Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa
@Madam2555 ай бұрын
Niko hapa
@philipomgovano Жыл бұрын
Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel
@emmanuelkimaro41716 жыл бұрын
Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja
@emmanuelmlengevaf50925 жыл бұрын
ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA
@khamiskesi94725 жыл бұрын
Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari
@khamiskesi94725 жыл бұрын
Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564
@abdulqudra87584 жыл бұрын
@@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u
@beatricemwambene94866 жыл бұрын
Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Karibu nikupe fursa 100%
@TusaKiblaga-vp9jgАй бұрын
Asante sana mwalimu hakika Muda nimal wengi tumechelewa san
@azzomapesa78795 жыл бұрын
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
@Creative_Feny4 жыл бұрын
Hongera sana
@stivejayngoga14034 жыл бұрын
Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli
@HappyFamily-qz9up7 ай бұрын
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
@humblemantresor78906 ай бұрын
Asante kwa usimulizi njema
@shukranjs43075 жыл бұрын
Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika
@MeripaMusa-b1qАй бұрын
🎉🎉❤big up nanauka GOD blessed u mr I play for u Thanks i have change's enough my life
@hidayaswai31193 жыл бұрын
Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach
@ayshaal69576 жыл бұрын
Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu
@mfalmegideon6 жыл бұрын
Ahsante Sana Mentor J Nanauka
@thb95613 жыл бұрын
Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!
@nahimanaprince58184 ай бұрын
Asante brother mm from Rwanda
@jumachanewstrends68995 жыл бұрын
nakupta vizur sana brother una mafundisho mazur sana
@reginakarema85845 жыл бұрын
Joel Asante sana nimejifuza mengi mola akubariki
@AlexSadick-oy1rs6 ай бұрын
👍👍nauona utajiri mkubwa juu yako bro @@@nanauka
@tumainijastus326 Жыл бұрын
You're the best bro Keep going on
@MMUNGAHOSEA4 ай бұрын
Shukrani sana
@ashamwandu37815 жыл бұрын
unamahakili kaka angu
@queenmwasanguti23706 жыл бұрын
Shukran
@suleimanseif75383 жыл бұрын
hii wee mtu unaupeo mkubwa sana mungu akuzidiahie
@sayyidtawaqal17545 жыл бұрын
Mungu akubariku
@WAKRISTOKANISALAMUNGU5 жыл бұрын
Kwakweli hicho ni kipaji kutoka kwa Mungu.
@danielmlanda55975 жыл бұрын
Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂
@alimatambwe88646 жыл бұрын
Shukrani
@mohamedmkubagwa38746 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa kutoe elimu hii muhimu katika maisha ya mwanadamu ili aweze ishi maisha yatofauti
@tumainmatokeo5866 жыл бұрын
Naomba kitabu hicho 0764781372 dom
@maricelajohn9426 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@patrickrutungo42626 жыл бұрын
Hongera sana umetoa siri kubwa ya maisha kwa wengi
@joelnanauka5 жыл бұрын
Nashukuru sana
@williamreuben48665 жыл бұрын
0755849390,nitafute
@apensilinetama31615 жыл бұрын
Huwa najifunza mengi kupitia speech zako,asantee sana kaka.
@papykakozi41924 жыл бұрын
aise kaka nakukubali saaaaana
@sechelelamadeje48946 жыл бұрын
Nimeanza kukufuatilia ninaimani nitafanikiwa katika malengo yangu niliyojiwekea...nimekuelewa sana katika lile somo la mambo 3 yanayomfanya mwanamke asifanikiwe
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Karibu wewe mwanamke mwenzangu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@UpendoKazimoto-h8n11 ай бұрын
Asante
@suleimanali37166 жыл бұрын
We jamaa noma sana nimekuelewa
@alfredemmanuel68794 жыл бұрын
🔥🔥
@ramadhanjuma11835 жыл бұрын
Habar Mr Joel,me nataka kitabu chako ,nakipataje ? Nakinauzwa pesa ngap ?
@JohnMedard23 күн бұрын
Kaka naomba naomba nielekeze namna ya kupata vitabu vyako
@jescamreri185 жыл бұрын
Asant mnoo kaka unanijenga na kuniimarisha san
@gabrielbarnabas684 жыл бұрын
Sante kaka
@maxminswai98042 ай бұрын
2024
@mezani7825 жыл бұрын
Kuweka malengo bila kuweka mikakati ya kuitimiza ni ndoto tu kama ndoto nyingine
@josephmsangawale99255 жыл бұрын
Ahsante saaana Brother Nanauka kwa Darasa zuuri
@oseapaul28976 жыл бұрын
Naitaji Kitabu ...Ila Nipo Bukoba . Naomba Unipe Maelekezo Au Niambia Nitakipata Vp Ndugu Nanauka..
@joelnanauka5 жыл бұрын
Unaweza kuwasiliana na 0756094875 utakipata
@abdilahijuma28524 жыл бұрын
@@joelnanaukanami nahitaji
@markamwakibete71495 жыл бұрын
Hivi kwanini hukuepo toka mwanzo mbona unagusa maisha yawatu
@faustaraymond33036 жыл бұрын
Kweli kaka Mungu azd kukupa maarifa zaidi ndo nimeanza leo kufatilia somo hili lkn limenifanya kupata maarifa nakuelewa sana
@neemalino42205 жыл бұрын
Fausta Raymond kweli kaka namshukuru kwa somo zuri
@mansouromary92462 жыл бұрын
2021 December
@joakimkiamba73576 жыл бұрын
MIMI NI MKENYA LAKINI NDUGU UNA MVUTO MKUBWA SANA.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Nashukuru sana naamini utajifunza mengine mengi kupitia video hizi
@jano254jayc45 жыл бұрын
Vipi bro jkiswili kiamba
@jano254jayc45 жыл бұрын
Joel nanauka Kenya tueza pata vitabu vyako kweli
@francsadock30625 жыл бұрын
Brother vitabu vinapatikana wapi?
@noeliakapwaka76583 жыл бұрын
Kaka nakipataje hicho kitabu kikohapo mezani
@Saranabwire3 ай бұрын
Kitabu hicho cha kutimiza malengo naweza kipita vipi nipo kenyA
@kapasimoses984 жыл бұрын
Naomba kupata daftari hilo huyu jamaa ana akili sana naomba maelekezo kupata kitabu hicho
@kapasimoses984 жыл бұрын
Ni kweli inzi akiondoa ujinga anaweza kutengeneza asali
@jumacharles72335 жыл бұрын
tuko pamoja mkuu
@SalumMansourNassor23 күн бұрын
Broo vp
@albinoentreprises21765 жыл бұрын
HUO MFANO WA SIMBA NI MUHIMU SANA UENDELEE KUUTUMIA
@mamumamu17183 жыл бұрын
Icho kitabu nakipataje? Nipo dar
@calvinmdee25105 жыл бұрын
Broo Nanauka ni kwel unachozungumza kwani malengo nilikuwa nayo yamevurugika kwa mwaka huu
@evodiusdiocles76693 жыл бұрын
kwema
@samwelpanga24046 жыл бұрын
joel nakukubali mno
@gilberttingwaza8503 жыл бұрын
Ok
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
🏆🏆🏆🏆🏆💪💪💪💪
@FrankeyDremoh Жыл бұрын
ukiwa n umri mdogo kama 22yrs hapo unatumia mbinu gan hadi unafanikiwa kaka
@fadhilrehan51295 жыл бұрын
Nikiwa bado mdogo nilikuwa Nina malengo makubwa ya kuja kuwa mfanyabiashara mkubwa na nilikuwa naendelea V izuri ila tu nimekuja kukwama baada ya kwenda kwa mzazi wangu ambae ni Baba yangu alienifanya nikakatisha masomo na kujikuta mpk nimeangukia kuwa mpiga Debe siendi.mpk sasa nimejikuta nikiwa wa kujaribu tu kufanya biashara na K ukata tamaa mara kwa mara.Je nifanyeje?
@goldgod99636 жыл бұрын
nmewapata vyema
@vairethmwaikono4886 жыл бұрын
Joel nakutafuta sana tuwasiliane 0757010979
@mussadionizi94185 жыл бұрын
Joel yuko vizuri Namwelewa sana
@africaglobalsuccess89906 жыл бұрын
real Joel is genius
@joelnanauka6 жыл бұрын
mlekwa schools ahsante sana
@mactongathe179 Жыл бұрын
Wacha nirudie KIPINDI Leo!
@Umalaya-y7f8 ай бұрын
Broo tengeneza group whatsapp utume link tujiunge
@saidnomano36675 жыл бұрын
Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
@mafanikioimanida36264 жыл бұрын
da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500
@edwardkavishe31392 жыл бұрын
Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev
@mactongathe179 Жыл бұрын
Vp ukoapii
@kabotezeey84748 ай бұрын
Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana
@kennytwinzi8215 жыл бұрын
Ahsante saana kaka Nanauka... Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!
@feedomcharles47224 жыл бұрын
Ubarikiwe sana nimejua mambo ambayo nikuwa siyajui
@masanjajunior30974 жыл бұрын
Imeisha hiyo💯
@menzachangawa22184 жыл бұрын
I love this motivational teaching,keep it up
@danieljouhn67923 жыл бұрын
P
@bivactanzania96423 жыл бұрын
Naomba kitabu hiki
@mayombotz3 жыл бұрын
Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!
@eliaspaul52894 жыл бұрын
Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like
@laurentlyati54523 ай бұрын
❤
@mcheshcomedy58094 жыл бұрын
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
@obadiayusuph70963 жыл бұрын
Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Na ex zao watapata wanaachokitafuta
@BARAKAKulaya8 ай бұрын
Kaka unatufunza vitu muhimu sana
@aminanurudini92333 жыл бұрын
It's Nov 2020 na bado nachek this video
@chrystiankagasheckjr.52876 жыл бұрын
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa @see yuo at the top
@shabansalum60143 жыл бұрын
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
@theeyechannel86014 жыл бұрын
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
@lilianelines84192 жыл бұрын
Nimejifunza jabo asante
@flowinfelix8289 Жыл бұрын
Ppp p
@meleajohnkisaka79693 жыл бұрын
Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako
@shukurobson12013 жыл бұрын
Daaah kwel yn
@AredFered10 ай бұрын
Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like
@MarcoMchele-e7b2 ай бұрын
Usijikweze Sasa na wewe
@JusterTumsime-gn2nk Жыл бұрын
Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏
@paulinyoisrael60796 жыл бұрын
Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani
@fidespancras73373 жыл бұрын
Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo
@lizalaw86635 жыл бұрын
Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya
@nichorousmpala53666 ай бұрын
Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Mm cjui niseme nn kaka cjui cjui yan..ni cku kama ya 11 tu tangu nianze kukufaham..yu be blecd
@dafady5 жыл бұрын
Huyu Kijana yuko vzuri amenisaidia
@felixbakari48456 жыл бұрын
Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada
@OfficialyourboyMLuckson7 ай бұрын
Hizo namba zingeandikwa hapa chini tafadhala🙏
@professamuddy54075 жыл бұрын
Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@sayyidtawaqal17545 жыл бұрын
Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi
@robertgwelela65816 жыл бұрын
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
@salummohdnyiga97606 жыл бұрын
Hahahahahahaaaa duh
@africanhappyadventure69516 жыл бұрын
Haaaaaaahaaaaaaa....
@elizajamas17966 жыл бұрын
what an inspiring speech thx soo much
@mlunguonlinetv20676 жыл бұрын
HAHAHAHAHA NIMEKUELEWA SANA
@fatmarashidi83536 жыл бұрын
Robert Gwelela hahaha hahaha
@mwakifunatheprominent73946 жыл бұрын
Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.
@joelnanauka6 жыл бұрын
Mwakifuna The Prominent pamoja,help to share
@emmanuelchristian87775 жыл бұрын
Kuam
@briankapotwe62872 жыл бұрын
Ahsantey sana Boss kwa somo hili zuri
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Njo nikushirikishe fursa itakayokupa pesa
@Costantine-l8p Жыл бұрын
Hakika kakaNanauka inatisha munguakupewepesi wamboyako kufanikisha jamii
@JosephLeonardMatemba3 жыл бұрын
Daah we kaka nimekuamshia mkono uko vzr 0789345040 nakuitaji mkuu
@JosephLeonardMatemba3 жыл бұрын
Naitaji kujua zaid
@markamwakibete71495 жыл бұрын
Nilijua nimiujiza kwangu kuona ninavyovipanga nakuvifanya kumbe ni ubongo tu nakile nilichopanga.
@henemwamboja57492 жыл бұрын
Huyu mwamba akili kubwa. Kongole kwake.
@goon93846 жыл бұрын
you are great bro....much respect and blessed
@selemanismail83595 жыл бұрын
Ivi kaka unaweza ukiwa huna hela ukafanikiwa malengo yako
@mosesnyirenda63595 жыл бұрын
Tatizo siyo pesa mkuu, tatizo ni idea
@jeremiebahane6679 Жыл бұрын
J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%
@shantalismailhassan98785 жыл бұрын
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
@nyamoyenyamoye60776 жыл бұрын
Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana
@professamuddy54075 жыл бұрын
Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Ubunge so dili
@lyagandaHosea Жыл бұрын
Hogera. Kaka. Joel
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.
@tobiasjohn39013 жыл бұрын
Be blessed brother joel
@jamesjohn88915 жыл бұрын
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.