HUKUMU ZA MWENYEZI MUNGU ZAMSHINDA MUHAMMAD S.A.W KUZITEKELEZA , AAMUA KUMWACHIA YESU KRISTO

  Рет қаралды 1,330

BAYYINAT DM TV

BAYYINAT DM TV

Күн бұрын

Mungu Ndiye Mtoa hukumu zote. Anaweza kugawa mamlaka hayo ya hukumu kwa yule Anayemuamini sana kwamba atazifanya hukumu hizo kwa uadilifu mkubwa. Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu, alijaribu kuzitekeleza lakini zilimshinda. Akaamua kutoa tangazo hadharani linaloezea mwelekeo wake baada ya kushindwa kufanya hivyo. Je, unajua alisema nini? Fuatilia somo hili ujue vitabu vya Kiislamu vimenukuu nini kutoka kwake.

Пікірлер: 106
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Nimekashifu kwenye eneo gani? Unaweza kueleza jambo moja nililokashifu ambalo sijalisoma toka kwenye vitabu vyenu au Biblia? Hebu toa mfano mmoja tu.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Acha uongo ulitoa aya gani ya Yesu kusujudu? Nilitoa na ahadi ya dola 10,000 kama ungenionesha aya Yesu amesujudu. Ninaisubiri tena. Usipoitoa aya hiyo safari hii, kaa kimya, acha uongo wako wa kujipoteza na kujidanganya tu.
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
Tangu lini mfuasi wa shetani akajua Qur'an uislamu ni neema kubwa na huwezi kuwa muislamu mpaka Mungu apende piga porojo ,ukifa we ni kuni za motoni
@shafiimpilika3574
@shafiimpilika3574 5 ай бұрын
Ogopa sana binadamu yoyote anatoka kwenye ukweli na anakimbilia kwenye mifano bila kuzama kwenye tukio halisia inaitaji hekima sana, tujiulizeni mimi na nyie maneno ya Mungu amegusia tu na kakimbilia kwenye hadith kumbuka neno hadith na elewa neno kutoka kwa Allah na kakili maneno ya Allah zama kwenye maneno ya Allah unakimbilia hadith mtihani sana huu ndg zangu hata kama wewe nimkristo inatakiwa mtu akiongea umuelewe njaa nihatari sana ndg zangu.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Sema hapa kwamba sitakiwi kutumia na wala katika Uislamu hakuna hadithi ilo niombe radhi. Ninasubiri.
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 5 ай бұрын
MUNGU Akubariki mtumishi
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 5 ай бұрын
Mwalimu Barikiwa sana kwa somo hili
@mrx8608
@mrx8608 4 ай бұрын
Maandiko kiswahili Bado mnakataaa je ikisomwa kiarabu vpii mtaelewa?maisha hayakaririwi na mungu hakaririw Bali husomwa maandiko ya waliopita na manabii wa kweli cyo waongo mnasomewa vitabu vyenu mnakataaa Sasa ttz elimu ama uelewa
@januaryyotham5514
@januaryyotham5514 5 ай бұрын
Mwalimu mbona hatupatu notification pindi unapo toa SoMo? Pia wew hutangazagimda
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 5 ай бұрын
Waislam wote duniani mpendeni Mw Daniel maana anawapenda kwa kuwafundisha ukweli ili siku ikifika usiseme kuwa sikusikia au kujua na mm nawambia msipomwani YESU KRISTO kuwa ndiye njia na kweli na uzima hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee utamkumbuka huyo unayesema ni mwongo.
@enockabumba7513
@enockabumba7513 3 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
yaani makafiri wanateseka na kupata tabu sana wanaposikia Muhammad ni mtukufu mbele za Mungu kuliko yesu. hata mkichukia ndivyo ilivyo
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Toa aya au hadith
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
Kwani nyiye kuna aya mnayoamini. mimi niliwapa aya za manabii wa Mungu walivyosujudu akiwepo nabii yesu lakini hamkuamini
@goldenshadrackmsungu3664
@goldenshadrackmsungu3664 5 ай бұрын
Yesu alisujudu?? Wapi??
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 ай бұрын
Ninachofurahi ni kwamba Waislamu wengi wanafuatilia mafundisho, sijali sana comments zao za kejeli na matusi, ni tabia ya baba yao shetani, wamerithi.
@badruseif1318
@badruseif1318 5 ай бұрын
Daudi, chizi anapolalamika unamsikiliza ili uangalie jinsi gani ya kumsaidia
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 5 ай бұрын
Mzee Danieli kwa nini unafundisha uongo watu umekusudia nini hasa ni chuki tu au unakingine unakiwaza ewe Dajjal hoja tu uloanzisha ya DOA jeusi umeshindwa kujibu hadi sasa kisha unaendeleza ujinga wako. Madhalimu kama wewe huwa na mwisho mbaya sana. UTADANGANYA HADI LINI?
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 5 ай бұрын
Nyie wote mnaotoa comments za zihaka na matusi ngojeni siku ya unyakuo ndipo mtakapojua kuwa YESU KRISTO ni nani siku hiyo mtampigia Mw, Daniel naye atakuwa busy.
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
Kati ya watu ambao shetani aliwachukia ni mtume wetu na mfuasi wa shetani hawezi kumpenda Muhammad. kwahiyo wafuasi wa iblisi wapo mpaka kiama. hata mkichukia Muhammad ni mtume wa Mungu. mkitaka jinyongeni kwa chuki iliyowajaa moyoni ya kumchukia Muhammad wakati yy Mungu anampenda kuliko manabii wote😅😅😅😅😃😃😃😃😃😅😅
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 5 ай бұрын
Yaani Quran miujiza yake hata uisome vp kama sio muislamu kwanza haikunufaishi hlf hutaweza kuifasiri kwa fasaha ni lzm itakuchanganya na ndio mnapomtukana Mtume wa Mungu na kukufuru. Hv wewe babu unadhani kua muislam ni kazi ndogo? Ni Riziki mpaka iandikwe mbinguni.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Una maanisha nilichokinukuu kwenye vitabu vyenu kinamtukanisha Mtune wenu? Ndicho unachokimaanisha?
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 5 ай бұрын
@@BAYYINATDMTV hukuanza leo kukashifu na kukanusha maneno ya M'mungu ambayo ni Quran, ulianza toka miaka ya 90. Ss tunakuangalia tu.
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 5 ай бұрын
Kisha mristo yeyote aseme yeye kafundishwa na nani hiyo bible Yao utaona anasema maneno ya bible hayahitajii mtu kusoma yanajieleza mwenyewe kwa hiyo yasu hakufundishwa yaani huko hapafai
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 5 ай бұрын
Yesu alikata ndevu mwanfunzi gani wa yesu alikata ndevu wao mpaka mwanamke anaongoaza makanisa duh
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
nyiye makafiri mlikuwa mkisema Qur'an ni kitabu cha majini msikishike mbona siku hizi mnakishika bila kusilimu nyiye makafiri mtakuwa kuni za motoni
@mrx8608
@mrx8608 4 ай бұрын
Dini haijaletwa uoge unukie Bali umjue mungu wa kweli na haki yake kuoga unadhan arabun kote Kuna maji?ivii ukienda haja kubwa unatawadha na nn?vipii na jangwani kwenda msikitini mnatumia maji ganii?
@wadimtwana7286
@wadimtwana7286 5 ай бұрын
Chuki kibao mtakufa na ukafiri huyo yesu kwani dini gani hebu tuwekeni wazi tujuwe.
@familyofgodtv1290
@familyofgodtv1290 5 ай бұрын
Kumradhi mwalimi haikuwatendo la kumla mtoto Bali walikuwa makahaba wawili mmoja alimlalia wa kwake na aka mng,Ang,ania wa mwenziye
@Skeletonking2116
@Skeletonking2116 5 ай бұрын
Kwakuwa hukumu za Yesu umesona ktk bibilia na si vitabu vingine.
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 5 ай бұрын
Dini ya kikiristo haifundishi usafi kabisa hata kwenye majumba Yao Kuna harufu fulani ukiingia utasikia kisha akienda chop wanakwenda na tisho akitoka huko nisiriake mwenyewe yaani hiyo dini tulikua huko Allah akatutoa huko woote wakriso usafi wa nguo na mwili mpaka pia hawajui kuvaa
@wadimtwana7286
@wadimtwana7286 5 ай бұрын
Hakika ndugu
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Acha uongo aya gani inasema hivyo?
@enockabumba7513
@enockabumba7513 3 ай бұрын
Wewe huna akili kweli. Kwa taarifa ako wakristo ni wasafi wakupindukia Kafie uko na majini yenu
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 ай бұрын
DANIEL MTUMISHI WA SHETANI NA IMANI YA WATUMIA WAKITALIANA UNANUKA POMBE!!
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 5 ай бұрын
Hao wanaotukana wasikutishe wanaongozwa na ibilisi shetani,
@nurumohamed7225
@nurumohamed7225 5 ай бұрын
Hakuna unachokijua kwanza ww kafiri nin kinakusumbua wakati dini hii siyo yako?
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 ай бұрын
Anakusaidia uone uongo wa dini ya Muhammad, uondoke huko
@jamalAlly-p2y
@jamalAlly-p2y 5 ай бұрын
Atusaidie mtu ama watu wenye kitabu cha biblia kilichoundwa na watu na kingjems? Nakisha hata yesu haijui hio biblia au weye na huyo daniel mnaandiko hata lakusingizia ndani yahichohicho kitabu cha kingjems yaani biblia yesu kawahi kusema neno biblia? Ili mue wakweli? Au aliingia kanisa gani hebu tuonyesheni? Mpaka muwe na viburi vyakuongea na waislam maana hamna dini
@HellenaMky
@HellenaMky 5 ай бұрын
Umekosea. Hyo hadithi. Mmoja. Arimlaria mwanae. Akafa. Ndpo akamvizia. Mwenzie kalala. Akachukua mtoto wa mwenzake. Barikiwa
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Ahsante kunikumbusha. Ubarikiwe.
@fauzseif7344
@fauzseif7344 5 ай бұрын
Danyeli hukumu niyamungu muhamad hatoi hukumu mungu ndio anatoa hukumu
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 ай бұрын
Kwahiyo Mungu anakosea kuhukumu? Haki ya muislam anampa muislam mwingine? Huna hoja 😂
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 5 ай бұрын
Kama hukumu NI ya MUNGU kwnn mnawahukum wanaobadilisha dini, kwa shehe wenu alimtamkia harmonize vibaya ety akifa hasomewi dua kwani anaehukum makosa ni binadam? Kwann mnaenda kujilipua na mabaibui kwa ndani mmevaa mabomu et kufia dini, kwann mkiona mtu anachinja mko tayar kugombana!! Nnch za warabu wanawaua kwa kuwakata shingo wakriy huko sio kuhukum? Yan mm nasema mm kua muislam hata kwa nn siwez na staweza,
@badruseif1318
@badruseif1318 5 ай бұрын
​@@nestarnestar4520huna hoja kumbe hoja yako kubwa Ni waarabu kuua Kwa Kwa kukata shingo? Mbona husemi kule marekani wanavoua Kwa viti vya umeme, sindano za simu, saivi wameanzisha stile mpya ya kuvisha musk iliyounganishwa kwenye gesi ya sumu, vipi hayo yote yanafanywa na waarabu? Nimegundua kumbe nyinyi wengine ndio mliolishwa sumu ya kuwachukia waarabu wala hamna sababu za msingi
@januaryyotham5514
@januaryyotham5514 5 ай бұрын
Kwahiyo SoMo laleo halitokuwepo?!
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
Eti tumfute yesu ,ambaye ametuita sisi makabila mengine ni mbwa yaani nyiye makafiri ni 0000 yesu kawaita mbwa bado mnajipendekeza kwake
@MkungwaNgwarumbwa
@MkungwaNgwarumbwa 5 ай бұрын
Wewe mzee una elimu kuliko wayahudi ambao ni watu wa kitabu ambao hawajawahi kufanya kufuru ya kumsingizia mungu amekuja duniani kwa umbo la binaadamu...
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Hiyo ndiyo hoja iliyopo hapa?
@wadimtwana7286
@wadimtwana7286 5 ай бұрын
Chunga ugali wako mwalimu
@AkonkwaProductions
@AkonkwaProductions 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu
@shabaniissa9792
@shabaniissa9792 5 ай бұрын
Wewe Daniel hunarorote wewe utakufa nauslam utaendelea tena utazid kupanuka
@mrx8608
@mrx8608 4 ай бұрын
Sema hicho kitabu cyo chenu?be serious Kwa hiloo acha pinga allaiwako
@justinendizeye714
@justinendizeye714 5 ай бұрын
Amen 🙏🏾 mwalimu 👍🏾
@Skeletonking2116
@Skeletonking2116 5 ай бұрын
Hayo umesoma ni maelezo ya hadithi ambayo haijaandikwa na Mohammad. Tuoneshe aya katika quran (maneno ya MUNGU) ambayo inasema Mohammad alimpa ushindi mtu asiyestahili katika kesi.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Kwa hiyo Ibn Kathir amezua? Andika hapa kwamba kakosea
@nurumohamed7225
@nurumohamed7225 5 ай бұрын
😂😂😂 jambo ambalo huna elimu nalo ni vizuri ukaliacha ni vyema ukaliacha na kuwaachia wenye kulielewa ukiskia mbumbumbu ndio ww 😂😂😂😂
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 ай бұрын
Umbumbumbu wa Mwalimu ni upi? Yeye anasoma vitabu vyenu! Tufafanulie wewe Sasa Kwa Kwa kusahihisha makosa yake Kwa Maandiko
@badruseif1318
@badruseif1318 5 ай бұрын
​@@paulmushi2428kusoma vitabu sio hoja, hoja Ni uelewa huyu jamaa Kazi yake Ni kupotosha watu ananukuu Aya za Quran na khadith lkn anatafsiri vile yanavotaka matamanio yake
@badruseif1318
@badruseif1318 5 ай бұрын
Wewe babu wacha kukufurisha watu huna elimu ya kutafsiri Quran
@abilahnamnungu1819
@abilahnamnungu1819 5 ай бұрын
Daniel umefilisika kimawazo .unashindwa ktk ujana uzeeni utaweza wapi.hayo mawazo yako mgando unawadanganya makafiri wenzio
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 ай бұрын
Kafiri ni yule anayesujudia kuelekea Qibra Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi Al hajar Al aswad
@abilahnamnungu1819
@abilahnamnungu1819 5 ай бұрын
hiyo hadithi ipo kwenye aya yoyote ya Quran?.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Kwani hadith zimo kwenye Quran?
@WadySaidi
@WadySaidi 5 ай бұрын
Mwalimu uyu ni shoga wa waisraeli
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Ahsante hata kuitazama hii video, kuna kitu umejifunza. Karibu tena.
@WadySaidi
@WadySaidi 5 ай бұрын
Wew siwezi kumaliza data kwa ajiri ya ushoga wako kwani wewe unaweza nifundisha mimi
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 5 ай бұрын
Mawazo mabaya, matusi hutokaa kwa shetani na kwenye Quran imeandikwa majini na shetani walislimishwaa so akili kichwani
@WadySaidi
@WadySaidi 5 ай бұрын
Shetani ndio uyo mlio naye
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 5 ай бұрын
Twende kwenye vitabu shetani na majini ni Dini ganii??
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 5 ай бұрын
Mwalimu Daniel pambana kuwatoa waislam kwenye dini chafu yenye kuongozwa na majini, wanaohukum wenzao wakati kazi ya kuhukum ni ya MUNGU mwenyewe alietuumba
@badruseif1318
@badruseif1318 5 ай бұрын
Nesta wewe mwenyewe kajifundishe Kwanza angalau kujisafisha mikojo unapokwenda haja alafu ndio useme uislamu Ni Dini chafu
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 5 ай бұрын
@@badruseif1318 Mlivo hamna akili mnasafisha mikojo ndo kua msafi hamuwezi kujua MUNGU anataka nn, unaweza kusafisha mikojo lkn matendo yako hayampendezi MUNGU, sa iyo mikojo ulosafisha itakua na maana gan? Xkia MUNGU aliweka maagano kat yngu naww, na hayo maagano ni kushika amri zake, we hushiki amri zake hata moja mpk ya kuua nayo hushiki af unaangaika kuosha mikojo iyo ni akili? Ukiona maana kuosha mikojo je amri zake zote umeshika, usafi hauanzi kwenye mwili wako usafi unaanzia rohoni mwako ndo uje nnje ya mwili wko bro
@jamalAlly-p2y
@jamalAlly-p2y 5 ай бұрын
Kwanza hamna dini wala nabii Issa hawajui muongelee lipi geni katika Uislam muonekane mmeongea
@jamalAlly-p2y
@jamalAlly-p2y 5 ай бұрын
Au mnaandiko lolote yesu aliwahi kuingia kanisani?mpaka muonekane wakweli au mnafaa kusikilizwa?na wenye kujielewa? Au yesu aliwahi kutamka tu neno biblia ili muonekane mnadini? Na mnafaa kusikilizwa nawatu wanaojitambua?
@wadimtwana7286
@wadimtwana7286 5 ай бұрын
Ndugu akijifutie tisu wachafu wakubwa
@IssaSimbilla-hw9ev
@IssaSimbilla-hw9ev 5 ай бұрын
Unajua kafir hana nuru sura yako dhahili ni kafir
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Sura yangu ndiyo somo la leo? Sura nzuri ya mtu ndiyo huifanya mada kuwa nzuri wakati Mtume huyo ni utata mtupu?
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
huyu ni 000000 huyu mtume wetu mbona anawakera sana ukweli ni kwamba Muhammad ni peponi hata ukichukia jinyonge mtapata taabu sana kumsema Muhammad yule ambaye Mungu amemsifu huwezi kumchafua milele we jiandae na jahannam 😅😅😅😅😅😅😅😅
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
kweli ukiwa mfuasi wa shetani utateseka sana kumchafua Muhammad lakini matokeo yake utachafuka wewe ukifa nje ya uislamu ni motoni
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 5 ай бұрын
hizo ni porojo tu ni nani alisema Muhammad kamdhulumu. na huyo yesu unayemsifia mbona alimdhulumu mtu punda wake mbona hamsemi hilo
@shabaniissa9792
@shabaniissa9792 5 ай бұрын
Wewe Daniel hunarorote wewe utakufa nauslam utaendelea tena utazid kupanuka
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 ай бұрын
Shida haitakuwa yake, itakuwa kwako wewe na Waislam wenzako, wote finar Jehanam
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 5 ай бұрын
Dahhhh yani jamaaa huyu mjinga kuliko watu wote duniani tena mwenda wazimu kabisa moyo unakunukia kama utakufa na imani yako hiyo
@daudimichael7338
@daudimichael7338 5 ай бұрын
Jibu hoja kwa aya au Hadith, vinginevyo Kaa kimya au kwa ushauri wa bure kwa faida yako ondoka kwenye hiyo dini ya Muhammad
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 5 ай бұрын
@@daudimichael7338 aya ameitoa uyo kafiri mwenzio apo kuwa Muhammad swallallahu alayhi wa sallam hatamki kitu kwa matamanio ila kwa wahyi na akitamka neno bila wahyi au ufunuo kama atakosea basi Allah humuelekeza kuwa hapa sema hivi rudi katika sura inayoitwa surat tahreem aya ya kwanza utaelewa kwanini ili shushwa aya ile kafiri wewe mungu wako kazaliwa, katahiriwa, na akafa ALLAH HAJAZALIWA WALA HAFI
@shabaniissa9792
@shabaniissa9792 5 ай бұрын
Wewe Daniel hunarorote wewe utakufa nauslam utaendelea tena utazid kupanuka
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 ай бұрын
Kesi ya kitoto hiyo mtume Muhamad angehukumu. Kitoto
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Kesi ya kitoto wakati ilimshinda?
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 ай бұрын
Mahakama yetu hatusikilizi kesi za kitoto kesi za kitoto zitasikilizwa na Mahakama za watoto. Bado sana wewe tutakufundisha Bible huwezi kuta challenges sie waislamu
@WadySaidi
@WadySaidi 5 ай бұрын
Shoga uyu wa waisraeli
@hassanhamid4359
@hassanhamid4359 5 ай бұрын
Eka mdahalo acha kupotosha
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Kamanuko tayari kwa mdahalo, nijulishe. Na uchague mada
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 5 ай бұрын
Hujajibu bado kuhusu mdahalo. Uko tayari lini?
@jamalAlly-p2y
@jamalAlly-p2y 5 ай бұрын
Wewe kwani dini yako ni ipi na mtume wako ni yupi na kitabu chako kipi mbona hueleweki unazungumzia uislam wakati huna dini wala kitabu huoni utaendelea kuwadanganya wenzio nasio waislam ambao ni wasomi nawaliokwisha elezewa kuhusu weye ulivyo ninani? Mie naona unahangaika tu masikini ya shetani kwasababu unaacha kufuatilia biblia imepokelewa na mtume gani au kingjems utume kapewa nanani? Maana ndie mwenye kitabu biblia au unaandiko lolote linalotoka kwa mungu ambalo lipo katika injiil linalobainisha biblia imetoka kwa mungu?Unahangaika na uislam
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 34 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН
JE, KANISA KATOLIKI LINAPINGA MAOMBI YA SAUTI NA KULIALIA?
13:05
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 377
MASWALI NA MAJIBU MBALI MBALI
1:56:16
BAYYINAT DM TV
Рет қаралды 772
Ushuhuda wa aliyekua muislamu.
28:57
END TIME LOUDCRY TV
Рет қаралды 249 М.
JE, QUR'AN ILILETWA KWA AJILI YA WATU GANI?
51:31
BAYYINAT DM TV
Рет қаралды 727
Waalimu wa kiislamu wajiaibisha
30:56
END TIME LOUDCRY TV
Рет қаралды 14 М.
wasabato sio wakristo
19:22
THE POWER OF CHRIST MINISTRY
Рет қаралды 8 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 34 МЛН