Рет қаралды 330,022
Wengi walishtuka. Hawakujua kwa haraka kilichosababisha Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, asite wakati akihutubiwa wananchi, wageni na viongozi wenzake jijini Dodoma, kwenye mazishi ya kitaifa ya hayati John Magufuli.
Kumbe, alifanya hivyo, kupisha wito wa suala ya adhuhuri (adhana), ambayo ilimchukua dakika moja na nusu. Hili lilidhihirisha utii wa imani.