Waliomuona Afande Muliro kwa mara ya kwanza akicheka gonga likes hapa!! Huyu Mwamba hachekagi kabisa!
@abassjuma6248Күн бұрын
Uko vizuri kamanda .Tena sana
@HildaMlayКүн бұрын
Umeiva kamanda big up, umejibu kisomi. Matatizo yapo Ila ni madogo naamin Rais wetu ni mtu Makin. Na kazi iendelee
@amanijampion3045Күн бұрын
Madogo watu wanakufa
@masalakulwa7601Күн бұрын
ovyoo..madogo ukifanabisha na yapi? ngoja likukute
@dorahy1579Күн бұрын
Tundu Lissu number moja
@GOODLUCKSEFANIAКүн бұрын
Kamanda murilo wewe ni msomi wa sheria nimekubali pamoja na kubwana na Wananchi lakini kamanda murilo wewe ukosawa katika kuteteta jeshi la polisi uko vizuri sana atawakati mgumu umejibu katika wakati mgumu sana big up one love murilo
@davidkawesa3594Күн бұрын
😂
@matrixtechnician3088Күн бұрын
mzee katumia hekima sana na busara ya hali ya juu maan hakuna alie kwazika
@ezekielmadindula2679Күн бұрын
Akili za Murilo ni kama kichaka cha maovu na laana😅
@mwasoprince3459Күн бұрын
😂😂😂😂
@stevenjackson4985Күн бұрын
Ungejibu hoja badala ya kufanya assumptions
@ezekielmadindula2679Күн бұрын
@@stevenjackson4985 sijui kingereza,umesemaje?
@MnubiMmКүн бұрын
Ndio majibu hayo umeyageuza kwa sabb ulikuwa na yako Tayali ulitaka yaongelewa hayo na akubaliane na Kila kitu asitoe yake MAWAZO akubaliane Akili apongeze angekuwa bonge la kamanda angesifiwa na wote wenye Mtazamo wako huyu ni mtaalam wa Makosa na uhalifu na kachelo pia asemi tu Kama kasuku
@shungumwaisanila7193Күн бұрын
Safi sana mkuu umeongea kwa kina sana mwenye kuelewa ameelewa
@isacksamwel7432Күн бұрын
Afande uko sawa kabisa
@dorahy1579Күн бұрын
Mimefurahi mno umemtaja Tundu Lissu kistaraabu . You are a Ptofessional. Labda alipotea rosado na eşime we zır wakigombania manini yeye anakuwa na Maghufuli, Shenzi sana halo ka mtu kafupi
@lusakaone7782Күн бұрын
Kamanda Msomi jeshi la kisomi hongera sana, tushirikiane Soka na wenzake wapatikane
@aronmilinga7303Күн бұрын
Kwel kamanda, weng wanaotekwa kun mengne nyuma ya pazia c ya uson tunayohis jmn wtz
@TrustElbashilКүн бұрын
Huna jipya mulilo lakini kumbuka kuwa ndugu zako sio wote wana ccm ipo siku utastaafu utarudi ulaiani utaishije na watu ambao ndugu zao mmewateka na kuwaua
@AbuuRamadhani-o7kКүн бұрын
Tuna muamin San muliro kwenye Kanda ya Dar es salaam
@RashidSemdunguКүн бұрын
Sema una sio tuna
@MtanganyikaTanganyikaКүн бұрын
Kamanda mulilo safi sana wewe mwenyewe sio polisi
@EstherSamwel-vk4wb2 күн бұрын
Afande usipofanya maamuzi magumu ya kufata sheria na sio maagizo kutoka juu itakugharimu siku moja
@stevenjackson4985Күн бұрын
Amevunja Sheria ipi
@magangajosephat99197 сағат бұрын
Hongera Kamanda kwa wasilisho zuri.
@abassjuma6248Күн бұрын
Uko vizuri kamanda
@sashawamburaКүн бұрын
Kudos to Kamanda Murilo..
@AyubuGereway-p9iКүн бұрын
Huyu ni zaidi ya kamanda anajuaa mnoo
@abassjuma6248Күн бұрын
Wapeshule.Wanaitumikia CHADEMA WOTE HAO
@abassjuma6248Күн бұрын
Sema KAMANDA
@dorahy1579Күн бұрын
Tundu Lissu huyo anategemea Guardian Newspaper na Lawyer wake Mzungu. Afadhali umemwambia kistaraabu anajua yeye mwenyewe.
@JPO2R69Күн бұрын
Siku Moja utajua kwani Lisu Yuko huko na siyo nyumbani
Kiufupi huyu Kamanda hana tatizo. Shida iko kwa Wana Siasa. Yeye mwenyewe akijichanfanya anapotezwa😂😂😂
@daudimchileg307Күн бұрын
Shida ni majibu yanachelewa saaana.hadi tunaanza kuhic ni nyie hilo moja pili mnavowabeba ccm wakati wa chaguz
@fastonsambo-du4rdКүн бұрын
Nchi ikitaka iendelee inahitaji ardhi,siasa safi na uongozi bora
@aminimushi6945Күн бұрын
Vitu vinne ni muhimu-watu,ardhi,siasa na uongozii bora,vitu vitatu havina shaka,lakini uongozi bora ni mtihani,na hili litatuumiza watanzania,tumuombe sana Mungu atuangalie kwa jicho la ziada.
@Frank-b2d6uКүн бұрын
Tunaongezewa hasira tunataka kazi ionekane sikulinda vibarua vyenu mgefanya kwa lisu mgeeleweka lakini mnabuluzwa na ccm hapo hampingi inchi yetu inaharibuka
@Frank-b2d6uКүн бұрын
Lidhieni sheria kama zinawafaa
@Frank-b2d6uКүн бұрын
Tanzania kazi ni mungu kazi na mtu ni mungu mtu inchi ya maagizo kutoka juuuuuuuuuuuu he jamani
@SeifAlly-fw6nsКүн бұрын
Kweli kamanda umenena mambo mazito
@neemanziku5403Күн бұрын
Huyu kamanda ni mtu wa Mungu sana ila uongoz wa juu ndo tatiza
@RahimMallya-fh9zcКүн бұрын
Uchunguzi unashirikishwa WATU, we wanakuambia we unaleta siasa, WATU sio wanyama afande, jiuzulu kwa kzi ya wananchi awakutaki
@hijazhija316Күн бұрын
Wananchi wapi hao
@stevenjackson4985Күн бұрын
Uchunguzi wa polisi unashirikisha watu kivipi? Hebu toa maelezo. Unashirikishaje watu?
@FestoLalataКүн бұрын
Nimhimu sana vyombo vyadola kijitenga na upendeleo wa chama tawala,mbona chama tawala kinaweza kusherekea kwenye makongamano lakini vyama vingine wanazuwiwa
@mariaanthoniangowi9376Күн бұрын
Mbina mnaburuzwa na ccm?
@plujoncylugano4611Күн бұрын
Kamanda Murilo kama hanfurahishwi na matukio haya mabaya na yenye kuumiza ,mbn matukio haya ya kutekwa yanazd?
@mwansasungafumbwa9116Күн бұрын
Huyu jamaa kumsikiliza uwe na roho ngumu sana
@mariaanthoniangowi9376Күн бұрын
Wewe mlilo usitudanganye kama watoto,mbona Satifa anaeleza wazi aliehusika na ajafanyiwa chochote?
@josephatmakarangaКүн бұрын
Mpumbav hata km utamuelewesha vp hawez kuelewa, bakin na upumbavu wenu.
@davidkawesa3594Күн бұрын
@@josephatmakarangaahhaa
@hadijafundi383Күн бұрын
Mmm
@thedriver.michael.397522 сағат бұрын
Sheria ile ile bado ipo haijafutwa itatumika inapobidi
@mwansasungafumbwa9116Күн бұрын
Ya Msofe sawa ya Lissu je Benn je
@AlfredRutaguzaКүн бұрын
Huyu mulilo anafaa kuwa Mkuu wa jeshi la polisi
@NicolasLauwo-gl4kx21 сағат бұрын
Yule kijana wa yuv ccm alisema wakipotea msiwatafute mauretania kwanza ndio tuwaammini
@dorahy1579Күн бұрын
Kama vile Tundu Lissu anavyo unga unga maneno akifikili Maghufuli alimutumis watu wa kununua. Basi Nani Kailua hao Wapinzani wengine ? Maghufuli aliisha kufa.
@VisentJohn-r3rКүн бұрын
Huyu kamanda uwezo anao Sasa kwanini asiwe mkubwa wapolice tz
@BITUROKAZERI2 күн бұрын
AFANDE mawakili wanaharakati hawawezi kukuelewa
@rashidomar2771Күн бұрын
Mimi huyu kamanda mbona simuelewi watu wanasema wamechuliwa na polisi ,,wakapelekwa vituo vya polisi ,,na baadae wamepigwa risasi kwa bahati tu mungu hakutaka afe ,,ndio ametoa taarifa hizi,,mbona huliongelei hili
@yahayahussein3224Күн бұрын
Hujamsikiliza vizur
@aronmilinga7303Күн бұрын
Tundulisu na mbowe wamskie vzr kamanda man n wapotoshaj namb 1
@harunamtiko117Күн бұрын
Police wanaponzwa na amri kutoka juu, waachwe huru
@WalterMganiКүн бұрын
Kwann wkt kumkamata raia police anasema ni maagizo ktk juu? Je huoni kama anayekuagiza ukakamate anaweza kuwa hajui sheria? Nyie mnalinda nafasi zenu badala ya kufuata taratibu
@stevenjackson4985Күн бұрын
Umesema wanaikamatwa. Hapa tunazungumzia waliotekwa na kupotea.
@SeverinepauloPeter11 сағат бұрын
Huyu ni Kada lazina alinde ugali.kashika mpini
@abassjuma6248Күн бұрын
Wanasheria uchwara wanaotumia
@barnabasmsagamasi611Күн бұрын
Unalinda kibarua siyo?
@Frank-b2d6uКүн бұрын
Huna hata cha maana mko ccm
@abassjuma6248Күн бұрын
Wapashe Hao mamluki
@MjuniLaulianКүн бұрын
Doray kama ujui kuandika tulia unacho andika akieleweki unapuyanga ujui kuandika maana yake shule ujaenda ata aki zako uzijui na zawenzako uzijui wewe kunywa pombe xa kienyeji gongo uko utawakuta walevi wenzako uku waachie wanao jitambua
@dennisezakiel3380Күн бұрын
Mbona nyie mnaburuzwa na ccm
@LucasK-h4xКүн бұрын
Unatakiwa ujitenge na siasa kabixa
@LucasK-h4xКүн бұрын
Niulize na mimi ni haki mtuhumiwa kuchunguzwa akiwa rokapu ?
@stevenjackson4985Күн бұрын
Inategemea na aina ya kesi aliyonayo.
@AyubuGereway-p9iКүн бұрын
Haapoq hajacheka badoo
@deniseliuter3002Күн бұрын
Hili taifa linaharibiwa na wanasiasa ndo maana haki zinakandamizwa sanaa na wanasiasa wa tanzania ni wachumia tumbo wao na vizazi vyao tuh...joto La kisiasa lishaanza kuelekea uchaguzi
@abassjuma6248Күн бұрын
Unaongea kisomi Kabbisa.wanadhani wewe ni wakawaida
@mariaanthoniangowi9376Күн бұрын
Mnaomunga mlilo ni vibaraka tu tunawajuwa panya nyie
@plujoncylugano4611Күн бұрын
Unacheka nn na sisi tuna maumivu kwa kupotelea na watanganyika wenzetu,tupe majibu yenye kuleta amani