Mzee yupo huru mwacheni afanye maisha yake gari ni geto pia linahama tu😊
@Kachuba-w9p5 ай бұрын
Jamaa yuko Sawa kabisa yaaan iyo gari ni nyumba na ni gari iko shida gani jaman
@mawazoaliselemani5 ай бұрын
8:50 Watanzania kwanza washamba,pili wajuaji tatu wabishi. Tatizo limo hapo kama hajavunja Sheria yanini kumlazimisha alipie guest?
@JonathanZakalia5 ай бұрын
Siyo washamba tatzo Asaiv binadamu ni wauwaji kuna watu wana potea na izo gali ndogo watu wana tolwa semu za sili
@elvisoscar99125 ай бұрын
Wabongo washamba sana jifunzeni kutembea mataifa ya watu kuangalia watu wanavokaa na kuishi apa marekani watu wanaishi kwenye magari mengine mabovu mwingine anaendesha kabisa nenda pale Nairobi mkajionee acheni ushamba
@azizayassin36234 ай бұрын
😂😂😂hawaoni ndio maana washamba
@elisantemrita94905 ай бұрын
Safi sana docta hata mm nitafanya hivyo ,, sio niwe na Gari afu nikalipe hoteli 10×7=70 bado uchukue maroho ya uzinzi uko na uzee huo
@cosmaslunyembeleka2515 ай бұрын
Uyu jamaa anaakili sana anaishi vizuri sana haina shida Anaishi kisheria yuko sawa.
@nairobitv61615 ай бұрын
Maswali ya kiboya sana
@Allyhujjat5 ай бұрын
Acheni ushamba kulala kwenye gari ni maamuzi yake inawakera nini ajavunja sheria muulizeni tu huduma nyingine anafanya wapi maana kuna huduma za vyoo vya kulipia anaingia ana oga na huduma zoote acheni kufatilia maisha yasio wahusu
@estakapufi75825 ай бұрын
Maisha ya sasa kuishi kimazoea hapana mwamba utakuja tiwa moto dunia imeisha imani, ila wananchi wamefanya kazi nzuri sana.
@leinaamos5 ай бұрын
Wewe umenena
@PericyKiko5 ай бұрын
Mungu ndie anatulinda km huna hatia basi kufa pia ni faida
@totonata53845 ай бұрын
Maamuzi ni yake yaheshimiwe. Ana haki ya kulala anapotaka .
@umsulaiman74685 ай бұрын
Kweli anahaki ya kulala anapo taka mm naona hawana KAZI yaani anapo uliwa mtu au kudhulumiwa huwa wanapuuza yaani KAZI za muhim hawazifatilii lakini KAZI za kipuuzi haraka yaan eti mtu ukamuingilie maisha yke kwanini kalala kwenye gari yke imehusu jaman mengine aibu hebu mfanye KAZI yenu tafuteni wezi wauwaji wekeni Aman kwa Tanzania acheni kumfatilia dactar anatafuta rizki hajaiba
@moyolameck5555 ай бұрын
Sio kwenye parking ya nyumba za watu.Akapaki mlima kitonga hakuna atakaye mgusa
Kwani s mtanzania au acheni ushamba angalieni kama amevunja sheria
@bonifaceanselmo36265 ай бұрын
Maroli tunalala miezi ya kutosha kwenye gari hawajawahi kuona hicho kitu?
@brightonchedego81005 ай бұрын
Daktari mstaafu,pole sana
@lusakaone77825 ай бұрын
Wapuuzi sana, mnaingilia maisha ya mtu.
@abelmbijima43245 ай бұрын
Kwani amevunja sheria? Siyo kazi yenu pole mzee wamgu
@nzegeatv63555 ай бұрын
Binafsi mii doctor nakuelewa sana wenye magali tuu ilo watalijua😂😂
@zainabumohamed47635 ай бұрын
Jamani watu wanakazi zao mbona mnachimba sana,wabongo bwana kama hamjaenda shule vile, mwacheni baba aendelee na mambo yake ,
@mage53715 ай бұрын
Uko sahihi boss ila wabongo wanadadavua sana
@MgoriHc5 ай бұрын
Bongo kuna waandishi wa hovyo sana
@MfiriFulgensi5 ай бұрын
Ukosefu wa pesa hauna chakujiamini mwacheni ni maamuziyake
@leinaamos5 ай бұрын
Unajuaje kama yeye ni Mtu mwema?!
@charleslukumai78755 ай бұрын
@@leinaamoswewe eleza ubaya wake.
@emmanuelmmbaga52095 ай бұрын
Wabongo bana, wanaenda sana kufatilia mambo yasiyowahusu, mtu ana yake, haja vunja sheria yoyote.... Swala la kuchukua chumba unampangia mtu, na ana gari yake halali kwako, mpk mnaleta waandishi km jambo la kihalifu, aaaah wabongo ni shida sana. 😥🤔🤔
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Point kaka chukua maua yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@harrymakongwa11475 ай бұрын
Yupo smart sana...Watu wa Mbeya msiwe washamba..
@JosephMchaki-fy5te4 ай бұрын
Katika mikowa yote Tanzania mbeya inaongoza kwa ushamba wanambeya tembeen mjifunze mengi
@ZakayoDionisi5 ай бұрын
Uluya watu wanaishi kwenye gari na familia zao mwacheni mzee wa watu
@leinaamos5 ай бұрын
Usalama wa wenzie waeneo Hilo watakujuaje wewe kama ni mwema?
@cesiliajames28035 ай бұрын
Kabisa watu huku Ulaya, wanaishi kwenye magari ni kawaida kabisa
@charleslukumai78755 ай бұрын
Ubaya wake ni kulala ndani ya gari lake?
@ndorobocarworks-dx4pf5 ай бұрын
Niliona Marekani wanaweka mahema rod
@ماجكموزجوني5 ай бұрын
CLOSE YOU CHANEL MATE. YOU'VE NOTHING TO TELL US. YOU SHU'D PRAISE DR FOR SPENDING HIS RETIRED TIME CONTINUING HELPING THE ONES WHO NEED MOST. DOESN'T MATTER WHERE HE LIVES/STAYS... WHAT MATTERS IS HE STILL CONTINUING SERVE HIS NATION. HE'S STILL YOUNG AND LOOKS VERY ENERGETIC. BRAVO DR CARRY ON DOING WHAT YOU ARE DOING AS LONGER YOU DON'T BREAK THE RULES
@alfredakabakama20104 ай бұрын
Well said
@MfiriFulgensi5 ай бұрын
Alala hotelini mnamlipia?
@leinaamos5 ай бұрын
Wewe unaona usalama wake ni mzuri kulala kwenye gari?
@petermanala61385 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hapo sasa anabajet zake mwenyewe
@OdliaMbengwa5 ай бұрын
Kutibu kwani lazima awe na mahabara au duka la dawa? Atakuongea na mgonjwa si ni tiba? Afande unachemsha
@nurumwenkale72785 ай бұрын
Majambazi wanawashindwa mna msumbua mtu na maisha yake
@JudithAdonis5 ай бұрын
Kwa kweli hii ni changamoto
@davidjoel-mk4og5 ай бұрын
Jamaa Yuko poa sana
@okutebettina25095 ай бұрын
😂😂😂😂 Dr ako sawa uchumi mbaya
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Mwacheni jamani ili mradi hajavunja sheria
@monicaamoni78835 ай бұрын
Tanzania mna roho za ajabu saana 😢😢😢😢😢😢mlipieni sasa gest
@AD-qi3wb5 ай бұрын
Mmekosa kazi nyie,hasa mnataka kumchagulia sehemu ya Kulala?
@ColumbaAbelMwendaColumbaAbel5 ай бұрын
Daa jamani doctor pole na hayo ila maisha yake ni simple sana bahati mbaya alifiwa na mke akiwa kijana mdogo sana na akajilelea wanaye mwenyewe hana maisha ya kujikweza nilimkuta manzese jioni anakula mihogo kwa wanaokaanga bara barani nikamshangaa anabana matumizi musimuhisi vibaya namfahamu jamani
@davidephraim45535 ай бұрын
Mbeya mnatudhalilisha acheni ushamba
@TheresiaAndrea-hv9dg5 ай бұрын
Kweli washable wa kutisha
@thexoshowtira5 ай бұрын
😂😂😂😂
@AmisseMwenetombwe4 ай бұрын
Mbeya ni wambeya !!!!!
@frankphiri91325 ай бұрын
Mm nawashangaa sana km analala Kwa gari yake shida ni Nini mbona wapo wanaolala miferejini au stand za mabasi miaka na miaka asbh wanaendelea na shughuli zao nyie vipi ? Kawaibia au kapark ndani kwako SI nje!!!!!
@maswamills31615 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏waambie.
@naturelle10975 ай бұрын
Acheni kumwaibisha baba wa watu anatafuta rizki
@tasukutechnologies25735 ай бұрын
Siyo kosa kulala kwenye gari yake
@vagashappnecy48505 ай бұрын
Mbeya ni wapuuzi sana na waandishi wa habari ni viande
@MfiriFulgensi5 ай бұрын
Yeye yupo sahihi kwani kaiba?
@KamojaAmri5 ай бұрын
Hivi kulala kwenye gari ni kosa kweli acheni kuwasumbuwa wananchi wenye akili zao
@Veni5845 ай бұрын
Msilazimishe kosa kwa mtu kulala kwenye gari tena la kwake
@duaelly22065 ай бұрын
Mwandishi wa habari hujielewi unauliza upuuzi nawala hujui kuhoji na elimu huna mwandishi na sisi tutakufuatilia ufungiwe kwamaana hujui kazi yako inahitaji uweje, husikilizi unauliza uliza tu
@kentz1865 ай бұрын
Mbeya kuna ushamba mwingi😊
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Wanapenda kesi kesi
@celinapeter94745 ай бұрын
Ahahaha 😂
@wisperfect53205 ай бұрын
😂😂😂
@FahadAbubakari5 ай бұрын
HahaHAA
@michaelmaziku9915 ай бұрын
Angekuwa mzungu wangesema wanaakili san kwan kosa lake nn hata hawo askali wamekosa mambo ya msingi kufuatilia
@TheopistaMuheta-qp1bc5 ай бұрын
Ana bana matumiz baba wawa2 mwechen maamuzi niyake
@MfiriFulgensi5 ай бұрын
Huyo jamaa anamlazimisha mwenzie ajibu jamani ambayo kiukweli docta nimekuelewa kasema amestaafu hio kazi na sasa anaangalia namna ya kujiwekeza kulingana na taaluma yake,lakini katka safarar yake amekutana rafiki mwenye ndugu mwenye tatizo la akili amemwomba msaada hatakama anaenda kumwona na kumshauri ni msaada pia msimnyanyase ili mumwibie
@jifunzekuhusuwewe74755 ай бұрын
Hapa mbona hamna tatizo kabisa mbona hata mimi ndo zangu kulala kwenye gari
@leinaamos5 ай бұрын
Likitokea tatizo ndipo utajua
@Joe-tr2vk5 ай бұрын
Tatizo gani? Wanaolala mitaroni na chini ya madaraja vipi hawana shida?@@leinaamos
@FrankEnock-q4q5 ай бұрын
@@Joe-tr2vk ndo hapo sasa ,nmeshangaa sana ,ila nmegundua watu wa hotel waltaka akalale kwao ili wapate maokoto 😂😂, hata ningelkuwa mimi nicngefanya ujinga wakutupa pesa kizembe kiivyo.
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Wabongo wanapenda kukuza mambo
@Visit-tz5 ай бұрын
Napenda Mtindo Wake wa Maisha.Hajavunja Sheria yoyote ila.Watu waache ushamba
@HusseinHamisi-sg9ph4 ай бұрын
Nice
@KelvinAlex-x2i5 ай бұрын
Waty wa mbeyah tunawaweza wana mbeyah 😂😂
@tinertv13825 ай бұрын
Shida iko wapi?mbona mnamnyanyasa?
@eliabeliud4905 ай бұрын
Ndio tatizo la mbeya n mjiii wa kichoko sanaaa wanaishiii kwa mashaka roho mbaya kusaidiana n Kaz kwa dar watu wanalala nje na hamna kelele lkn mbeya wanakuza mambo
@darhustler5 ай бұрын
Baba nanii yupo mbeya kumbe 😂 mmemcholesha mstaafu 😅
@liboriusbabile11975 ай бұрын
Tunataka kujua kero za umeme, maji, na variations za matumizi ya bima za afya utatuzi ni upi,,, sio kusumbua raia ambao ni genuine kabisa tena wamestafu ,hata huruma hamna.
@aulamongi20205 ай бұрын
Kwan amevunja sheria gani kulala kwenye Gari lake mwenyewe?
@estakapufi75825 ай бұрын
Ajavunjabshelia yupo sahihi kabisa sawa ila sasa wenyeji kumuelewa haraka inakuwaga ngumu siunaona mpaka wameita polisi, sasa kama anapata tatizo usiku mpaka ujielezee watu wakuelewe sehemu ujulikani nishida sana icho tu ila yupo shihi.
@carolinerubeya78175 ай бұрын
Watanzania wanampangia mtu aisha vipi so sad,mtu si mhalifu anabana matumizi yake shida inakuja wapi kama si udhalilishaji 😢
@dominickyona37665 ай бұрын
Mbeya 😂😂😂😂siwawez hata sharia...zake Ngumu sana unakuta mtu baki anazuiahata bajaji abiria shukeni et kiongozi wa bajaji ...😅😅😅mkoa noma
@frankmwinuka62985 ай бұрын
Jamani
@mwananganzi5 ай бұрын
Kazi maalum
@samsonkivuyo95485 ай бұрын
Watu acheni ushamba, mtu kajieleza vizuri lakini hamtaki kumuelewa mnalazimisha kile mnataka kusikia. Gari ni lake kwa hyo anaruhusiwa kufanya chochote anachotaka hata akiamua kuoga huko ndani
@ma4lio5 ай бұрын
Acha usenge we mwenyewe kiti
@chogaissa16195 ай бұрын
Mwaxhen bhana
@Worldunite5 ай бұрын
Yuko kazini huyo,mwacheni tu ndo mambo ya maisha,au labda masharti ya mganga
@octavinaalphonce68984 ай бұрын
Huyo mwandishi vp
@susanrichard53515 ай бұрын
Ako sawa kabisa❤ pia mm nishawai kaa
@AnithaMlay-s2q5 ай бұрын
Wewe uliza maswali ya msingi
@mwalagokache3755 ай бұрын
Watanzania bado sana huko Amerika ni jambo la kawaida ktk kubana matumizi
@kalebphilip34265 ай бұрын
Achen ujnga huyo Yuko sawa Kwan kunatukio baya kafanya?
@nelsongeorge67565 ай бұрын
Nyie machizi sana, yan unamshangaa anayelala kwenye gari lake nendeni kariakoo mkashangae wanaolala mitaroni
@swahiliforex5 ай бұрын
Its not an offence
@IBRAHIMCHALLA4 ай бұрын
Yupo sawa kwani kunashida
@ROZITHOMAS-y4q5 ай бұрын
Wazambia kulala kwenye gari ni kawaida. Nguo anapeleka dry cleaner. Humo kwenye gari amegeuza kuwa kitanda. Safi kabisa yuko vizuri
@rashidjuma19695 ай бұрын
Yani nyinyii mnataka alale wapi
@neziajoseph97265 ай бұрын
Yuko sahihi kbs na sio yeye tu bali watu wengi Sana huwa wanalala kwenye magari tena hadi week mbili ili kubana matumizi...ila hasiyejua shida au maana ya maisha bas hauwez kumuelewa huyu mtu...wengine wamefirisika na tabia yao kulala kwenye magari baadae wanauza na wanafirisika kbs na pia wengine wamepata pesa ya mkupuo guess hawatak kutumia kwa fujo ili kupata mtaj
@sarasaraz-vn1vl5 ай бұрын
Yaaan nchi yetu inavisheria vya kipuuzi sana ndo mana hatuendelei mtu anaepuka ghalama je hilo ni KOSA na kama hilo ni KOSA mpenzi nyie hiyo pesa achen upuuzi jamani
@shamzone3885 ай бұрын
Watanzania hawana kazi za kufanya ndio maaba wanafuatia maisha ya watu kila wakati Kama mmeona amelala hakuamka mna haki kutoa ripoti kituo cha usalama Tembeeni nchi za wenzetu au angalieni kwenye youtube mtapata habari zoote za dunia nzima
@godfreyobadiah78925 ай бұрын
Mimi sioni kosa la mtanzania raia mwema na ndio maana ya uhuru !
@MfiriFulgensi5 ай бұрын
Watu tunawaona wanafanya magar mpaka danguro na hawaulizwi kwanini huyo mnamsumbua?
@PericyKiko5 ай бұрын
Si ni mtanzania na hana mabunduki acha atagute maisha
@josephatjordan21505 ай бұрын
Kwani ni lazima sasa 😂😂😂😂maisha ni yake !!point haipo kabisa !!hajaiba ,hali kwenu😂😂aiseeeh
@umsulaiman74685 ай бұрын
Sijui mtaendelea lini kwenye kiti wee yanayo wahusu hamuyafatilii watu wanauwana wanajinyonga nyie kimya sasa hiyo kulala kwenye gari lake kafanya kosa ?mh
@NnalaNsangalufuMwangati5 ай бұрын
Hii nchi shida sana mbona mnachokonoa sanaaa huyu mtu hana kosa kabisaa ila mnataka mumtengenezee kama anakosa tujirekebishe watanzania kajielezea vizur tu bado vichwa vigumu kuelewa ni hatarii sana kwakwel
@hamismabula99345 ай бұрын
Wanaoohoji hata hawajui kusikiliza hoja. Daktari na huyo mwenyeji wake mbona wanaongea wanaeleweka vizur kbs!!!
@amosimussa33605 ай бұрын
Waandishi muwe mnasikiliza watu kwa makini kasema hafanyi kazi za kitabibu hospital yeyote ila ana mambo yake binafsi .mmesomea wap huo uwandishi toka hapa
@benjaminf3615 ай бұрын
Kabisa! Huyu mwandishi sijui ni wa udaku? Na wasiwasi na elimu yake
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Tz hkuna waandishi sahv
@LucsdPita5 ай бұрын
Mbea mnazingua mjue
@HusseinHamisi-sg9ph4 ай бұрын
Safi
@EsterMfoi5 ай бұрын
Huyu tunamjua ni Dr Hana shida anaishigi kama mzungu yangu zamani ni WA iringa yupo sawa
@adrianmnzava81655 ай бұрын
waandishi wenyewe maswali ya ajabu ajabu,wajifunze taaluma ya uandishi vizuri
@neemamwanga54475 ай бұрын
Bei ndogo 15,000 mzee ujue Kuna mtu anatafuta mtaji wa 15,000 anakosa maisha jamani magumu mpaka nahisi kuchanganyikiwa
@LucsdPita5 ай бұрын
Mbea mnazingua
@amanisaid98635 ай бұрын
Mm nishafanya hayo maisha sana ila kila nikiienda shambani maana hanna hata gest alafu kuna nyoka sana kwa hiyo niliish maisha hayo japo kulikua na vibanda vya kulala
@AmisseMwenetombwe4 ай бұрын
Unajua minga kwake kilakitu ni tatizo kwake kkkkkkk
@frankraphael75465 ай бұрын
Muacheni jamn
@jayjay43133 ай бұрын
Wazungu wasingeulizwa, na wengi ni kawaida yao kusafiri na kulala kwenye magari. Na kila siku magari nyumba yanauzwa kwa kwenda mbele. Na baadhi ya sehemu kuna vijiji vya magari nyumba. Makondakta wenyewe wanalala kwenye magari. Mbeya bwana, umbea tu, hebu wasafwa tembeeni muone maisha muelimike. 😂
@jacobelisha84325 ай бұрын
Waandishi ni hewa na wananchi wa eneo hilo ni hewa pia huku Arusha kuona mtu akilala kwenye gar ni kawaida kwa kuwa ni mji wa kitalii lkn huko kwenu mbeya bado nyie ni mazuzu mtu ka kuambia angalia ndani ya gari pakoje alafu bado mnamshangaa hahahaha ushamba mwingi mnao
@freeworld23695 ай бұрын
Mbeya washamba sana sa apo nini cha ajabu?
@JoseHaule-tx7lu5 ай бұрын
Mi cjaona tatizo
@ephraimndelwa40735 ай бұрын
Kwani ni daktari wa nini?
@hannahathanas8955 ай бұрын
Happy mar Kanu watu wa naishi kwenye magari Yao hakuna shida yeyote
@mwijagenelsoni3575 ай бұрын
Elf 10.mnaiona ndogo eh watu tunalala kwenye gari mwezi sembuse siku 6 nenda wazo ,tanga cement au depo yoyote mkaone madreva au Congo wanaishije kusevu gharama
@fabianmahenge29495 ай бұрын
Wote sio waelewa hata askari nao hawana uwelewa kazi maalumu huyo