Рет қаралды 1,330
Mungu Ndiye Mtoa hukumu zote. Anaweza kugawa mamlaka hayo ya hukumu kwa yule Anayemuamini sana kwamba atazifanya hukumu hizo kwa uadilifu mkubwa. Muhammad s.a.w mtume wa Waislamu, alijaribu kuzitekeleza lakini zilimshinda. Akaamua kutoa tangazo hadharani linaloezea mwelekeo wake baada ya kushindwa kufanya hivyo. Je, unajua alisema nini? Fuatilia somo hili ujue vitabu vya Kiislamu vimenukuu nini kutoka kwake.