EBM since 2019 hakuna video ata moja nimekosa kuwatch because ni ya elimu kubwa mno & you have really changed my life 🙏🙏🙏.....MAY GOD BLESS YOU
@shariffasaid837 Жыл бұрын
Absolutely 💯 first of all i didn't like to comment in any media but ur words have touched me because i was in process to transfer with my family to live in America, your video have teached me, it broke my heart wallah, Actually its hard when you compare tanzania with America there is a big difference, tanzania have a good value . Thanks brother for opening my eyes.
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
EBM this lesson is very prophetic especially to the immigrants , when I get over there you will be my Pastor and my Counselor
@NdweteNtandu Жыл бұрын
KAZI nzuri sana keep up good job
@aggreyluganolugano649 Жыл бұрын
Very important n educative information, this tells us that Africans should develop their own continent economically, socially etc. So Africa is the best place if only is managed properly. That also tells us Africa is a God fearing continent n we have preserved our religion values
@AbdulyFaki-hr4ee8 ай бұрын
Moja kati ya video za maana kabisa kuwahi kuangalia , ahsante sana brother, video ya maana na mtu wa maana kabisa.
@irankundarukeratabaroediso4632 Жыл бұрын
Asante EBM
@mariamissa9405 Жыл бұрын
Well said ubarikiewe sana ebm🙏
@eddasamwely8203 ай бұрын
Thank you brother God bless you so much kaka
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Upo vizuri mkuu
@CrispasMwase Жыл бұрын
Good lesson brother.Thanks
@luckysichone6705 Жыл бұрын
Asante sana babamzazi kwaushaur wako
@emanuel28asukile Жыл бұрын
Naomba tufafanulie juu ya biashara ya kinyesi @ebm
@cliff3435 Жыл бұрын
Ebm ulinisaidia kujaza my ds-260 na Hakika I was successful thank you so much
@johnmfuko4426 Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu hii mkuu
@missnamwambemomentstv7753 Жыл бұрын
Leo mada nzuri mno...❤
@eddasamwely8203 ай бұрын
May the almighty protect you kaka
@kamanapomo7029 Жыл бұрын
Mungu wangu, huu ni msiba mzito hongera sana broo kwaunacho kifanya mwenyez mungu atakulipa
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@saviorJesusChrist Жыл бұрын
Ahasante kwa kuleta ufahamu wa ugaibuni.
@patrickbarasa1705 Жыл бұрын
I LIKE YOU BRO FROM 254 KENYA,, KEEP UP ROCKING....... 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
@nakalikyumile3234Ай бұрын
Huko sio salama kwa makuzi ya watoto,shikeni hii coment,hizo nchi uchafu umeruhusiwa,
@pembastore252 Жыл бұрын
Wamefikia huko 😢😢😢
@Bagenzi4life Жыл бұрын
Asante sana kaka kwa hii
@FaustineTz Жыл бұрын
Daaa ni kweli Aya unayoyasema?? Ni tabu Sana Mungu atusaidie
@dainesdiana583 Жыл бұрын
Nataman sana jaman lakn sina conaction ila nina passport naomba unisaidie elimu yangu nimasomea mambo ya day care
@erickagwe8841 Жыл бұрын
Mahali sahihi pa kwenda kwa Sasa iwe ni kwa elimu au maisha ya Kazi ni Urusi tu!!
@kagemuloschool Жыл бұрын
Asante
@patrickpaandi6759 Жыл бұрын
EBM I LOVE YOU
@Denis_prudence Жыл бұрын
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
@FakihiNapunda Жыл бұрын
3:07 Kama panafanana na ndanda mtwara
@rehemadaudi439010 ай бұрын
Uwiiiiii Mungu simama,
@ReginahNgeleja9 ай бұрын
Kaka hii ni tishio kubwa sana Kwa tunaotaka kuja us,masomo kama haya utuber wengine hawatoi
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Ernest moyo unaniuma sana, 😢😢😢😢😢
@JohnSaully9 ай бұрын
Kaka niaje ndugu yangu kwema kaka habali za huko
@emmalsam3920 Жыл бұрын
elimu muhimu sana hii
@hassanharuna1519 Жыл бұрын
Plz utu elezeye njia ya kuomba fiance visa nainachukua mda gan uli mtu wako afike marekan
@canisiusbalayinga Жыл бұрын
nimefurahia sana ulivyoliadress hili nilikua na ndoto sana kuishi marekani lakini hilo swala ushoga limenipotezea ndoto hiyo maana naona hata usa gvt inasupport hayo mambo 100%
@michaelkomwiswa7048 Жыл бұрын
Maneno muhimu mno, asante kaka
@JohnSaully9 ай бұрын
Ndugu yangu mie nakusikiliza sana mkuu sema ni mi naomba namba yako mkuu ili niweze kuzungumza nawe vizuri kabisa
@SirajiRashidy6 ай бұрын
Mkuu naomba namba yako mm nipo Tanzania drive wa truck nafanya safar ya congo Nina passport kubwa naitaji kazi uko
@KHAMISRASHEED1796 Жыл бұрын
respect brother 🫡
@SirajiRashidy6 ай бұрын
Mbona una tukatisha taa
@blernngaimumedia Жыл бұрын
Ni kweli kabisa,
@shariffasaid837 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢
@aaronsundaymengyason1895 Жыл бұрын
Kaka safi sana tunashukuru kwa elimu mkuu,Naomba contact yako pls!its very urgent
@BboyBusara7 ай бұрын
Kop
@ellyitete938 Жыл бұрын
Point ya msing japo Sina watoto
@mwlhalimoja.ekingunza1819 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana EBM kwa kusema na kutujenga iliyo kweli.
@pembemussa2804 Жыл бұрын
Elimu ya Dini kwa hiki kizazi cha sasa ni kitu ambacho kimekosekana ktk jamii kubwa Watu hawana hofu ya Mungu kupitia mafundisho ya kiimani
@ramamrutu4914 Жыл бұрын
Kaka mimi naomba kujua pia ufanye video ambayo inaweza elezea kwa mtu ambaye yupo africa alf anafamilia ila anaweza kununua nyumba huko akiwa tanzania , alf anaweza amia huko kama kaweza nunua nyumba huko ?
@amourmtungo623 Жыл бұрын
🤔Halafu watu wajue kuwa mtoto akifikia umri wa miaka 18 uhuru wake ni challenge kwa wazazi. Wanahaki ya kusema, kufanya au kwenda kokote na mzazi huna nguvu sana ya aidha kumuadhibu au kumtusi huenda ukajiingiza matatani. Mtoto hapigwi nchi za Ulaya ni kujitia kwenye orodha ya uhalifu😂. Yaani kama mchezo lakini ni hali halisi ndugu zangu
@piusmurimikangai8401 Жыл бұрын
🙏
@thebmcblackmiccatcher3949 Жыл бұрын
ni hatareee
@isaacmduma5998 Жыл бұрын
Huku Africa watu wengi wameaminishwa ughaibuni kila kitu kiko green, jambo ambalo si kweli kabisa. Africa imebarikiwa na Mungu, kuna vitu Vingi vizuri, mapungufu yapo kwy mabara yote
@ImeldaIsdory Жыл бұрын
Nia yao ni nini? Wanataka Dunia iwe kama Jehanamu? Nasikia kule kuna kila uchafu!
@jeremmymutugi3240 Жыл бұрын
Mada nzuri kwa sisi wenye Familia ndogo na tuna nia ya kuwaleta watoto wetu uko siku moja.
@Salumchiwili2023 Жыл бұрын
Kuna application ya duolingo niko nayo najifunza kijerumani kuna conversation unakuta mwanaume anamtambulisha mumewe yani ni hatari sana asaiv
@missnamwambemomentstv7753 Жыл бұрын
Habari yako kaka...? Imekuwa vzr, mm pia Niko nasomea kigerman kwenye hyo app ya duolingo...! Je? Tunaweza kuwasiliana kwa ajil ya kuwa tunafnya mazoez ya kuzungumza na kuchat chat piah..Kama hutojal
@mrcardano1203 Жыл бұрын
@@missnamwambemomentstv7753 Inalipiwa?
@BarakaMubeni Жыл бұрын
Immigrant ni mhamiaji kwa kiswahili
@saidseif4753 Жыл бұрын
Vipo hpo kwa mji uliopo wakaazi wake wamehama,,, kwa video yoote naona uko peke yako mtaaani,, au wameenda vitani Ukraine,,, hahaha,,
@christophermbembati1854 Жыл бұрын
Hahahahhahahahahahaaaaaaaa unafurahisha.
@richardhosea882710 ай бұрын
Sodomaize inakuja nyingine
@Denis_prudence Жыл бұрын
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
@ericmato9 Жыл бұрын
Hatua za awali ili chaneli ya Toutube ianze kuingiza hela ni lazima iwe na wafuatiliaji wapatao elfu 1 na video zimeangaliwa kwa saa zisizopungua elfu 10.