Izudin Alwy namkubali sana sheikh huyu....Am Kassim 4rm Zanzibar...tunakukaribisha sana Zanzibar Sheikh
@mutomubaya5 жыл бұрын
Shukrani sana Sheikh kwa juhudi zako na kwa faida tunayoipata watazamaji. Hayo matamshi uliyoyatamka mwanzo, kwa lugha ya Kiarabu, yanapendeza sana. Nadhani ni vyema ufanye uwezavyo utuelimishe hayo na utufafanulie, kwa lugha ya Kiswahili.
@muniramohamed88876 жыл бұрын
MashaallAh Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
@ami.atwaha70244 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Anijaarie Nipate Kuolewa Na Mume Mwenye Hofu Ya Mwenyezi Mungu
@jumajumaomar81944 жыл бұрын
Nanaa !!
@allymahaba37203 жыл бұрын
Amina
@mwanaidyibrahimu88613 жыл бұрын
Amiin
@allymahaba37203 жыл бұрын
?
@aishamaulid23583 жыл бұрын
Wako tu peponi dadangu.
@hassanramadhan89783 жыл бұрын
Msisahau kuwa wanaume pia wana mitihani wakiwa na umri mkubwa hukosa nguvu za kiume
@latifajuma24574 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha ya Izdun
@arafamohamedi27764 жыл бұрын
Hakika
@mwanaishambili2415 жыл бұрын
Mashaallah shukran shekh
@user-vi5rv3ju9n6 жыл бұрын
Mashaallah
@mahmudmkali57252 жыл бұрын
A.aleikum Sheik wetu wake zetu wengi huwa wanasema Mtume hakuongeza mke wapili mpaka mke Bibi Khadijah akaaga
@salamakhamis45584 жыл бұрын
Mashallah shekh unafahamika yani mawaidha yko ni illmu tosha allhmdllh
@munaseif97696 жыл бұрын
asante shehe mungu atuzidishie imani
@aishamaulid23583 жыл бұрын
Asalaam Aleikum....sio siri ila hakuna wanaume wanaodhulumu wanawake kama wanaume wa kiislamu...Mapenzi yao ya haram huwa matamu kuliko ya ndoa....na wako hapo na wewe sheikh wanakusikiza ila zaingilia sikio la kulia latoka sikio la kushototo....Wanawake yasemekana wamejaa motoni ila wanaume wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja nao vile vile watajaa...REHMA NYINGI TU ZA ALLAH NDIZO ZITAKAZO TUOKOA...MANAKE NI GHAFUR RAHIIM...ARAHMAAN.
@zainababubakary42636 жыл бұрын
Mashallah
@omarsharif39046 жыл бұрын
mashallah mafunzo mazuri sana
@abullahkabaka87744 жыл бұрын
MASHALLAH ALEIK
@rehemahusseni49365 жыл бұрын
Allahumma amiin
@alphadon97492 жыл бұрын
Alhamdhulillah shukran kwa ufahamu
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@asyaluay57875 жыл бұрын
Enhe
@user-db2qr1os2t6 жыл бұрын
mashaallh darsa zain shem
@mamitomamita62846 жыл бұрын
je ww ustadh sio kwa ubaya une mke wa pili?
@rukysaid72406 жыл бұрын
Mashaallah ajiyyyb... lakini nakama mume hana uwezo wa kitandani wakukutosheleza mara mbili au tatu... naakaowa mkee mwengine jee tufanye nini sisi wanawake
@rukysaid72406 жыл бұрын
Mashaallah ajiyyyb shekh izudin. Lakini kama nyinyi hamuna uwezo wakitandani kikombe kimoja cha chai chapili hamuwezi tena jee sisi tufanyeje wanawake
@yasminabdi32515 жыл бұрын
Tatizo wanaume wengi wana kimbilia kuoa mke wa kwanza mwenyewe wana shindwa kufanya wajibu wao kimoja tu taabani 😂
@yasminabdi32515 жыл бұрын
Nyinyi wanaume mna hila zenu hamna lolote
@yusufhabila64665 жыл бұрын
shukiran Sana tunagukaribisha bujumbura burundi
@yusufhabila64665 жыл бұрын
karibuni bujumbura?
@mutomubaya5 жыл бұрын
@@yasminabdi3251 Jaribuni muongee mambo hayo na waume zenu, kwa hikma na mawaidha mazuri, na kuwa tayari kusameheana, mtaelewana tu. Na sio vyema kuwalaumu wanaume wote
@jumasoulja3569 Жыл бұрын
MashaAllah
@mariamungendakumana68873 жыл бұрын
Masha Allah chukuran san
@maureenjannephar35076 жыл бұрын
Asante kwa kujibu maswali kichwani changu
@mutomubaya5 жыл бұрын
Karibu katika Uislamu
@habibaibrahim81514 жыл бұрын
Mi nashida na ww ostadh ntk nkuulize kitu
@habibaibrahim81514 жыл бұрын
Hv kukaa na watt wa mwanaume wa nje ni lazima? Na ikiwa hao watt wamezaliwa mim nkiw na mabucano nae ss analazmsh nikae nao je ni lazima
@hajimakarabai47005 жыл бұрын
Upo vizur
@shumamyrama84794 жыл бұрын
wanaume hamzeeki naona mnajisahau
@minakhamiskhamisi61932 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣Mim mke wa pil nishakataa stk kbc ht kusikia 🤣🤣🤣kuna rfk yg huyo mume wake alimwabia ntk nioe mke wa pili akasem saw hmn tatzo mwanaum kaoa mwanmk mwgn kilicho mkuta Sas baad mume kuwa n mke mwgn 😭😭😭😭ni huzuni mwanmk mwezie kamtoa kweny ndoa Alf yey ndio akabaki hphp na anawatt nne n huyo mwanaum ss hv mwanmk wawatu yupo kwao mwanaum hamjui Wal hamtabui ss hv mpk anaomb msaad wa hela y kula n watt wake mwanaum yupo biz n mwanmk mwgn huyu mdg anaijoy 😭😭ametesk kujg nyumb n mume wake lkn Leo hii anakaa mwanmk mwgn hebu nambie hp nakumbl vip Mim hapn mke wa pili ach nife single stk kbc
@omarshaban86926 жыл бұрын
Masha Allah watu waongeze wa pili
@yasminabdi32515 жыл бұрын
Tatizo sio kuongeza tatizo ni matunzo na haki sawa kwa wote wawili
@naimastadi31334 жыл бұрын
Kabisa
@kamotechnicshamzahamsini68536 жыл бұрын
Mashallah, ila tatzo nimetafuta mwanamke wakuoa awe mke wapili sijapata. Nikipata mcha mungu nipo tayari inshallah. nashukuru mungu mkewangu yupo radhi
@ruwaidatabdallah27696 жыл бұрын
Kamotechnics Hamza hamsini omba Dua Allah atakupa
@kamotechnicshamzahamsini68536 жыл бұрын
Allah anatupenda sana, unaweza ona wakati wako tayari kumbe bado Allah anakutafutia mzuri zaidi ya hawa waliopo. Au unaweza kujiona utaweza uwadilifu kumbe Allah hakupi kwakuwa bado uwadilifu bado hujautimiza. Mungu hatupi kila tunachoomba ila anatupa tunachoomba chenye kheri nasi wajawake.
@ukhutyfiillah28576 жыл бұрын
Kamotechnics Hamza hamsini kamote Nina rafiki yangu
@kamotechnicshamzahamsini68536 жыл бұрын
Hakuna kitu kizuri kama kupendana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu SubhanaAllahu wata'laa Yah Allah tujaalie tuwe wenye kupendana kwa ajili yako na kuungana kwetu iwe ni kwa ajili yako..
@ashuramwinyi51375 жыл бұрын
Maaa nshaa Allah!! Yarabb amizdishie subrah na Iman ktk ndoa yenu km bado wataka mke toa no yk utapata In shaa Allah
@mariamnuru9939 Жыл бұрын
Minatka kuolewa make WA pili ama Watatu ila sjapta mume sahihi
@TheAmadoni7 жыл бұрын
Shukraaan... Tuko na dhamira yakuongeza Inshallah
@aichergaga78537 жыл бұрын
TheAmadoni hahahhaa. haswidi usha sign register naona. tena Mathna😂😂😂
@abuukhaalidabdulrahman99987 жыл бұрын
mashaa Allah
@maremalghamdi9836 жыл бұрын
Mashallah mawaidha maturity sana
@maremalghamdi9836 жыл бұрын
Shukran
@ayshaathman18986 жыл бұрын
TheAmadoni alaaa
@lauraabass10774 жыл бұрын
Ila hiyo point ya matamanio ya mrefu, mfupi, mnene, mwembamba, mweupe, mweusi n.k utaoa wangapi. Afadhali ya pili useme kumstiri mjane kama uwezo upo
@athumanramadhan60012 жыл бұрын
wanne
@nasramrisho48926 жыл бұрын
mashallaa
@rukysaid72406 жыл бұрын
Mashallah ajiyyyb shekh izudin. Lakini kama nyinyi hamuna uwezo wakitandani kikombe kimoja cha chai chapili huwezi tena jee tufanyeje sisi wanawake
@halimaabdallahsalim37315 жыл бұрын
Nasra Mrisho
@nafisasharif65765 жыл бұрын
Sheikh Assalamu Aleykum unamke wagabi
@zambimanaemma27705 жыл бұрын
Masha Allah
@yahyaduba55833 жыл бұрын
spring chicken
@rehemahusseni49365 жыл бұрын
shekhe je ikiwa memu hanitimizii je nifanyeje
@ruqaiyyawaziri42875 жыл бұрын
Rehema Husseni haujamfafanulia Sheikh hakutimizii nn
@mussajohn13625 жыл бұрын
Wewe nae wapenda sana eti
@ruqaiyyawaziri42874 жыл бұрын
Mussa John sio kama anapenda sana ni haqi yake kutimiziwa
@rizikisalum96784 жыл бұрын
@@mussajohn1362 ndio Kama hamututimizii nasie tufanyejee
@halimamwishehesaid34365 жыл бұрын
Ustazi ww una wawilli mana wengine faladhi zawashinda wakimbilia sunna
@omarmhmammed2164 жыл бұрын
Halima mwishehe said Ukiwahi sunna basi na faradhi hazikudindi
@kingoman78956 жыл бұрын
Hahah
@ruwaidatabdallah27696 жыл бұрын
Haha afe
@yasminabdi32515 жыл бұрын
Tena wafe wote 😂
@mimimina14873 жыл бұрын
Asalaam alaiqum shekh mi nina swali mume akitimiza wake wanne akimuacha mmoja je inaswihi kuoa kabla yule akimuacha hajamaliza eda?
@khadijasaidi9384 Жыл бұрын
Asalaam alaykum shehe samahani shehe unawangapi
@IzudinAlwyDin Жыл бұрын
Wakusidia nn ukiuliza wangapi?
@swabrinaridhwan5593Ай бұрын
😫😫😫hapo kwa kusom
@sophiasharif91833 жыл бұрын
Ni ngumu saana moyo unauma
@rahmasika84802 жыл бұрын
Shehe nnaweza kukupata kwamawasilianonakuparaje
@IzudinAlwyDin2 жыл бұрын
+254772611120
@sahaleahmad1233 жыл бұрын
Hahaha ndio lugha zao kuwa hataki kituu Allah atuhifadhi kwakilaa and kaaa namumewe kwaniaa Allah atawashindaa wengine wao na wana watoto wachanga subhnallah
@khamismussa63084 жыл бұрын
A/alaykum warah-matullah wabarakat, naam sheikh naomba kuulizia suali hili,kunarafi yangu kaowa mkristo he ndoa yao imesihi
@shumamyrama84794 жыл бұрын
Khamis Mussa haisihi
@blackbhajun46016 жыл бұрын
Sasa utapataje hio nafasi ya kuweza kuongea nae mpaka akwambie usiowe mke mwegine si mtakua mlikua na mawasiliano je yafaa na kama yafaa kivipi kuongea huko Kwa kukutana au kivipi shukran
Asalam aleykum sheikh ikiwa umeoliwa mke wapili,mke wakwanza akaja kutambua akawa anakuwekea dua mbaya mbaya kama mungu akujalie watoto wako wakike waaribike je dua za swihi
@yasminabdi32515 жыл бұрын
Tatizo shekhe wanaume wengi wakiowa mwanamke muingine wanajisahau kwa mke muingine anaelemea kwa Mke Mdogo
@nasramohamedi40955 жыл бұрын
Fact
@binsule74135 жыл бұрын
nahitaj kuengeza mke wapil mwenye dini km yp tyr ajitokez
@mbomamwatosha84944 жыл бұрын
Mwenyezi mung atufanyie wepesi sisi wanawake
@saadanassor80334 жыл бұрын
@@mbomamwatosha8494 mungu atupe subra na iman lkn kuolelewa nimtihani mkubwa sana yataka imani na subra yahali yajuu mana wanao kuja kwa juu hua km moto wa kifuvu