Рет қаралды 3,582
Mchungaji Solomoni Mwagisa ametoa ushuhuda mzito sana kuhusu kanisa hili zuri la Tanzania Assemblies of God, amezungumza mambo ambayo wengi wanayafahamu kama propaganda ila Mchungaji na Profesa Mwagisa amesema kiini cha kupatikana kwa jina la TAG. amesimulia historia ya kweli na safari ya Kanisa pamoja na Mungu.
katibu huyu mkuu mstaafu wa TAG na aliyesimama imara kwenye kipindi cha badiliko la kanisa, na mpaka kupatikana kwa jina la TAG na kua kanisa la kiroho lenye nguvu kubwa sana Tanzania kwa sasa, likiwa na zaidi ya washirika 1,000, 000 nchi nzima na majimbo 76 section 860 na makanisa zaidi ya 15,000 pamoja na wachungaji 15,800.