Big up Ayo TV kwa kuendelea kutuonyesha vitu vya MSINGI........
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Kazi ya magu. Mk oka mpumzishe baba yetu,🙏🏼🙏🏼
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Doh good job maana dhahabu ilikuwa inaenda tu bila kujua au kuzisikia hizi pesa...... big up Serekali 👍
@amanichanga34484 жыл бұрын
Keep going Tanzania
@emmanuelbonifase11144 жыл бұрын
Hayo ndio maendeleo piga makofi kwa JPM tafazali duu tulikua giant sleeps
@peterlukuba58574 жыл бұрын
👏👏👏👏
@georgewilliam60014 жыл бұрын
Acheni kuandika bei kwenye whilte board...NUnuna big screen or monitor kuonyesha hizo bei
@kambamazig020244 жыл бұрын
Mbona NASDA wanaandika kwenye board kabla ya kuweka kwenye screen na hujasema lolote? Vipi ndugu yangu?
@georgewilliam60014 жыл бұрын
@@kambamazig02024 Ingependeza kama mgefanya vizuri zaidi NASDA kidigitall zaidi. Wazo langu sio kwamba nakandia najaribu kuchangia kwenye uboreshaji zaidi..mmefanya kazi nzuri na inaonekana kama feza ipo wekeni screen kubwa inonyesha hizo bei
@abasroja Жыл бұрын
ata pete za dhahabu mnanunua
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Safi sana!!
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@mohamnedsalum21504 жыл бұрын
Safi sana
@barakaisaka70644 ай бұрын
Ninja nijambozuli sana
@peterlukuba58574 жыл бұрын
Hii ndo raha ya kupiga kura yako ikaleta manufaa kwa nchi, najivunia kumchagu jpm