kila siku ninasoma watu wakisema mimi nimekuwa wa kwanza kukomenti, wanaomba like,,,,,,,,, mbona mm nimekuwa wa kwanza na sijaomba like???????
@Andrewmtitu4 жыл бұрын
nimelike mwenyewe kwenye komenti yangu 🤣
@lucasmhagama81663 жыл бұрын
Tungeanza hivi kitambo sasa hivi tungekuwa mbali sana aisee
@temkezatv43814 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@langwenyacharlie67674 жыл бұрын
Kabisa
@kaundasutikaunda77694 жыл бұрын
Tanzania inawezekana basi tulikuwa tunakosa watu sahihi.
@asiajuma83304 жыл бұрын
True
@bernardoleonard73314 жыл бұрын
Kabisa kaka
@gosbertrwezahura36453 жыл бұрын
Kabisaaaaaaaa
@lucasmhagama81664 жыл бұрын
Stand Bora Tanzania ila ya Mbezi ndio itakuwa bora zaidi kuliko
@johnmlay47594 жыл бұрын
Amina
@johnmlay47594 жыл бұрын
Pia waharakishe kujenga lile daraja la kutoka barabara kuu kuingia stand ndani coz naona hadi saivi bado Sasa sielewi stand itaisha wakati daraja bado, coz licha ya daraja kupitisha mabasi ndani ya mbezi Luis but itakuwa kivutio na litapendezesha Sana stand yetu
@lucasmhagama81664 жыл бұрын
@@johnmlay4759 kweli
@yusuphabinala41204 жыл бұрын
Hyo stand unaweza kuachwa na gari npo Tembo lounge
@MrBeerlahairoi3 жыл бұрын
Kumbe na wewe mzushi unaunga juhudi..👍🏿
@anahna67884 жыл бұрын
MBONA KUMEGA SANA AISE
@asiajuma83304 жыл бұрын
Hongera millard subscribe milion3 na views bilion 1
@rajabmnyimwa31263 жыл бұрын
Hivi kwenye ukurasa huu kuna wakenya? Waje waone stand hii kwao ndio airport
@anahna67884 жыл бұрын
KUTAMU SANA HUMU NDANI
@reganimachange89824 жыл бұрын
Patam htr??
@nevahgibonce55994 жыл бұрын
Mbn anazungumzia mwez wa 6/7 🤔🤔? Inakuaje kwwan
@puregamers42154 жыл бұрын
Naomba unitafute 0754794266
@eliarichard92184 жыл бұрын
Hii video ni ilikuwa ya uo mwezi ili shutiwa kwayo humu ndani wame post sasa
@rybotreiz43294 жыл бұрын
☹️Je wewe ni mtanzania? 🧐Je una kiu ya mafanikio? 🤨Je waweza pata muda huru wa kutumia simu au kompyuta yako masaa mawili kwa siku? 😲Basi jiunge na ukurasa wetu wa facebok ujifunze jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni BILA kuwekeza pesa Tembelea Www.facebook.com/successcheat 🤝Usisahau kulike na kufollow ili uwe unapata taarifa ya offer mpya za kutengeneza pesa mtandaoni kwenye muda wako wa ziada. Siku njema😉