Global TV Online JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@hasankasam557610 ай бұрын
Ya allah tunusuru sisi na wazazi wetu pamoja na vizazi vyetu inshallah..
@sein.20810 ай бұрын
Allahumma Amiyn 🤲
@FatumaMuya10 ай бұрын
Amiin
@RahimaMct-ik8mr10 ай бұрын
Amaon yarab
@alhabsi643010 ай бұрын
Amiin
@rehemakitonge383310 ай бұрын
Amin Yarrab
@Israeleliah10 ай бұрын
Yaan mawakili mtakua na kazi ngumu sana mbele za mungu
@kingmpeto451010 ай бұрын
Sana tu
@Muhamed_mo10 ай бұрын
Inshaallah na yeye atauliwa na mwanawe kwa bahati mbaya tu
@hasankasam557610 ай бұрын
Kama tadinu tudaan..
@SuleimanKhdija10 ай бұрын
@@hasankasam5576naam 😢
@benjaminimndeme10 ай бұрын
Huyu kijana ni kichaa yani aue kweli mama yake kweli????????? Mama????? Eee Mungu tuongoze Vijana
@annamnanka-qk1bx9 ай бұрын
Hata akiachiwa mungu atamlipia mama ni ndiye kila kitu malipo ni hapa hapa duniani mungu atakushungulikia kweli unaamua kumuua mama mzazi kisa mali za dunia
@paulinapius318410 ай бұрын
Halafu linacheka kama fala
@awadhally105210 ай бұрын
Hili jitu nikuma katika mazuma wote dunian
@ablashaffy286010 ай бұрын
Mh handsome ambaye humdhanii kabisa jaman....enyi wenye watot msiwacheke wasio na watot ni kumuomba Mungu tu
@IbrahimShan-qu3um10 ай бұрын
Nashindwa niongee nn nsije nka2kana mungu niepushe .... inarillah 🙏
@JulianaMushi-nq3kc10 ай бұрын
Huyo ana laan tiari damu ya mamake itamlilia daima wala asifurahi kuja uraiani maan dunia itamwadhibu
@hadijauledi699510 ай бұрын
Jamani hili litoto linalaana kubwa hii miaka kumi alofungwa ni midogo sana lingenyongwa kabisa huyu akimaliza kifungo anaeenda kumuuwa na dadaake ili apate mali huyu hafaii kwenye jamii unamuuwa mama yako kweli aliye kuzaa ukaijuwa dunia daaah huzuni sana mwenyezi mungu akulaani maisha yako yote shetani mkubwa😭😭😭😭
@jozamsolomon400210 ай бұрын
Damu ya mama yake na iwe juu yake, alaaniwe na wote walioshiriki kumtafutia wakili.
@ramadhaniayubu610310 ай бұрын
Kabisa walaniwe wote
@sigorijoseph497710 ай бұрын
Kwa kweli hata wakili alaaniwe Kwa utetezi wa kinafiki
@OfficialA8364010 ай бұрын
Tutamkuta nje baada ya mwaka mmoja km yule mdada aliua mama yake akishirikiana na bwana ake na mganga wa kienyeji kaachiwa basi na huyu ataachiwa tu
@zuweinaalhabsya877310 ай бұрын
Haa kumbe huyo dd aliachiwa huru 😮lakini hata wakimwachia maisha gani ataishi kuuwa mzazi damu ya mama ake itamuadhibu maisha yake yote
@polycarptarimo514110 ай бұрын
Yan umenishangaza kumbe yule dada kaachiwa basi damu ya mama yake itamlilia tuu
@benjaminjoseph174710 ай бұрын
Wanasheria acheni kutetea uovu na ndoo maana mauaji yanazidi Tanzania. Myu akua mama yake halafu mnamwahia. Sasa atarnda ua mdogo wake wakigombania mali. Naana ilionekana yule mama alikuwa mpambanaji. Na huyu kijana alikuwa anakaa kwenye nyumba ambayo mama yeke amejenga. Sukuma ndani muuwaji ni muuwaji tu
@OfficialA8364010 ай бұрын
@@user-up9hk6go1f Kitambo mbona yupo nje
@nigamo964510 ай бұрын
@@user-up9hk6go1fndio kaachiwa huru
@ZainabjumaNyikaАй бұрын
Kulumba namba namba zako
@damiankilyenyi536710 ай бұрын
Hapo mm ndiyo huwa nachoka na mambo ya sheria, yaani kila kitu kipo wazi halafu kuna mwanasheria anamtetea kwamba hakukiri kumua mama yake, 1. Yeye ndiye aliyeonyesha na mwili ukiwa kwenye shimo, simu na hivyo vifaa. 2. Yeye alikuwa anaishi na mama yake na hapo mama akauawa na alipoulizwa alisema amesafiri. Ni wazi kwamba hao wanasheria wanaomtetea wanemfundisha hayo yote. Hakimu wa kweli ni Mungu, maana yeye atahukumu siri za wanadamu ambazo hata dunia na watu hawakuweza kuona.
@nassercurtis957910 ай бұрын
Mtu anadirik kusema hawajaridhika na hukumu je angeuwawa mama yako na huyo mtu ungesema hivi? Iwe alikufa kwa kupigwa au kwa kukosa hewa ila sababu ya kifo ni huyo jamaa hivyo atumikie kifungo tu. Ndio maana warabu wanawauwa tu watu wa aina hii hili kupunguza wauwaji hawanaga bahati mbaya.
@yukundapeter820010 ай бұрын
Yaani lim2 linatetea liuwaji,baadae hiyo laana itayarudia kwa family xao,
@janerosempeta566210 ай бұрын
Ndo maana Mimi hata mwanangu akisema anataka kuyenda school ya kuwa mwanasheria sitaki kwani kuangalua huyu MTU kafanya Hilo kosa watamsimamia
@agnesspaul186610 ай бұрын
Hana laaana mbaya Kama ya mama
@sharifasharif397810 ай бұрын
Ndio maana mm watt wangu huwa nawakataza kabisaa kusomea sheria sababu ya huu upuuz na tamaa zao za kuuliza watu kutetea mtu mwenye makosa tena hata Allah anakemea na hukumu zake katoa tena nzito lkn mtu ana mtetea mtu ambaye hata MUNGU anachukizwa na uuwaji tena basi mama yako khaaaa🙄🤔kosa lake kukuzaa ama
@RahmaMtua10 ай бұрын
Hata kama haki imepindishwa na wanadamu mungu atamuadhibu hapahapa duniani
@roudhamahmoud76310 ай бұрын
Sasa hajakusudiya na yeyeye ndo along.buruta kuitiya shimoni 😢jamani mtihani duniya hii unateteya uovu sababu hela wallah kweli mungu ndiye hakim wa haki
@arafapilingu10 ай бұрын
Yaan anatabasamu dunia hii kuuwa mama😢😢😢😢
@JulianaJackson-lz6vq10 ай бұрын
Amewakana had ndugu wa mama ake et awajui. Na hapo utakuta ndg wa baba ndio wamemtafutia wakili.hizi familia zetu Mungu atusaidie.
@frankmollel851010 ай бұрын
Ww wakili natumai unaona watoto ata kwako yatakufika ndio tuone iyo Sheria unayoizungumzia ww
@winfridahubert407210 ай бұрын
Anaonekana anamadharau na hatokua na raha maisha yake yote unamuua mama ako ???? Dunia imeisha
@Edithaamosi-md6or10 ай бұрын
Asante
@AllyOmarHamad10 ай бұрын
Hukohuko jela mungu atamuhukumu.
@abibumussa880810 ай бұрын
Jaman Kilimanjaro mnann?
@skjjsj188910 ай бұрын
Mungu ndiye hakimu wa ma hakimu Aliyeua naye auawe
@Jameskakola2 ай бұрын
Kulumba nipe namba zako kuna ishu tuijenge kaka
@fatumaabasi77710 ай бұрын
Ndo mana Allah kashasema, hakimu, askary wa aina yeyote ni motoni, coz wanaenda kinyume na sharia zake, na kubadiili ukwel kua uongo, na uongo kua ukweli da Allah tunusuru.
@rayanrashfayaa24410 ай бұрын
Mbona uku kwetu Zanzibar ukiua kwa kukusudia unanyongwa, ? Mmh
@deonicemollel420510 ай бұрын
Hakuna kitu kinanikera kuckia anasema MTEJA wetu pumbavu kbs mama mamaaa aaaaah hapana 😢😢😢
@AishaSalaga-rv7sb10 ай бұрын
Tamaa mbele
@zuwenaalamin898510 ай бұрын
Nafikilia uchungu unavyouma jmn 😢halafu mtoto aje kukuuwa jmn khaa 😭😭😭😭imeniuma sanaaaa kijana unalaana kubwa na huwez kuifuta milele😭😭😭😭😭😭😭😭
@paulmushi242810 ай бұрын
Mungu ndiyo mwenye kusamehe Kila aina ya kosa kama ukiomba msamaha Kwake!! Ila kibinadamu ndiyo ngumu kusamehe
@zuwenaalamin898510 ай бұрын
@@paulmushi2428 kweli kbs sijahukumu ila nimeumia Sanaa mm Sina mama mwaka wa 20 nataman angekuwepo Ila ndio mipango ya mungu
@awadhally105210 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@mbuerecarlos139610 ай бұрын
Huyu kijana anyongwe Tanzania mkimtoa hivi hivi wazazi watauliwa sana mnafanya System za Amerika kuuwa mtu sikitu.Ogopa Mungu Mama ni Mama .Wazazi Andamana watoto watawaua na wasichukuliwe na hatia. Huyu mtoto anyongwee. Akitoka atajidai sana kuwa ni bingwa. Asila ya Mungu Iwake juu yakee.Maisha yake yawe mabaya sana.
@AgnessJohn-v8p21 күн бұрын
Mie mwenyewe natafuta mama natamani hata afufuke harafu wewe unampoteza mamayangu hivi hizo mali umeona ndo zitakusaidia umeraaniwa kabisa hatakama utaenda nchi nyingine laana Bado Inakuandama katika maisha yako
@rukiauwonde706210 ай бұрын
Tunazaa wauwaji Allah akuadhibu hapa hapa dunian lione sura lake
@judithkirenga997710 ай бұрын
Kijana mzuri sura,roho ya mauaji 😢 1)amepigiwa sim akasema mama amesafiri 2)alie onesha mwili ulipo ni yeye 3)vifaa vyote alivyotekeleza mauaji alie onesha ni yeye Na bado muuaji ajulikani😮 Huyo mama inaonesha amekufa kifo cha taabu sana
@suleimansultan333310 ай бұрын
Wanasheria muogopeni mungu ipo siku ntakufa na ivyo vipesa vyenu mlivyo vipata kwa kusema uwongo mtajuta
@rehemajongo790610 ай бұрын
Kwakweli wanasheria kuweni na hofu ya Mungu, maana hakuna atakaeishi mile, muuwaji ni muuwaji, kesho atakuuwa wewe baada ya kumdai mabaki ya kazi uloifanya, kutetea muuaj
@MowanaMohammed10 ай бұрын
@@suleimansultan3333hii kaz ya uwanasheria ni khatar sana mbele ya mungu
@najmamgallah81549 ай бұрын
N sawa, atatok Hy kijan , lkn mjuw ataish kw shida sanaaa n atateseka sanaaa, wt hawaoni ila mungu anaonaaa, walah damu y Mt n nzito, tenaa mamaaa kijan utateseka aanaa
@HamisMghuna-fj3vz10 ай бұрын
Laanahtullah hao walotoa hukumu miaka 10 utadhani kaua mbwa, huyo akitoka ataua Mschana alobaki uwiii mungu saidia Mschana,
@olivernyange234910 ай бұрын
Mungu ndiye ajuaye ukweli wote.
@LucyKapinga-fg4dk10 ай бұрын
Sema Wewe Hakika Yan uyu kijana Kama kafanya ichokitu lazima Tyuu Awe ukecakili
@happymvula9 ай бұрын
Kwani huoni ashaanza kuweuka? Anaraha kabisa, tabasamu juu. Kwa tukio alolifanya hakutakiwa kuwa normal hivo
@nikodemmwahangila333410 ай бұрын
Huyo alikua afungwe maisha hiyo miaka michache sana jamani inatakiwa anapotoka awe mzee asienderee kuua
@muungujaunguja860910 ай бұрын
Kwaniii kwanini mimi nimezaliwa Tanzania jamanii
@rehemajongo790610 ай бұрын
Alaaniwe duniani had Ahela, walomtafutia WAKILI na WAKILI wote walaaniwe, maana wanaendekeza Tama ya rushwa, Mungu awalaani
@carolyneerick837210 ай бұрын
Duuhh!! Huyo kijana kumbe alimuuwa mama akee??? Na alaaniwe
@masoudsalum10 ай бұрын
Alijuaje mwili upo wapi Alijuaje sim na vifaa vyengine vipo wapi
@oneclick202310 ай бұрын
Kuna watu tu natamani, hata sekunde moja mama afufuke.. Wewe unamuua mama. Seriously??? 😢. Bad man.. Dunia hii ipo ukingoni.. NANI KAMA MAMA. 🙌.
@dennisnjau242710 ай бұрын
DAAH SHERIA NI MCHEZO MCHAFU SANA😂
@irhamseif10 ай бұрын
Na ndio maana kunasanamu mahakamani limefungwa kitambaa cheusi ikimaanisha sheria haioni.ndio maana hata huyu wameshindwa kuuona ukweli na kumpa adhabu ndogo hv dah yule mama alokutwa na vipande vya nyama alilimwa miaka pesa nikitu kingine .
@dennisnjau242710 ай бұрын
NDIO Maana Jamaa Anatabasamu tu..Kesi Inapelekwa Mahakama Ya Rufani..Mtuhumiwa anapata Rufaa Na Kwa Mapungufu Yaliyopo Kwenye Hukumu Ya Kwanza..Naamini Huyo Mtuhumiwa Anaachiwa Huru ..Tena Hata Hyo MIAKA 5 Gerezani Hakai 💪🙏
@saidihysn221210 ай бұрын
Awo washaadiwa ela kama akiwa nje ndio mana wanafosi kutetea lakn mungu ni mmoja na ndie ajuae yote so ipo cku itamkuta ata yeye kwa uwezo wa mungu hao wanasheria ni mashetani tu
@nikodemmwahangila333410 ай бұрын
Madereka madereka najua uko kazini lakini huyo kijana sio wakumsaidia jamani aliua huyo naomba wakikata lufaa hukumu itoke ya kifungo cha maisha au miaka therasini huyo alitamani mali za mama yake
@azzaalhabsi15059 ай бұрын
Yaani ameuwa mzazi wake na akatoa ushahidi wote alafu anahukumiwa miaka 10 tu.subhana llah.alla atakulipa kwa wanao watakuuwa kama ulivyo uwa mzazi wako. Kama tudin tudan.malipo ni hapahapa duniani.
@agnesmartin571610 ай бұрын
Mungu atusaidie
@susanmshindo759310 ай бұрын
Mmm jamani haijakaa poa hiyo mamako umwue kisha umtupe ktk maji taka kisha ukane hukukusudia c kweli hizi sheria ziangaliwe upya jamani na busara na thamani iangaliwe ya mzazi kambeba miezi tisa tumboni tabu zote za kumzaa na kumlea ndo malipo haya eeh Mwenyezi Mungu ingilia kati nae angenyongwa tu atamaliza wenzie ktk family hafai kabisa damu ya mama ake na imlilie kila dkk huyu
Huyo ni muuwaji tu na damu ya mauwaji itamzunguka daima na pia akitoka bado ataendeleza kuuwa tena ila amelaaniwa kabisa
@beatricemollel872010 ай бұрын
Hiyo adhabu ni ndog angefungwa maisha
@roselynsesoa247710 ай бұрын
Amepata adhabu ndogo sana,wengine watafanyahivyo wakiona si adhabu ya kutisha,angefungwa maisha huyo apotee,akitoka hatatakwa na ndugu Wala yule dadake....
@emmanuelmasanja604010 ай бұрын
Hizi Sheria shida sana
@raheebraheeb-vd7qv10 ай бұрын
Anatetewa nnn??
@priscasway349210 ай бұрын
Vijana wa sasa wanatamaa sana afungwe tu iwe fundisho hata kwa wengine
@mwanakombopopo511710 ай бұрын
Uyu ata siwakufungwa miaka 10 kidgo sana Bora achille huru gereza la Allah lamtosha 😢😢Allah atuepushie shetani wamauwaji pammoja na kizazi chetu in shaa Allah mitihani kweli 😢😢
@xxxl-jf2jiАй бұрын
Amin
@johnmalembo646410 ай бұрын
Nguvu ya pesa juu ya sheria hununua haki ya mwenye haki. Think big
@khurlainashly568610 ай бұрын
Jamani mbona kaka mzuri tu kanzaje kufanya ivo😮
@EdithaKabaize10 ай бұрын
Mahakama itende haki huyu kijana bado taifa linamuhitaji vijana wanahitaji sana kumjua Mungu
@labunaabouna612210 ай бұрын
Noma
@hassanndauka968510 ай бұрын
Kwani uyo mteja wko anasemaje kaua au ajaua?
@saidkilima648510 ай бұрын
Hana hofu kabisa sijui nini anakitegemea kweli mama zetu mungu awalinde sana hana hata huruma linacheka tu
@kevindesigner679510 ай бұрын
Mimi naona uyojaaa nayeye wakamtumbukize choooni
@leokamil628410 ай бұрын
Kwa nini Kijana uliamua kuchukua hatua hiyo kama ni kweli?Mama yako mzazi Mungu tusamehe sana
@ziadasalimu173010 ай бұрын
Huyu kijana ni shetani kupitiliza mungu kamuonyesha mapema mana asingefanya hivyo angekuja kuowa na kumuwa mkewake , ni mnyama mno ila hatofanikiwa mpaka kufa na sijui km atakuja kuowa mana hakuna familia itakayo mpokea huyo, damu ya mama yake itamtaguta milele, ha! 😭😭
@ziadasalimu173010 ай бұрын
Analia Nini mbwa huyo mjinga sn wangemhukumu kunyonga kaka hiyo ha!mungu wangu
@attunelson882810 ай бұрын
Tena alikua anataka Mali kutoka kwa mama na akamuua na uufucha mwili mpaka ndugu yake alipokua anamtafuta.Adhabu ni ndogo sana
@sofi_19409 ай бұрын
Mmmmh,,, uyo muuaji,,
@riklzibosi82689 ай бұрын
Dah
@AholeLifilima10 ай бұрын
Naogopa jamani mungu ukoa vizazi vyetu anacheka kabisa jamani
@madamehatibu93246 ай бұрын
Huyu mtoto hawezi kuwa na amani mi ningemwachia aende zake afurahie maisha maana uzuri siku za mwanadamu ni chache
@angelsalome220710 ай бұрын
Ni handsome aki si wa mwachilie aniowe mm hizo laana zingine tutaenda kwa maombi
@happinessmadadi188410 ай бұрын
Duu mpaka anaenda kumtupa choon kwel bado siyo kukusudiwa, mmmh jaman
@matolasalumu262510 ай бұрын
Apo mtafosi mtamtowa Ili tu mpate pesa ira mahakama ya mungu kazi anayo yatamkuta apa apa duniani shubamiiiti
@rachelndaki5642Ай бұрын
Huyo ni mama mtu baki je mh we mkaka hata hufananii😭😭
@AbdulMaway-y3tАй бұрын
Polesana.rufaa.itakutoa
@frankmlalila170510 ай бұрын
Linyongwe hilo mbona linacheka jmn😳😳😳😳😳ataenda kummalizia na mdg wake hyo jmn ili abaki yeye😢😢😢😢
@GtrudaUtenga-es4pq10 ай бұрын
Mungu ndie atamhukumu hata kama anamawakili
@praisesteven777410 ай бұрын
yaan leo ndio nakumbkaaaaa uyu kijanaaaa jmn
@ahmadamohamed190710 ай бұрын
Ukiweza kazi ya uwakili unaweza kuwa mchawi wakati wowote ndio hivi unamtetea mtu tena amemuuwa mama yake mzazi
@felistaseleki72010 ай бұрын
Dash we kijana kyna watu wana tafuta mama we unaua😢😢😢😢😢
@frankmlalila170510 ай бұрын
Hii nchi jmn,,,,me hta kuendelea kusikiliza hya maelezo nasikia kutapika😢😢😢😢😢😢jmn vielelezo vyote hyu filauni kaua halafu et hakuua kwa makusud
@jamilajamila457210 ай бұрын
Kijana anaroho mbaya kumuua mamayako
@SalmaAthuman-hp3en10 ай бұрын
Kijana wa hovyo sana wallah mungu tujalie vizazi vyema
@IssaMatandi10 ай бұрын
Hiyo ni miaka kidogo sana
@ritapiusnicolaus706810 ай бұрын
Uyu kijana amelaaniwa duniani mpaka kwa Mungu.Serikali iwe inawafunga maisha wale wanaoua sio kuwaonea uluma hii kesi ipo wazi kbs km ameua mamaake na kumtupa kwenye shimo 🙌🏼😭😭😭😭😭afai kuishi na jamii AFUNGWE MAISHA ALICHOKIPANDA NDICHO AKIVUNE
@hamynas10 ай бұрын
mahakama za tanzania zimechoka saana..utakuta kesi serious mtuhumiwa anapewa kahukumu kadoogo na utakuta kesi haina kichwa wala miguu linatoka lihukumu la maisha au kifo..kitu cha ajabu saana
@sophiakimaro517410 ай бұрын
Marehemu hana haki kabisaaaa!huyu mshenzi ni tamaa ya mali tu alikuwa nayo.ningekuwa dada yake ningeuza kila kitu nihame nchi akitoka huko mahakamani akute deshi.
@Kidotii10 ай бұрын
Yaani huyu aliebaki asichelewe auze asepe
@mendradajoseph10 ай бұрын
Miaka10 mbona kidogo
@malugukushaha676410 ай бұрын
Eti aliua bila kukusudia!!!!???, hadi afikie hatua ya kumzamisha kwenye shimo la majitaka hajakusudia??. Mwenyezi mungu rudi tu uhukumu hii dunia😭😭😭.
@FaridaOngala9 ай бұрын
Ww kaka damu ya mama ako itakusumbua sana mvulana mzuri ila una tabia mbaya ww kaka
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv9 ай бұрын
Mtihani jamani unamuuwa mama yako kweli jamani
@EboMagai10 ай бұрын
Miaka kumi midogo 15:07
@meshackthomas13419 ай бұрын
Hawa wanasheria njaa kama hawa hawafai Tz tutauliwa sana na kuonewa kisha mhalifu anaendelea kusavaivu swali langu kwa mwanasheria huyo kipimo kipi kinapima akiri ya muuaji au jangili wa binadam wengine hajakusudia kuua ikiwa ushahid upo? Tuache kupindisha hak kutumia myanya za kisheria Tujikite kutengeneza Tanzania yakueshim uwepo wa kiumbe mwenzio nk
@MwajumaMboa-cu9dx10 ай бұрын
Kifo chake kitakuwa cha historia na pachelewe lakini atakufa kifo kibaya sana
@melichmahingule289610 ай бұрын
Ivi kwanini Mungu ana samehe lakini mahakama haisamehe? Huyo kijana asamehewe.,.achapwe fimbo 12 then asamehewe
@MaryChao-ob9zl10 ай бұрын
Mungu at usaidie viazi vyetu😢😢
@ZenahAlex6 ай бұрын
Jamani tuzidi kumuombea kwakwer jamani
@ramadhanisalum389810 ай бұрын
Aya maisha aya huu ulimwenguni unatudanganya sana ukiona mambo yanachelewa tambua kuna we miso misondo umepigaje hapo
@StevenLyimo-u4y7 ай бұрын
Hao ni wachaga mjifunze makabila wengine wachaga wana roho ngumu sana kwenye kitu kinachoitwa mali