Kila mty ana njia yake katika maish so huezi linganish mtu na mtu mwingn HT wewe kuna watu wanakuzd mbaliiii
@fatmahraseid701910 күн бұрын
Maisha ni siri kinachotakiwa ni kufika uendapo kuna watakao panda ndege wengine jahazi wengine gari hata kwa baiskeli na miguu muhimu kufika
@annahulilo671910 күн бұрын
Kweli haikutarajiwa... Bado mengi yasiyotarajiwa yatashuhudiwa maana Mungu bhana,😂 mawazo yake si kama yetu na njia zake hazichunguziki hata!!!🙌🙌🙌
@surusuru19947 күн бұрын
❤❤sura mwanalisa mtupu kabisa dada 😘
@user-hm3qm2nf1v11 күн бұрын
Mtt ni baraka kutoka kwa Mungu😮 alishajiona hafahamu darasani so sio mbaya kujitafuta kwa upande mwengine
@Abdallah2000Rahma8 күн бұрын
Jmni tutaangaika lakin mwishowayote nikuzaaTu
@EmitrizaMyinga-ts9xvКүн бұрын
Kilamaisha yananjia yake
@esterpaul58562 сағат бұрын
Miaka 24 ni mtoto??
@ibramakula23037 күн бұрын
Upuuz tu mnatuletea hamna vya kulusha au
@nancyg866410 күн бұрын
msimfananishe paula na watu wengine bhn mbona ata uyo monalisa kaingia kwenye Sanaa akiwa mdogo, pia Amepata watoto na wanaume tofauti tofauti so mmuache paula kila mtu na njia zake.
@KADALAtv2556 күн бұрын
Hi upo? My dear nipo Songea kwa muda mrefu sasa nauguza