Baada ya kutoa ahadi ya kuwapa kiwanja Mh Makonda atimiza ahadi hiyo Kigamboni, Kibada.
Пікірлер: 31
@pasuaraha15465 жыл бұрын
Uongozi Bora ndo huu tunaouona Leo big up R.C MAKONDA na Mungu akubariki
@odriusmwakyelu35405 жыл бұрын
Makonda Mungu akubaliki hasa kwa hili, kiongozi bora hana hana kubagua
@kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын
bigup makonda boy
@datiuskabalila96845 жыл бұрын
Asante sana kwa maono yako wangekuwepo wengine kama wewe 7 Tz tungekuwa safi sana.
@zakayosilas69635 жыл бұрын
Making mungu akubarki sana hayo ni mafanikio ya taifa letu
@francekomba28295 жыл бұрын
asante kwa niaba ya wanachama wote wa yangu mungu akuzidishie
@barackramadhan14195 жыл бұрын
Ushauri wangu kwa viongoz wayanga waongee nahuyo mwenye eneo wanunue ata hekar nyingine 13 ziwe 20 yanga timu kubwa kesho nakesho kutwa tatataka kujenga uwanja mkubwa apo padogo
@ramadhanmohamed76685 жыл бұрын
Barack Ramadhan kwer kabisa. Barack Ramadhan
@zackofficial98405 жыл бұрын
Asante mkuu wa mkoa Pongezi kwa uongozi mpya ila suala la kusema kaunda ndo uwe uwanja mkubwa halafu kigamboni uwe uwanja na hostel kwaajili ya vijana mmekosea hostel zingebaki Jangwani eneo la kaunda ni dogo sana
@bakariluhala73325 жыл бұрын
Big up makonda yanga juuu
@hamisitzphonedoctor55955 жыл бұрын
ME wa tatu kukomet nipeni like zang
@vamo20825 жыл бұрын
Tuongoze tena
@cyprianbernard9075 жыл бұрын
Gud sana
@mbarakafitina82555 жыл бұрын
Dogo una vision bila kupepesa kiukweli...Pongezi kwake mpendwa Rais wetu Dr John Pombe Magufuli kukuvumilia yale mengi ambayo huwa unatereza...Aidha kiumri au vinginevyo huwaga unatereza.
@omaryluambano34955 жыл бұрын
Safi san makonda
@mussajuma17365 жыл бұрын
Tunakushukuru xana makonda mm huwa nakuelewa xana wale mazwazwa ambawo hawajui umuhimu wako achana nawoooo.
@isayakilangi82005 жыл бұрын
Makonda juuu
@abdulmvumiyanga47565 жыл бұрын
good makonda
@luganostewart83205 жыл бұрын
Huyu Jamaa nae Kiki zake cjui ataacha Lini!!!! Nenda kanyoe hayo mandevu kwanza
@iddikazimoto22475 жыл бұрын
P1sana mkuu wa mkoa, 🙏🙏🙏
@mussaabdiel97975 жыл бұрын
Mbn msituni wasipokiendeleza ndani ya mwaka chukua
@dilipdab37145 жыл бұрын
Z.bar.hapo.sehemu.za.chumbe
@zebedee2nyi7695 жыл бұрын
RC thante
@felixjacob20715 жыл бұрын
Big up RC Makonda.....tunashukuru pia kuwa kuona Yanga kuwa timu ya wananchi.... Karbu pia uwe sehemu ya timu ya wananchi achana na mikia😀😀😀😀😀
@edwardtagamba61915 жыл бұрын
Safisanamakpnda
@francismwilinde22375 жыл бұрын
Niwaombe viongozi wetu wa yanga hizo hekari 7 sio nyingi kwa ujinga kiwanja tunashukuru kwa hatua ya mkuu wa mkoa hapo bado kuna eneo linguine liko wazi viongozi fanyeni mchakato tuchangishane tuongeze hilo eneo walau liwe hekali 15
@ramadhanmohamed76685 жыл бұрын
Francis Mwilinde safi xana. Francis Mwilinde umeongea jambo Zuli sana
@francismwilinde22375 жыл бұрын
@@ramadhanmohamed7668 hili jambo kaka wasilichukulie kimdhaha
@frankashodah56675 жыл бұрын
Kipo maeneo gan apoo? anaejua anijuze na mm tafadhal