HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI
Пікірлер: 81
@kanaelikanuya79193 ай бұрын
Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu
@Kabwela7763 ай бұрын
Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako
@godfrey392625 күн бұрын
So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo
@mussamussa81813 ай бұрын
Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki
@alfredkalaba16143 ай бұрын
Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone
@husseinzakaria9143 ай бұрын
najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .
@YusufSasamalo-uz4ii3 ай бұрын
Hakika
@donaldmartin-ps2ig3 ай бұрын
Lakini tabora mwanza mradi umesimama hakuna kinachoendelea
@mkude3 ай бұрын
Hongera MAMA Samia hongereni TRC
@danogeto783 ай бұрын
Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SafayaPlatnum-zz1dz3 ай бұрын
Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima
@Kim19onlinetv3 ай бұрын
Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao
@davidl.shangali69243 ай бұрын
@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.
@ibrahimally80733 ай бұрын
Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..
@zeddyshindika95023 ай бұрын
@@ibrahimally8073 duh....!!!
@davidl.shangali69243 ай бұрын
@@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa
@musakatwale19593 ай бұрын
JPM YU HAI
@BaitohCodes2 ай бұрын
Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥
@tabysareva5862 ай бұрын
Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC
@mwalimumstaafu8529Ай бұрын
JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.
@h.alshidhani89713 ай бұрын
Ahsante TZ
@FCMUSICUNIVERSAL3 ай бұрын
Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍
@noelngowitechnicalsolution3 ай бұрын
asante sana
@aloycekiwia86132 ай бұрын
Asante Jirani, tunawapenda Sana.!
@FCMUSICUNIVERSAL2 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 twapenda pia
@abdulkarimshabanmhandeni8473 ай бұрын
Hongera
@HassaniMzee3 ай бұрын
Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima
@user-oq3dd5xj9m3 ай бұрын
Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD
@ZakariaFaraja28 күн бұрын
Kaz iendeiee
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?
@felllokip3 ай бұрын
Hongera Tanganyika👌💪
@modestwenceslaus93 ай бұрын
Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮
@rehemakanyere41882 ай бұрын
😀😀😀
@husseinally49323 ай бұрын
Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu
@jumanzumbi12153 ай бұрын
Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi
@salmanmagwe2223 ай бұрын
Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20. Ni sawa na kuianza upya,
@lameckbalekere19623 ай бұрын
Kodi zetu
@mwitawakimara36493 ай бұрын
Mitano tena mama
@alphoncewilliam43253 ай бұрын
Jpm 😢😢
@joma89893 ай бұрын
Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana
@angosele2 ай бұрын
Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo
@Neycent3 ай бұрын
RIP JPM
@thomasernest-ct2vs3 ай бұрын
Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi
@jkaaya36393 ай бұрын
Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤
@ShufaaSalumuАй бұрын
Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp
@user-cw8zn2dn6m3 ай бұрын
JPM.
@arnoldmambali37703 ай бұрын
mwimbo mkali sana
@gwakisakaswaga52493 ай бұрын
Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee
@vintagemusicgroup92362 ай бұрын
JPM
@mrajani7863 ай бұрын
Majarabio kila siku majarabio lini inaanza
@husseinally49323 ай бұрын
Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama
@ChrisPA20073 ай бұрын
Pigeni picha za HD bwana. This is 2024
@westside55423 ай бұрын
Sure hi ni aibu
@mzungungaravit55803 ай бұрын
Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%
@makolokolodavid67073 ай бұрын
Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa
@OmmyJames-xn7ji3 ай бұрын
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯
@adammakoye93323 ай бұрын
Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma
@JosephuSwai3 ай бұрын
Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo
@kingwandeinvestment80023 ай бұрын
ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE
@salumumakombo3 ай бұрын
😅😅😅
@omarybakunda25543 ай бұрын
Samia mi 10 tena
@martinmhando20793 ай бұрын
hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa
@yustomwaisomania25872 ай бұрын
Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda
@aminata37023 ай бұрын
Nyimbo gani sasa hiyo
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
hahahaha Samia Oyeeeeee
@user-mx2tx5eg9x3 ай бұрын
huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga
@zawadix95743 ай бұрын
Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki
@mimifineliving20223 ай бұрын
Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo
@Kim19onlinetv3 ай бұрын
Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri
@gideonmrema18513 ай бұрын
Akija kupata kura yangu mniite mbwa 😅
@rehemakanyere41882 ай бұрын
😀😀😀😀
@CalvinMungure-nu1wl3 ай бұрын
Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli