Huku Makole Hexagon wakina BUSHOKE halafu kule DLF wakina Voice Wonder. Dom ilikuwa yamoto sana pale NK Disco. Enzi hizo kina Chamber squad wameshapiga step kubwa. Daah enzi ingekuwa inajirudia aseeh.... Wakina Msabaha mtoto wa Shehee, Dom ilikuwa HOOOOOOT.
@brianbrayoo15903 ай бұрын
Voice Wonder kumbe ni Dom product??? okay...
@topselaz63663 ай бұрын
Nomaaaaaa
@gilbertkalanda93543 ай бұрын
Memories , NK kama NK Club
@alexruhigi3 ай бұрын
Kwa hio NK ilikua bonge la Club back then
@BongoZaKitambo553 ай бұрын
Asilimia kubwa wasanii wa zamani wengi walitokea shule au walianza harakati shuleni ndio wakaingia rasmi kwenye muziki. Big up sana kwa interview hii.
@PeterJohnRukiko3 ай бұрын
Huyo Gsan ndo rapper Mtanzania Pekee kuwepo kwenye BET Hiphop Cypher 2009 akiwa na marehem Nipsey hussle akiwa Rookie,wale wa MMG na KRS one 💯💯💯
@beatbyrich28913 ай бұрын
Ninafasi ambayo Mungu aliishaiandaa, Yani ilikuwa lazima itokeee alishapitisha.
@ibni_H2TL6r3 ай бұрын
ACCORDING TO THE STORY UKIMSIKILIZA VIZURI INTERVIEW UTAGUNDUA Ngwair Ni Kipaji Kikubwa Sana Ambacho Mwenyezi Mungu Ameamua Ampumzishe Na Husda Za Binadam
@davidlaiser81743 ай бұрын
Sky naona kila mtu anamuongelea Albert Mangwea.Nakushauri wote kushirikiana na kuandaa documentery yake na wote wakawepo ndani isije ikatoka ya Bongo records peke yake.
@davidhudson91943 ай бұрын
Wakianda documentary ya ngwair kama ile ya BIG itakuwa kitu poa sana
@ubuntubantu24043 ай бұрын
Jamaa mzuri sana kwenye kusimulia, ana kumbukumbu za vitu vidogovidogo kama bei za kupiga simu imenikumbusha mbali sana nikiwa sengerema sekondari. Nimefurahi sana kwa interview hii, imesimulia background ya vitu vingi sana adimu kuvijua Jamaa kampa maua yake ngwea ya kutosha na kamuelezea kwa uzuri sana. Aitwe tena muda ukiruhusu.
@IddoMbogo-c2u3 ай бұрын
Sanaaaa
@shabanibussara84543 ай бұрын
Zamani wasanii walitokea skuli...wengi walitokea Skuli aisee. Kitabu muhimu
@jacksonmsendo34783 ай бұрын
Hakuna kama ngwair ktk hiphop Tanzania nzima
@phantyrhymes95363 ай бұрын
This man anajua kusimulia vizuri. Much love and R.I.P the genius ngwair.
@DurahRich3 ай бұрын
Sema kwa enzi zao gheto la jamaa lilikua kali mno sema Albert aliiongezea kinyamwezi zaidi. Jamaa kastory vizuri mno sijaskip hata sekunde, heshima kwake broh kwa kutuletea story za mziki wa enzi hizo.
@shabanibussara84543 ай бұрын
Nostalgia 😔. Damn it 😫😫
@nakamsilikasi33102 ай бұрын
Aah sky walker unanikumbusha wayback weekend fever na showtime pale rfa. Mzee wa kopo za hatar hiyo 2003 -2006
@silverman69303 ай бұрын
Such an excellent story teller my guy big .: I’m so indulge in this convo .. very refreshing.: thanks all. Sns such a great channel 🏴🏴🏴👊👊👊
@prosperkiria63833 ай бұрын
Hii nyimbo naikubali mpaka leo
@beatbyrich28913 ай бұрын
Mwaka 2000 nilikuwa ninasimu ya mkononi ilikuwa inaitwa Panasonic inamlio wa treni. Lakini nilikuwa form 1, lakini pia nilikuwa nina simu hiyo walimu na wanafunzi hawakuwanayo, lakini pia ilisababisha nichapwe sana viboko mpaka nikaamua kuachananayo.
@shabanibussara84543 ай бұрын
DaH! Makole Hexagon
@tahirnephessalum36783 ай бұрын
Good interview... RIP Mangwair
@diwanikatayankonko267128 күн бұрын
Ngwair nilianza kumsikiliza nikiwa mdogo shule ya msingi...msiba wake niliumia sana.Sijawahi mpaka leo kuamini kama tanzania hii kutapata kuwa na msanii kama ngwair..Na mwenyewe aliwahi kuimba katika mistari yake kuwa na hata akifa leo pengo lake halina spair...
@daudimwidimakihanda5386Ай бұрын
Story moja nzuri sana
@gambajunior1383 ай бұрын
Asubuhi tunaibuka zetu mitaa ya chaga bite tunapata supu na chapati. Mchana tunaagiza ugali mkubwa na samaki/Baadae graveyard kupata nyasi.. "Hapo Ngwea kachana maisha ambayo kayaishi utagundua maisha halisi Yana make sense Sana kwenye uandishi kisanaa ✅✅✅
@GideonLesilwa2 ай бұрын
When music was music!!
@daudimwidimakihanda5386Ай бұрын
Jamaa nae anaonekana genius sana, maana akitaja Jina la mtu anaweka na story yake kitu poa sana
@DurahRich3 ай бұрын
High school ndio kuna uvumbuzi wa vipaji vingi. Enzi hizo hawa jamaa walizingatia kweli kweli coz inaonyesha walikua BRAINERS sana🫡🫡🫡👏🏾
@imogimasta90773 ай бұрын
NGWEA KATIKA AHADI ZA BOSS ALIFANYA CHORUS NA VESI YA MWISHO
@elianyigu55003 ай бұрын
Hatari saaana
@geniusplus85863 ай бұрын
Kimsingi hapo sudani haikuwa kimsitu per se. Ila lilikuwa bonde fulani hivi, wana walikuwa wanapatumia kurefresh na kuvuta wida.
@priscajube42393 ай бұрын
Festo ndalu wa dom Sec namjua.
@ustrashidsalimtz93163 ай бұрын
Sisi tulikuwa watoto wa mtaa huo ila Bibi Dj kafariki nwaka huu, kitambo sana yani😊
@gabonwashington30323 ай бұрын
Story nzuri sana
@yusufushabani6913 ай бұрын
BYC aiseh Sangaya RIP, na wenzake pale N.K na TIGER kulikuwa hapatoshi
@josephkavindi36663 ай бұрын
Abdul amran badoga chadunga ❤
@samnyambabe25293 ай бұрын
Sema wasanii wengi wa zamani walikuwa maginiaz sana, kuanzia darasani maana kiukwel kwa elimu ya kitambo hicho mtu kutusua kwenda Five ni sawa na sasa mtu kutusua kwenda chuo kikuu haikuwa kazi rahisi na jamaa wote walikuwa wanapg shule vzr
@SelemaniYahaya-v3w14 күн бұрын
Babu anafunguka real kutka kwa moyo
@snawtasnota67083 ай бұрын
Mbona mm nimeku dm na simu nakupigia haujawahi kupokea??????????
@geniusplus85863 ай бұрын
Lakini kuna kitu hapa hakiko sawa. Mo alisema huu wimbo wa geto langu ulikuwa wa huyu mwana mwanzo-mwisho, hata pesa ya kuurekodi majani aliwarudishia kesho yake.. Lakini huyu mwamba amekuja na stori tofauti kabisa.. Inabidi atafutwe majani aje kutuweka sawa.
@samwelmasssawe17673 ай бұрын
Inawezekana pesa ilirudi ila mwana akafanyia matumizi mengine, si unajua tena bata boy
@paschalsafari97473 ай бұрын
Nomaaa sanaa
@josephkavindi36663 ай бұрын
Yeah home boy East zoo Dom ❤
@tahirnephessalum36783 ай бұрын
tafadhali tutafutie na Nourah nasikia anauza spare shinyanga
@LetdiscussBusiness3 ай бұрын
Mangwair is the goat asey
@cornellmallya44553 ай бұрын
Naomba ninyaze ila huyu jamaa ni cloud chesar. Sky don't fall for this rubbish. Umaarufu bongo ni bei ya gengeni