Рет қаралды 109
#ijuesheria #katibampya #constitution
Amesema hayo Jimmy Ambipilikile kutoka Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA) wakati akichangia mjadala wa wazi wa kujadili 'Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya' ulioandaliwa na TLS jijini Mbeya tarehe 08 June 2024.
#KatibaMpyaNiSasa