Kwa kifupi Mwakinyo kakataa matapeli namuunga mkono
@luqmanomary35589 ай бұрын
Oya paf promotion si anaifaham vyem sana mwakinyo na aliisifia sana na kujiaminisha kwa analysis aloifany sasa imekuaje ?
@stamilimakurunge93059 ай бұрын
Jamaaa unajielewa tofauti n yule mrembo wenu mfaume mfaume
@subetizaid65159 ай бұрын
Safi sana ibra uko vizuri hauna maneno yakishamba uko vizuri broo
@AmosSniper9 ай бұрын
Class unaongea vzr, ww nibondia mwenye akili yakujielewa achana nayule nyani mfume anaeongeaga kichokochoko
@NajibuIbrahimu9 ай бұрын
Hata mwakinyo anaongea kichokochoko
@user-zy2vg6kl1s9 ай бұрын
Ili ufanikiwe kwenye tasnia yoyote ya kisasa lazima ujitengenezee jina zuri,Huyo Dogo Ibra nick name yake ni CLASS hivyo Kuna sehemu amesha jiweka yeye ni WA daraja flani.Tukija kwa Hassan Mwakinyo tayari ana majina mazuri mfano COLORADO KING,CHAMPEZ1 TIME na nk.Sasa wewe angalia yule Boya wa Mabibo eti ana jiita MAPAFU YA MBWA,sasa wewe ushajiita MBWA basi lazima uwe MBWA MBWA tu
@kenedyndunguru90689 ай бұрын
😂😂😂
@mgorakatembo26429 ай бұрын
Mfaume haijielewi ninyani kweli wengi wetu hatumpendi anazingua sana
@mgorakatembo26429 ай бұрын
Nakuelewa sana ibla Class na tunakupenda watanzania wengi anae kusema vibaya wewe ujuwe nimkimbizi sio mtanzania
@naimabdul12319 ай бұрын
Ibrahim unajielewa sana nakukubali sana mdogo wangu ndugu yako mwakinyo anazingatia sana misimamo yake mujielewe sana ndugu zangu mufike mbali, mola awe nanyi forever
@kaluluu20119 ай бұрын
Mwakinyo ana misimamo ya visa vya kuporwa mwanamke analeta kwenye kazi ....mbuzi uyo muoga muuza mech uyo mwakinyo tumemzoea ..anataka udalali anataka na PESA za mchezo pia alipwe .mwizi uyo mwakinyo kazoea PESA za bureee
@allykarupa14119 ай бұрын
Dogo upovizuri mungu hakufikishembali
@user-dd1uw9qw2t9 ай бұрын
Mabondia mjifunze kwa mwakinyo kua na misimamo ktk maisha ya ngumi sio mpande 2 ulingoni kwa ajili ya kuwafulaisha mashabiki na kuwatajilisha mapromota kama hao alio wakataa mwakinyo pandisheni ngumi za tz ziende mbali zaidi .
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Ndugu, sio kila misumamo n mzuri, misimamo mengne inaweza kudistroy küla kitu!
@user-kf1kf2gs4y9 ай бұрын
Daaaah kumbe wajinga ni wengi hii nchi kwa hapo msimamo wa mwakinyo unaweza pandisha Boxing Tz kiaje
@FRESHNEWS1719 ай бұрын
Kakataa kupigana kwasababu ya ugomvi wake binafsi na baadhi ya watu..sasa ugomvi wake unamuusu nini promota😂 watu wanatafuta hela piga pesa baada ya apo endeleeni na ugomvi wenu
@adammalima34089 ай бұрын
Leo umeongea vizuri sana
@ananiaszinns73249 ай бұрын
Ila inaomesha pia kuna ubabaishaji baadhi ya maplomota
@ashrafurwegoshora42279 ай бұрын
Kipajinchako ndo kinafanya mapromoter wakufate,mwakinyo amejitafuta ana haki ya kufanya anachoona ni sahihi,mwakinyo uko sawaa kabisa
@lutenganolukali21229 ай бұрын
Hapo ata yule Mmalawi nadhan kulikua na mvutano wa malipo maana alitumia zaid ya dakika 40 kupanda ulingoni akiwa tayal kashaaitwa nadhan kulikua na ubabaishaj
@makupejafar17719 ай бұрын
Yupo pamoja ibra
@fredprosper48835 ай бұрын
on point
@husseinkassimu49049 ай бұрын
TANZANIA mm nawakubal Hasan mwakinyo na lbrahimu class mawe ni waungwana sana wengine ni waripokaji tyu
@mgorakatembo26429 ай бұрын
❤❤Class
@MussaMohamed-pd7pq9 ай бұрын
Saluti sana mawe uko vzl
@sirizawa33609 ай бұрын
Ibrahim kweli chanzo hukijui champion au umejisahaulisha
@hamisiyangakozwe1479 ай бұрын
Kaka kaongea vizuri san sio hao wengine wana wivu na champez
@chidybwax80809 ай бұрын
Ww cheza bure kesho uumwe uanze kutuomba mchango fanya kazi kwa malipo acha maneno utufurahishe yann lipwa hela kwanz
@abubakarathumani74049 ай бұрын
Nice talking
@user-zy2vg6kl1s9 ай бұрын
zuri,Huyo Dogo Ibra nick name yake ni CLASS hivyo Kuna sehemu amesha jiweka yeye ni WA daraja flani.Tukija kwa Hassan Mwakinyo tayari ana majina mazuri mfano COLORADO KING,CHAMPEZ1 TIME na nk.Sasa wewe angalia yule Boya wa Mabibo eti ana jiita MAPAFU YA MBWA,sasa wewe ushajiita MBWA basi lazima uwe MBWA MBWA tu
@fj83179 ай бұрын
yule sio bondia yule ni mzee wa promo hana fight kubwa hata mmoja
@user-mt1ep9eu4e9 ай бұрын
nadhan ibra wadau wamekufata kukwambia ubadilike interview zako zisiwe zakiswaz, manawe ndo mrithi wamakinyo, make sure hukai kindez ndez...be a professional as ur bro mwaki...mfaume ana wivu tu na wengineo
@saidramadhan719 ай бұрын
Hassan yupo sawa
@khamisjuma85019 ай бұрын
Salam zangu kutoka USA marekani inauma Sana nduguzagu what wrong home land Tanzania
@HASHIM-rt4mf9 ай бұрын
Hawa ndio machampez wanaongea point
@user-hx6cv3so7b9 ай бұрын
Mm namkubal mwakinyo kunashida hawez kataatu
@abdallahmsham-eb7jz9 ай бұрын
Pesa kwanza kupigana bila pesa duuuu
@mohdmohd84289 ай бұрын
Ugomvi wa nyumbani usiulete kazini kwako sawa! Je ugomvi wa nyumbani ukiukuta kazini kwako😂 hii ipo ivi! umetoka kwako umelumbana na mkeo au unaenda kazini promota anakuchukulia mkeo😂 kinyo akili kubwa dogo
@josephatmakaranga9 ай бұрын
Asee umeongea point sana waropokaji wengi hawafikiriagi
@mkanulamajid5009 ай бұрын
Akigoma meakinyo mnawapa wengine pambano c mabondia wapo wengi tanzania c muwape hizo fedha zenu za pilipili hoho mwakinyo hashuki ndo anapanda chart
@mickdady20509 ай бұрын
Kuna watu wanamkubal Ibra alichosema alaf wanasema mwakinyo anamsimamo huo sio maimamo hauwez kuelewana na kila mtu kama umechukua hela pigana izo tofaut zenu zitabak ivyo ivyo aaaache utoto na kutaka kutetewa na mashabik
@Is-hakaRashid-il5er9 ай бұрын
Kakataaa matapeli
@ramadhanirashidi41759 ай бұрын
Nime kuelewa huja tia unafk umejibu kama inavyo takiwa maana mwakinyo Sy kichaa ana jua nini ana fanya
@MaalimShabani9 ай бұрын
Dogo inaonekana unaoigana kwa kupata hela yakula ila huna malengo ilà huyu mwakinyo ata wapa mafaniikio badae
@erickzephania10309 ай бұрын
Mapromota ni matapeli alichokifanya Mwakinyo ni kuonyesha misimamo
@user-kf6ih5kk8v9 ай бұрын
Mabondia wa bongo muache tamaa w iblahim maslai muim mtakufa ulingon
@mohamediabdalah76509 ай бұрын
Ihizi ngumi kila uchwao zina pungua nguvu mwishowake zitakufa kabisa .majungu! +Mapromotor= hamnakitu
@hassanhamad2639 ай бұрын
Hasan sababu nyingi ata pambano la uengereza alisema viatu... naon n mjamja mjanja
@MohammedMashaka-wk6yd9 ай бұрын
Bongo matapeli kibao
@ahmadichumbueni62619 ай бұрын
Mfaume Kuma tuu
@user-iu1dt1xg3k9 ай бұрын
😢hawa mapromota hawana hela wanasubiri wakusanye hela getini washama ndomana mkenya kakimbuaa
@luqmanomary35589 ай бұрын
Karigo anasem.mwakinyo hadai hata.mia kwa maana washamlipa na je yy alikuw hajaijua paf promotion?
@ricklandennis9 ай бұрын
Huyo karigo tapeli tu ukimsikiliza maneno yake, mabondia wengi maisha yao magumu angalia hata gym zao na mapromota washazoe kuwaburuza km ng'ombe ujanja ujanja mwingi
@ikramzamando8109 ай бұрын
Ñikweli uyu mfaume anae vimba mashavu Kama paka shume ni fala Sana muimba mipasho wa mabibo
@user-lq4sm1nr2o9 ай бұрын
Hasani sio mjinga kukataa razima kunashida
@BahatiMolle-sv8hg9 ай бұрын
Mwokinyo sjafanya feya ametufelisha mashabiki
@ikramzamando8109 ай бұрын
Umefeli pekeako Kama vpi kapigane ww
@alexlingwendu67809 ай бұрын
Kama Mwakinyo asipofungua kesi dhidi ya hao mapromota anaowaita Ni matapeli.Kesi dhidi ya kutumia Jina lake kuwashawishi watu kununua tiketi.Basi Hapo maana yake yeye na Promoter Lao Ni moja tu.
@kaluluu20119 ай бұрын
Mwakinyo ni tapta muuza mech
@lameckraphael37439 ай бұрын
Mwakinyo kaogopa
@issabilal41099 ай бұрын
Mwakinyo ni akili kubwa sio nyie huo ni upuuzi mnazulumiwa kupigana mkataba uwe wazi
@shabanisalimu73919 ай бұрын
Aka kademu nakaelewa aka sema nikabaya😂 ila napenda saut yake
@madibasenior4129 ай бұрын
Acha tamaa sasa
@lightnessabdallah23409 ай бұрын
katik wanaume wapumbavu wew namba 1 ambao astaili kuwepo katika jamii unamwitaje mwanaume demu fyuuu sura mbaya km ngozi ya tako lako
@shabanisalimu73919 ай бұрын
@@lightnessabdallah2340 uyo ayoma media ndo nasema
@MudhiryHassan-pq4se9 ай бұрын
Sema jamaa ni muungwana sana
@twaibumikidadi73779 ай бұрын
Nmecheka ulıongea kitu kinachompendeza shabiki wa mtu, Unaambiwa una AKILI Ukisema ukweli juu ya bondıa, machawa wake wanakutukana! This is nonsense
@kassimukipingu79179 ай бұрын
𝑴𝑯 𝑴𝑴 𝑴𝑨𝑷𝑰𝑻𝑰𝑨 𝑪𝑶𝑴𝑬𝑵𝑻𝒀
@PaulMchopa9 ай бұрын
Mwakinyo,,Ashitakiwe tu,,,,Msumbufu sana ,,anajiona sana
@lingwamalagila30039 ай бұрын
Classic unajitambua achana na mfaume fara huyo ninyi si vitega uchumi kwa kunufausha wengine promota munataka asemeje kama si kujikinga tu mtaelewa simamieni maslahi yenu badala ya mabindia kujitetea munamkandamiza mwenzenu wakati anaonewa