Huyu ndiye alikuwa mmiliki wa Ghetto Langu aliloliimba Ngwair, asimulia walivyoishi pamoja!

  Рет қаралды 12,974

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 50
@contempo_builders
@contempo_builders 3 ай бұрын
Huku Makole Hexagon wakina BUSHOKE halafu kule DLF wakina Voice Wonder. Dom ilikuwa yamoto sana pale NK Disco. Enzi hizo kina Chamber squad wameshapiga step kubwa. Daah enzi ingekuwa inajirudia aseeh.... Wakina Msabaha mtoto wa Shehee, Dom ilikuwa HOOOOOOT.
@brianbrayoo1590
@brianbrayoo1590 3 ай бұрын
Voice Wonder kumbe ni Dom product??? okay...
@topselaz6366
@topselaz6366 3 ай бұрын
Nomaaaaaa
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 3 ай бұрын
Memories , NK kama NK Club
@alexruhigi
@alexruhigi 3 ай бұрын
Kwa hio NK ilikua bonge la Club back then
@BongoZaKitambo55
@BongoZaKitambo55 3 ай бұрын
Asilimia kubwa wasanii wa zamani wengi walitokea shule au walianza harakati shuleni ndio wakaingia rasmi kwenye muziki. Big up sana kwa interview hii.
@PeterJohnRukiko
@PeterJohnRukiko 3 ай бұрын
Huyo Gsan ndo rapper Mtanzania Pekee kuwepo kwenye BET Hiphop Cypher 2009 akiwa na marehem Nipsey hussle akiwa Rookie,wale wa MMG na KRS one 💯💯💯
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 ай бұрын
Ninafasi ambayo Mungu aliishaiandaa, Yani ilikuwa lazima itokeee alishapitisha.
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 3 ай бұрын
ACCORDING TO THE STORY UKIMSIKILIZA VIZURI INTERVIEW UTAGUNDUA Ngwair Ni Kipaji Kikubwa Sana Ambacho Mwenyezi Mungu Ameamua Ampumzishe Na Husda Za Binadam
@davidlaiser8174
@davidlaiser8174 3 ай бұрын
Sky naona kila mtu anamuongelea Albert Mangwea.Nakushauri wote kushirikiana na kuandaa documentery yake na wote wakawepo ndani isije ikatoka ya Bongo records peke yake.
@davidhudson9194
@davidhudson9194 3 ай бұрын
Wakianda documentary ya ngwair kama ile ya BIG itakuwa kitu poa sana
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 3 ай бұрын
Jamaa mzuri sana kwenye kusimulia, ana kumbukumbu za vitu vidogovidogo kama bei za kupiga simu imenikumbusha mbali sana nikiwa sengerema sekondari. Nimefurahi sana kwa interview hii, imesimulia background ya vitu vingi sana adimu kuvijua Jamaa kampa maua yake ngwea ya kutosha na kamuelezea kwa uzuri sana. Aitwe tena muda ukiruhusu.
@IddoMbogo-c2u
@IddoMbogo-c2u 3 ай бұрын
Sanaaaa
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 ай бұрын
Zamani wasanii walitokea skuli...wengi walitokea Skuli aisee. Kitabu muhimu
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 3 ай бұрын
Hakuna kama ngwair ktk hiphop Tanzania nzima
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 3 ай бұрын
This man anajua kusimulia vizuri. Much love and R.I.P the genius ngwair.
@DurahRich
@DurahRich 3 ай бұрын
Sema kwa enzi zao gheto la jamaa lilikua kali mno sema Albert aliiongezea kinyamwezi zaidi. Jamaa kastory vizuri mno sijaskip hata sekunde, heshima kwake broh kwa kutuletea story za mziki wa enzi hizo.
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 ай бұрын
Nostalgia 😔. Damn it 😫😫
@nakamsilikasi3310
@nakamsilikasi3310 2 ай бұрын
Aah sky walker unanikumbusha wayback weekend fever na showtime pale rfa. Mzee wa kopo za hatar hiyo 2003 -2006
@silverman6930
@silverman6930 3 ай бұрын
Such an excellent story teller my guy big .: I’m so indulge in this convo .. very refreshing.: thanks all. Sns such a great channel 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👊👊👊
@prosperkiria6383
@prosperkiria6383 3 ай бұрын
Hii nyimbo naikubali mpaka leo
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 ай бұрын
Mwaka 2000 nilikuwa ninasimu ya mkononi ilikuwa inaitwa Panasonic inamlio wa treni. Lakini nilikuwa form 1, lakini pia nilikuwa nina simu hiyo walimu na wanafunzi hawakuwanayo, lakini pia ilisababisha nichapwe sana viboko mpaka nikaamua kuachananayo.
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 ай бұрын
DaH! Makole Hexagon
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 ай бұрын
Good interview... RIP Mangwair
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 28 күн бұрын
Ngwair nilianza kumsikiliza nikiwa mdogo shule ya msingi...msiba wake niliumia sana.Sijawahi mpaka leo kuamini kama tanzania hii kutapata kuwa na msanii kama ngwair..Na mwenyewe aliwahi kuimba katika mistari yake kuwa na hata akifa leo pengo lake halina spair...
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 Ай бұрын
Story moja nzuri sana
@gambajunior138
@gambajunior138 3 ай бұрын
Asubuhi tunaibuka zetu mitaa ya chaga bite tunapata supu na chapati. Mchana tunaagiza ugali mkubwa na samaki/Baadae graveyard kupata nyasi.. "Hapo Ngwea kachana maisha ambayo kayaishi utagundua maisha halisi Yana make sense Sana kwenye uandishi kisanaa ✅✅✅
@GideonLesilwa
@GideonLesilwa 2 ай бұрын
When music was music!!
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 Ай бұрын
Jamaa nae anaonekana genius sana, maana akitaja Jina la mtu anaweka na story yake kitu poa sana
@DurahRich
@DurahRich 3 ай бұрын
High school ndio kuna uvumbuzi wa vipaji vingi. Enzi hizo hawa jamaa walizingatia kweli kweli coz inaonyesha walikua BRAINERS sana🫡🫡🫡👏🏾
@imogimasta9077
@imogimasta9077 3 ай бұрын
NGWEA KATIKA AHADI ZA BOSS ALIFANYA CHORUS NA VESI YA MWISHO
@elianyigu5500
@elianyigu5500 3 ай бұрын
Hatari saaana
@geniusplus8586
@geniusplus8586 3 ай бұрын
Kimsingi hapo sudani haikuwa kimsitu per se. Ila lilikuwa bonde fulani hivi, wana walikuwa wanapatumia kurefresh na kuvuta wida.
@priscajube4239
@priscajube4239 3 ай бұрын
Festo ndalu wa dom Sec namjua.
@ustrashidsalimtz9316
@ustrashidsalimtz9316 3 ай бұрын
Sisi tulikuwa watoto wa mtaa huo ila Bibi Dj kafariki nwaka huu, kitambo sana yani😊
@gabonwashington3032
@gabonwashington3032 3 ай бұрын
Story nzuri sana
@yusufushabani691
@yusufushabani691 3 ай бұрын
BYC aiseh Sangaya RIP, na wenzake pale N.K na TIGER kulikuwa hapatoshi
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 3 ай бұрын
Abdul amran badoga chadunga ❤
@samnyambabe2529
@samnyambabe2529 3 ай бұрын
Sema wasanii wengi wa zamani walikuwa maginiaz sana, kuanzia darasani maana kiukwel kwa elimu ya kitambo hicho mtu kutusua kwenda Five ni sawa na sasa mtu kutusua kwenda chuo kikuu haikuwa kazi rahisi na jamaa wote walikuwa wanapg shule vzr
@SelemaniYahaya-v3w
@SelemaniYahaya-v3w 14 күн бұрын
Babu anafunguka real kutka kwa moyo
@snawtasnota6708
@snawtasnota6708 3 ай бұрын
Mbona mm nimeku dm na simu nakupigia haujawahi kupokea??????????
@geniusplus8586
@geniusplus8586 3 ай бұрын
Lakini kuna kitu hapa hakiko sawa. Mo alisema huu wimbo wa geto langu ulikuwa wa huyu mwana mwanzo-mwisho, hata pesa ya kuurekodi majani aliwarudishia kesho yake.. Lakini huyu mwamba amekuja na stori tofauti kabisa.. Inabidi atafutwe majani aje kutuweka sawa.
@samwelmasssawe1767
@samwelmasssawe1767 3 ай бұрын
Inawezekana pesa ilirudi ila mwana akafanyia matumizi mengine, si unajua tena bata boy
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 3 ай бұрын
Nomaaa sanaa
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 3 ай бұрын
Yeah home boy East zoo Dom ❤
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 ай бұрын
tafadhali tutafutie na Nourah nasikia anauza spare shinyanga
@LetdiscussBusiness
@LetdiscussBusiness 3 ай бұрын
Mangwair is the goat asey
@cornellmallya4455
@cornellmallya4455 3 ай бұрын
Naomba ninyaze ila huyu jamaa ni cloud chesar. Sky don't fall for this rubbish. Umaarufu bongo ni bei ya gengeni
@DavidVenance-k4v
@DavidVenance-k4v 3 ай бұрын
shule kubwa
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 3 ай бұрын
Dogs chata
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 36 МЛН
AI for Everyone: Real Talk with Sudharsan from Buddi AI
1:46:54
Arun Prakash
Рет қаралды 7 М.
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 29 М.
How To Crush The Limitations Of Your Mind - Dr Joe Dispenza (4K)
2:47:19
Chris Williamson
Рет қаралды 1,6 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33