Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

  Рет қаралды 406,929

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akieleza utajiri alionao wakati akiwajibu wanaosema kwamba amehongwa gari aina ya V8 ili atetee sakata uwekezaji kwenye Bandari.

Пікірлер: 452
@PauloPetro-nv6pi
@PauloPetro-nv6pi 10 ай бұрын
Hongeraa sanaaa MUNGU akufanikishe katika mambo yote
@gloryjacson
@gloryjacson 10 ай бұрын
Hongera brother unamalengo mazuri sana umefika pazuri sana mbunge tajiri
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
msukuma ni mfanyabiashara mkongwe wa DHAHABU tangia miaka ya 80,,,,,ni mtu mwenye utajiri Long time na wala sio mtu wakujiskia saana ni mtu simpo saana pia ni mtu wa watu,,,,,ana real eastate kanda ya ziwa bab kubwa..pia ana kamuni za transport na etc
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 28 күн бұрын
Raisi ambeye ajasoma
@AlmasVunde
@AlmasVunde Жыл бұрын
Shukran msukuma swali umefanya wema mzuri sana na je wewe ni mwislam au mkristo maana naona unapendeza sana
@adamapollo9859
@adamapollo9859 25 күн бұрын
Mwisilamu huyu 🎉
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 6 ай бұрын
Nchi Hii Wasomi Ndio Kikwazo Hongera Sana Dr.Msukuma
@josephatmtweve6534
@josephatmtweve6534 10 ай бұрын
Naomba mawasiliani yako mheshimiwa uko vizuri Sana kimtazamo
@withomsigala4389
@withomsigala4389 Жыл бұрын
Hongera sana kwa majukumu ya kazi ya kuwatetea wanyonge Mheshimiwa Mbunge Msukuma
@mosesbaruti306
@mosesbaruti306 6 ай бұрын
Ninachukia sana kutoka moyoni Nchi yetu na Watanzania kuitwa masini,Namuombea Mungu ampe mama yetu Rais wetu Samia Suluhu Hassani ujasiri wa maamuzi mazito.
@rosechuwa9493
@rosechuwa9493 Жыл бұрын
Huyu mwamba namkubali sana, msukuma mungu akubariki sana wewe ni hazina muhimu sana hapa Tanzania
@ramadhanihamisi9393
@ramadhanihamisi9393 Жыл бұрын
Wananchi was geita mnakila sababu ya kujivunia kwa mbunge mlie nae ni jembe msukuma namkubali Sana akisimama bungeni utafurahi mungu akulinde na Kila baya
@AndrewMasaga
@AndrewMasaga Жыл бұрын
Hakuna lolote tunataka ndege yetu
@patriceomolo232
@patriceomolo232 4 ай бұрын
Asante sana msukuma you are a good man. May God bless you and provide for you long life. You speak the truth
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 6 ай бұрын
Hongera kaka uko vzr kiukweli huna shida
@JohnSteven-ox3pv
@JohnSteven-ox3pv 5 ай бұрын
Dah.. doctor msukuma me nakuomba uje ugombee uraisi maana asaiv c.v unayo ya usomi so nakuona mbali sana ndg yangu ❤❤❤ tunataka uje kua raisi wetu bhn....
@Zubaiba
@Zubaiba 5 ай бұрын
Mungu akubariki mbunge msukuma, nakupenda sana ❤
@metusalnganga1002
@metusalnganga1002 Жыл бұрын
Msukuma Big up🎉🎉🎉🎉
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
Mashaallah watu heshimu msio wajua ache dharau
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Msukuma shikamoo!! nakupenda toka rohoni Mungu akulinde baba yetu
@daudifungo5521
@daudifungo5521 4 ай бұрын
Sana Mzee Baba Kazi Iendelee Umetisha Sana Waache Majungu Watafute Pesa
@aidatimakunda387
@aidatimakunda387 Жыл бұрын
Kwa kweli Big up MP. Msukuma
@josephatmtweve6534
@josephatmtweve6534 10 ай бұрын
Msukuma uko vizuri Sana kaka naomba nmawasiliano yako kaka
@NurudiniNdoka
@NurudiniNdoka 4 ай бұрын
Safi sana msukuma.
@winnerkondejunior1890
@winnerkondejunior1890 9 ай бұрын
MH Musukuma myooshe. From Mozambique
@FurahaMwajeka
@FurahaMwajeka 6 ай бұрын
Hongera musukuma
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Mheshimiwa Dr. Tafadhali njoo kwetu Umfundishe mbunge wa Bukoba vijijini asaidie wananchi wake hata maji hakuna watu wanakunywa maji yanayo nyweshea Ng'ombe na wakati wa kuomba........
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Жыл бұрын
King msukuma Ly umeuwa huo ndio ukweli Mungu akubarik %100
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Hongera baba mungu akubariki sana umeaso sana
@kaburaprince3596
@kaburaprince3596 Жыл бұрын
Asanteni
@ShekiyaoHussein-ki4ty
@ShekiyaoHussein-ki4ty Жыл бұрын
Msukuma uko vizuri umewapigilia msumari wa moto
@LukasiJeremiah
@LukasiJeremiah 6 ай бұрын
Hongera bro uraisi unakufaa chukua fomu ya mgombea
@farajamwakifuna303
@farajamwakifuna303 6 ай бұрын
Respect sana Mheshimiwa
@DanielKagoma-nx8ff
@DanielKagoma-nx8ff 7 ай бұрын
Kaka msukuma uko vizuri Mungu akubariki Sana tunakuombea Sana Mimi Niko Tabora mjini naomba namba zako mkuu naitwa Daniel kagoma
@HasimKumsitu
@HasimKumsitu 23 күн бұрын
Mwenyezimungu akujalie kila la kher kwa mambo unayoyafamya kuwasaidia vipamdo vya huduma ya afya aya ndio matendo mema kwa allah inshaallah mwenyezimung akulinde hapa dunian na akhera
@AnuariSatari
@AnuariSatari 25 күн бұрын
Uko vizuri
@musasaguti4760
@musasaguti4760 7 ай бұрын
Musukuma uko vizuri, huna baya mdogo wangu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Kazi kazi , Jembe kama Jembe
@AliAhmed-m1o2u
@AliAhmed-m1o2u 6 ай бұрын
Wabunge wote wangeliikuwa kama msukuma nchi ingepiga hatua kwa mda mfupi sana hongera sana msukuma
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Msukuma hongera sana,naomba ninunulie japo IST niendee Kanisani, sio kwa utajiri huo.
@emmanuelmauki2938
@emmanuelmauki2938 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
@@emmanuelmauki2938 Emmanuel nimechoka kutembea na boda wakati wengine wanautajiri wote huo.Msukuma anielewe tu.Yaaani IST tu na Mungu atazidi kumbariki.
@DaudiLukumay-rq3wk
@DaudiLukumay-rq3wk 24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 uuwiy
@abadharkhamis5909
@abadharkhamis5909 Жыл бұрын
Mskuma umetisha sana
@mussamkumbukwa5053
@mussamkumbukwa5053 5 ай бұрын
Safi Mh Msukuma umesema ukwelii.
@wachachesana
@wachachesana Жыл бұрын
Nakubali sana mbunge wangu vijijini geita
@ramadhanihamisi9393
@ramadhanihamisi9393 Жыл бұрын
Bradha msukuma mm binafusi nakukubali hoja na ushauri unao shauri serekali au mtu binafusi bigapu mungu akulinde na Kila baya zaidi akuongeze riziki zaidi
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 Жыл бұрын
Hongera msukuma wewe ni mbunge wa kwanza kuwajali watu wa jimbo lako na hakuna aliefanya kama wewe hata magufuli hakuwahi kufanya jimboni kwake wape ukweli hawo waliohongwa kupinga huo uwekezaji nadhani hao wanafaidika na ule wizi mkubwa unaofanya bandarini wacheni wapige kelele bandari itaingia ubia washenzi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Hongera sana ndugu
@EdithaMgoha-jy7ev
@EdithaMgoha-jy7ev 10 ай бұрын
Mungu akujalie Baba wa wetu achana na maneno ya wakosaji
@NicoMasepa
@NicoMasepa Жыл бұрын
Mungu akulinde na maaadui uishi miaka ming
@robertpaul7714
@robertpaul7714 Жыл бұрын
Nilichokiona humu watu mna makasiriko sana tafteni hela acheni kelele mtabakia kutoa comments za kutukana bure tu hii nchi usijifanye unaijua sana we kua mzalendo tu pia fanya kazi kwa bidii 💴💸
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Kwa kweli watu wanamakasiriko na roho mbaya!
@Bikhafija
@Bikhafija Жыл бұрын
Mungu akujaalie
@deusvincent1489
@deusvincent1489 Жыл бұрын
Bandari sawa lakini sio kwa Mkataba huo Kaka. Povu jingi linatushangaza.
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Sema umeongea sana facts your the best
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi Жыл бұрын
Acha uninga kuna facts gani happ
@MarthaJames-q1l
@MarthaJames-q1l Жыл бұрын
Hongera
@hafidhbarau9981
@hafidhbarau9981 Жыл бұрын
Mungu akubariki brother, mungu akulinde na maadui wako, mungu azibariki Mali zako, mungu akupe moyo wa huruma na upendo uwe na moyo wa kuwasaidia wasiojiweza pamoja na wananchi wako,
@kaburaprince3596
@kaburaprince3596 Жыл бұрын
Helo
@YusufuRichardYusra4409
@YusufuRichardYusra4409 9 күн бұрын
Nakuelewa Sana msukuma
@SirajiRashidy
@SirajiRashidy 18 күн бұрын
safi sanaaa
@sofiamfaramago3820
@sofiamfaramago3820 Жыл бұрын
Kaaah sawa baba !
@BinifaceDominick
@BinifaceDominick 3 ай бұрын
Ni kweli brow your a good leader
@VeronicaJohn-l5s
@VeronicaJohn-l5s 5 ай бұрын
Msukuma salute kula yangu kwako
@MartinNangai-f1d
@MartinNangai-f1d 29 күн бұрын
Safi
@RichardNgitaLaizer
@RichardNgitaLaizer Жыл бұрын
Tajiri tu
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 28 күн бұрын
Ongela kazi zuli safi mjomba
@EmmanuelKamaka
@EmmanuelKamaka 10 ай бұрын
Kaka Nakuelewasana.barikiwasana
@RaphaelLuhende-p3f
@RaphaelLuhende-p3f 11 ай бұрын
Ni kweli uliniuzia simu mbovu Ta nga ugomvi ulimalizwa na Mfanya biashara mmoja wa kiasia aliyerudisha pesa zangu na kunisihi nimwachie simu take ugomvi ukaishia hapo kumbe ni home boy wangu Swagger wazijua
@praygodmunisi8999
@praygodmunisi8999 Жыл бұрын
😂aliye mchokoza msukuma kazi anayo,, Siyo Kwa michambo hiyo😂😂
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
😅😅
@PamelaJonas-dh6lg
@PamelaJonas-dh6lg Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka nimecheka tena😂😂😂😂😂😂 yan msukuma namkubali sana
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
@@PamelaJonas-dh6lg 🤣🤣🤣🤣balaa
@MtanganyikaTanganyika
@MtanganyikaTanganyika 5 күн бұрын
Hongera ya Nini kwani katengeneza ndege au meli mbona mambo ya kawaida sana vipi kodi amelipa uyo acha kelele
@gindamaster1784
@gindamaster1784 Жыл бұрын
Men lie women lie, numbers don't lie. Kudos Msukuma, am inspired
@jdanny497
@jdanny497 Жыл бұрын
Danganya Dar na Dodoma sio mwanza
@noramkendamunishi6902
@noramkendamunishi6902 Жыл бұрын
Si kweli. Kuwa na hela hakuzuii kupokea rushwa. Ila Kama hajapokea ni vizuri Sana. Ila swali langu kazi ya mbunge ni kutoa misaada kwa wananchi au kufikisha hoja za wananchi bungeni na kuziweka kwa ufasaha ziweze kufanyiwa kazi na serikali?
@GaudenceTesha
@GaudenceTesha Жыл бұрын
Halo sawa mku
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Жыл бұрын
Kasheku msukuma we Ni noma PhD ilikuwa haki yako baba
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 ай бұрын
Hawakukujui hao kua wew ni king
@josephdaniel7341
@josephdaniel7341 Жыл бұрын
Mh Msukuma .Mimi naomba Unisaidie hata mtaji wa ml 2,000,000/= Ninashida sana ..
@MaatumKadhi-dl8xg
@MaatumKadhi-dl8xg Жыл бұрын
Mm naomba unikopeshe laki 4 tuu musukuma
@MshamAbdul-jn6rj
@MshamAbdul-jn6rj Жыл бұрын
Namba yako
@MaatumKadhi-dl8xg
@MaatumKadhi-dl8xg Жыл бұрын
@@MshamAbdul-jn6rj ww ndye musukuma
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
King msukuma
@khatimushabani3941
@khatimushabani3941 Жыл бұрын
Nakubali kaka
@meroymollel9156
@meroymollel9156 Жыл бұрын
Hongera sana Mh. msukuma
@prosperkimaro4660
@prosperkimaro4660 Жыл бұрын
Mwbamba upo vizuri
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Big up msukuma
@jacksonjosephmollel3833
@jacksonjosephmollel3833 6 ай бұрын
Naombeni namba ya MUSUKUMA...
@JacklineDamian-l9j
@JacklineDamian-l9j Жыл бұрын
Nimekuelewa sana mbunge
@AdamLeyan
@AdamLeyan 2 ай бұрын
Msukuma uko vizuri baba
@GodsonMasawe
@GodsonMasawe 6 ай бұрын
Mungu akulinde Archana na wambea
@adinanimussa5484
@adinanimussa5484 Жыл бұрын
King Msukuma👍
@hamadmhchande5633
@hamadmhchande5633 6 ай бұрын
Acheni unafiki hivi viblog uchwara tangia lini anamiliki ndege msukuma?
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
MashaAllah
@SammitindoJeremia-jv4qb
@SammitindoJeremia-jv4qb Жыл бұрын
Daaaah umetisha mzeebaba uko vizuri sana
@AlawiTupa
@AlawiTupa 2 ай бұрын
Big up
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 2 ай бұрын
Umeongwa mkuu! Mnatumia loop holes za nafasi yenu kuwanunua watu
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын
Safi m'bunge ayo ndo mambo tunayo yataka bandari ya kisasa sio maneno ya kuku kashifu mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe
@shurungubunzari9474
@shurungubunzari9474 Жыл бұрын
Yes my boss
@MarkKitali
@MarkKitali Жыл бұрын
Mheshimiwa athanasius na vyako mbona kimya kuhusu bandari.
@MobiKusukwa
@MobiKusukwa 2 ай бұрын
Ongera
@hajimakarabai4700
@hajimakarabai4700 2 ай бұрын
Upo vizur
@amimumufaumekikwasa5921
@amimumufaumekikwasa5921 Жыл бұрын
Mzee upo asahihi kabisa unafudha watu jisi ya kuishi na watu, na kukubali mzee wangu.
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 20 күн бұрын
Ni kweli kabisa ana rafiki yake pale korogwe jamaa mmoja ambaye ni rafiki yangu,ni kweli ametoka mbali sana kuanzia kubrashi viatu
@FidelisiKavishe
@FidelisiKavishe 6 ай бұрын
Msukuma hongera baba chukua maua yak❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
@Nyangindu
@Nyangindu 9 ай бұрын
Uyu jamaa kiongoz mzur
@allykhalfan9513
@allykhalfan9513 7 ай бұрын
Safi sanaa
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Жыл бұрын
Jamani aliemchokoza msukma akamuombe msamaaa
@PamelaJonas-dh6lg
@PamelaJonas-dh6lg Жыл бұрын
Nakweli aende tu maana kachooza moto
@KisuraJohn
@KisuraJohn 6 ай бұрын
Nice❤
@anjelammole9235
@anjelammole9235 25 күн бұрын
Kunaukweli ktk wasukuma naomba watanzania waelewe hivyo maana wasukuma hawana makandokando Mungu bariki wasukuma
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 6 ай бұрын
Ukweli ni ukweli sawa baba you big up
@mhangwacastory8765
@mhangwacastory8765 Жыл бұрын
Msukuma shikamooo, mwenye namna ya kupata namba ya msukuma ninaomba aisogeze hapa
@johnginni9926
@johnginni9926 Жыл бұрын
We mpigaji tu na ukianza Kwa msukuma mwenziee
@DaudiLukumay-rq3wk
@DaudiLukumay-rq3wk 24 күн бұрын
Bhn uko vizuri gombea uraisi nitakuletea watu😅
@valenakomba7686
@valenakomba7686 10 ай бұрын
HONGERA SANAA NDUGU MSUKUMAA. KUSOMA SANAA , HAIMAANA NDO UNAAKILI SANAA. AKILI MTU ANAZALIWA NAYO. WAPE SIRI YA MAFANIKIO YAKOO.
@JamesJackson-c5q
@JamesJackson-c5q 27 күн бұрын
Kustaafu huko njoo wilayani kwetu
@Goodlucklucas
@Goodlucklucas Жыл бұрын
Alie muelewa Mh: Msukuma like ziko wapi watu tunataka tukakae Ulaya we unaturudisha tukakae vijijini
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 142 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 25 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 102 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05