MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...

  Рет қаралды 27,350

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 163
@user-hi5nx2qo7u
@user-hi5nx2qo7u Ай бұрын
Unatumia dini kupata huruma kwa umma...upigwe ujifunze
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Utasamehewa na mungu lkn naomba masood KIPANYA asikusamehe hii kesi raha yake ifike MAHAKAMANI buana kesi tamu sana hii natamani isiishe mapema
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Sahihi maana hawa machawa na wanafiki wamezidi.Atuondokee hapa na kujifanya anajua Kiarabu na mtu wa dini sana
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi Ай бұрын
Kma mungu anasamehe ww ni nani usisamehe??
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy Ай бұрын
Mwenyezi mungu awafanyie wepesi katika hilo
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 Ай бұрын
Salallahu Alayh Wasalam
@Lameckrichvsix
@Lameckrichvsix Ай бұрын
Nikwanini huwa unawakosea watu makusudi kisa unajua kunae kuomba msamaha na cku zote neno "KUOMBA" huwa linasimama ktk sehem mbili na zote ni sehem sahihi kkubaliwa au kukataliwa ss ww endeleaga tu kupaka lipsticks kwenye lips zako kunae yataja kufka
@hajijuma9588
@hajijuma9588 Ай бұрын
Huyu alitakiwa apelekwe mahakamani kwanza ili ajifunze maana imeshakuwa nitabia yake kuwatusi na kuwdharau wenzake,,anamtusi diamond kila siku lakini anamkalia kimya.
@WaziriMjukuu
@WaziriMjukuu Ай бұрын
Nimemuonea sana huruma MWIJAJU MASOUD msamehe kijana wa watu hatarudia tena🤲
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Ай бұрын
Mwijaku ukibahatika kuwa na Hekima ya mdomo wako,utakuwa mtu mzuri sana;Naghusia nafsi yangu na yako Mwijaku Allah atusimamie Inshallah!Muislamu mzuri ni yule jirani yake kanusulika na ulimi wake na mikono yake,Amin!
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Sahihi
@user-tz8hj1sd5o
@user-tz8hj1sd5o Ай бұрын
Mwijaku don't worry Allah kareem
@adammigombo5725
@adammigombo5725 Ай бұрын
Safi Sana kwa kujitambua
@adammigombo5725
@adammigombo5725 Ай бұрын
Ongera Sana mwijaku kwa kuomba razi
@elgardmark2093
@elgardmark2093 Ай бұрын
Hapo anaongelea uislam au anaomba radhi maana naona kila kitu anaongelea uislam
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Nashangaa ghafla kageuka kuwa Shehe, badala ya kuomba msamaha inamaana sio msamaha wa dhati
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj Ай бұрын
Mtazame mashavu yake yalivyomshuka manene kama vitumbua vya mama abduli
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 Ай бұрын
Ningekuwqq mm nisingemsamehee huyuu jmaaa kwasababu kilaa maraa mambo yake ndio hayoo kuropokaa tu kwa watu halafuu ajeeekuombaa msamahaa kipanyaaa asimmsahehee huyuu jmaaa ampelekee mbelee huyyu jmaaa
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili Ай бұрын
Kabisaaaa, ni mlopokaji sana Masoud akaze
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Ай бұрын
Wamfunge tu ili ajifunze mjinga sana huyu
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Kipanya mpeleke mahakamani huyu ili ajue kuna sheria bila hivyo atakua anafanya mchezo kila siku auze kibanda chake alipe fidia ili akome wakati mwengine kukashifu watu na kutukana watu
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Mara Hii kayavaa Sana Kwa huyu
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY Ай бұрын
Kipanya ni MUISLAM, Na UISLAMU unahimiza KUSAMEHE
@JosephSabo-rl8qr
@JosephSabo-rl8qr Ай бұрын
Mungu fundi waulize wanzako waliotaka kujenga mnara wa kwenda kwa Mungu ndo utajuwa Mungu nani
@leoncelaurent5644
@leoncelaurent5644 Ай бұрын
Unaongelea dini au msamahani au ndio kujificha Kwenye dini ili kujisafisha
@Allyhujjat
@Allyhujjat Ай бұрын
Anaomba uftio mpuuzi uyu akuna msamaha ulimi umeponza kichwa acha mahakama iamue
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Baba tunataka bilion 5 zetu
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Vinywa
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE Ай бұрын
Daaah mdomo umeponza kichwa,kile kijumba chetu kama nakiona kinabadilishwa rangi na umiliki😂
@SarahMwakakuka
@SarahMwakakuka Ай бұрын
Masood samehe mala Saba malasabini🤲🤲
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Kipanya Mpeleke Mahakamani mpuuzi huyu. Alichosomea sicho anachofanyia kazi. Hatuwezi kuvumilia kwa upumbavu huu wa kuharibiana Maisha. Tunaomba sheria izungumze ili ajifunze na wapumbavu wengine wajifunze. Ameshamdhalilisha mwalimu wake kuwa hana akili alimfelusha.
@jacksonpeter8629
@jacksonpeter8629 Ай бұрын
Kwani wewe mchizi waga ukoseagi?
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Apo unamuhusisha mungu wakati umekosea..apo go to the street omba msamaha usijibalaguze..unatakiwa kukanusha kila neno ulipo andika kila maneno kanusha kanusha kanusha ...apo usimuhusishe mungu wala dini ...mwii...apo umekosea umekosea...sasa apo uwe makini na mazungumzo yako kaka
@pendogwisu
@pendogwisu Ай бұрын
Asee sijawahi kumuelewa huyu mtu tangu nianze kumuona mitandaoni. Linajifanya limesoma,lina hela,linapendwa na mke wake kila kitu maonyesho na majigambo sijui linatokea wapi hili jitu. Kp wa watu ameanza hustle siku nyingi mstaarabu kweli linataka kumharibia Cv. Mwenzako anatengeneza magari wivu tu umekujaa. Kutangaza kwenyewe hujui unabwabwaja tu sijui ulisoma chuo gani
@GeorgeDominic-nx5bj
@GeorgeDominic-nx5bj Ай бұрын
Bado haamini kama amekosea huyu .... Anaomba radhi lakini atumia neno KAMA hivyo Bado haamini kukosea kwake hata akisamehewa atakuwa anasema ujumbe ulifika Kwa jamii.. Huu ni uhalifu wa mitandao kama uhalifu mwingine.
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Kweli sio msamaha wa dhati
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Wewe mwinj usipende kuwatukana watu alafu ukategemea msamaha ...sio fea sio haki..mana kumchafua mtu ni mbaya sana ujuwe...mim namuelewa sna kaka masuu kwakuchafuliwa mana umemdhalilisha na umemjengea imeg mbaya kwakumdhadhalilisha mtu ujuwe..umemtoa hadhi yake naheshima yake...awo sio wasanii wanaotegemea kiki ili kuwafanya mambo yao yaende no..awo watu ni waheshma .. ivyo heshima zao ndo zinajenga heshima kwao na zinaleta pesa
@deogratiusprosper4796
@deogratiusprosper4796 Ай бұрын
Leo hii ndo wakumbuka hizo aya ulipokuwa Dubai hukuyajua haya unafiki mbaya sn ngoja mtu na hekima zake akuburute mahakamani kulinda hadhi yake na jina lake alilolijenga kwa heshima kubwa
@Maradona2857
@Maradona2857 Ай бұрын
Hili jinga linatakiwa kupelekwa mahakanani. Limezidi kuropoka.
@JamesSteven-vd7vw
@JamesSteven-vd7vw Ай бұрын
bilioni sita unauza adi kucha zako ukileta mchezo na maisha ya watu
@piusjuma7384
@piusjuma7384 Ай бұрын
Umezidi billion 5 zinakuhusu ....na hayo maneno unayoeleza ndio ushahidi utakaotumika mahakamani....umeshaingia kwenye Kumi na nane za kipanya
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 Ай бұрын
Sema mjanja hataji majina Masoud Kipanya😂😂 anataja tu Masoud 😢
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Huyo sio mtu wa kumsamehe kila siku anafanya vitu vya makusudi kutegemea kuomba msamaha safari hii umekwama b5 zinakuhusu
@sadikielymaro9140
@sadikielymaro9140 Ай бұрын
Umeyatimba😂😂😂
@selemanimhando9721
@selemanimhando9721 Ай бұрын
Isingekuwa 5B usingeomba msamaha, ww ngoja ukutane nacho mzee baba
@user-il5cu6gq5f
@user-il5cu6gq5f Ай бұрын
Kuomba msamaha sio ujinga ni kheri na sio uowoga
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Ай бұрын
Ni kweli Kama siyo hiyo 5b azingeomba msamaha
@wakasotaylor5824
@wakasotaylor5824 Ай бұрын
Hatimaye chawa kaingia kweny 18 za wadewa 😂😂 umepoaaa umepoaa😂😂
@GervasMalimi
@GervasMalimi Ай бұрын
Ila huyu muda mwingine basata wamlaze mboko 700 ili awe anakumbuka akitaka kuloppka😂
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Ай бұрын
Jela ina kuhusu! Imekuwa ni kawaida yako kudhalilisha watu na usingize dini kwenye ujinga wako
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Huyu bila ya kumfungulia mashitaka hawezi kukoma anafanya mchezo mjinga huyu
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Ай бұрын
Kaka masud msamahe mbona tunakujua huna kashifa amejifunza kitu mungu atakuzidishia kaka masud
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Huwezi kumtania mtu kwamba anauza madawa ya kulevya we sema tu nimeongea uongo suna yako na mtume havituhusu maneno mengi yanini?
@ashirafumangwinji1762
@ashirafumangwinji1762 Ай бұрын
Vzr kijana umekomaa najamii tunakuona
@AishaJuma-wd8xd
@AishaJuma-wd8xd Ай бұрын
Umeyatimba bb
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Ай бұрын
Ndio kawaida yako Diamond ulimchokoza , Tanasha , ulimchokoza , sasa Umekutana na Mwamba
@RahmaYassinmlaponi
@RahmaYassinmlaponi Ай бұрын
Kabla ya masud kwenda mahakaman ilitakikana serikali impeleke kwanza yenyewe halafu sikuyakutoka ndo masud amkaange vzr
@peteropuko
@peteropuko Ай бұрын
Ukinaswa unajinya kujuwa dini sana
@user-do2qp5fv9b
@user-do2qp5fv9b Ай бұрын
Usingize ibada naumbeya wako😂😂😂
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Ай бұрын
Tunataka uonekane mahakamani full stop
@freyfestusnsennah1039
@freyfestusnsennah1039 Ай бұрын
Hakuna Kurudi nyuma KP. Endelea na hatua ulizozichukua hawa wasrma hovyo wanazidi mipaka na kuona wana uwezo wa kuwachezea watu na kuwachafua wapendavyo bila kuangalia m2 anapata madhara kiasi gani. Mpeleke mahalamani ndo atajua vizuri. Wanakera
@obadiamwakatuma4162
@obadiamwakatuma4162 Ай бұрын
Jinga sana hili, hata kama alikugusa na kukusema vibaya. Ila ww ndiyo ulisema hovyo na naamin ulimuingiza mwenzio katika matatizo makubwa. Mfano msongo wa mawazo na pengine kumuathiri kwenye makampuni mengi anayofanya nayo kazi. Ile kusema ana jihusisha na biashara halamu!, Du! Hilo ndiyo kosa kubwa sana ambalo ulifanya ww msema hovyo.
@samirazuberi186
@samirazuberi186 Ай бұрын
Umesahau uchawa
@dorissengiyumva6694
@dorissengiyumva6694 Ай бұрын
Pumbafu sana huu jama aca apigwe nyundo ndo awe na adabu musenge san
@RobbinivanNgowi
@RobbinivanNgowi Ай бұрын
Halaaa. Mtu wamanaa kabisaa mwijakuu..
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Ай бұрын
kipanya usisamehe huyu mbwa
@AnaniaKyando
@AnaniaKyando Ай бұрын
Yani hapo unapo Kili kosa uwe tayar kwaadhabu yeyote kwauliye mkosea jee uko tayarii nasio samahani ya mdomoni ww ulikusudia kuongea
@KaviniMwaisa
@KaviniMwaisa Ай бұрын
Una muoneaga Simba Diamond Leo umejifunza bado ujasema na utasema
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj Ай бұрын
Hakuna huruma hapa pumbavu kabisa,unajifanya kwa sisi waislamu,sahivi ndo umejua wewe ni muislamu mwana kulitafuta mwana kulipata asee,ee Mungu tunakuomba huyu jomba aende jela miaka 20,ili iwe fundisho kwa wanafiki unaenda Makka kutalii pumbavu badala kufanya ibada ama kweli Mungu hadhihakiwi,mnafiki mkubwa wewe haya hao matajiri wako ,wako wapi sasa unaowalambaga viatu na kunyenyekeza kwao badala ya mola wako wakushike mkono katika hili sasa wewe ni mtu wa kufanya ibada ili wakuone wewe bingwa wa unafiki pitia unachokipitia kwa sababu hiyo ni hatima yako,usimdharau mtu yeyote katika dunia wala usiwe mwepesi wa kuropoka hovyo maneno mabaya
@happyemanuel2070
@happyemanuel2070 Ай бұрын
YaN mwijaku unakihele Hele sana
@godymastermind9534
@godymastermind9534 Ай бұрын
Acha kuchomeka dini kwenye upuuz wako. Endelea na ujinga uone kama Masud haja kufunga
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 Ай бұрын
Ulikuwa upo silias tunataka ushahidi Wa kile ulicho kiongerea
@kingthedon508
@kingthedon508 Ай бұрын
Mechi bado moja bila😅😅😅
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Ай бұрын
Mpaka lini? Masoud usimsamehe amekutukana sana brand yako!
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili Ай бұрын
Nasemajeeee …. asituchezee na misamaha ya mzaha! KP kanyaga twendeee 5B zinamuhusu mazimaaaa …
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Ай бұрын
Wewe kenge mimi sikusamehe na asikusamehe
@fredricksabick-hi1fl
@fredricksabick-hi1fl Ай бұрын
Una hisi kila mtu ni mwambino😅
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c Ай бұрын
Yote kwa yote mwijaku kwa nn usiachane na uchawa ela unayo akili unazo fanya hata biashara maisha yaende hii tabia yako kiufupi haipendezi mwenyezi mungu akuongoe akuoneshe wapi sahihi ifike hatua ufanye mambo yenye hekima
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 Ай бұрын
Yaaan wew autakiwi kusamehewa😂😂😂
@yusufumsaliko6984
@yusufumsaliko6984 Ай бұрын
Huna akili siku zote huwa tunakuona chizi tu...
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Kwaiyo huyo mwenyez mungu wenu anaongea kiarabu? mana naona kila unavyo mnukuu huyo mungu wenu una mnukuu kiarabu au ndo utumwa wa kifikra??
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Ай бұрын
Acha Mihemko ya Imani Sikiliza Mada - Kwanini hukuhoji jina lako kwanza kuwa la Kiarabu ?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
@@ramadhanimtetu3656 Mungu hana lugha special lugha zote ni zake hata ukimuomba kwa lugha ya kiswahili anakusikia hiyo tabia mliyo lithishwa na warabu walio waletea dini waislamu ni utumwa. kama hamjui mnawaabudu warabu bila kujijua huo ni ukoloni mambo leo haiwezekani eti Mungu muumba mbingu na ardhi awe hana uwezo wa kusikia kiswahili, kihindi, kingereza, kijapan, waislamu huyo allah wenu munamshusha thamani sana inaonyesha huyo allah wenu hana uwezo wa kusikia lugha za viumbe wake tuna mashaka na huyo allah kama kweli ni mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
KUNA UTANI PALE??😊
@shahhumbe9643
@shahhumbe9643 Ай бұрын
mawaidha tenaa
@Assay-gn1wv
@Assay-gn1wv Ай бұрын
Hivi huyu baba anajionaga ana maana sana ndio maana mtu unasema ni shoga anaringia wanaume wenzie ndio maana anajifanya ana jeuri
@alexjovin2981
@alexjovin2981 Ай бұрын
Upumbavu huwo unayo yaongea hukuyajua hayo angejiuwa je Masood shikilia wameoa kujipendekeza kwa silikari wapate liziki. Wamezoeya kuchafua watu afundishwe
@florinjoseph2504
@florinjoseph2504 Ай бұрын
Mwijaku uende ukapimwe akili
@iwishtv7907
@iwishtv7907 Ай бұрын
Maneno na Matendo yako hayaoneshi kama wewe ni mtu wa Ibada ama mtu wa Mungu
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Sijui kwa nini anatanguliza dini huku akikashifu watu hakumbuki hayo maneno ya kimungu.Mfedhuli mkubwa, anatafuta huruma kwa waislam kwa kutanguliza dini .Kama anahofu ya Mungu anayemtaja kwa nini awe na Taharuki awache unafiki huyo. Na hii sio njia ya mtu mwenye kuomba radhi
@Senetalkim
@Senetalkim Ай бұрын
Uyu choko nataman siku aje kuingia kwenye 18 za pfunk majani ataacha uo usenge wake
@Bquality
@Bquality Ай бұрын
Tunataka bilioni 5 zetu mamae
@GadiyeMosses
@GadiyeMosses Ай бұрын
Umepoaaa umepoaaa😂😂😂
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 Ай бұрын
We'we kalipe pesa Uko mahakamani wacha kujifanya unatia uruma kwanza dini yenyewe unaiziaki mala dini mala music ujui ukae upande gani Mm nasema masoudi kipanya huyu usimuachie mpeleke mahakamani alipe hili hawe na Adabu huyu wakati mwengine kasikia B 5 anataja mitume yote bwana mwembe😂
@samirazuberi186
@samirazuberi186 Ай бұрын
Chawa wa samia huyu😢
@Moyo122
@Moyo122 Ай бұрын
maadam kaomba radhi na kajua kama kakakosea hilo litabaki kwa masoud ila kwa Mungu kwa hili hakuna tatizo
@mwendajumbe6816
@mwendajumbe6816 Ай бұрын
Unachezea mbwa kisha unakwenda msikiti pia unatangaza mikopo ya riba , hivi unajua hukumu za uislaam au unaufanya uislaam kama suti au kanzu yaani kama pambo?
@amosmahona433
@amosmahona433 Ай бұрын
Huyu si mara ya kwanza ndio tabia yake maana kamchafua mwenzake vibya mno na umma mpaka muda huu tutaamini kp anafanya hayo mambo.sasa kumharibia mwenzake kuwa mwandishi wa habari si kibali cha kuanza kuwachafua wenzako mnafundishwa media ethics/kanuni za maadili ya habari au mwandishi wa habari.
@KidoKasimu-fr4fz
@KidoKasimu-fr4fz Ай бұрын
Wewe unaona bora pesa kukiko utuu.
@aghamedia
@aghamedia Ай бұрын
Jamaa anaogea Kwa confidence tu 🤣🤣🤣🤣baada ya kuomba msamaha dah mm nisingemsamehe
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l Ай бұрын
mbona kila siku wewetu mama yake na zuchu mama adija kopa uli muomba samaani nauyu kaka masuudi ngoja kwanza kaka kipanya achukue pesa yake zisha anza kuku levywa ina one kana pesa zabule ngoja apunguze mpe liziki ime mfika kaka masuud
@hahusahahusa5676
@hahusahahusa5676 Ай бұрын
Unajiamini kuwa unaweza kumtukana na kumdhalilisha mtu yeyote sasa dunia imekufunza adabu
@user-xk4os6jx8x
@user-xk4os6jx8x Ай бұрын
Sasa linajipendekeza😮 linajua kujipendeka
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Mnafk sana huyu jamaa ataungua vibaya huyuuu 😂😂
@AlbertRemmy
@AlbertRemmy Ай бұрын
subiri tuone sheria itaamua nn. usiongee sana
@JamesSahwi-rg8js
@JamesSahwi-rg8js Ай бұрын
Lipa fine ya watu ili ujue namna ya kubalance mdomo
@maikovineventscompany1180
@maikovineventscompany1180 Ай бұрын
Umeyatimbaaaa😂😂😂😂
@Zrss602
@Zrss602 Ай бұрын
Mbona haya za Quran jaman
@Yayouselim
@Yayouselim Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Ahlul bayt 😅
@user-ft5yb1zu4p
@user-ft5yb1zu4p Ай бұрын
Huo uislam unaojinadi unakwambia kama unaona jambo utakalo sema litamkwaza mtu usiseme .hayo yote hukuyajua?hapo hujaomba msamaha uliongea mambo mazito mno na sidhani kama masudi alipata usingizi siku hiyo.mahakamani ndio mahari dahihi pa kuthibitisha kaneno yako kuliko kuleta maneno mengi yasiyo na maana kifupi sinakuelewa
@omarikhalfan1079
@omarikhalfan1079 Ай бұрын
Mwijaku jirekebishe kwa mwendo wako kama hutojirekebisha utafungwa
@user-zu4hd2xx7q
@user-zu4hd2xx7q Ай бұрын
Kuomba Radhi ni jambo jema , ila mtume kausuii sana kuzuia ulimi na kaharamisha kuvunja heshima ya mtu , ndugu kipanya umekosewa sanaaaaa na umeumia sanaa msamehe ndugu yako , heshima yaki hailingani na malipo yyte utakayolipwa Duniani , kubali malipo ya akhera ,
@genuinegenes9363
@genuinegenes9363 Ай бұрын
Kaamrishwa na mwanasheria wa Masudi aombe rathi na kumsafisha mwenzake
@suleimanismail8414
@suleimanismail8414 Ай бұрын
Stand ya TV ukutanii
@mwantumuhassani5086
@mwantumuhassani5086 Ай бұрын
kipanya naomba tunyoshetushoshe huyo chaumbea
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 Ай бұрын
Uandishi gani wa habari mwijaku? Mbona unatuchosha😂😂😂😂
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Wamtangaziaa Nani...ibada......hujui chochoteee
@nassorissa8779
@nassorissa8779 Ай бұрын
Unatumia dini kupata huruma
@AliyyAli-ii1uz
@AliyyAli-ii1uz Ай бұрын
😮ujifuze kuongea majiymefika shingoni
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 Ай бұрын
Mbwa haujasema kitu unazunguka
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 50 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН