Daaaah simba kweli viongozi ni wanasiasa wanampiga mo hela halafu wanakuwa na maneno mengii Apo hamna mchezaji
@frankurio4699 ай бұрын
Wazee wa misumari tulishawajuwa, kaeni mbali, this time around tusije tukalaumiana, the God we serve is greater than you
@JaguarJR-s7p8 ай бұрын
Amna ki2 uyo aka chere geitaaa gold huko
@BakariNassoro-k2l9 ай бұрын
Hii nchii hii
@Khadijasalumu069 ай бұрын
Hamna mchezaji hapa
@idrisa5989 ай бұрын
Mchezaj mzur akipata mwalimu
@khalfanmasoud15149 ай бұрын
Hamna kitu mangungu na try again washampiga tena mo dewji
@godfreyjohn6519 ай бұрын
Kila nikianglaia skilis za huyu mchezaji majiuliza magol 14 kayafungaje ikiwa mambo ndo hayai
@hemedbamja31979 ай бұрын
Labda hukuwahi kumshudia mtu anaitwa Joseph Kaniki.mbali na chenga moja ya kuzunguka na mpira kwa kumpa beki mgongo hakuwa na mambo mengi,lakini ndiye alikuwa kinara wa mabao wa iliyoitwa "Simba dozi".kufunga si lazima skills nyingi
@anastazimichaelmbua15599 ай бұрын
@@hemedbamja3197 😂😂😂tatizo wanataka waone chenga kama za akina Cr7 ndo waone kuwa ni striker mzuri. Waangalie hata Haaland ana maajabu gani ya skills ,zaidi ya kutupia mpira wavuni tuu.
@LastbornwaMungu7529 ай бұрын
Mbn sioni goli, naona kosa kosa,,,, kuna mahali simba tunapigwa
@SuzanKameta9 ай бұрын
Mmmmh ngoja tuone mi pia sjamuelewa
@gibsonjosephat63529 ай бұрын
Mbona muoga kuweka mguu kwa beki zetu za mguu wa roho mguu wa shingo hapati Gori.
@felixmollel41708 ай бұрын
Sajili za kitapeli episode 😅😅😅😅
@ATHMANIHASSANI9 ай бұрын
Huyu Mwamba Hana utofauti Na Rusajo wa NAMUNGO
@estonsaimon66719 ай бұрын
Kumbe umemuona eeh,,mi pia namuona wa kawaida sana aisee
@SalvatoryMilinga9 ай бұрын
Tumepigwa
@barakamartine24529 ай бұрын
Hapa sio kupigwa tu, Bali tumeliwa
@mrutu9 ай бұрын
Mletewako
@Jerryminenewtony-fc5cp9 ай бұрын
Huyu mbaba anacheza rafu hatari kwani dirisha kubwa la usajiri lini jamani huyo anatakiwa miezi mi3 kusajiriwa ka mahindi
@stevenhyagila69749 ай бұрын
hamna kitu hapa 😁😁😁
@ErnestStephano-b3g9 ай бұрын
Mm simba ila huyu nameona kama konkon wa yanga
@elishakayagwa93719 ай бұрын
😂😂😂😂
@Ytoaszm9 ай бұрын
Ilo nalo neno
@twalbuhaji3 ай бұрын
Hamna kitu tukubali tumepigwa apa
@kadewelejosef43199 ай бұрын
Huo uwanja kama wa manungu! Inaoneka akiwa kwenye carpet ni nowma
@hannafingomero50079 ай бұрын
Hamna kitu apo
@MichaelVicent-k7h9 ай бұрын
Mchezaji mzuli tyuuuu
@amirymsati24919 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SkullF-yi7zi9 ай бұрын
yaan hiz ndo skills amna shughul apo
@mwesi5278 ай бұрын
KZbin kama TBC tyuu hata uto wanaruhusia kutoa maoni
@moha11002 ай бұрын
Mtmnykch hada yl3b 3dna
@chinwuuuuuuuuiii88892 ай бұрын
Wlh t9ol abdelhafid
@FrankKaniugu9 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@deleejn51289 ай бұрын
Huyu aliyetengeneza hii ni uto katafuta zile anazokosakosa ndo akaweka,kila mchezaji hakosi vitu kama hivyo sio kila wakati unafunga tuu😂😂