Рет қаралды 34,970
Baada ya Serikali kutoa mkopo za zaidi ya Bilion 71 kwa Shirika la nyumba la taifa NHC kwa ajili ya kujenga nyumba 1000 katika maeneo ya Chamwino Ikulu na Iyumbu kwa lengo la kupunguza changamoto za makazi kwa wananchi wake kufuatia maamuzi ya Serikali kuhamia Dodoma ambapo lengo ni kuwauzia nyumba hizo wananchi kwa kipato cha chini kwa gharama naafuu.
leo June 11, 2021 Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ambayo ndio itakuwa wadhamini wa mikopo kwa wananchi watakaouziwa nyumba hizo Charles Itembe ametembelea mradi huo ili kujionea ujenzi unavyoendelea huku akiwataka wananchi wa kipato cha chini kujitokeza kwa wingi kuchangamkia nyumba hizo pindi zitakapokamilika.