Huduma za Msaada wa Kisheria zinatolewa bure nane, nane - Dodoma, Wananchi changamkieni fursa

  Рет қаралды 93

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

Күн бұрын

Huduma za Msaada wa Kisheria zinatolewa bure nane, nane - Dodoma, Wananchi changamkieni fursa
Wananchi wa Mkoa wa Dodoma na maeneo ya Jirani wametakiwa kuchangamkia fursa ya huduma za msaada wa kisheria zinazotolewa bure na Serikali kupitia kampeni ya Mama Samia Legal Aid kwenye banda la Wizara ya Katiba na Sheria lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya Nane Nane Nzuguni Jijini Dodoma.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 4 Agosti 2024; Kaimu Mkurugenzi wa kitengo cha huduma za msaada wa kisheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria ambaye pia ni Msajili wa Mashirika yanayotoa huduma hizo Bi. Ester Msambazi amesisitiza kuwa huduma za msaada wa kisheria bure kwa Wananchi zitatolewa viwanjani hapo hadi tarehe 8 Agosti 2024.
“Wananchi watumie siku hizi kwa ajili ya kuja kupata huduma za msaada wa kisheria lakini kwa wale walio nje ya Mkoa wa Dodoma wanaweza kufika kwenye mashirika yanayotoa huduma za msaada wa kisheria katika maeneo yao ili waweze kupata huduma hizo kule kule walipo’’ ameongeza Bi. Ester.

Пікірлер
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 36 МЛН
У ГОРДЕЯ ПОЖАР в ОФИСЕ!
01:01
Дима Гордей
Рет қаралды 7 МЛН
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН
Responsible Military Use of AI | KOREAZ Focus Talk
13:18
KOREAZ
Рет қаралды 55 М.
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
DODOMA KUMEKUCHA!  Huu ndiyo UWANJA wa KISASA wa Mpira UTAKAVYOKUWA
2:12
Global TV Online
Рет қаралды 112 М.
JIONEE STENDI MPYA YA MABASI DODOMA ILIVYOANZA KUTUMIKA LEO
12:29
Millard Ayo
Рет қаралды 100 М.