#mwijaku #masoudkipanya Tembelea http s://sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Пікірлер: 255
@omarybakunda25543 ай бұрын
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
@yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
@yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Alipe
@maryamtanzania97433 ай бұрын
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
@bimumaulid11713 ай бұрын
Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
@saxannjo61733 ай бұрын
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
@IshipalemyPasko3 ай бұрын
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
@MsodokiTheson3 ай бұрын
Mwijaku kayatimba mwaka huu
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
@gastonfuraha3 ай бұрын
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
@AminaAbdullah-ws3wy3 ай бұрын
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
@aaa64sa133 ай бұрын
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
@joeandres97443 ай бұрын
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
@emmosilver60393 ай бұрын
Hapo hakuna uswahili,lazima awajibishwe.
@ibrahimaziz71583 ай бұрын
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
@RamadhanpMwakilasa-di5hc3 ай бұрын
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
@samkoka33 ай бұрын
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
@alifredmkoka3 ай бұрын
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
@idinado-wk3lx3 ай бұрын
Safi Sana maana amezidi sana
@shaabanramadhan67703 ай бұрын
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
@wasaficlassicshoes3 ай бұрын
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
@eleven-in5qw3 ай бұрын
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
@EmmyNamoyo3 ай бұрын
Alizidi
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
@papsmicrocreditcompanylimi14433 ай бұрын
Nasubilia press conference ya Doto Magari
@BarbaraPatience-qt9cc3 ай бұрын
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@papsmicrocreditcompanylimi14433 ай бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
@japhetlust50503 ай бұрын
Tayari ishatiki😂😂
@saidimketo67083 ай бұрын
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
@Nyanda5063 ай бұрын
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
@vero573 ай бұрын
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
@JohndMbila3 ай бұрын
True
@kingmzebez77863 ай бұрын
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
@aishamohammed-r7z3 ай бұрын
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
@channyanjen90473 ай бұрын
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
@hashimchaoga95663 ай бұрын
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
@zayumar29553 ай бұрын
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
@romzget18923 ай бұрын
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
@alphaigogo7873 ай бұрын
SAFI sana! Way to go, KP!
@issachina94433 ай бұрын
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
@LucyNgowi-m5z3 ай бұрын
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
@KhalfanSalim-v1x3 ай бұрын
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
@FatumaMohamedi-t6t3 ай бұрын
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
Natamani Kipanya akaze hivyo hivyo...Mwijaku amezidi.Anataka pesa kwa kuwadhalilisha watu...Asifungwe ila hela imtoke tena ya maana.
@witnesskagirigiri37633 ай бұрын
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
@majimbeTV3 ай бұрын
Kulopoka lopoka sio vizuri
@fauzishabani26223 ай бұрын
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
@napster25583 ай бұрын
Hana ela bhan😂😂😂
@ammaherman33913 ай бұрын
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
@IddrisaIbarahm3 ай бұрын
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
@KS-iw7qv3 ай бұрын
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ... Pumbav !!!😊
@mchunguliechibwa1983 ай бұрын
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
@rogerabdallah4393 ай бұрын
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
@japhetlust50503 ай бұрын
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
@ilynpayne74913 ай бұрын
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
@AyoubKhatib-p4k3 ай бұрын
Da changamoto kote kote
@GOODLUCKGodwell-bm4br3 ай бұрын
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
@HabibuHoseni-sv8hd3 ай бұрын
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
@LeeLian953 ай бұрын
Defamation Sio deformation
@HabibuHoseni-sv8hd3 ай бұрын
@@LeeLian95 typing error my furend
@JosephTibu3 ай бұрын
Kayakanyaga mwijaku
@SamsonEzekiel-or9xc3 ай бұрын
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
@vincentmushi12473 ай бұрын
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
@salehothman61443 ай бұрын
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
@samkoka33 ай бұрын
Hapa lazima alipe pesa nying ameyatimba kwa kwel maan hata yey kweny interview amesema akiguswa brand yake hawez kukuaameheee
@Elybwayz3 ай бұрын
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
@lilybarongo81193 ай бұрын
Kamtukana sana babuu wa kitaa
@KelvinMauky3 ай бұрын
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
@tanzanianpatriotic35323 ай бұрын
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi
@hamisiomaryi16993 ай бұрын
Mwijaku hunarudishwa Sasa kijijini kuvuna b 5 hipokweli
@rukiauwonde70623 ай бұрын
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
@anitamwehonge82873 ай бұрын
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
@AholeLifilima3 ай бұрын
Ameyatimba aaaaaa ameyatimba
@josephk903 ай бұрын
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
@Rafaeltuli-gw8ii3 ай бұрын
Peleka ndani
@rogerabdallah4393 ай бұрын
Sio ndani tu Chooni
@malkavoice25703 ай бұрын
Mwijaku ni mkoja kati ya chawa wa Raisi wa sasa aka Mama na tunapoelekea anakua na kujikuta yuko juu ya kila kitu nchini
@SaidKinyota3 ай бұрын
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
@oam14l3 ай бұрын
Teach him a lesson.
@emmosilver60393 ай бұрын
Hee!hapo hachomoi analeta promo kwa wajanja.
@faziliabea-fg3tu3 ай бұрын
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
@abdulkadirgafla38893 ай бұрын
Mwijaku ni kenge sana ajisifia amesoma na hajitambui hata kidogo 😏😏😏
@gottaboy41783 ай бұрын
Oya hii iko serious sana, kimkakati
@ahmadifataha66773 ай бұрын
Mawakili wa mchongo hawa ww unaijua billion 5 kila siku kuna kesi huko zinawashindwa
@MsAggie53 ай бұрын
Membe alitaka shilingi ngapi toka kwa musiba?
@ASHAKHAMISMUSSA3 ай бұрын
Na yeye huko kuomba omba km mtt wa mitaani ni kazi halali 😮😮😮😮😮 au hajioni
@IshipalemyPasko3 ай бұрын
Bilion 5.!? Si atauuza mpaka ukoo wake wote sana sana ikawe fundisho
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Alisha sema anafedha za kutosha
@Elybwayz3 ай бұрын
Gorofa sasa ni lamasudi 😅
@charlesmpemba93873 ай бұрын
Nyie mnataka pesa tu.mbona kaomba msamaha
@stanastana31993 ай бұрын
Mwikaju huwa ana mdomo sana,
@GraceMakenga-zd1vn3 ай бұрын
B or M 😢 mwijaku kazidi mdomoo tobaaa
@EmmanuelMajele-ny2hk3 ай бұрын
Mwanashelia kunaeneo anakosea kwenye maelezo kusema maraisi hakuwepo Enzi za nyelele wingi unazia kwenye ngapi hata wawili tu wana tosha