#CgOnlineTv Mchungaji aliejizolea umaarufu mkubwa mtandao kwasasa kutokana na mtindo wa mahubili yake na maneno anayo yatumia, ameonekena kushika nafasi ya Askofu Gwajima
Пікірлер: 172
@frankriziki24693 жыл бұрын
ASANT MCHUNGAJI KWA MAFUNDISHO MAZURI UNAJUA KUFUNDISHA JAMII KWAKWELI. NIKWELI SANAAAA. TUJITAHIDI KUBADILIKA. ASNT MCHUNGAJI
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Kweli itakuweka uru .wanaume shutukeni. Tunakufa kihoro kwa manyanyaso. Mimi yamenishinda. Barikiwa Mtumishi. Amen.
@johnjuma33453 жыл бұрын
Hahaaaaaa
@leahmgunda50553 жыл бұрын
Ujumbe sahihi kwa wakati mwafaka tena ni kweli;Mungu atusaidie kwa hill.
@EliyacostantinoPius3 жыл бұрын
Mungu anipe moyo wa kuelewa..ila watumish wa siku hiz..siion tofauti na wachambuzi wa mpira..Wanachofanya wanachambua maisha..
@milanisl50705 жыл бұрын
Hongera baba mchungaji Mgogo kwa mafundisho mazuri yenye kujenga nilichogundua watanzania wengi hawapendi kuambiwa ukweli ukisema wewe ni Adui na ndio maana wanarudia makosa kila siku usipoambiwa ukweli utajuaje unakosea au umekosea ? Injili iende mbele hapa hukuna longolongo wala miujiza feki ni injili ya ukweli itakayo ponya roho zetu
@hassanwanje73734 жыл бұрын
Huyu ameongea mengi tu ya msingi hajasema haleluya , ila mijiposter y Kenya n kma wamezaliwa na yesu. Neno moja tu haleluya neno LA pili haleluya, neno LA tatu shindwe,!!! Shenzi sna ma pastor Kenya na wale wenye wako na tabia iz
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Do you know the meaning of hallelujah
@salehuae75185 жыл бұрын
Amen. Very true message .God bless you pastor
@edmundlwena2183 жыл бұрын
Be blessed pastor
@justusgration86953 жыл бұрын
Safi Sana Pongezi kwako
@trophainamagogwa79664 жыл бұрын
No no no Huku wanakwenda kushitaki Watanzania na waafrica wakinyanyasika,nako wameamka Mchungaji ni africa tu
@joycekokunula91375 жыл бұрын
Ndoa ni kuheshimiana mume na mke, kumtanguliza Mungu kweli kweli, ndoa nyingi za waliiokoka ni ku pretende tu ndio maana utukufu wa Mungu hauwezi kushuka hapo, pia wapo watu wa Mungu wengi sana wana ndoa lakini pia wanaenda nje, ulevi. Ndani ya Kristo tunahita kuomba sana
@lasttrumpetmission12625 жыл бұрын
Inaonekana wewe ni mmoja wapo wa wanawake wakorofi
@oscarobed79004 жыл бұрын
Mwanamke ameambiwa na maandiko amheshimu mumewe.. Siyo waheshimiane huko kupindisha kilichosemwa na ndiyo zinapoanzia
@meryevance69442 жыл бұрын
Anaweza kuwa kiboko wavAskofu Gwajima kwa mipisho au kwa maneno
@sarahkimboi21615 жыл бұрын
Na hii wameitaka wanaume wanao wanyanyasa wake zao ambao c wasomi na wanawatafuta wa University,,, ni Mungu tu atupe hekima ya kuishi katika ndoa zetu,, Amen
@peteradriano23535 жыл бұрын
Sio wanaume ambao hawajasoma, unaweza mwanaume ukasoma na yakakukuta pia ni mwanaume kuwa fighter
@fogotv76325 жыл бұрын
Alieandika Mungu amsamehe
@adammjomba71123 жыл бұрын
Ameen baba Mchungaji lakini baba mchungaji hiyo ndio maumbile ya mwanamke kujiona hasa anapokua na kitu wameumbwa hivo na Ahlla. Huwezi kuwageuza
@yohanaadamuyohanaadamu79143 жыл бұрын
Sasa mnakataa au mahubili ya Gwajima hayamfikii ya Danieli mgogo
@edinajosephat25624 жыл бұрын
Usipende kulinganisha power ya Mungu kwa watumishi,, roho in yeye yule wakorintho 12:4_11
@drmsange6523 жыл бұрын
Tuache udini lkn maneno ya askofu huyu yamenigusaaa
@upperroommileleministrykaw39474 жыл бұрын
asante baba kwa ukweli huu
@evansm88023 жыл бұрын
Gwajima is a politician businessman
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Mchungaji bwana! We na wanawake tu. Jamna injili nyingine mtumishi was mungu.
@myself41285 жыл бұрын
We mwanaume tulia dawa iingie,habari ndio hiyo wanaume hawana mtetezi la ajabu mwanamke akisemwa hata wanaume wanaingilia kutetea mishipa inawasimama kujipendekeza
@coticelahilaly68193 жыл бұрын
Safi Sana mtumishi
@bettybusumba14782 жыл бұрын
Acheni uongo kila mtu ana karama yake,huyu yupo kwenye kujenda ndoa na Mahusiano na yule yupo kwenye la ukweli kuhusu uzalendo kwa Mungu na nchi yake Sasa ukiboko wake uko kwenye Nini coz wako kwenye nyanja mbili tofauti
@mariamm27243 жыл бұрын
Kaah ynatuonea baba , kuna wanaume vichefuchefu tu
@philipo98samuelsamuel163 жыл бұрын
Mungu ndio alivyo waumba hao mchungaji katika mia unapata 7 tu 93 wote wanakuwa na roho za kishetani
@erickmsuha13903 жыл бұрын
Ni kweli Mchungaji,unachosema..mwanamke akipata fedha anabadilika kabisaa
@sailepugs28193 жыл бұрын
Mifano iko wazi kabsa hata kwa wanawake maarufu wabunge waimbaji na nk.
@omaebarongo18923 жыл бұрын
Ukweli kabisaaa muhubiri Amen
@kabaiyukyasnider67974 жыл бұрын
Sauti inasikika asante mchungaji
@suratfrank62825 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeeen}Kweli kabisa mtumishi wa Mungu
@elinihakieliakunda99673 жыл бұрын
Kweli
@AkwinoMsombe-FundiUmeme-5 жыл бұрын
hahaha! huyu mchungaji ana vituko lakini anafikisha ujumbe
@zawadimwenga48603 жыл бұрын
Ni kweli mtumishi filisika tujue tabia ya mkeo.
@zindahwillson21063 жыл бұрын
Poster nakukubali Sana utafiti huu Ni kweli kabisa
@kitokisospeter72475 жыл бұрын
kweli kabisa, hawa viumbe ni shida. hawaeleweki.
@jatayohana3 жыл бұрын
Amina Baba
@masebochris30504 жыл бұрын
Daaa aise ubalikiwe mtumishi
@beatricesaka75575 жыл бұрын
Hahahahaha wanakauli hawa!!!!!!!!!
@lusigidominic5133 жыл бұрын
Powerful
@gasparyrutta84425 жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi
@neemavictor20834 жыл бұрын
Amen
@danielmgogo64845 жыл бұрын
SASA GWAJIMA AMEINGIAJE HAPO ?? MBONA MNAGOMBANISHA WATUMISHI BILA SABABU ??
@godmanmullar41545 жыл бұрын
Ndio tatizo lao hilo kukosa cha kusema na ubaguzi tu
@wisdomushindi2765 жыл бұрын
Wanauza habari
@nebathkayange12674 жыл бұрын
Daniel Mgogo na Mimi nimeshangaa kilicho Andikwa ni tofauti na kinacho ongelewa
@atuganilemsyani26524 жыл бұрын
Hahahha izi KZbin midia baadhi wamekosa elimu ya biashara
@japhetdeus34644 жыл бұрын
tubariki baba achana nao
@bonabonala423 жыл бұрын
Mungu anakutumiaa. Kama. Lissu
@mohammedmnasi32283 жыл бұрын
Sasa lisu amefanya kipi cha maana zaidi ya ushoga
@bwikizobilly52204 жыл бұрын
Umesema ukweli kabisa Mgogo
@christophermlaponi5345 жыл бұрын
Ipo tofauti kubwa kati ya kuhubiri INJILI na kutoa mawaidha ! Injili ubebwa na msingi wa NENO la Mungu, siyo nasaha au uwezo katika kuongea !
@lawmarcusmwakagenda3555 жыл бұрын
Utajuaga mwenyewe kama ni nasaha au neno
@popekatalango94095 жыл бұрын
hayo ni mawazo yako finyu
@hendrylema56405 жыл бұрын
Kwa hyo
@hendrylema56405 жыл бұрын
Au unataka kusema injili haiwez kutoa mawaidha
@christophermlaponi5345 жыл бұрын
@Vincent Unkind Ni kweli sijui, nieleweshe sasa wewe unayejua !
@johnmachela47733 жыл бұрын
Kweli kabisa
@jordanfromyt28614 жыл бұрын
Ukweli unauma ila inabidi uwaambie Lol 😆 sema ukweli adi wapasuke Ila subtitle ndio inazingua haiyusiani na video
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Amen 🇰🇪
@teddyelieza67104 жыл бұрын
kweliiiiiiiiiiiiii
@salumjumaruhaga25133 жыл бұрын
Kweli kabisa ,Mimi ni muislam lakini apo nakukubari
@eliyamulunga62205 жыл бұрын
Amen.
@rodymtakimwa38975 жыл бұрын
haloo
@victoriachengula56305 жыл бұрын
kweli
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Ila kweli demu wangu jipange sahivi akiniambia mambo ya pesa namnyima najidai nimefilisika ili nione upendo au yuko kimaslah
@issayasosolo54633 жыл бұрын
Kwani ngwajima ni mtumishi au katelekeza kanisaba amekwenda kwenye siasa na Sasa tunatumia sadaka kunywa bia kwenye kampeni zake,
@sangapatrick16093 жыл бұрын
Aisee mzee unanifanya nisikie raha san
@Michael_Msanzya4 жыл бұрын
Tuishi navyo kwaakili hivi viumbe
@nkonyololuchana22113 жыл бұрын
Umeongea point san huo ndo ukweli wanawake ndivyo walivyo
@adammasunga63825 жыл бұрын
Mmmh haya yananikuta duh
@innocentkamuntu57025 жыл бұрын
Mai
@dicksonkilupa22585 жыл бұрын
Kama hii sio injili jaribu wewe kutufundisha unachokidhani ndio bora! Asante Mgogo mimi napona
@rahandile76545 жыл бұрын
Mnao mpinga huyu mtumishi mna yenu
@bidafumbuka8553 жыл бұрын
Ameikataa kweli
@taboraking15793 жыл бұрын
Hi
@neemajosephati84034 жыл бұрын
Naombeni Kuuliza! Hivi Huyu Mtumishi ni Mchungaji Wa Maswara ya Ndoa au ? Maana kila link zake nikifungua nakuta anaongelea Maswala ya Ndoa tu.
@gitanokambarage87894 жыл бұрын
Huwa ni semina
@neemajosephati84034 жыл бұрын
@@gitanokambarage8789 Ahaa! Sawa
@johnrickmwamselele10363 жыл бұрын
Uhubiri Hekima acha takataka izo .fundisha watu waepate kufahamu njia za Mungu uo NI umbeya
@eliaswilson16013 жыл бұрын
KWELI HUYU NI MTUMISHI WA MUNGU HATUKATAI LAKINI NAONA KILA WAKATI ANAZUNGUMZIA NDOA MAPENZI DAAAAAH CJUI NDO KUHUBIRI NENO KUMEISHA AU WAMECHOKA .HEBU ROHO MT AWAGUSE WATUMISHI WA MUNGU.MDA MWINGINE MTUMISHI UNAFUNDISHA HADI KUTONGOZA AU KUISHI NA MPENZI KWELI BIBILIAAA WAPI IMEHALALISHA HAYA MAMBO? WAUMINI CHAGUENI UZIMA WA MILELE SYO KUJIFURAHSHA NA MANENO YA DUNIA.
@madukaj.j.69994 жыл бұрын
CG TV kweli mnaleta ujinga huu?
@growrich23323 жыл бұрын
Kwli baba
@simontamba12855 жыл бұрын
Hakikaa
@joycesalvatory77683 жыл бұрын
Ndoa ni kusaidiana
@nginamugwe80935 жыл бұрын
Kwa hii maongeo zote Gwajima ameingilia wapi hapo...mchonganishi wewe shika adabu yako
@mtembeibuberwa76804 жыл бұрын
Ngina Mugwe si ndio hapo,hivi vi online media vingine bwana,mgogo na gwajima wapi na wapi na saa ngapi🤔??
@petersakariwakube82155 жыл бұрын
Wacha zako.Haya ni maneno mengi tu. Askofu Gwajima anafundisha na kuhulihubiri Neno lililojaa nguvu ya Mungu nyingi ya kukomboa na kuponya roho, nafsi na mwili. Iwapo mtu kawekwa chunguni na wachawi, haya maneno matupu yatamfaidi nini?
@zahorokasentisenti25755 жыл бұрын
Kweli baba tunaumia sana
@sahachi3973 жыл бұрын
Wanaweke siwaoni hapa
@jumabakari8133 жыл бұрын
Ivyo ndivyo ilivyo nandivyo walivyo wanawake kunawanaume adi uruma hawana neno kwawakezao niwengi mno adi nawaza wamewekewa dawa au upendo au mwanaume anagombezwa kama mtoto aliemzaa mn kunAkumwelekeza mwenzako jambo nakunakumgombeza asa ao wanaweke wanawagombeza wanaume zao mpaka najiulizag ivi usiku akitaka kutaka uyu so anapangiwa uyo yan uruma baadhi yawanawake mubadilike
@lugeshadaudi22812 жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu pasta
@wangwemseti75925 жыл бұрын
Live bila chenga
@sulleysonsulley41605 жыл бұрын
Huyu Baba ni shida ,, ilatu umesema kweli
@mrsdeborahurio5 жыл бұрын
Sema tupone Baba, UKWELI HUUMA!
@molingesaitot10875 жыл бұрын
Mgogo
@user-qy6li2to1k3 жыл бұрын
@@molingesaitot1087 v
@bhoketugara97034 жыл бұрын
Unatuonea
@cosmasmushi28953 жыл бұрын
Dtv africa
@prospermwakikoti1944 жыл бұрын
Baba umesema kweli
@melaulaizer73565 жыл бұрын
Sio injili kabisa hii.
@adamfundikira2215 жыл бұрын
Hujielewi
@magdalinekwezi36164 жыл бұрын
Daniel
@magdalenamatiko99954 жыл бұрын
Mtoa post,haelewi kila mtumishi,ana huduma yake!Gwajima anapambana na wachawi,huyu na jamii,familia lakini roho ni yuleyule
@amosimatonge47193 жыл бұрын
Nikweki
@dissrugwebhe53615 жыл бұрын
Kweri kabisaa
@serengetiamb6364 жыл бұрын
najuwa siku ukikua utaacha. hawa sio wasanii uwanze kuwashindanisha
@berthamakortha83873 жыл бұрын
Nii ukweriiii mtupuuuu
@benjaminlijongwa37153 жыл бұрын
Sasa kiboko ya Gwajima kivipi?
@salimmatalamoma86733 жыл бұрын
Nikwel umenena mgogo
@bakarisechala49513 жыл бұрын
Huyu mzee anaongea monk ngwajima pumba
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Sasa unaposema kiboko ya gwajima unamaanisha nini?
@aroundtheworld41733 жыл бұрын
Ungodly teachings. Nasikitika sana kwa ajili ya Kanisa la kisasa, linalohubiri Injili ya ulimwengu huu. Hii nato ni Injili? Kama haya ndio aliyokusudia Yesu Kristo, kuna jipya lipi basi tofauti na mafundisho ya dunia.
@agnessmwendwa75423 жыл бұрын
Amguse aone atatafuta pakujificha anajua au anamsikia
@japhetyonasultan54123 жыл бұрын
Mapele yamepata mkunaji.
@watwegopnina64805 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃
@dominickjoseph53363 жыл бұрын
Sema ukweli tupone
@emanuelombeni59523 жыл бұрын
Hahaaaaaaa
@geralddenis29875 жыл бұрын
Wambie Baba ao
@aginiweyessayakyando98553 жыл бұрын
Sasa gwajima kaingiaje hapo tena..🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️
@davidnyambuche3523 жыл бұрын
Na mimi nashangaa
@kenethpoul91693 жыл бұрын
Wambie baba
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Ujumbe umefika
@devidkajilo88525 жыл бұрын
Hayupo mwanamke anaeweza kupata mali akaendelea kumheshim mmewake nyie mnaowapa wakezenu mitaji tafuten nasehemu ya kwenda kuishi