Рет қаралды 8,404
Hapa kinachambuliwa kikosi kizima cha Yanga kwa nafasi zote kuanzia golikipa hafi washambuliaji kwa kuangalia mchezo wa kirafiki dhidi ya Red Arrows uliopigwa Siku ya Mwananchi Agosti 4, 2024.
Wachambuzi ni Michael Hyra na Geofrey Mwamnyanyi kutoka #Viwanjani ambacho hukujia Jumatatu hadi Ijumaa saa 3:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana.