#HISTORIA YA MITUME #VIFO VYA MITUME #HISTORIA YA KANISA #MASALIO #SDA @MahubiriPrMmbaga @HopeChannelTanzania
Пікірлер: 132
@geofreyKigolaАй бұрын
Historia inabariki sana ✅
@JoyceMalogoiАй бұрын
Ahsante Kijana Kwa historia hizi,zituimarishe maana yajayo haya hayaoni,Mimi na wewe tujihoji yatakua je?(2),unajua wakristo wengi shina ni moja,ispokua mwana wakuasi alituvuruga sana.wapenda watu Wa Baba aliveziumba Mbingu na inchi,twende tujifunze historia ya Manisa katika ukristo wetu wote hata Rafiki zangu Sana waisla tena kruhani ikovizuri Sana.❤❤❤ wote,muwe na maandalizi ya kiroho.siku njema.
@simontamba128518 күн бұрын
Asante dada J
@XaveryKayomboАй бұрын
Amina Amina Mungu nimwema mapemzi yake yatimizwe.
@DeniseKarafuli-fn2qbАй бұрын
nashukuru sana kwa mafasirio zaidi ubarikiwe na mwenyezi Mungu
@RobertMashaka-t1o11 күн бұрын
Asante sana mkuu
@kombibora28 күн бұрын
Ubarikiwe mpendwa kututolea historia nzuri , Bwana na akuzidishie maarifa yakulitangaza nenolake.
@patrickgeofrey5116Ай бұрын
Hata mm nampenda sana Yohana kitabu chache kitamu sana asante kwa simulizi
@edwinjhilbajojo2429Ай бұрын
Asante sana,,,ila hujatuambia❤kuhusu Mathias aliyechaguliwa kureplce nafasi ya Yuda Iskarioti.
@frankmoses1479Ай бұрын
Asante sana kwa Historia nzuri ya Maisha ya Wanafunzi wa Yesu.
@AnsilaAnorld-tk7vyАй бұрын
Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu hasa katika kuineza injiri yake
@UpendoDaudi-iq6hyАй бұрын
Ubarikiwe sana mpendwa
@Lawrence-l7rАй бұрын
Asant kwa historia nzur
@henrysizya239Ай бұрын
Amina, japo picha ulizotumia si picha halisi za mitume hao
@Charitémapendo-c3j16 күн бұрын
Asante mutu waMungu. Nisaidie n'a shairi ndani ya biblia. Ambako wana zungu muzia vifo vya mitume. Kwelihii ina nijenga kiroho.
@PeterKaroli-m7iАй бұрын
Nimeipenda sana
@Janetmoraa-t8f26 күн бұрын
Sorry ni judas nice story be pleased ❤❤
@Stephano-x2bАй бұрын
Amina
@kalebphilip3426Ай бұрын
Watumish wa Sasa ni mteremko tu yaan hawana hofu ya Mungu wanamiliki mpaka ndege raha sana
@conceptarannАй бұрын
Ni kweli ubarikiwe sana
@DodomaNebrix2 ай бұрын
Asante kwaku ihuisha imani zetu kwa kutukumbusha maisha ya mitume wetu🙏
@LeoncCosmace18 күн бұрын
Amin
@brotherdaniel21123 ай бұрын
Amen amen glory be to God for rever
@ISSACKNTACHOАй бұрын
Ameeeen,nmebarikiwa Jumapili hii na habar tam
@DaudiMteweleАй бұрын
Mungu akubaliki sana
@mulwalivu5778Ай бұрын
Ee babaMUNGU wa MBINGUNI uturehemu MILELE dhambi zetu amen
@madamneema7626 Жыл бұрын
AMEEN SANA🙇🙇🙇🙌
@ElizabethMedardАй бұрын
Ubarikiwe sana
@amanimakombe7141Ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@JosphatJohanaАй бұрын
amen ubarikiwe sana
@DirielMariel7 ай бұрын
Nice illustrations in deed I love your wonderful work❤😊
@MichaelIbrahimu-cr4fl2 ай бұрын
Amina kwakua mapenzi ya MUNGU yametizwa kwa upendo wake yeye
@EvangelismTv-n4i2 ай бұрын
Be blessed servant of God
@ChristinaMaganga-i3u2 ай бұрын
Asantee barikiwa sana
@frankmwakalinga7455Ай бұрын
Amina❤
@isaackmwakapala8663Ай бұрын
Amina.
@GeorgeShirima-h9mАй бұрын
Mungu mwenyewe atuimarishe ktk imani yetu
@CatherineLubela-sb1fb2 ай бұрын
Amina saana
@NatanaelKilengaАй бұрын
Ameni ameni
@juliuskubai9294Ай бұрын
I need this
@EnesiaMwagala2 ай бұрын
Amen 🙏
@RastaSumaАй бұрын
Huu ni uongo na mapokeo wanaoaminishwa wakristo baadaye wanasema amina,mmmm someni
@alphoncewilliam4325Ай бұрын
Pole
@HatangimbabaziSenzoga-f9iАй бұрын
God bless you
@dunstankihaa2383Ай бұрын
Nimebarikiwa sn na historia hii
@hazygardmericho9571Ай бұрын
Watu wa mungu tuiombee yerusalem alioililia yesu. NA ISRAEL KWAUJUMLA
@damasmayanja2930Ай бұрын
Huu ni ujinga na upuuzi wa kiwango cha mwisho
@damasmayanja2930Ай бұрын
Kwani unajua aliililia kwa Sababu aliipenda? Aliililia kwa Sababu wokovu ukifika kwake na ukaikataa na hasira ya Mungu ya kukataaa wokovu ilishuka juu yake Mji ukavamiwa na watendaji na watesi wake ukaangushwa vibaya mnooo hata sasa.
@alfoncekasanyi6584Ай бұрын
Unaposema alizaliwa mwaka wa kwanza baada ya Kristo wakati huyo mtume alifanya kazi na Kristo Naomba ufafanuzi hapo sijaelewa
@tevelamayaJrАй бұрын
mfano, mmoja alizaliwa 2020 na mmoja alizaliwa 2021. hawa wote watakua kwa lika moja na uwezekano wa kufanya kazi kwa pamoja ni mkubwa.
@peterkolam819320 күн бұрын
Baada ya kristo, Haina maana baada ya Yesu kuondoka Bali baada ya Yesu kuzaliwa na nyakati zote. Yes, alianza kazi akiwa na Mika 30,lakini je kunayakati zilianza kuhesabika katika kipindi flani hata kabla ya kuzaliwa au alipozaliwa ndio ikawa zama baada ya kikristo?
@judithnzisa-ii7kg19 күн бұрын
Ni marika
@pizzarofeint10008 күн бұрын
Yesu alizaliwa miaka mi3 kabla ya mwaka wa 2000 kutimia ili kuanza kuhesabu mwaka 1 kwahiyo akisema waliozaliwa mwaka wakwanza baada ya kristo anamaanisha alizaliwa miaka mi3 baada ya yesu
@joshuaJoshua-b7yАй бұрын
God is everything
@sebastiansalamba313Ай бұрын
Eee yesu utuhurumie
@mariamwakabuta1034 Жыл бұрын
Amen
@Charitémapendo-c3j16 күн бұрын
Kweli hizo shairi kumi nambili zavifo vyamitume vitani Saidia. Mimi ni mkongo mani. Naishi Kivu ya kaskazini. Yani Nord-Kivu.
Ni wanafunzi ambao walikuwa mitume baadaye.. Yesu aliwatuma ulimwenguni kuihubiri Injili.
@frankchipasura1814Ай бұрын
NI mitume wa Yesu, waisilamu bwana, mnadanganywa Sana, Yesu alikuwa na mitume mmojawapo NI Paulo, biblia ilianza kuandikwa kabla ya vitabu vyenu
@felicianmapunda856Ай бұрын
Hii historia inapatikana kwenye vitabu vya kanisa katoliki nyinyi mmekopi kutoka kwao?
@jonasjackson1056Ай бұрын
Kwan kuna ubaya kushare na kujifunza historia ya mitume au hii historia ipo kwaajili ya watu fulan au din fulan..? Hapan kila mmoja wetu anahitaji kujifunza haya haijalish yanapatikana wap
@ramahzedon6688Ай бұрын
The masonic bible inayo mengi zaidi ya haya
@MussaBuppunaАй бұрын
Mbna wote ni wazungu ndo kusema kizazi Cha wau weusi walikuwa wap , hakika tunapigwa vibaya sana
@LauMagwajaАй бұрын
Nikwel mungu aliwatuma mitume wake kwenye mataifa ya watu waliotenda zambi nying nakupitiliza kaka ona mpka leo mataifa yaliopita mpk leo wanachangamoto misr nabii musa , pastina nabii mohamed na yesu nazalet kaka
@josephatmwema561Ай бұрын
Walikuwa weusi wote hata Yesu. Raisi wa Rassia aliseme
@clintonmwaisaka-zd7dhАй бұрын
Kwani wana israel ni weusi nchi tofauti na israel tuliitwa mataifa na hao ni weupe sababu ni kutoka nchi ya israel
@Njia-ya-Haki2007Ай бұрын
Mitume wote walikuwa watu weusi hamuna hâta mmoja aliekuwa mzungu
@stephenkalidush5446Ай бұрын
elewa maana ya chimbuko, rangi sio usawa wa ufalme wa Mungu ila ni nani amekusudiwa awe nani
@chrispinuswekesa8093Ай бұрын
.Amen 😅
@peteruzia83137 күн бұрын
DINI ILIANZIA AFRICA NA YESU ALIKUWA MTU MWEUSI HYO YOTE TUNAYOIONA NI MICHAKATO IMECHAKATWA NA WAZUNGU WAKACHUKUA MICHOLO YOTE WAKAENDA NAYO WAKAICHAKATA HALAFU WAKATULUDISHIA
@JustusNgonyoАй бұрын
It is the way in world there is war victory to heaven fight to heaven
@Charitémapendo-c3j16 күн бұрын
Kweli mimi ninge tamani kiongozi unitumiye Misha hiri hizi ziko wapi ndani ya Biblia. Maana kwangu itanipa kitu kingine rohoni mwangu.
@baltazaljohn9958 Жыл бұрын
Amina
@MedronundersonMkuyu2 ай бұрын
Wazungu walitulubuni sana hakuna Cha yakobo Wala nani niungo tu wawazungu
@Janetmoraa-t8f26 күн бұрын
Kwani mbona najua petero alijinyonga inakuaje tene kusurupiwa😢
@AgnessMpanduka-l5g14 күн бұрын
Petro hakujinyonga alisulubiwa miguu juu kichwa chini. Alie jinyonga ni Yuda Iskalioti Alie msaliti Yesu.
@jaffarmohamed6859Ай бұрын
Mitume ama wanafunzi
@FranciscoOresteBernabéАй бұрын
Aminaa😢
@jamesshirimoАй бұрын
Thanks
@jk7445Ай бұрын
Ni wayahudi si wazugu
@AlfonceGabrielАй бұрын
Wote ni wayahudi ndimaana ni wazungu
@MwalindeJacksonАй бұрын
Kwanini huku muelezea mtume aitwaye matia aliye chukua mafasi ya yuda?
@EdwinKabasaАй бұрын
Lakin ata sasa asema Bwana
@emmanuelmayila570016 күн бұрын
Mtumishi palestrina unayoisema sijawahi kuisoma popote kwenye maandiko ya biblia
@ChrismasaweChrisАй бұрын
Na hii ndio dhiki kuu msijidanganye kuwa kuna dhiki kuu nyingine
@officials.r.k5493Ай бұрын
So wote walikua wazungu?
@mosesmbeke6137Ай бұрын
Umejitahidi sana but ilitakiwa uainishe kwamba picha hizi sio halisi
@JonasMathias-s6mАй бұрын
Kwani ninyi mnafuata mafunzo au picha,je miaka elf2000,iliyo pita kulikuwako,na kamera hazikuwepo,ila walikuwa na technolojia ya uchoraji tu,wa sula za manabii,HIVYO kwakutumia ucholaji unaweza pata picha ya mtu alivyo kuwa,
@DanielMwakalinga-d2nАй бұрын
Yaan wabongo ni shida mradi tu akosoe@@JonasMathias-s6m
@mjeshimsofe9730Ай бұрын
Walikuwa weupe kumbe
@nelsonamani9489Ай бұрын
Yakobo nae alikatwa kichwa
@SelinaDorcasАй бұрын
Mbon mm najua mitume wa yese ni wale wazee ishirin n wanne..hao sio mitume ni wanafunzi wake
@evaristoaidan2690Ай бұрын
Sijaelewa Petro alizaliwa kabla miaka mingap ndipo alizaliwa kristo?
@userKAZIEYENDELEEАй бұрын
suwala linakuja hivi kwa nn wanafunzi wa yesu wengi wao wameuliwa au kuuwawa . walikuwa wanafundisha kinyume na yesu mwenyewe na kumsaliti
@enockmasigwaАй бұрын
Walikuwa wafundisha kulingana na mafunzo kutoka kwa Yesu ila wale waliokuwa wanafunzwa hawakutaka ukweli kwa maana uliwapa vikwazo kinyume na yale waliokuwa wakitenda
@Jackline-gb1vcАй бұрын
Walifundisha vyema ili kuleta wengi kwa Yesu ila wakapata upinzani mkubwa.
@KAIPAAA3211Ай бұрын
Hauji mbona unaweka picha za watu wenkhundu wakati hao wote walikuwa watu weusi
@juvenalMuyombaАй бұрын
Kwanini sehem walo uliwa mitume wayesu mbona ndio inchi tajiri leo nani wakunijibu swali hilo?
@ramahzedon6688Ай бұрын
Utajir wa Nchi unapimwa na nn? Unajua kuwa bara la Africa ndo bara tajir kuliko yote dunian na Ndo bara kubwa kuliko yote dunian?
@richardmugacostantine279128 күн бұрын
Uongo mtupu puzieni
@abdoumadiousseni4835Ай бұрын
Yesu alikuwa na mitume kweli nynyi akili zenu sema wana fudzi