Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi

  Рет қаралды 14,609

Hamasika Tv

Hamasika Tv

23 күн бұрын

Пікірлер: 21
@albertdhukuru7443
@albertdhukuru7443 20 күн бұрын
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
@kwisa4899
@kwisa4899 12 күн бұрын
Tanzania tunatumia lugha 2
@BukelebeTv
@BukelebeTv 18 күн бұрын
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
@AbuuSudais-wf6ns
@AbuuSudais-wf6ns 14 күн бұрын
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
@magrethpaul2207
@magrethpaul2207 7 күн бұрын
Haya ndio mambo napenda
@EmanuelSimon-eh8mr
@EmanuelSimon-eh8mr 15 күн бұрын
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 20 күн бұрын
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
@zackariamtunguja9435
@zackariamtunguja9435 19 күн бұрын
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
@marinakarunde3311
@marinakarunde3311 17 күн бұрын
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
@maureenmgeni
@maureenmgeni 14 күн бұрын
Hongera sanaaa
@hamasikatv
@hamasikatv 10 күн бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo
@benyavan5774
@benyavan5774 14 күн бұрын
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 11 күн бұрын
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
@EsterinePhilipo
@EsterinePhilipo 13 күн бұрын
Acha ushamba wa rugha
@ahz6907
@ahz6907 19 күн бұрын
Wa tz nani katuroga? Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
@busarafadhil2442
@busarafadhil2442 20 күн бұрын
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
@user-wd4xl5cl4y
@user-wd4xl5cl4y 2 сағат бұрын
Speak Swahili
@BaruaniAllyally
@BaruaniAllyally 11 күн бұрын
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
@Kanyawela
@Kanyawela 15 күн бұрын
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
@maicofidelix3549
@maicofidelix3549 17 күн бұрын
Good 👍 brown
@mwanziajoseck3904
@mwanziajoseck3904 20 күн бұрын
🎉
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 24 М.
UHURU WA KIFEDHA Na Edmund Munyagi
44:34
Edmund Munyagi
Рет қаралды 8 М.
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 58 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 22 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 14 МЛН
MBINU ZA KUKUZA UWEZO WAKO WA AKILI/IMPROVE YOUR BRAIN POWER FOR MORE SUCCESS
14:32
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 157 М.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 24 М.
Hatua 6 Za Kutoka Kwenye Madeni.
8:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 19 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 16 М.
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 58 МЛН