba2 ай бұрын
Mwakipes akili yake anatakiwa kuombewa
@marthanatumwa2 ай бұрын
Rais ni mmoja tuu,anaitwa JOSHUA
@godsonprosper66572 ай бұрын
Ww mwenyewe mwaongo umekalili maandiko
@gracekagoma32312 ай бұрын
Ac h eni kuwaibia watu ktka jina la u n abii na miujiza feki😢😢
@julianajeremiah43532 ай бұрын
Ila unavipointi hahaha hata km watakataa
@CharlesMisungwi-f8t2 ай бұрын
Huyo jamaani baadhi yawachawiwengi wapigaramuli madhawabuni kama wenginewengituwaliowahi kutokea sehemumbambali zaulimwengu.nameisho wasiku kui shiakuangamiza kwahalaiki wauminiwao hizinguvu zashetani madhawabuni zinashikakasisana nyakatihizi dunianikote walahakuna ubishi.wanatimiza yaliyo tabiliwa.
@youngsachafurniture54822 ай бұрын
Endeleen kuwapunguza akili watu
@amedesamki4252 ай бұрын
Mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache lakini mtumishi anatakiwa ahuburi ukweli wa injili kwamba wanadamu wamtii Mungu na lkùshika imani ya Yesu
Yesu alisema yeye ni alfa na omega sasa nyinyi mnaojiita manabii mmetumwa na nani?ninyi ni waganga wa kienyeji mnajifanya mnatabiri ni ushetani tu mnaoufanya
@kilianjulius98822 ай бұрын
Bado hamjasema manabii mtasema tu,,,, kumbe na wao wanaraisi ... ni waganga wa jadi waliokuja kwa njia ya ulokole
@calvinlema61072 ай бұрын
Imani mbona hata uchawi ni Imani ya watu? Mtumishi hatukuelewi siyo Kila anayejiita nabii ni nabii wa mungu wako manabii wa uongo . Ñabii mpaka uraisi ni utata!!!
@MamaBambala2 ай бұрын
Leo umetoa pumba ya uongo wa hatari.ww ukipimwa kwenye mizani ya maandiko umepungua,.ww angalia wafilipi 1:15-17 na 2Timotheo 4:2-3.Na wewe ni rais yaani boss wa mitume kwa fungu lipi linalokupa ukuu huo?unawasimamia kama nani?Aliye juu ni Mungu tu.wewe ni walewale.
@nazarenajoseph26952 ай бұрын
Misalaba feki hiyo
@masanullahuzuni2 ай бұрын
Pokea utajiri Rais wa manabii
@austorb.nyondo27082 ай бұрын
Kwanini unaogopa kumfuata kama una Yesu na roho wa Mungu? Mimi naamini wewe ndio mwizi mwingine wa kiimani na mdanganyaji mkubwa kuliko wengine. Unapaswa kukimbia kabisa kutoka kwenye utumishi huu
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Hongea kuusu mambo yatowausu Waumini wasikilizaji wakusikilize himani za watu wacha huyu ni mtu wenu wakilisto waslamu tuwache usingize wewe mwenyewe kesho Utajita Mungu kabisa sio nabii tena 😂😂😢😢
@EllyElly-nf4rx2 ай бұрын
Bashando huna lolote, Mnatafuta hela tuu, hapo unatetea tu watu wasiijue kweli
@AsiaDismas2 ай бұрын
Hujakaa kiutumishi
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Wewe Ni Muongo mkubwa wapokee Hela Bila kufanya Kazi rais Wa mitume WA kweli ni Yesu pekee mkiambiwa ukweli hamkubari
@marthanatumwa2 ай бұрын
Weee siyo Rais wa mitume na manabii,Rais wa mitume na manabii tunamjuwa anaitwa JOSHUA,na havaagi hiyo misalaba uliyoivaa
@moseshaule5862 ай бұрын
Hapa unamsema Hananja😂😂
@neemagewa54102 ай бұрын
Hakuna nabii hapo wote ni mafala tu
@ZuhuraMnzava2 ай бұрын
Sema Sema bababa
@HalimaRamadhani-w8l2 ай бұрын
Umjui kweli kiboko wewe mchungaji
@AsinaMalilo-sw2ic2 ай бұрын
Mbn unakosoa wenzio wewe umechemka zaidi
@musaguga2 ай бұрын
Hananja unasengenywa huku,njoo
@JofreyMsigwa-ok7hv2 ай бұрын
Hananja ndio mkweli namuamin mno
@silassaitoti76892 ай бұрын
Hananja hajawahi kumtukana mtu
@neemasanga53332 ай бұрын
BASHANDO KAKAAKE NIKI SHABOKA TOKA UWE NABII WA UONGO, UMEJUA KUWATETEA MANABII WENZAKO, UNAYE MSEMA, AMEHARIBIWA NA GWAJIMA, ALIMUULIA MTOTO WAKE NA KUMJAZA UONGO, HATUKANI TU WATUMISHI, MPAKA RAIS, MKUU WA USALAMA WA TAIFA NK NK, NI WA KUMUOMBEA TU.
@IsmaliRachidi2 ай бұрын
Oya kiboko ninoma zaidi yako achana nae
@kassimchakachaka92172 ай бұрын
Huyu mwenyewe taoeli tu ndo maana anatetea matapeli wenzake. Huyo mzee anaye msema kanyooka anawafumbua macho wa Tanzania.
@sosom142 ай бұрын
Wewe ni mavi hananja yupo sahihi
@moseshaule5862 ай бұрын
Kwanza ujue Hananja hajaokoka..
@zablonnyanda60952 ай бұрын
Mkipigwa za uso mnachukia?? Nyie danganyeni wajinga wajinga tu! Raisi wa mitume?? Duuu kweli hii Dunia ya leo?
@GilgariMinistryTanzania2 ай бұрын
Samahan kwani Baraza la mitume na manabii linamarais wangpi naomba tu jibu
@PeterJackson-uh2ik2 ай бұрын
Wadumuo kutenda dhambi, Biblia inasema wakemewe mbele ya wotu, ili wengine wapate kutahayari/kuogopa (1Tim.5:20). Manabii na Mitume wa kipindi hiki, nashauri wachunguze pia uhalali wa hivyo vyeo vyao, je vinatokana na mafundisho ya Kristo? (2Yoh.1:9). Mtu anapoitwa mkosaji kwa kukemea uovu, vipi na yule anayesema ni nabii na kukemea dhambi siyo kipaji chake, unamuelewa yupi? Nyie manabii nyie!!!!!?!
@AlouiseNgenDanDumwe2 ай бұрын
Kwani ni uongo pokeeni magari na utajiri fanya kazi ndo ufanikiwe
@Frank-b2d6u2 ай бұрын
Pumbavu wewe kabisa
@sosom142 ай бұрын
Unapuwa kubla
@eliudsinkala4192 ай бұрын
Kaka nyie mitume ni WA Kikristo au?Nijuavyo Mimi upenteksti ni madhehebu ya Kikristo,unyie mpo sehemu gami