Bonyeza "SUBSCRIBE" Pata Habari mbalimbali zinazotokea nje na ndani ya nchi yetu ya Tanzania, michezo, uchumi, siasa pamoja na habari kemkem. Subscribe: / @topstoriestz
Пікірлер: 995
@amosjacksoni96202 жыл бұрын
Sikusema ccm oye yalikiepo majiz sana kuliko ata ya chadema , gonga like uliyeskia iyoo.
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Magufuli alikuwa Wa kipekee rip Mungu mtunze tunamuombea hakika tutakukumbuka daima msiba huu hauna kikomo
@user-ps4jt6gi9k
Mungu tupe macho tuone tunakoelekea mungu ikumbuke Tanzania nahaya yanayoendelea
@nad_peacetv88742 жыл бұрын
Wewe ni kiongozi wangu bora wa muda wote😭😭😭😭😭😭
@makalasaigoni22755 жыл бұрын
hongera mh magu. kama unamkubali magu acha yako lakes
@ananiamkasu88473 жыл бұрын
Ukweli umekuua mapema! Mungu atahukumu kwa haki.
@donpablo26515 жыл бұрын
Jembe letu, nitapigia Kura ccm kwa mara ya kwanza ajili yako tu , you are true loyal
@haroonchibwana62533 жыл бұрын
Innalillah waina ilahi rajeeon.
@alexandryshirima95682 жыл бұрын
Tunakukumbuka mzee wetu Mungu alikutumia utuonyeshe njia hapo kwa sasa hali si hali
@onaelymbatiani35273 жыл бұрын
R.I.P rais wetu,jembe letu.Tutakukumbuka daima.
@user-ow5vg7wj2f
Mungu akujalie mzee wetu sidhani Kama 2tapata mwingine Kama ww mungu akilinde
@eliasbufula62905 жыл бұрын
JPM uko vizuri sana tena sana, isipokuwa tu sisi watu hatupendi kuambiwa ukweli, lakini msema kweli ni mpenzi wa Mungu, endelea kuchapa kazi.
@georgenyalulu45503 жыл бұрын
Chuma kama chuma!! Twenzetu mzee wetu!! Watanzania tunakupenda sana!!
@ngusarobert47516 жыл бұрын
safi sana mkuu wa ichi hizo kauli nimezipenda sana
@akidaamani21562 жыл бұрын
Namlia président wa Africa
@selestinfrancis5904
Naamini kama kuna watu waliopelekea kifo chako na walihusika, naamini Mungu atashughulika nao hakika.Pumzika kwa Amani Baba, Mungu akupe pumziko la milele, Amina.
@chembejohn96053 жыл бұрын
We ni zaid y baba...asnte umetufundisha maisha
@salimomar4696 жыл бұрын
Uwaminifu ni mzigo mzito mno na wewe unaweza kuibeba mungu akusaidie na akupushe na waharibifu Ahsante Ahsante sana magufuli