Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂
@نيجي-ن1د2 ай бұрын
Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa
@GloryMjema-k2u2 ай бұрын
Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢
@MariamRiziki-o8x2 ай бұрын
Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatuma60112 ай бұрын
Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha
@turehemungailo80482 ай бұрын
Ok
@turehemungailo80482 ай бұрын
Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana
@AmanDaud-h9d2 ай бұрын
👏👏👏👏👏👍👍👍🫂
@MageKinongo2 ай бұрын
Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉
@JosephaSulle-yi4zr2 ай бұрын
Nyiee kama namwona mandevu yule
@SaumuSophyline2 ай бұрын
Nyumba imeenda Kwa madevu tiyari
@MalkaNinik2 ай бұрын
Nyumba ishachukuliwa nadevu mchana kweupe
@HawaBeka-t4c2 ай бұрын
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
@MrsMariam-x2s2 ай бұрын
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
@VenahKemuma2 ай бұрын
SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya
@ImeldaGaitan2 ай бұрын
Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi
@SandrineIngabire-j7c2 ай бұрын
Wanaofurahia candy kutopewa msamah gonga hapa like
Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤
@DareshiSlm2 ай бұрын
Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂
@Judithopondo-fn9dr2 ай бұрын
Atajuwa ajui
@chunaamina8782 ай бұрын
Ni navyo subir sana pia mm😂😂
@jacksonkahindi32352 ай бұрын
Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
😂😂😂😂 ndio mawifi zetu jmn😂😂😂
@sharifabahar99052 ай бұрын
Yani achatu
@RazikeRara2 ай бұрын
Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉
@MwanajumBeyawa-j5w2 ай бұрын
Nipo wallah hongereni
@anethvicent58702 ай бұрын
Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤
@MercySilvester2 ай бұрын
Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉
@FARAJAJAMESLEONARD2 ай бұрын
Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
Mm wananitoa hata kwenye mood
@NancySaha-kd2ov2 ай бұрын
Mm wamenisinya kweli
@sumayyahmanyasi4532 ай бұрын
Kusoma comment mpka kuna kera
@Phanny-Nyonge2 ай бұрын
Tuko pamoja jamani, yaani mimi wananiuzi vibaya mno🙄
@lulumhapa2 ай бұрын
Yaani sana kama hawajielewi
@MR_RAMSATZ2 ай бұрын
Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment
@ShakiraIbrahim-e7c2 ай бұрын
Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!
@salmaseleman38412 ай бұрын
Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane
@dalilaabdulkarim44582 ай бұрын
Zuu ndie mke sahihi kwako kai😊
@mbikamtanganaki2 ай бұрын
Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
❤❤😂😂🎉
@IrenaFrance-zk8sf2 ай бұрын
Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁
@FurahishaMtendjwa2 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu
@Jenniffer-m9k2 ай бұрын
naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa
@ashaathman-k4n2 ай бұрын
❤my favourite movie jana nilisubiri sana
@Nailah7362 ай бұрын
Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤
@JullianaEmmanuel-tm5xg2 ай бұрын
Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan
@zanishaikhonge72962 ай бұрын
Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri
@momkhan-hc7zh2 ай бұрын
🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel
@ElizabethFrank-r4n2 ай бұрын
Mhun hasw
@fammamourchy21642 ай бұрын
Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉 Busati TV mko vizuri ❤
@fatumaselemani38072 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤
@ignitiussilungwe79302 ай бұрын
Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤
@MemoryKamutandi2 ай бұрын
Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@FatmaBalahmar2 ай бұрын
Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa
@DolikasiErisha2 ай бұрын
Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅
@HillarySendeu-ht3lj2 ай бұрын
Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa
@MarthaAlly-y7s2 ай бұрын
We ndo umeigiza me mnanishangaza badala kuwapa moyo waigizajinata mpewe like mtupishe huko
@HillarySendeu-ht3lj2 ай бұрын
@@MarthaAlly-y7s wewe makasiriko yanini?
@officialbasheer13_tz2 ай бұрын
Kuomba like tu kuoga aaahh
@HillarySendeu-ht3lj2 ай бұрын
@@officialbasheer13_tz😅😅😅
@MarianaMwakatoga2 ай бұрын
😮cand hajui namna ya kuomba msamaha, mwache mama atoe sumu inayomtesa we nyenyekea hata akikutukana we sema nisamehe😂
@merinazyd05322 ай бұрын
Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤
@fatmahraseid70192 ай бұрын
Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊
@nadhrakhelef62572 ай бұрын
Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa
@NuruIbrahim-ue1if2 ай бұрын
Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa
@abelymzumbwe2 ай бұрын
SEMA mama ake kendi nikama wa moto
@BrendaMogambi2 ай бұрын
Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤
@aishaabeid81062 ай бұрын
Namkubal sana Mr Tasha❤❤
@SalmaAlly-u1r2 ай бұрын
Daah watu wanalala KZbin 😂😂😂 jamani
@baiyatwaha88242 ай бұрын
Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako
@NeemaNelson-j6j2 ай бұрын
Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤
@DariaMichael-xg7pu2 ай бұрын
Nmewahi namimi leooo😊😊
@RizikiZiki2 ай бұрын
Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉
@MarieOlepa2 ай бұрын
haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢
@princeliamblack38952 ай бұрын
AP ch kufany unanpa like n mm nkuptia
@REHEMANCHALIKA2 ай бұрын
Yan zuu anamaneno matam from kaka kai to baba
@ConfusedBabyOctopus-cb2ee2 ай бұрын
Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja
@GhUy-u7s2 ай бұрын
Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@Tikrit66Tik2 ай бұрын
Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅
@JenniferQueen-n2i2 ай бұрын
Namba one today
@IlhamShaban-vq3kx2 ай бұрын
Candry wewe hahahh jaman 🎉🎉😂
@MurimijuniorIthalie2 ай бұрын
Congratulations all bussati tv actors for good working.
@jedenecosta2 ай бұрын
Nimefurahia filamu Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana
@WeddyMithika2 ай бұрын
Tujuane kwa salamu Leo jamani❤
@HusnaAlly-cx5ms2 ай бұрын
Namaste
@shigangakelvin12 ай бұрын
Nipo Leo mapema kutoka kenya
@RehemeAlfonce2 ай бұрын
Kazi nzuri hongereni kwa burudani na mafunzo mblmbl🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@AsheryGaudence-tx1kc2 ай бұрын
Kutoka kongo nakubali sana🎉🎉🎉
@HalimaJafari-yv2th2 ай бұрын
Kunakubadilika kutoka kwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia nzuri ❤napia unaye muona mwema leo kesho akawa muovu vilevile tujifunze katika maishaa
@ShAMIMURASHIDI2 ай бұрын
😂😂😂😂Jmn candy ww too much umeshindikan Dada ang kwa kwely😂😂😂😂😂
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
Tena sio kdg😂😂😂
@JaneveeThomas2 ай бұрын
Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊
@HawaBeka-t4c2 ай бұрын
Hampoi jamani had raha
@nancyg86642 ай бұрын
😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote
@Marim-sj7oi2 ай бұрын
😂😂😂😂
@marymele97142 ай бұрын
😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm
@GraceMbulu-rp8ko2 ай бұрын
Pole sana zatiti kipenzi❤❤
@MrsMariam-x2s2 ай бұрын
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
@GreatestSwordsman2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉
@Mr.franckayo2 ай бұрын
Watat jaman naombni lik
@WiskdyMugaya2 ай бұрын
Ila kendy ameitendea hak😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@JullianaEmmanuel-tm5xg2 ай бұрын
Dakk chache jaman
@ShAMIMURASHIDI2 ай бұрын
Me nikipat wifi kam Dada ake chiko wallah nambadilisha na fungu LA nyanya chunguu😏