Isikie hotuba ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumza kwenye hafla ya kumkabidhi mkandarasi eneo la ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu katika eneo la Olmoti jijini Arusha.
Пікірлер: 4
@kanaelikanuya79194 ай бұрын
Karia amekuwa na bahaati sana kwenye uongozi wake maana mpira umekua sana ktk idara zote kweli myonge mnyongeni haki yake apewe mpira wa Tz uko juu kwa Love my Country ,🇹🇿
@augustinemagesa57434 ай бұрын
Huyu Rais wa TFF simuelewi kabisa... utazani mwana siasa" inshu za Serikali inakuhusu nini? Unatakiwa kujikita na masuala ya soka yanayohusu huo uwanja!!
@JK-uq1tv4 ай бұрын
Utaelewaje wakati ww mwenyewe ni kilaza 😂😂
@user-sy4ir9ep2g4 ай бұрын
kamnyang'anye mic uongee wewe labda utajielewa utakachokiongea