JAY MOE asimulia alivyomkutanisha NGWAIR na P-Funk ‘Alikuwa ameajiriwa kwenye kibanda cha simu’ Pt2

  Рет қаралды 23,501

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 78
@starjay3052
@starjay3052 3 ай бұрын
famous ndio ngoma yangu bola ya muda wote alafu jay moe ndio msanii namsikiza bongo alafu kuna hii bosskazi kaitendea aki sana na nyengine mbili yupo na yule dogo country wiz noma sana bila kusaau pesa madafu 🫡
@hamiszali1434
@hamiszali1434 3 ай бұрын
Umezaliwa mwaka gan mpka unasema jmoe nyimbo yako pendwa na ile ya country boy,,umewah kusikia cheza kwa step..stor3,mvua na jua,,,
@starjay3052
@starjay3052 3 ай бұрын
@@hamiszali1434 umeelewa nilichokiandika ebusoma tena
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Jaymoe ftJackline mengi Nikipata wangu❤❤❤❤🔥🔥
@abdalamhamed3586
@abdalamhamed3586 3 ай бұрын
Bongo ngoma ile
@stuartikonko1941
@stuartikonko1941 3 ай бұрын
Verteller, StoryTeller wa muda wote
@elvisrugims8298
@elvisrugims8298 3 ай бұрын
Interview imesimama sana, Sijawahi kusikiliza Interview ya J.mo nikafurahi kiasi hiki mbali na kwamba jamaa namfuatilia tangu ameingia kwenye Game.
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 3 ай бұрын
Jaymoe niko na wewe mpaka kieleweke, much love brother
@efronaaron6772
@efronaaron6772 3 ай бұрын
Huwa namkubali Jaymoe mpaka sio poa😃😃
@chiddoog8009
@chiddoog8009 2 ай бұрын
1 thing I never knew about jMo kua he's very smart kichwani nimekua nikipenda na kuelewa ngoma zake since day 1 ila kupitia hii interview nampa 100 kabisa yuko na facts tupu sio mtu wa kukurupuka 🙌
@WADAUcontentMEDIA
@WADAUcontentMEDIA 3 ай бұрын
Vipi MAISHA YA BOARDING bonge la ngoma ❤
@economistshillajr.1317
@economistshillajr.1317 3 ай бұрын
Hongera Jay Moe!!! Tunaomba utaratibu wa Pre order ya FALL album
@alimwinyi5996
@alimwinyi5996 3 ай бұрын
29.04 chid beenz needs to hear this...quit complaining!! big up Mo Techniques
@guledomary2812
@guledomary2812 Ай бұрын
Jay Moe ni Legend.. jamaa anajua kujieleza na anajielewa .. keep it up Famous... show imekaa poa sana.. kazi nzuri sana Fredrick Bundala( Sky worker).
@AzmaMpondaMUSIC
@AzmaMpondaMUSIC 3 ай бұрын
Bonge moja la interview
@habari254
@habari254 3 ай бұрын
Kazi safi sana ndugu sky !
@fredymushy9674
@fredymushy9674 3 ай бұрын
T I wa bongo j the moe🎉🎉
@robert4g189
@robert4g189 3 ай бұрын
Best
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Miss you Jaymoe❤❤
@hamisibwanga674
@hamisibwanga674 3 ай бұрын
Hii Ni Movie 🙌 I Hour
@abubakarimsere
@abubakarimsere 3 ай бұрын
Jay mo kawa mzee😢 maisha ya Duniani ni mafupi sana
@mikeraphael957
@mikeraphael957 3 ай бұрын
Good job SKY walker!you guys killed it!!listening from States
@saidmbaruku8209
@saidmbaruku8209 3 ай бұрын
Quite a very informative interview, mengi ya kujifunza. Big up JayMo and Sky
@DurahRich
@DurahRich 3 ай бұрын
Madini sana Moe Technique.🫡🫡🫡🫡🐐🐐🐐🐐🐐🐐
@moseskillagane160
@moseskillagane160 3 ай бұрын
Nyimbo yake ya kwanza ilikuwa AHADI ZA BOSS kaka, alishirikishwa na Bad Brain ilifanyika hapo hapo kwa Majani
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 3 ай бұрын
Nimemsikiliza j.moe na sky zaidi ya masaa ma2 na sijaboreka 👊we miss you j.moe
@furahambughi8925
@furahambughi8925 3 ай бұрын
Aiseee huyu jamaaa nmeanza kumsikiliza tangu 2002
@thesociety4053
@thesociety4053 2 ай бұрын
Hio ngoma amesema Tension,12.27, ya necessary noize ni nomaaaa, oe ni noma design mamangu husema ywataka kuskia Nazizi na yule Jay wa Bongo😂😂😂😂 oe utacheka tu 😂😂😂 big up to Jay Moe African Rap Legend, enough respect, ni vizuri kuskia the story behind mum's favorite HipHop track,big up SnS
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 3 ай бұрын
Huyu jamaa smart sana kichwani... nimeskiliza full interview
@rashidomar1558
@rashidomar1558 2 ай бұрын
Genius jay mo....GENTLEMEN
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Daimond inabidi uwape ela makaka zako kama wakina jay mo kama Asante ya kuchonga Barabara ya bongo fleva....kwamana wamefanya kazi kubwa sana
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 3 ай бұрын
Mmekalili marimbukeni makum ninyi kiufup huyu bwan Ni tajir wa nyumb za kupangisha bongo ap sio masikin wakupew misaad na mashog wenzio
@samwelkimario8126
@samwelkimario8126 Ай бұрын
My brother respect
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 2 ай бұрын
Jay Moe- nimekupenda bure uko very positive !
@hamimuadisababa5471
@hamimuadisababa5471 3 ай бұрын
Jay 2 the Moe, Moja kati ya emcees wangu wakali kabisa. Yeye amepenya hadi kizazi hiki na kuwakalisha hata rappers wa kizazi hiki (Muulize County Wiz kwenye Mocasin)
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 ай бұрын
Kama unataka demu ....
@user-xd9bu4vr6l
@user-xd9bu4vr6l 3 ай бұрын
Ase noma mzee
@user-xd9bu4vr6l
@user-xd9bu4vr6l 3 ай бұрын
Nakukubali sana jay mo
@reginamayuto1357
@reginamayuto1357 3 ай бұрын
Awesome 😎 interview 🤝🇩🇰🔥
@user-cu2en9xh4l
@user-cu2en9xh4l 3 ай бұрын
Nice 👍👍
@starjay3052
@starjay3052 3 ай бұрын
dah ila marehemu angekuwope sijui ingekuaje 😢
@cbhofficial3432
@cbhofficial3432 3 ай бұрын
Bro hakuna msanii wa zamani alietoboa nje ya Tanzania hata engekuwepo angebaniwa tu
@starjay3052
@starjay3052 3 ай бұрын
@@cbhofficial3432 kweli damu yangu
@victustemba
@victustemba 3 ай бұрын
Jay MO kama P_Funk how they talk
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 3 ай бұрын
Itakua alimu inspaya jinsi anavyo nata
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Jay mo anaongea kama p fank kwer wamekaa pamoja mpaka mmefanana sauti..ila Kila la heri ..wish all the best mo
@matthewmartin5314
@matthewmartin5314 3 ай бұрын
Waambieni wasanii wetu hawa new generation, they will never make it wakiendelea kucopy sound za watu. Diamond aliechukua matuzo mengi MTV alichukua sababu ya manyimbo yake ya kipindi kile ilikuwa sound different na za wasanii wa nchi nyingine (nyimbo kama number 1, mdogo mdogo, ntampata wapi) that was pure bongo sound.
@MackameHassani
@MackameHassani 3 ай бұрын
Hatuwezi kutoboa/kufika kule ambapo ndo penye mafanikio kimtaifa, tunafikje now kwa sound za amapiano na sampling zisizo na maana. Wenzetu natuaina majuha tusiojitambua, hakuna artist kutoka S.A atakuja kusound km dully,tid,kiba,diamond(in bongofleva rythim) ht siku1 why sisi tunakiwa watu wa shoboo!!! Wao wanaangalia streams tuu
@fadhilially7357
@fadhilially7357 3 ай бұрын
BIG BRAIN JAY MOE
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Daimond Mpe sapoti kaka jay mo awo ndo ekon ya bongo freva since way back..nanilikuwa nataman p funk nae akugongee mdundo mana mdundo wake sio poa...mapopo wenyewe wanasubiri
@magembekisabo9632
@magembekisabo9632 23 күн бұрын
Mo ana maisha usidhani ni choka mbaya
@expert5898
@expert5898 3 ай бұрын
JayMo is very good at story telling
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 ай бұрын
Mangwea alikuwa Really not fake ndiyo alikuwa anaishi na malengo yake hila yote mipango ya Mungu R I P Mangwea
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 2 ай бұрын
famous and living legend
@FatumaPamfili
@FatumaPamfili 3 ай бұрын
Ila wasanii wa zamani walikuwa wanaimba mashairi yenye staha
@HassaniMohamedi-lk7ow
@HassaniMohamedi-lk7ow Ай бұрын
Jay moe madini
@nyotamy3678
@nyotamy3678 3 ай бұрын
♥️♥️♥️♥️♥️
@samirmswahili
@samirmswahili 3 ай бұрын
Bonge la interview
@user-mb3zq1jr1q
@user-mb3zq1jr1q 2 ай бұрын
Juu twende suti chini twende moka sini
@nyotamy3678
@nyotamy3678 3 ай бұрын
🔥🔥🔥
@Caelumkids
@Caelumkids 3 ай бұрын
"TRUE/REAL ARTIST VIBES"
@danielhamisi8928
@danielhamisi8928 3 ай бұрын
@hubimogela9167
@hubimogela9167 3 ай бұрын
Jay Mo achoshi kumsikiliza kabisa
@user-yt7re8rd4m
@user-yt7re8rd4m 2 ай бұрын
Nasikiliza intervieu mala kwa mala yani sjui hata niwashukuru vp
@peterzjohn6260
@peterzjohn6260 3 ай бұрын
Hii interview imenifanya nirud kuztafta upya nyimbo za hip hop za zaman
@willyclassic9263
@willyclassic9263 3 ай бұрын
J 2the mooh..
@albert1088
@albert1088 3 ай бұрын
RIP Ngwair🙏
@enock7271
@enock7271 3 ай бұрын
🎉🎉
@mirroyjunior8348
@mirroyjunior8348 3 ай бұрын
Juma mchopanga 🔥🔥🔥🔥
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 3 ай бұрын
Bonge la interview halafu Jay Moe anaongea kma Man Walter sauti zao.
@dancemachinecrew6480
@dancemachinecrew6480 3 ай бұрын
Solo thang tupate interview
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 ай бұрын
👊✌️👍.
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 ай бұрын
Unaongea ukweli Wabongo awajiamini ndiyo maana wanapiga midundo ya mapiano, Bongo Flava ni zile zenu za Zamani
@MackameHassani
@MackameHassani 3 ай бұрын
Anachoongoea kaka mkubwa MO ni point kbs aiseeee😢😢😢😢
@Khalidniya380
@Khalidniya380 3 ай бұрын
Oya Sky fanya utuletee P Funk hapo yule jamaa tunamkubali
@hamissimnyonge
@hamissimnyonge 3 ай бұрын
Moe Burundi tumeanza mziki kabla yenu uliza wakongwe wako watakueleza
@tiganakilemba9516
@tiganakilemba9516 3 ай бұрын
.jombaaaaaaaaaaa
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 52 МЛН
MUZIKI, MADAWA, BIFU, SIKUTAKA KUWA MWINGINE, NITARUDI UPYA
36:19
Mkasi - SO4E03 with Saigon
28:08
MkasiTV
Рет қаралды 79 М.