famous ndio ngoma yangu bola ya muda wote alafu jay moe ndio msanii namsikiza bongo alafu kuna hii bosskazi kaitendea aki sana na nyengine mbili yupo na yule dogo country wiz noma sana bila kusaau pesa madafu 🫡
@hamiszali14343 ай бұрын
Umezaliwa mwaka gan mpka unasema jmoe nyimbo yako pendwa na ile ya country boy,,umewah kusikia cheza kwa step..stor3,mvua na jua,,,
@starjay30523 ай бұрын
@@hamiszali1434 umeelewa nilichokiandika ebusoma tena
@salomewandya72573 ай бұрын
Jaymoe ftJackline mengi Nikipata wangu❤❤❤❤🔥🔥
@abdalamhamed35863 ай бұрын
Bongo ngoma ile
@stuartikonko19413 ай бұрын
Verteller, StoryTeller wa muda wote
@elvisrugims82983 ай бұрын
Interview imesimama sana, Sijawahi kusikiliza Interview ya J.mo nikafurahi kiasi hiki mbali na kwamba jamaa namfuatilia tangu ameingia kwenye Game.
@drisakamwakitalima19373 ай бұрын
Jaymoe niko na wewe mpaka kieleweke, much love brother
@efronaaron67723 ай бұрын
Huwa namkubali Jaymoe mpaka sio poa😃😃
@chiddoog80092 ай бұрын
1 thing I never knew about jMo kua he's very smart kichwani nimekua nikipenda na kuelewa ngoma zake since day 1 ila kupitia hii interview nampa 100 kabisa yuko na facts tupu sio mtu wa kukurupuka 🙌
@WADAUcontentMEDIA3 ай бұрын
Vipi MAISHA YA BOARDING bonge la ngoma ❤
@economistshillajr.13173 ай бұрын
Hongera Jay Moe!!! Tunaomba utaratibu wa Pre order ya FALL album
@alimwinyi59963 ай бұрын
29.04 chid beenz needs to hear this...quit complaining!! big up Mo Techniques
@guledomary2812Ай бұрын
Jay Moe ni Legend.. jamaa anajua kujieleza na anajielewa .. keep it up Famous... show imekaa poa sana.. kazi nzuri sana Fredrick Bundala( Sky worker).
@AzmaMpondaMUSIC3 ай бұрын
Bonge moja la interview
@habari2543 ай бұрын
Kazi safi sana ndugu sky !
@fredymushy96743 ай бұрын
T I wa bongo j the moe🎉🎉
@robert4g1893 ай бұрын
Best
@salomewandya72573 ай бұрын
Miss you Jaymoe❤❤
@hamisibwanga6743 ай бұрын
Hii Ni Movie 🙌 I Hour
@abubakarimsere3 ай бұрын
Jay mo kawa mzee😢 maisha ya Duniani ni mafupi sana
@mikeraphael9573 ай бұрын
Good job SKY walker!you guys killed it!!listening from States
@saidmbaruku82093 ай бұрын
Quite a very informative interview, mengi ya kujifunza. Big up JayMo and Sky
@DurahRich3 ай бұрын
Madini sana Moe Technique.🫡🫡🫡🫡🐐🐐🐐🐐🐐🐐
@moseskillagane1603 ай бұрын
Nyimbo yake ya kwanza ilikuwa AHADI ZA BOSS kaka, alishirikishwa na Bad Brain ilifanyika hapo hapo kwa Majani
@zuumlondwa95183 ай бұрын
Nimemsikiliza j.moe na sky zaidi ya masaa ma2 na sijaboreka 👊we miss you j.moe
@furahambughi89253 ай бұрын
Aiseee huyu jamaaa nmeanza kumsikiliza tangu 2002
@thesociety40532 ай бұрын
Hio ngoma amesema Tension,12.27, ya necessary noize ni nomaaaa, oe ni noma design mamangu husema ywataka kuskia Nazizi na yule Jay wa Bongo😂😂😂😂 oe utacheka tu 😂😂😂 big up to Jay Moe African Rap Legend, enough respect, ni vizuri kuskia the story behind mum's favorite HipHop track,big up SnS
@jeremiahmsemwa83233 ай бұрын
Huyu jamaa smart sana kichwani... nimeskiliza full interview
@rashidomar15582 ай бұрын
Genius jay mo....GENTLEMEN
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Daimond inabidi uwape ela makaka zako kama wakina jay mo kama Asante ya kuchonga Barabara ya bongo fleva....kwamana wamefanya kazi kubwa sana
@TeophilBuilding3 ай бұрын
Mmekalili marimbukeni makum ninyi kiufup huyu bwan Ni tajir wa nyumb za kupangisha bongo ap sio masikin wakupew misaad na mashog wenzio
@samwelkimario8126Ай бұрын
My brother respect
@gilbertkalanda93542 ай бұрын
Jay Moe- nimekupenda bure uko very positive !
@hamimuadisababa54713 ай бұрын
Jay 2 the Moe, Moja kati ya emcees wangu wakali kabisa. Yeye amepenya hadi kizazi hiki na kuwakalisha hata rappers wa kizazi hiki (Muulize County Wiz kwenye Mocasin)
@jotafungo46223 ай бұрын
Kama unataka demu ....
@user-xd9bu4vr6l3 ай бұрын
Ase noma mzee
@user-xd9bu4vr6l3 ай бұрын
Nakukubali sana jay mo
@reginamayuto13573 ай бұрын
Awesome 😎 interview 🤝🇩🇰🔥
@user-cu2en9xh4l3 ай бұрын
Nice 👍👍
@starjay30523 ай бұрын
dah ila marehemu angekuwope sijui ingekuaje 😢
@cbhofficial34323 ай бұрын
Bro hakuna msanii wa zamani alietoboa nje ya Tanzania hata engekuwepo angebaniwa tu
@starjay30523 ай бұрын
@@cbhofficial3432 kweli damu yangu
@victustemba3 ай бұрын
Jay MO kama P_Funk how they talk
@ibraimoissiaca60583 ай бұрын
Itakua alimu inspaya jinsi anavyo nata
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Jay mo anaongea kama p fank kwer wamekaa pamoja mpaka mmefanana sauti..ila Kila la heri ..wish all the best mo
@matthewmartin53143 ай бұрын
Waambieni wasanii wetu hawa new generation, they will never make it wakiendelea kucopy sound za watu. Diamond aliechukua matuzo mengi MTV alichukua sababu ya manyimbo yake ya kipindi kile ilikuwa sound different na za wasanii wa nchi nyingine (nyimbo kama number 1, mdogo mdogo, ntampata wapi) that was pure bongo sound.
@MackameHassani3 ай бұрын
Hatuwezi kutoboa/kufika kule ambapo ndo penye mafanikio kimtaifa, tunafikje now kwa sound za amapiano na sampling zisizo na maana. Wenzetu natuaina majuha tusiojitambua, hakuna artist kutoka S.A atakuja kusound km dully,tid,kiba,diamond(in bongofleva rythim) ht siku1 why sisi tunakiwa watu wa shoboo!!! Wao wanaangalia streams tuu
@fadhilially73573 ай бұрын
BIG BRAIN JAY MOE
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Daimond Mpe sapoti kaka jay mo awo ndo ekon ya bongo freva since way back..nanilikuwa nataman p funk nae akugongee mdundo mana mdundo wake sio poa...mapopo wenyewe wanasubiri
@magembekisabo963223 күн бұрын
Mo ana maisha usidhani ni choka mbaya
@expert58983 ай бұрын
JayMo is very good at story telling
@rasjamal98543 ай бұрын
Mangwea alikuwa Really not fake ndiyo alikuwa anaishi na malengo yake hila yote mipango ya Mungu R I P Mangwea
@husseinkaoneka58342 ай бұрын
famous and living legend
@FatumaPamfili3 ай бұрын
Ila wasanii wa zamani walikuwa wanaimba mashairi yenye staha
@HassaniMohamedi-lk7owАй бұрын
Jay moe madini
@nyotamy36783 ай бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️
@samirmswahili3 ай бұрын
Bonge la interview
@user-mb3zq1jr1q2 ай бұрын
Juu twende suti chini twende moka sini
@nyotamy36783 ай бұрын
🔥🔥🔥
@Caelumkids3 ай бұрын
"TRUE/REAL ARTIST VIBES"
@danielhamisi89283 ай бұрын
❤
@hubimogela91673 ай бұрын
Jay Mo achoshi kumsikiliza kabisa
@user-yt7re8rd4m2 ай бұрын
Nasikiliza intervieu mala kwa mala yani sjui hata niwashukuru vp
@peterzjohn62603 ай бұрын
Hii interview imenifanya nirud kuztafta upya nyimbo za hip hop za zaman
@willyclassic92633 ай бұрын
J 2the mooh..
@albert10883 ай бұрын
RIP Ngwair🙏
@enock72713 ай бұрын
🎉🎉
@mirroyjunior83483 ай бұрын
Juma mchopanga 🔥🔥🔥🔥
@saidmasoud90043 ай бұрын
Bonge la interview halafu Jay Moe anaongea kma Man Walter sauti zao.
@dancemachinecrew64803 ай бұрын
Solo thang tupate interview
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👊✌️👍.
@rasjamal98543 ай бұрын
Unaongea ukweli Wabongo awajiamini ndiyo maana wanapiga midundo ya mapiano, Bongo Flava ni zile zenu za Zamani
@MackameHassani3 ай бұрын
Anachoongoea kaka mkubwa MO ni point kbs aiseeee😢😢😢😢
@Khalidniya3803 ай бұрын
Oya Sky fanya utuletee P Funk hapo yule jamaa tunamkubali
@hamissimnyonge3 ай бұрын
Moe Burundi tumeanza mziki kabla yenu uliza wakongwe wako watakueleza