Mungu atusaidie tu, huyu Raisi Hana uwezo kabisa wa kuongoza hii nchi. Ameruhusu nchi iwe shamba la bibi
@OmmyJames-xn7ji3 ай бұрын
SUKUMA GANG NO MORE 😢😢😢😢
@MohamedMfuu3 ай бұрын
shamba hili limekosa ulinzi😅
@FredrickFilbert3 ай бұрын
Mchambuzi uko sawa kwa sababu hauengemei upande. Watu wa aina yako ni wachache sana
@abelnyoni58083 ай бұрын
Nchi haiwezi kwenda na kufikia kilele cha maendeleo kwa kuuzuia ukweli utakaoisaidia kas ya maedelei ya kweli ya watu na Taifa kwa ujumla.
@amosnjiaapostle3 ай бұрын
Mpina akutolewa na Samia kwenye uwaziri kwa hiyo anachokisimamia mpina ni Uzalendo maana nchi hii inaibiwa sana,
@mjemamjema96953 ай бұрын
ATOKE TU HUKO MAANA TUMEWACHOKA CCM
@stephanshedura3 ай бұрын
Watu kama mpina wanatakiwa
@PartySekemi3 ай бұрын
Mpina shikamoo na uchukue fomu la urais 2025 ili waone nguvu ya mpina kisiasa
@ROBERTMGOGOSI3 ай бұрын
Nina uhakika Mpina Akichukua Form ya Uraisi Samia haoni ndani na akapumnzike tuu Mpina ni kichwa konki wewe unakionaje? Mimi siyo mwana ccm ila mpina akichukua Form ya uraisi kura yangu nitampigia ila Samia zero kabisa
@frankcharles39803 ай бұрын
WATANGAZAJI WALIO LAMBA ASARI UNAWAONA TU HATA WANAVYO ONGEA
@alisalimo28613 ай бұрын
mpina nayeye sialikua wazir vipi kwani😢😢😢😢
@rehemakimungu64943 ай бұрын
Sasa jamani kama kaleta ushahid uliokubalika shida nini?
@LushugembeMboje3 ай бұрын
Mpina ni wahivyo tangu 2005 wakati wa jk yeye ni mbunge mwenye msimamo tu. Si leo
@MohamedBlanker-jw9qy3 ай бұрын
Mon mzalendo
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Tanzania tuna shida kubwa. Watu wenye madaraka hawachukuliwi hatuwa wakifanya makosa. Bila watu kama Mpina Tanzania haitaendelea. Wahujumu uchumi, hawaguswi wala kushitakiwa. Tanzania ni ya watanzania wote. Wanaofanya makosa kwa kuitia hasara nchi hawachukuliwi hatuwa. Wenye kuchukuliwa hatuwa ni wale wanaosema ukweli.
@DrLachi193 ай бұрын
Mchambuzi wa maswala ya kisiasa bwana Charles William mwamba kabisa namkubali sana huyu jamaa. Hua anafatilia mambo kwa undani zaidi
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Mpinahana lisa wewe
@charlesrwabutaza25513 ай бұрын
Ccm ni chama chenye mbinu nyingi,mnaweza kuona Mpina anakigawa chama kumbe ndo anajenga chama,Mpina anatengeneza mazingira ya kukubarka kutoka upinzani na chama chake
@AbelJohn-tx4in3 ай бұрын
Mpina asingeita press, spika angeizima hiyo hoja juu kwa juu, tunawafahamu hawa ccm wanalindana sana
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Watanzania wana haki ya kujuwa kinachoendele. Watanzania wana haki ya kujuwa mali zawo zinatumiwa namna gani. Mpina hana kosa kabisa. Tanzania ukiwa mukweli na mtetetezi wa haki basi unachukiwa. Hakuna mtu asiyejuwa Makamba sio mwaminifu, kaupata uwaziri sio kwa sifa bali kwa baba yake kumuomba Samia ampe kazi mwanaye naye ale asari. Na kweli asari anakula. CCM awape uhuru wabunge waseme ukweli na wasizibwe midomo. Mbunge Alisema ukweli anaambiwe akae kimya. Faida gani kuwa mbunge? Mbunge Slaa alipelekwa kwenye kikawo kwa kusema ukweli. Polepole naye alishambuliwa na kutupwa Malawi kwa kusema ukweli. Mpina bungeni hapewi nafasi nzuri. Mała nyingi huingiliwa sana nyingine hunyamazishwa.
@FrankasamisyeMwaiswasu3 ай бұрын
Mpina Yuko Sawa kabisa raisi aliteua mawaziri majizi
@abelnyoni58083 ай бұрын
Tunataka kuliona bunge lililojaa uzalendo wa Mpina na Hayati Deo Philikunjombe. Huyo ni kivuli cha Deo Philikunjombe.
@victorkisenha59333 ай бұрын
Mpina ni mbuge anaejitambua, sisi tunamuelewa,
@marandoruzali19463 ай бұрын
Mpina chuma cha reli mzee wa hoja za msingi jasiri na mzalendo wa kweli
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Wanaosema Mpina anafaya vibaya niwale wezi kama bash ,lakini wenyekuipenda nchi na wazalendo wataungana na Mpina
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Mpina we suport you. Tunajuwa waziri Bashe mjanja. Kawafunika macho viongozi wote kwa kizungu cha Kenya.
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Tuko bega kwa bega na mpina mtetezi wetu sisi wananchi
@AthumanDauda3 ай бұрын
Spika tulia asingeweza kuutoa huo ushaid Bali angeridample ushaid huo mpina Yuko vzr xn maana bungen ndo mbunge mwenye mipango ya kuielekeza serkali ifanye kz nk namwingine na aida kenani waliobakia wapo sbb niwabunge nk
@deocresmodest61483 ай бұрын
Matamshi ya mpina yanamsaindia rais awajue vizuli watendaji wake na ndicho alichotumwa na spika nakama amemkera amsamee kwasababu ata sisi wananchi tunawabunge wakusemea atakama niwachama kimoja chakufanya waache kumlinda mtu wakilinde chama bado tunaimani nacho
@MalandoJilala3 ай бұрын
Wtz wote tunasubiri hili jambo linawekwaje tuone kama kweli kuna viongoz wazalendo wasema kweli kama magufuli
@luganomosesmwalaba10843 ай бұрын
Zungu na Shahid wa jamhuri nawakubali
@anthonymandia-j6w3 ай бұрын
Mpina na wengine ndani ya Bunge msirudi nyuma. Walio wengi - the majority wanafuatilia kwa makini. Watanganyika msaidieni Wakina Mpina.
@usembiphonedar56323 ай бұрын
Mpina yuko sahihi ila hao mashetani wa kijani hawapendi ukweli! Mpina aendelee na mapambano hayo aliyoanzisha hata wamfungie kutohudhuria vikao 15 vya Bunge-Mungu anamwandalia nafasi nyingine nzuri na kubwa zaidi katika uongozi wa Taifa hili! Mungu amlinde. Mpina amkinge na mipango yote ya waovu! Ameni 🙏
Sio wananchi wakawaida wanaompenda au upinzani bali ni watu maskini, kila siku gharama za maisha zipo juu,
@frankpeter41783 ай бұрын
Yaani CCM badala ya kuisaidia nchi kwenye changamoto hii ya sukari wamejikuta wakimfanya Mpina kuwa Shujaaa...!
@FrankTemba-c6g3 ай бұрын
Mpina yuko sawa kabisa angalia leo spika anamwoliza bashe sukari nchi jirani ni shilingi ngapi bashe ajui bei yeye kaagiza sukari brazil bila kujua malawi wanauza bei gani pili amewapa watu tenda bila kujua kama wana uzoefu wa sukari bashe afai hata kidogo japo kuna watu wanamtetea
@raphaelondego77033 ай бұрын
Mpina si ubunge agombee tu urais ametosha na amekamilika, nyerere alisema mtu anaweza kutoka ccm akawa rais, so mpina atashinda.🎉
@MnarikaMathias2 ай бұрын
Mpina yupo sawa hii nchi inapigwa sana ndg zangu huyu mshomali anajipanga urais ushauli wangu angombee urais 2025 maana nimtanganyika harari
@OscarKasalile-u4k3 ай бұрын
wewe zungu nimekupenda sanaaa kwa kusema boss.
@JushuaBugali3 ай бұрын
Ilajaman kweri mam amebebeshwa gunia LA misumali atayaweza majambawazi ya nchi hii anapelekwapelekwa tuu
@JustineKileo3 ай бұрын
Mm naona kama ccm inataka kumzima mpina, isipambane naye anakwaana nakumpa adhabu mbalimbali, ilikumzi mpina imrudishe kwenye uwaziri.
@HAJIJUMAA2 ай бұрын
Zungu mtangazaji kwanza nikusifu sauti ipo safi namna unavohoji na pili huulizi maswali kichochezi
@chandeyusufu95703 ай бұрын
Ccm wamezoea kulindana ukiwa mkweli unaonekana mbaya sana ila sisi watu wa hali ya chini tunamkubali sana mpina kuliko hao mawaziri wezi t
@FrankTemba-c6g3 ай бұрын
Kama kifo cha magufuli alisema ufanyike uchunguzi alikuwa sahihi kabisa sema ccm wana matatizo sana
@LazaroMwakasege-bh5en3 ай бұрын
Majinga namajizi ndiyo yanayo mchukia mpina
@bakermusa90333 ай бұрын
Tumabakia na mbunge mmoja tuuu Mpina wengine ni wezi wa rasilimali za nchi
@PhilkevinFelix3 ай бұрын
Kutokana na uchambuzi wa huyo mchambuzi kulalia upande fulani ingekuwa vizuri tuwe na mihimili minne: Bunge, Serikali, Mahakama na Wananchi. Katiba mpya itupe wananchi mhimili wetu katika ukuu wetu tunaostahili.
@dilludillu27473 ай бұрын
Bonge la hoja
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Sawa sawa
@RaphaelElikana3 ай бұрын
Mpina anafanyakazi za kibunge na tunajifunza mengi sana kupitia mbunge huyo makini Mpina
@Jean-marieNiyonzima-f3e3 ай бұрын
Dugu zungu napenda uchambuzi wako naunavyo tangaza napendasana
@PeterJonathan-c8k3 ай бұрын
Asipoteze muda, aje chadema, mbona ccm watakoma!
@victorphilipo3 ай бұрын
Mpina kaaa c cm humohumo uturetee madudu ya mawazoli
@saidkhamismasai12043 ай бұрын
Wabunge vilaza na spika kilaza ,Mpina yukosahihi sana
@RamaKimbeu-tw4po3 ай бұрын
HIVI MBONA HUONGEI.KAMA KITENDO ALICHOFANYA KWA SPKA KIKO SAWA AU SIO SAWA
@JustineKileo3 ай бұрын
Alichofanya spika, dhidi ya mpina, ni jukumu lakisheria, Kwan makosa ya mpina yapo katika namna ya uwasilishaji wake.
@Mima-cl2im3 ай бұрын
Mpina hana kosa kwa kusema ukweli. Yuko bungeni kuwatumikia watanzania na sio chama. Vyama vyetu vya siasa hakuna demokrasia. Ni kuziba watu midomo wasiseme ukweli. Ukitaka kupona lazima ujiunge na walają wanaowadhulumu wengi. Wabunge wanatakiwa kusimamia haki za wanaowakilisha na sio kunyamazishwa. Munasema tuchunge amani yetu, bila ya haki amani ni vigumu kuichunga. Jęła zetu zimejaa wanyonge, viongozi wahujumu uchumi, anakose widhara moja na Rais anakuwa chura kiziwi. Hayo ni mateso kwa watanzania. . .
@eliakazilo60783 ай бұрын
Mpina hawezi kufukuzwa,Wala kuhama ccm.kwa sababu Ni kada wa ccm.na anaongea UKWELI.na kumfukuza Mpina Ni kupoteza jimbo.lazima ccm ijiulize,kwa Nini hayA yanatokea.
@raphaelondego77033 ай бұрын
"Mpina beat them at their own game." Mwl. Nyerere alisema "WAKATI NI HUU", Mpina "fear-not",.
@frankcharles39803 ай бұрын
WATANGAZAJI MAMRUKI WANAOTUMIKA NDO KAMA HAWA
@abdulkhalmabdalla1483 ай бұрын
Kwan kunashida gan mbona hamleti muendelezo wa shee ponda
@day2newsTV3 ай бұрын
Hello, Ahsante kwa kutufuatilia. Mwendelezo wa story ya Sheikh Ponda Issa Ponda utakua hewani kuanzia kesho mchana.
@abdulkhalmabdalla1483 ай бұрын
Ndomana napenda kuwafuatilia kazi nzur
@JumaAbdalla-xm9pb3 ай бұрын
Na wasipompa mpina kugombea tena ubenge wakikishe ilo jimbo ndio wanalikosa kabisa na mwisho watalichukua upinzani
@hemedbamja31973 ай бұрын
Niwakumbushe tu, jimbo hilo hilo la kisesa lilikuwa chini ya chadema, Erasto Tumbo. Mpina ndiye alimshinda Tumbo wa chadema
@selemaniigosha3 ай бұрын
UDP sio CHADEMA
@AbelJohn-tx4in3 ай бұрын
Mpina hamia chadema, achana na hiyo mijizi, kazi yao ni kulindana tu
@OmmyJames-xn7ji3 ай бұрын
SAFI WAPOKEENI HALAFU BAADAE MULIE WATU WA RUZUKU 😢😢😢😢😢😢
@yahayaramadhani64183 ай бұрын
Supika usimkandamize mpina utapata dhambi kubwa sana msimzibe mdomo acheni aseme, kwanini mnamtetea Bashe? Nia yenu wakati wa Uchaguzi mkate jina?
Msema ukweli sikuzote huonekana mbaya tu Kila akisema ukweli anaonekana mbaya tu 😊😂😂😂
@FredrickFilbert3 ай бұрын
Ni kweli jimbo la Mh. Mpina wamepakana na jimbo alilokuwa anaongoza Mh. John Momose Cheyo, wale tuliosoma Cuba tunajua kwa nini Mh. Mpina anahoja zenye hoja
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Kama alingoleewa kipindi cha Magufuli mbona Mwigulu alitolewa hayo ni ya kawaida tena wengi tu walitolewa January makamba Nape na wengineo kwa mama wakarudishwa muacheni Mpina aikisoe Ccm katiba inasemaje Kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi
@francismasanja-y4s3 ай бұрын
Hoja za mpina zisikilizwe na kama wakizipuuza madhara yake ni makubwa zaidi.sasa acha hebu tuache inyeshe tuone panapo vuja.
@tuntufyemwaitebeleАй бұрын
Hawa wa Kanda ya ziwa Wana kitu kwakweli
@JushuaBugali3 ай бұрын
Ilajaman kweri mam amebebeshwa gunia LA misumali atayaweza majambawazi ya nchi hii anapelekwapelekwa tuu
@yahayaramadhani64183 ай бұрын
Mpina ni Jembe sana, Bashe aondolewe kwenye Wizara awe mbunge wakawaida tu anatunyonya sana.
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Watu wengi tu huku Kanda ya ziwa Sasa wanajiunga na upinzani ,sababu,Nia,uwezo,ukoloni ukoloni ukoloni mpya
@MohamedMfuu3 ай бұрын
joo upinzani mpina ww nijembe
@janiafaomaa51203 ай бұрын
MPINA AEDETU UPIZANI WALIKWEDA KINA LUWASA WAKATI CHADEMA INANGUVU SASA HIVI HAINA MPAGO
@EdwardKwiyanga3 ай бұрын
Tunaomba kamati ya bunge iliangalia Kwa haki na unyenyekevu na Wala sio Kwa mamlaka TU kwa7bb hoja hujibiwa Kwa hoja
@FredrickFilbert3 ай бұрын
Uko sahihi kabisa, Mpina alitolewa na Hayati Magufuli. Mpina anahoji mambo muhimu kwa maslahi ya Wananchi kwa sababu hoja zake zina hoja
@BraytonMwakitalima3 ай бұрын
Duuu Ako kajamaaa sio kachambuzi Nika kada kaaa ccm kapo wasafi nakajua hakapendi wapinzani
@KisigeraKisigera3 ай бұрын
Mpina yuko vizuli sana
@JohnKisiri3 ай бұрын
Mpina jembe kulingana na experience anayo bungeni anajua ubunge ni nini na democracy sio kulala bungeni
@daudimaembe33603 ай бұрын
Ndiyo hapo ujue kwamba siyo lazima uwe upinzani ndipo ukosoe serikali
@mariaanthoniangowi93763 ай бұрын
Vipi chama vinho akitaka atingia Mpina nijabali MUNGU atampigania Jemedara WA watu wake