IJUE ASILI YA JINA "NJOMBE"

  Рет қаралды 6,180

Tausi News

Tausi News

5 жыл бұрын

#NjombeYetu #TukataliiNjombe
Mkoa wa Njombe ni kati ya Mikoa iliyopo Nyanda za Juu Kusini. Awali Njombe ilikuwa ni moja ya Wilaya ndani ya Mkoa wa Iringa ila kuanzia mwaka 2012 Njombe iligawanywa na kujitegemea kama Mkoa.
Mkoa wa Njombe una jumla ya Wilaya Nne (Ludewa, Njombe, Makete na Wanging'ombe) Aidha, Mkoa huu una jumla ya Halmashauri 6 (Njombe TC, Njombe DC, Makambako TC, Makete DC, Ludewa DC na Wanging'ombe DC).... Kiasili makabila maarufu Mkoani Njombe ni WABENA, WAKINGA, WAPANGWA, WAWANJI. Wengine ni Wamaswamu, Wamanda, Wakisi nk

Пікірлер: 6
@iam_kadodo
@iam_kadodo 4 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa kutambua
@mariasalomelukosi6846
@mariasalomelukosi6846 Жыл бұрын
Asili ya Mama yangu Semgaya .
@emmyryme
@emmyryme 9 ай бұрын
Dada angu huyo
@jkayombo_jr858
@jkayombo_jr858 5 жыл бұрын
naomba kujua historia ya wapangwa, wabena, asili yao ni wapi
@TausiNews
@TausiNews 5 жыл бұрын
Wabena ni kabila kubwa sana Mkoani Njombe na kabila hili ni moja ila kuna sub-tribes ndani yake. Mfano kuna Wabena wa Mdandu, wabena wa Lupembe, wabena Wamaswamu, Wabena wa Wanging'ombe yaani mpaka lugha zao zinatofautiana kidogo matamshi japo wanasikilizana. Aidha, Wapangwa ni kabila lililopo ndani ya Mkoa wa Njombe katika Wilaya ya Ludewa
@geofreyngole242
@geofreyngole242 7 ай бұрын
​@@TausiNews Asante
IJUE ASILI YA NENO 'NJOMBE'
7:56
Hammerkop TV
Рет қаралды 5 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 833 М.
Historia ya kabila la Wahehe na asili yao-sehemu ya kwanza
8:45
NIANIMAARIFA
Рет қаралды 8 М.
FAHAMU ASILI NA UBISHI WA WATU WA KIGOMA
33:23
JOY GOSPEL TV
Рет қаралды 9 М.
MBUNIFU NJOMBE  AOMBA APELEKWE NJE YA NCHI
3:39
NJB TV NEWS
Рет қаралды 1,1 М.
JAHAZI la wareno ILIVYOGEUKA JIWE Kilwa.
3:02
Siz Media
Рет қаралды 1 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН