No video

HISTORIA YA BI: MARYAM MAMA YAKE YESU || YESU KAZALIWA BEACH MAENEO HAYA || ALHAJJ DR. SULLE

  Рет қаралды 610,735

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 872
@josephmasenga3517
@josephmasenga3517 Жыл бұрын
Mimi ni mkristo mkatoliki, kwa ufafanuzi wa Mheshimiwa Sheikh, nimekukubali baba. Mungu akubariki sana.
@leonceuwandameno760
@leonceuwandameno760 Жыл бұрын
HII haijalishi. shekh atuambie.. uilsmau ulianziswa lini. kwa nini sinagoga iitwe msikitiki? kwa nini hekalu liitwe msikiti. tunataniana?.
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Uislamu na Ukatoriki ni kitu kimoja.
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
​@@leonceuwandameno760 Sinagogi siyo msikiti, hekalu siyo misikiti weka hiyo kichwani brother.
@leonceuwandameno6378
@leonceuwandameno6378 Жыл бұрын
@@frankmpembu Please be serious! tangu line kikawa kitu kimoja?
@leonceuwandameno6378
@leonceuwandameno6378 Жыл бұрын
@@frankmpembu Ni kweli sinagogi siyo msikiti, wala hekalu siyo msikiti ... shekk anapobainisha kuwa Mariamu aliingia msikitini... anamaanisha nini?
@PriscaManonAman-nq9ir
@PriscaManonAman-nq9ir 10 ай бұрын
Hapa wakatoliki tu, ndio tutaelewa anachokisema huyu mzee mungu akubariki sana sheikh❤️❤️
@nobertkamugisha5177
@nobertkamugisha5177 10 ай бұрын
Duh! Mimi Mkatoliki mwenye msimamo mkali sana, Dr. Umetisha sana. Naanza kufatilia hotuba zako!
@emilykivunja1280
@emilykivunja1280 10 ай бұрын
Kiukweri Dr. Sulley Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri hapa duniani mpaka ahera.
@nemeskiwali3248
@nemeskiwali3248 Жыл бұрын
Wallahi shehe umenigusa mno na Hotuba yako Mungu akubariki sana!
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Mashallah Mashallah kwa uhakika Uislam ni muongozo. Shukrani kwa elimu Dr Sule Allah akuweke.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 10 ай бұрын
Hayo hata kwenye Biblia yapo, hivyo muongozo upo kwenye Biblia
@EduwardPatrick-ux8dq
@EduwardPatrick-ux8dq 10 ай бұрын
Hakika tunastahili waislam kuyakemea mabaya sema shiekh wangu mwenyezi Mungu akupebaraka
@jumamgandi-wi1cp
@jumamgandi-wi1cp Жыл бұрын
Axalam alyqum warahmatullah wabaraqatu shekh...mbna hufiki mombasa sehumu za mariakani ju wa2 wanatamani xna kukuona....inxhallah twakuombea ufike kwa neema ya Allah.
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 11 ай бұрын
Sheikh, hongera sana sana hii ndiyo hotuba iliyoenda shule. Natamani utunge kitabu cha maneno haya haya. Kiletwe hata makanisani kwetu tutanunua sana.
@jumamshana9868
@jumamshana9868 10 ай бұрын
Mashsllahh
@mohamedkibwana7558
@mohamedkibwana7558 Жыл бұрын
MashaAllah jazakAllah khair Sheikh Dr Suley
@catherinenicander7468
@catherinenicander7468 Жыл бұрын
Kweli kabisa shekh hitoria ya Maryam unaijua,nashanga waislam wengi hawataki kujua hilo
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 Жыл бұрын
Ulijenga mjengo southninyi viongozi wa dini zote mna maisha bora kwa zaka za waumini
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 Жыл бұрын
Kumbe zaka robo tatu iende kwa wahitaji siku hiyohiyo ijumaa na j'mapili, mnabadili magari na hiyo pepo mtaionaje ?
@mahunduinnocent8027
@mahunduinnocent8027 Жыл бұрын
Hotuba mzuri
@Ashsultana
@Ashsultana Жыл бұрын
@@godfreyobadiah7892 😂😂😂😂🤣
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 Жыл бұрын
Fundisho nzuri sana Sheikh ubarikiwe inshallah
@stevendavid8054
@stevendavid8054 Жыл бұрын
Amina shehe,,tuangalie majina ya kuwapa watoto,mimi ni mwinjilisti nimekupenda sana barikiwa
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Wewe ni mwinjilisti wa uongo, yani hujui kuwa anaongea uongo
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Mungu akubariki nawe pia ndugu
@stevendavid8054
@stevendavid8054 Жыл бұрын
@@frankmpembu wewe ndo mungo na mnafiki,hapo sasa alizungumza uongo, kusema tuchague majina ya kuwapa watoto,acha ushenzi wako
@stevendavid8054
@stevendavid8054 Жыл бұрын
@@saidbakari2408 Amina Asante
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
@@stevendavid8054 Utamsilizaje na kumuunga mkono mtu ambaye anaongea uongo, tena anatumia neno la Mungu kutetea uongo wake na wewe humkemei, wewe ni mwinjilisti wa mchongo na muongo, maana mtu muongo hawezi kumpinga muongo mwenzake Yohana 8:44-45 44 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo. 45 Nami, kwa sababu nasema iliyo kweli, hamnisadiki.
@SWEETGALKHAN_001
@SWEETGALKHAN_001 Жыл бұрын
😢MASHAALLAH WALAHI VERY TRUE MAY ALLAH BLESS YOU AND ME ,AND GRANT US JANNATUL FIRDOWS 🕋🙏###ISLAM IS THE BEST DEEN FOREVER
@aishanassor1757
@aishanassor1757 Жыл бұрын
I am Muslim I love it please give me your number for know ing each other
@ipyanamwasampeta653
@ipyanamwasampeta653 10 ай бұрын
Only zombies and mentally ill people can believe in this cult known as islam religion. Your god called al lah is an imaginary statue with two hands both are on the right side and a leg, hence is not Spirit and anything without Spirit is a dead thing therefore has no divine powers, is powerless, is dhaifu. The God of Abraham, Isaac and Jacob is Spirit and this God is worshiped by Christians and Jews. Your god a stone called blackstone is in city called mecca and this stone is found at the corner of a cube called kaaba, muslims believe that once you kiss this blackstone all your sins are forgiven. Even the shetani of cult is also found in the same city called mecca, this shetani is punished by muslims by throwing stones in the building of this shetani and building has been built by muslims not shetani himself. Only fools can believe in this cult. Immediately after taking shahada know that your brain is gone so you become zombie. Even scholars of this cult known as islam religion they say that muslims are supposed to believe without understanding and are forbidden to question anything concerning their cult. It's said that 99.8% of muslims do not understand what is written in their book called quran because their god called al lah uses only one language that is arabic language and it's a must to pray in arabic language. Internet is killing islam.
@dianandabirorere6365
@dianandabirorere6365 Жыл бұрын
Jazzak Allahu Khair,shukran sheikh Wang kwa elimu
@fatmakombo6639
@fatmakombo6639 Жыл бұрын
Mashalah shekh Alhah akubariki
@ahmedkamalmuhammad475
@ahmedkamalmuhammad475 Жыл бұрын
بسم الله الرحمن الرحيم السلام عليكم ورحمة الله وبركاته Baada ya assalaam Naomba sheikh Atuletee mawaidha ya janga jipya linatusumbuwa na mashetani wa sasa. Masaala ya mume kuowa mume. Masaala ya me kuowa mke. Adhubilahi minaal sheitani alrajeem. Inshaallaaah. Barakallahu kheiran.
@fatumakambi960
@fatumakambi960 Жыл бұрын
Masshallah
@user-gs1to5lj9x
@user-gs1to5lj9x 11 ай бұрын
Hongera sana doctor
@pungopungo411
@pungopungo411 Жыл бұрын
Mungu akibariki sheh nimependa mahubili yako mungu akujaze
@FordinaMpangala
@FordinaMpangala Жыл бұрын
Nimependa mahubiri sana, mm ni mkristo
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 Жыл бұрын
Ahsante sheikh Alhaj Doctor Sule kwa Elimu .
@josephosborne3072
@josephosborne3072 10 ай бұрын
Safi sana Ustadhi Dr Sule, Ni hadthi tamu sana, tumeenda sawa, utofauti upo mazngra alipozaliwa Yesu, chini ya mtende/ Hori la kulishia ng'ombe, but kla mtu afuate alichofundshwa vyote tumeletewa but hongera sana wewe ni mwl.
@abdulrahimowino1235
@abdulrahimowino1235 Жыл бұрын
Allahu Akbar. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza Sheikh. Hongera kutoka Kenya.
@galusbenomillinga
@galusbenomillinga Жыл бұрын
Nimependa mahubiri yako Shekhe Sullen.
@HazlaKhamis-xw6se
@HazlaKhamis-xw6se Жыл бұрын
Mashallah Allah akufanyie kila la kheri sheikh SULE inshaallah
@mariamjuma8580
@mariamjuma8580 Жыл бұрын
Mashallah ostazi 🙏🙏🙏🙏
@silvanuschiwalanga46
@silvanuschiwalanga46 11 ай бұрын
Unaitwa Dr haki unastahili kwamaana unajua kujua kufafanua watu wa mungu waweze kuelewa tena kiuwepesi
@marymule1678
@marymule1678 11 ай бұрын
Nakubaliana na ww maana kitabu Cha historia ya Mama Bikira Maria katoliki inafanana na hii Yako Mungu ni mwema
@JidayiMpagulwa-r6i
@JidayiMpagulwa-r6i 11 күн бұрын
Shekh Mungu akubariki me mkatoriki kwa mawaiza haya pamoja sana
@malcomg1004
@malcomg1004 Жыл бұрын
Shekhe sikia,uislam umekuja miaka mia sita baada ya kifo cha Yesu Kristo,japo unawadanganya wa Islam ila hongera maana unasambaza neno la Mungu wetu,Hongera Shekh kwa kumuongelea Bi Mariam mama wa Yesu,utabarikiwa sana
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Mama yake mariam anaitwa nani?? Maryam kabla ya kumzaa yesu alikuwa dini gani?? Yesu alizaliwa baada ya miaka mia sita baada ya mussa mbona hamfati dini ya Mussa
@mohamedrashid6578
@mohamedrashid6578 Жыл бұрын
Muhammad hakua mtume pekee alietumwa kwa ajili ya Uislam. Yani yeye alikuja kufanya kazi ilioanza kufanya miaka mingi kabla yake, kwaio Yeye sio wa kwanza kutumwa kwa ajili ya Uislam hapa duniani. Ila ni wa mwisho
@ahmedabdi3262
@ahmedabdi3262 Жыл бұрын
Allhamdullh shukrani kwa mungu ametuzalia masheik wenye wakona elimu
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 11 ай бұрын
Mashalllah ❤nimependa mafundisho ubarikiwe Allah akupe mema ya nchi
@adijamuke8590
@adijamuke8590 Жыл бұрын
Allah akulipe kilalakheri fidunia wali
@RehemaMassana-gm5ir
@RehemaMassana-gm5ir Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Mungu akubariki
@Aisha-qx7kz
@Aisha-qx7kz Жыл бұрын
MashaAllah mungu akulipe heri Kwa kutuelekeza yalio ya kweli
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Ukweli upi, anaongea uongo Waislamu acheni uongo 🤣🤣🤣🤣. Kabla Yesu hajaja duniani hakukua na msikiti pale Kulikuwa na hekalu la Jerusalem ambalo lilibomolewa mwaka 70AD baada ya Yesu kupaa mbinguni.
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Maryam aliyemzaa Isa siyo Maryam aliye mzaa Yesu. Maryam aliye mzaa Isa kwa mujibu wa Qur'an alikuwa ni dada wa Haruni Yani pia alikuwa ni dada wa nabii Musa. Sasa piga mahesabu kutoka enzi za akina Haruni na Nabii Musa hadi anakuja kuzaliwa huyo Isa, ni miaka mingapi ilipita, Yani huyo Maryam alimzaa Isa akiwa na miaka mingapi?. Ni uongo wawazi kabisa, Kwasababu, Yesu anazaliwa Musa, Haruni pamoja na dada yao walikuwa wamekwisha kufa.
@leopoldmushobozi6551
@leopoldmushobozi6551 Жыл бұрын
Carbon Monoxide..!!!?
@rukiakaddi4015
@rukiakaddi4015 Жыл бұрын
Wakristo mume changanyikiwa.bali Sisi waislamu tuko vizuri katika njia nyeupe hatuoni Giza.
@rukiakaddi4015
@rukiakaddi4015 Жыл бұрын
Wakristo hamna historia ya mamake mariamu.kwa hakika mumechangaywa kabisa.hayo maneno ni mazito kabisa.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 10 ай бұрын
Kuzaliwa kwa Yesu ni mpango wa Mungu, alizaliwa bila baba kimiujiza. Acha wote tumfuate Yesu
@augustinematwe2797
@augustinematwe2797 11 ай бұрын
Sheikh Allah akubariki.mimi ni mkristo.
@anodsimbeye9093
@anodsimbeye9093 Жыл бұрын
Kanisa la Mungu katoliki liki wafundisha juya mama bikira maria mnawajiajuu na kuwa tukana ndipo mumeanza kuku mbuka Amini.
@piustombili9921
@piustombili9921 Жыл бұрын
Mawaidha ambayo hata mkristu akisikiliza anaelewa safi sana Sheikh
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Anaongea uongo, Waislamu zindukeni
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
​@@frankmpembukakojoe ulale mpinga kristo
@rajabomar3981
@rajabomar3981 11 ай бұрын
Mashallah, mwnyz mungu akubari shekh Suleiman
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 5 ай бұрын
Allahou Akbar cheikh sule acha allaha azidi kukupa umri marefu cheikh wangu nakukubali sana
@Mbumbuko
@Mbumbuko Жыл бұрын
Allah Kareem akufanyie wepesi Kwa kila Jambo maashaa Allah
@lameckmadeni
@lameckmadeni Жыл бұрын
Inshallah mwenyezi Mungu akubariki sheikh
@SimonKaleko-n9u
@SimonKaleko-n9u 16 күн бұрын
Me hua nakukubali sana Shekh dr.Sule..lakin ukipindishaga neno kidogo haswa in napokua kwenye baadhi ya mihadhara..hua nakereka lakini ukiskmama katika kueleza kweli kama hivi walah tuombe Mungu huenda nikaja kuwa muislam one day maana no mwaka wa 20 nakufuatilia.
@AndreKanyama
@AndreKanyama 6 ай бұрын
Mashaallah mungu akuwekeye wepesi katka mambo Yako yote duniani na akhera shkrani sn shekh😍😍😍
@drmwitagogwani3636
@drmwitagogwani3636 Жыл бұрын
Mashallah Allah jambo la khery
@eliufoombise7889
@eliufoombise7889 Жыл бұрын
Takbiiir
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 11 ай бұрын
Mungu mwema atujalie mwisho mwema ❤
@JosephSila-tc2dw
@JosephSila-tc2dw Жыл бұрын
Nimefurahi sana unapohubiri habari za bikira Maria. Asante
@asteriashios1852
@asteriashios1852 10 ай бұрын
Mimi ni mkristo shekhe umenifurahisha sana maana unaongea ukweli mtupu mungu akubariki sana
@user-km6lu2lu9m
@user-km6lu2lu9m 10 ай бұрын
Shekh wangu endelea kutoa mawaidha Mungu akubariki Sana Wakatoliki tunakufagilia
@pungopungo411
@pungopungo411 Жыл бұрын
Sheh unafaa kwa dini zote asante mungu akubariki
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Hafai kwa dini zote, nenda kasome. Anaongea uongo tu apo
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
​@@frankmpembuukikata mkojo kakojoe ulale AZAZIL
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
@@saidbakari2408 Kama inakuuma chomoa, ukweli umeshakuingia toka huko.
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
@@frankmpembu 😁😁😁 Pole saana kondoo uliyepote
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
@@saidbakari2408 Wewe ndiye umepotea kwa kuamini Qur'an ni ukweli kumbe ni uongo wa shetani aliyempa Muhammadi kwenye pango la Hira. Kitabu=Upanga mkali, Ukurasa wa 22, inasema "Tulikuwa na mtume usiku Mmoja, Mara tukamkosa, tukamtafuta katika jangwa na mabonde, tukasema;ameuawa, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu. Kulipopambazuka mara tuka mwona anakuja akitokea upande wa hira, tukamwambia, tumekukosa, na tumekutafuta wala hatukukupata, Basi tukalala usiku mbaya waliowahi kulala watu; Akasema Muhammadi nilijiwa na muhitaji wa majini Bosi wa majini nikaenda naye nikawasomea Qur'an
@shaninjenje5004
@shaninjenje5004 Жыл бұрын
Ma sha Allah napenda sana kusikiliza mawaidha yake Allah amlipe ujira mwema
@manenondege543
@manenondege543 Жыл бұрын
Shukrani sana
@nassirlugunda1544
@nassirlugunda1544 Жыл бұрын
YOU DID IT DR SULE YO ARE REAL DOCTOOR
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Doctor wa uongo
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
​@@frankmpembukaa kwa kutulia mpinga kristo wewe
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
@@saidbakari2408 Mimi siyo mpina Kristo Kwasababu naamini Yesu ni mwana wa Mungu kama alivyosema yeye mwenyewe. Yohana 9:35-37, 35 Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu? 36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini? 37 Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Wewe ndiyo mpinga Kristo, kama hutaki kuwa mpinga Kristo, amini leo kuwa yeye ni Mwana wa Mungu kama alivyokuambia apo kwenye Yohana 9:35-37
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
Shekhe Mrisho Ibni jumaa Ibni Mrisho wa Ibni Kipindura Amerithi jina la Babu Shekhe wangu.
@zawadithomas1008
@zawadithomas1008 Жыл бұрын
mungu akutunze sheikh am Christian lakin napenda mafundisho yako🙏🙏
@kelvinkapinga4781
@kelvinkapinga4781 Жыл бұрын
Hàihitajiki nguvu nyingi kuyaelewa mafundisho yako. Ubarikiwe
@minafadhil3837
@minafadhil3837 Жыл бұрын
Naaam
@suweidkhamis722
@suweidkhamis722 Жыл бұрын
Kuwa muislam
@MrCay2co
@MrCay2co Жыл бұрын
Masha Allah Al Hajji - Hussein Kaituko, Bungoma, Kenya
@emertonmwakina8593
@emertonmwakina8593 8 ай бұрын
Anglicans pia tuko hapo mafundisho mazuri sana Barikiwa sheikh.
@msafirikushama2193
@msafirikushama2193 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Mwamba Yesu anawapasua vichwa .
@georgehajji9790
@georgehajji9790 Жыл бұрын
Kivipi labda?
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
Ni kwel lzm atupasue vichwa sababu tunampenda sn,tuna muheshim sn huyu ni Mtume wetu hvyo lzm tumfuatilie sn
@aminasalmin6058
@aminasalmin6058 Жыл бұрын
Sadakta
@aminasalmin6058
@aminasalmin6058 Жыл бұрын
Dr.anamzungumzia nabii Issa sio Yesu wako. Weka kichwa chako sawa.
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 Жыл бұрын
Sababu Ni mtukufu, kwa Nini asingiziwe mlaaniwa wakati Qur'an sura ya Maryam(Mary) aya ya 31 "yeye na mama Ni wabarikiwa..." Pia hata Biblia inasema angikwae amelaaniwa Wagalatia 3: 13 sasa hapa tunapoumia na masingizio ya mtu huyu mtukufu dhidi ya laana lakin kwa Hali ya ajabu watu hawa wakidai wanamsifu .
@jumannekambi232
@jumannekambi232 Жыл бұрын
Barakallah fiika
@imanimussalacky3078
@imanimussalacky3078 Жыл бұрын
Mashaalllah, M/mungu akupe umri mrefu sheikh vizaz vijavyo vifaidike zaid na darasa zako
@RubenMassawe
@RubenMassawe 11 ай бұрын
😅 by
@issakawaya8315
@issakawaya8315 10 ай бұрын
AllAh atuongoze
@eunicengendo1446
@eunicengendo1446 Жыл бұрын
I would like the nxt content of dr to be how joseph become the father of jesus
@user-fk5pc3md8h
@user-fk5pc3md8h 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Dr Sulle,,,,nmecheka xnaaaaa leo,,, ujumbe mzito na maneno ya kufurahisha,,,, Allah akulinde Inshallah
@benedictkiteji3627
@benedictkiteji3627 Жыл бұрын
Barikiwa shekhe hunaga unafki
@StellaSamsoni
@StellaSamsoni 4 ай бұрын
Yean wewe ndio unajua dini naona katika waislam wewe pekeako ndio hauna unaguzi wa dini na umekubaliana na wa kristo wengine wanawaita MAKAFIRI HAWANA HOFU YA MUNGU ALLAH aendelee kukutunza🙏
@saumbliz8983
@saumbliz8983 4 ай бұрын
Makafiri sio wakristo eleweni kafiri ni yule asiejua Kuna mungu ,kufa na kufufuliwa na siku ya mwisho
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 11 ай бұрын
Mahubiri mazuri sana ubarikiwe mno
@joasgeorge9648
@joasgeorge9648 Жыл бұрын
Bwana YESU Asifiwe Suleiman Alijenga Hekalu na sio Msikiti wowote
@Malaikakisseto
@Malaikakisseto 11 ай бұрын
Nenda kasome yesu alikuwa akifanya ibada ktk masinagogi sasa katafute maana ya masinagogi utagundua kuwa ni msikiti kwasababu maana ya masinagogi ni masikiti wa wayahudi. Usikalilishwe kama kuna kitu hupaswi kuridhi ni dini fanya uchunguzi wa dini utagundua wapi sahihi ufate.
@SimonHombo-kl8rr
@SimonHombo-kl8rr Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu shekhe
@ahmedabdi3262
@ahmedabdi3262 Жыл бұрын
Ma Sha Allah sheik
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Bismillah MashaAllah ❤❤❤
@addymsola4625
@addymsola4625 Жыл бұрын
Nimekukubali shehe ubarikiwe sana
@FaustineAssenga-wu2lb
@FaustineAssenga-wu2lb 11 ай бұрын
Nimepata kitu kutoka kwako Shekhe Mungu akupe nguvu ya kuinjilisha. Neno
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 10 ай бұрын
Barikiwa zaidi mtumishi kwa maneno mazuri.
@eliudjrkim-sm6ru
@eliudjrkim-sm6ru Жыл бұрын
Mungu akubaliki shehe
@christinakayela1161
@christinakayela1161 Жыл бұрын
Kwawakatoliki hongereni sana kumpa heshima huyu mama kumbe wengi wanatambua uwepo wake tutazidi kumuheshimu hata kama wengine watamtukana huyu baba kafafanua vzr sana
@masigoraphael9288
@masigoraphael9288 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Barikiwa saaana
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Waislam tunamjua hadi familia yake, nyie hata baba ake hamumjuwi anaitwa nani
@prochesernest5439
@prochesernest5439 Жыл бұрын
​@@samxx411 Mariam dada yake Arun tofauti na wakwenye biblia Mariam wa Muhammad Quruan aripata mimba siku hiyohiyo na akazaa wakati anasikia uchungu sauti ikatoka chini ya aridhi na mtoto akaongea siku hiyohiyo ISSA Mariam
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
@@prochesernest5439 sasa huyo maryam wa biblia baba ake nani
@damianosikapili2917
@damianosikapili2917 Жыл бұрын
Tumsifu yesu kristo Mimi nimesikia mwanzo mpaka mwisho Sheikh
@stephenmnkande8192
@stephenmnkande8192 Жыл бұрын
Maelezo ni mazuri sana japokuwa mengine kama ni tofauti na ninavyofahamu na pia hayaendani na Historia. Mfano kusema kwamba Mariam mama yake Yesu alisali Msikitini ilhali sote tunafahamu kwamba Mariam alikuwa ni Myahudi na Wayahudi wanasali kwenye Masinagogi hapo ndipo ninapotofautiana naye. Kumbuka Mariam aliishi miaka takriban 600 kabla ya Muhammad (S.A.W). Hata kwenye Quran 22:40 inathibitisha kwamba Wayahudi walikuwa wanasali kwenye Masinagogi (SWALATUN) na sio misikiti.
@baysadam235
@baysadam235 Жыл бұрын
Assalamam aleikum Mungu akujaze kheri shekh 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@jameskitheka5791
@jameskitheka5791 Жыл бұрын
Mashallah hii Dini ya kiislamu ni tamu,,Enyi watoto na watu wazima mlio zaliwa kwa ukristo..mkatae hau mkubali Dini kiislamu Ukiiskiliza na kuisoma imenyooka sio kama ukristo
@trisiamnyazikwanya4273
@trisiamnyazikwanya4273 11 ай бұрын
Endelea na imani yako na wakristo waendelee na imani yao 🙏
@charlessiwale3858
@charlessiwale3858 5 ай бұрын
Waisram wanamariam wao munyazi mungu wao kwaujumla tuendelee kuwaombea waje kwa Jesus
@aliyyuhibu3561
@aliyyuhibu3561 Жыл бұрын
Safi sana Dr, sule
@rahmamusa4484
@rahmamusa4484 Жыл бұрын
Hadithi nzuri sana mashallar
@alipoedwinmwankemwa7982
@alipoedwinmwankemwa7982 10 ай бұрын
YESU anaokoa. Ukitaka atakuokoa kweli. Ukikataa, baki ulivyo lakini Jehanam utaenda lazima endapo Yesu hakupata nafasi maishani mwako.
@patrickcharokatana1873
@patrickcharokatana1873 Жыл бұрын
Uislam unatosheleza historia zote uongofu. Ndio maana nkaingia katka uislam. Mombasani Pwani mwa Kenya nawafatilia saana
@user-yz2xm6jn8l
@user-yz2xm6jn8l Жыл бұрын
Allah akujalie kaka kurudi katika dini ya haki
@OmarRama987
@OmarRama987 5 ай бұрын
Mashallah
@mohamedshaban4854
@mohamedshaban4854 11 ай бұрын
Hongera mtaalam Doctor Suley
@magrethkauki2224
@magrethkauki2224 10 ай бұрын
Asante Shehe nimelewa sn leo
@JazalaRachideMohamede
@JazalaRachideMohamede 18 күн бұрын
Hostadh ninakubali sana mahubiri yako
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
Jazakallah
@user-wx2oz8dp7d
@user-wx2oz8dp7d 10 ай бұрын
Inshallah shekh Allah akpe kher
@issafaquedalaura8279
@issafaquedalaura8279 Жыл бұрын
Masha Allah very history
@mrsab303
@mrsab303 Жыл бұрын
MashaAllah 💕💕💕💕💕💕💕💕
@bernardndemba2253
@bernardndemba2253 Жыл бұрын
mpumbavu wewe wamusikiliza huyu mwongo .kweli wajinga hawawezi kuisha dunia hii
@jumamsangi6048
@jumamsangi6048 Жыл бұрын
Masha'Allah
@momadesuales
@momadesuales Жыл бұрын
Maashallah
@MaishaMahukualimas-vi8gm
@MaishaMahukualimas-vi8gm Жыл бұрын
Nakufata vizuri sheh
@guyogalora-gl2lu
@guyogalora-gl2lu 4 ай бұрын
Barak Allahu feek Dr sule
@PatriciaAkena
@PatriciaAkena 7 ай бұрын
Mungu akubariki jamani sheehee..amuna tumepingwa vita wakatoliki alibarikiwa kuliko wanawake wote
@user-nf6ft3ir5e
@user-nf6ft3ir5e 9 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana she
@Juma-hx9cf
@Juma-hx9cf 9 ай бұрын
Mawaidha Matamu kweli walah hizo bangi unataja Ustadh me nimechoma kijiti apa ndo kwanza imenituliza apa nikiinjoy mawaidha yko usilolijua n ucku wa Giza karibu 254
@user-rv1po9or6j
@user-rv1po9or6j 11 ай бұрын
Sheih. Ubarikiwe. Nimekuelewa
@janew6400
@janew6400 6 ай бұрын
Waoh walioamini Ndio wanatumia muda wao vizuri
@pungopungo411
@pungopungo411 Жыл бұрын
Shehe Mungu hatakuacha sababu huoni haya kumtaja Yesu. Hao wengine ukweli wanaujua lakini wanafki nimependa
@sweeteaglepower4773
@sweeteaglepower4773 Жыл бұрын
Amina baba
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Isa siyo Yesu na Yesu siyo Isa
@mwajumalipumba5273
@mwajumalipumba5273 Жыл бұрын
@@frankmpembu Sawa sio
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
@@mwajumalipumba5273 Mwambie Mwalimu wako aache uongo
@Malaikakisseto
@Malaikakisseto 11 ай бұрын
Labda hujui kuwa uislam unamtambua nabii issa ambaye ni yesu na hakuna muislam anayebisha kwa sababu ni nabii ktk uislam na kila muislam anafahamu kuwa nabii huyo atarudi tena.
@junedkipande3694
@junedkipande3694 6 ай бұрын
Mashaah mungu akubaliki
@rashidihabutwaha7636
@rashidihabutwaha7636 Жыл бұрын
Maashaanllaah anlaah akuzidishie
@fastanzania
@fastanzania Жыл бұрын
Mashallah ♥️ 🙏
@abdoulmrisho4214
@abdoulmrisho4214 Жыл бұрын
Masha Allah 🥰🥰
@sh4138
@sh4138 Жыл бұрын
Mansh Allah Alhamdulillah
@yakoubmasesa4462
@yakoubmasesa4462 Жыл бұрын
Maashallah
@salumsalumu741
@salumsalumu741 Жыл бұрын
Mungu akupe umli mlefu
DR. SULLE | KWA NINI KIFO CHA MSALABANI NI KIFO CHA LAANA?
41:20
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 103 М.
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 15 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 44 МЛН
DR.SULLE HATAKI MASIHARA TENA//ELIMU YANGU ITADUMU NITAKUMBUKWA NA........
38:03
THE STORY BOOK : MFALME SULEIMAN, NABII ALIYEPENDELEWA KILA KITU NA MUNGU
44:18
KISA CHA NGAMIA WA NABII SWALEH NA WATU WA THAMOUD //SHEIKH OTHMAN MAALIM
32:39
Huyu Dr. Sule ni hatari, Atoa Aya za Biblia zawatoa Jasho wainjilisti.
35:07
DR SULE - MAAJABU YA NABII MUSSA KWA FIRAUN- MUENDELEZO HUU
28:39
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 20 М.
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00